afya bora

afya bora medical & health

19/02/2024

JE,UNASUMBULIWA NA KUTOKA UCHAFU SEHEM ZA SIRI,MIWASHO,FANGASI,U.T.I NA UZAZI KWA MUDA MREFU??

Zipo sababu mbalimbali zinazopelekea kuwa na hii changamoto ya (P.I.D) (kutokwa na uchafu sehem za siri)

1). Ulaji wa vyakula vyenye madawa k**a vile chipsi kuku/chipsi mayai,vyakula vya viwandani na aina k**a hizo
2).Matumizi ya njia za uzazi wa mpango
3).Utoaji wa mimba hovyo
4).Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
5).Matumizi ya mara kwa mara ya antibiotics
6).U.T.I sugu
7). Vifaa vya kujifungulia kuwa na bakteria(kutooshwa vizuri)

DALILI ZA P.I.D
1).Kutokwa Uchafu k**a maziwa wenye harufu wakati mwingine hauna harufu
2).Mzunguko wako kuvurugika
3).Kutoa harufu mbaya sehemu za Siri
4).Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5).Maumivu ya tumbo upande wa kulia au kushoto
6).Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7)Kuwa na dalili za mimba lakini huna mimba
😎.Uk* kuwa mkavu kupita kiasi
9).Kukosa hamu ya tendo la ndoa
10).Miwasho sehemu za Siri
11).Kupata homa au kuhisi homa

MADHARA YA P.I.D
1).Maumivu ya tumbo au nyonga
2).Ugumba /kushindwa kupata ujauzito
3).Ujauzito kuharibika
4).Mirija ya uzazi kuziba
5).Kupata uvimbe kwenye mirija ya uzazi
6).Kupata Uvimbe kwenye mji wa mimba
7).Kupata Saratani ya shingo ya kizazi
8.kizazi kutolewa
9).Kizazi kuharibika
10).Kupoteza uhai

Tumewasaidia watu wengi kupona changamoto hii baada ya kuhangaika sana kutafuta tiba mbalimbali na kupoteza pesa bila mafanikio.

Wasiliana nami Dr. Irene niweze kukusaidia kwa ushauri na tiba.

📞0746371652

NANI MWINGINE ANGEPENDA KUJIPATIA  OFA YA  UPIMAJI MWILI MZIMA NA KUHUDUMIWA KWA HARAKA..K**a una changamoto  yeyote ya ...
08/11/2023

NANI MWINGINE ANGEPENDA KUJIPATIA OFA YA UPIMAJI MWILI MZIMA NA KUHUDUMIWA KWA HARAKA..

K**a una changamoto yeyote ya kiafya, unahitaji kupata suluhisho la uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.

Inawezekana umepoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo hilo lakini hakuna matokeo chanya uliyopata mpaka sasa.

K**a unatafuta sehemu inayotoa uhakika wa matibabu na kukuhudumia kwa haraka.

Fika Katika kituo cha afya cha GCAT HEALTH CARE,
Tuna huduma ya upimaji mwili mzima kwa sh 20,000 tu na kuhudumiwa kwa haraka!

Utafanyiwa Upimaji Katika Mifumo Yote Ya Mwili Katika:
✳Mifupa.
✳Mmeng'enyo wa chakula.
✳Uzazi kwa kina mama.
✳Uzazi kwa kina baba.
✳Fahamu.
✳Ngozi.
✳Upumuaji.
✳Macho.
✳Masikio.

Pia matibabu na tiba za magonjwa na maradhi mbalimbali zinapatikana k**a Kisukari, Saratani, Presha, Bawasiri, Vidonda vya tumbo, Tezi dume, Ngiri, Moyo kutanuka, Matatizo ya kibofu na mkojo, Maumivu makali ya nyonga, miguu, mgongo, mifupa, Miguu kuwaka moto na kuvimba, Uvimbe, Aleji, Bandama, Pumu, Matatizo ya kupooza ,Uzazi, Figo, Macho, Meno, Homa ya ini. Uzito na Unene.

Zipo shuhuda nyingi kutoka kwa watu mbalimbali ambao waliteseka kwa muda mrefu wameweza kupona na kupata nafuu baada ya mateso ya muda mrefu kutokana na magonjwa na maradhi yaliyokuwa yanawasumbua.

â–ª Hebu fikiria unapata suluhisho la uhakika la tatizo lako baada ya mateso ya muda mrefu.

â–ª Hebu fikiria ile furaha utakayokuwa nayo baada ya kugundua umepona.

â–ª Utaweza kuokoa fedha zako kwa kupata matibabu ya uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.

â–ª Utaondokana na maumivu ya tatizo hilo kwa kupata suluhisho la uhakika la tatizo hilo.

Tupo Dar-es-Salaam, Na mikoani pia

Tafadhali wasiliana nasi kwa namba ya sim
0652497432
P.S Thamani ya kipimo hiki ni sh 155,000 Lakini Lakini ndani ya mwezi huu utaipata kwa Ofa ya sh 20,000 Tu!

16/10/2023

Address

Majumba Sita
Dar Es Salaam
12106

Telephone

+255746371652

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram