Mtabibu Asilia Tz

Mtabibu Asilia Tz Tiba Asilia-Lishe za kutoka Tanga. Elimu Tiba ya Mitishamba inayotumika sana na kabila la wazigua.

Tiba Asilia zinatambulika na kutegemewa 100%

Tungependa kusikia kutoka kwako, kwa kuwa shabiki na utoe maoni leo!

Fanya hivi leo usiku kabla ya kulala.Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's  kwa elimu zaidi 0684 765 575 Weka p...
27/02/2026

Fanya hivi leo usiku kabla ya kulala.

Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's kwa elimu zaidi 0684 765 575

Weka punje ya kitunguu saumu chini ya mto wako IIli kuzuia nguvu hasi zilizokusudiwa kwako na kukufungulia au kukudhihirishia wabaya wako.

Kabla ya kukiweka chini ya mto wako shika kitunguu saumu mikononi mwako na useme
Ninaondoa jicho baya au (Uchawi) wowote unaolenga maisha yangu Kwa nguvu ya kitunguu saumu, kitunguu saumu kitanifunulia maadui zangu katika ndoto zangu.
Baada ya kumaliza, weka kitunguu saumu chini ya mto wako kwa siku 3 na zingatia ndoto utakazokua unaota kwani unaweza kupokea ishara zilizo wazi.
Baada ya siku 3 chukua kitunguu hicho ulichokua umelalia chimba shimo ukizike.

Hii ni sehemu ndogo sana Katika nguvu ya kitunguu saumu unatakiwa kujua kitunguu saumu kina miujiza mingi sana kwa leo ridhika na hilo.

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

K**A UMETUMIA MKOJO WAKO ULIJUA UNAJISAFISHA KWA KUONDOA NUKSI AU KUWEKA MVUTO KUMBE UMEJIFUNGA BILA KUJUA SASA FANYA IV...
25/02/2026

K**A UMETUMIA MKOJO WAKO ULIJUA UNAJISAFISHA KWA KUONDOA NUKSI AU KUWEKA MVUTO KUMBE UMEJIFUNGA BILA KUJUA SASA FANYA IVI...

Kuona zaidi:
https://www.facebook.com/61552122152175/posts/122297913794070738/?app=fbl

Natoa Tahadhari na matabibu wanaodai mkojo unafungua vifungo vya nuksi & kufungua rizki sio kweli. Mkojo ni najsi ikiwi imetoka basi hutakiwi kuwa nao kalibu unatakiwa kuwa safi.

Vitu vinavyofungua mwili ni vitu visafi k**a bukhuri kheri bali sio uchafu. Nyie mnao oga mikojo yenu ukajua unafungua mwili kumbe mnajitia nuksi na hamtafanikiwa mkiwa wachafu kwakuwa utafukuza kheri zenu wenyewe na kuondoa mvuto.

Vitu vichafu chafu ni safi ya uchawi na shetani. Ukiona mavitu hayana mvuto ni uchawi k**a kuloga kwa kutimia kinyesi au mkojo. Mtu kumtia kimavi asikubalike huwa hutumiwa uchafu wake akionekana aonekana k**a kinyesi au mkojo.

K**a umejaribu kuoga mkojo wako umezidisha kujifunga bila kujua. K**a mambo hayaendi unavifungo unaweza pata bukhuri kheri ka MAFUTA YA DARWESH, MAFUTA YA MVUTO, MAJI DUA, MAFUTA PIGO LA MAJINI.

WALIOGA MKOJO WAO AU WENYE VIFUNGO VYA NUKSI, JISAFISHENI NA MAJI YA DUA..

TAFUTA MAJI YA DUA UTASAIDIKA

MAJI YA DUA
Ni maji yaliyokusanywa kwenye visima, mito, mapango na mvua na kupata kisomo Mujarabu kutoka kwa mashekh zaidi ya 12 kuandaa tiba itakayokuwa Josho la kukinga na wachawi na majini wabaya watembea usiku na mchana.

Maji Yamesomea Dua mchanganyiko ni nyingi za kinabii na Mitume ambazo zimeelezwa kwenye Qurani zaidi ziliomba na waja wema zikawa Josho la kufukuza wachawi na majini. Maji ya dua kwa kufukuza na kukukinga zidi ya mashetani na wachawi.

Faida za Maji ya DUA
1. Hukinga mwili wako zidi ya majini wachawi na wanga
2.Hufungua matego katika miji na nyumba
3.Huvunja mazindiko katika miji na nyumba
4.Husafisha nyota na kupandisha nyota
5.Huongeza mvuto mwilini.
6.Hufungua rizki
7.Huondoa uchawi wa kulishwa mwili.
8. Hufukuza jin mahaba
9.Huzuia chuma uete kwenye biashara
10.Huongeza mvuto wa mapenzi

: Ni maji mazuri kwa wagonjwa wenye maradhi ambayo hayajulikani hospital yote unapona kwa kukukinga na nguvu za kijini na kichawi.

: Kunywa usiku na mchana vifuniko 6. Weka vifuniko 2 Changanya maji ya kuoga oga..itakusaidia kufungua mwili na kuondoa vifungo vya uchawi mwili na kutapika uchawi k**a ulilishwa.

MAJI YA DUA 25000TSH, LOC; MANZESE DSM
WHATSAPP:+255 758 673897

UNASUMBULIWA NA UCHAWI MWILINIAwali wale wanaohitaji dawa zilizo tayari follow account ya Tabibu Marimo Herb's kwa mahit...
25/02/2026

UNASUMBULIWA NA UCHAWI MWILINI
Awali wale wanaohitaji dawa zilizo tayari follow account ya Tabibu Marimo Herb's kwa mahitaji ya tiba zilizo tayari.

Usiku wa ijumaa kuamkia
Jumamosi utakua usiku wa jumamosi mda wa saa 4:00 usiku andaa mshumaa wakijani na yai la kuku wa kienyeji

Washa mshumaa wako kwa manuizi ya kubatilisha uchawi mwilini mwako.

Vua nguo zako na ujisugue na yai kuanzia kichwani kushuka chini hadi miguuni usiache sehemu
Kwa kunuizia kuondoa uchawi mwilini mwako. Usitumie nguvu ukavunja yai.

Ukimaliza weka yai chini. Vaa nguo zako. Kisha chukua kitu cha kubebea yai lako ata karatasi tumia tu.
Nenda kalitupe hilo yai Jalalani au Dampo au kwenye mto wa maji yanayotembea

Rudi kwako bila kugeuka nyuma kisha kalale acha mshumaa uwake hadi uishe.

Asubuhi mabaki ya mshumaa wako kayaweke katika maji yanayotembea.

Hii inafanywa usiku wa jumamosi au jumanne tu.

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

KINGA YA KUZUIA WIZI KATIKA MAKAZI, MASHAMBA AU SEHEMU YA BIASHARA.Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's  kwa e...
25/02/2026

KINGA YA KUZUIA WIZI KATIKA MAKAZI, MASHAMBA AU SEHEMU YA BIASHARA.
Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's kwa elimu zaidi
0684765575

Mahitaji ya Dawa
*Jongoo
*Chombo tupu chenye kifuniko
*Majivu ya kuni za moto wa kupikia

JINSI YA KUANDAA
Chukua chombo tupu, mimina nusu ya majivu ndani yake.
Baada ya hapo, weka jongoo juu ya majivu hayo.
Kisha endelea kujaza majivu mpaka chombo kijae jivu kabisa, jongoo akiwa amezama katikati ya majivu.

Maana yake, chombo kitajaa majivu yote, lakini jongoo atakua katikati yake umefukiwa na majivu.

JINSI YA KUTUMIA
Funga chombo vizuri kisha uzike mahali unapotaka kulinda iwe ni shambani, nyumbani, dukani au karakana.
Mtu yeyote atakayekuja na nia ya kuiba mahali hapo atachanganyikiwa;
atazunguka bila kuona njia ya kurudi,
au atajikuta anafagia fagia bila kujitambua mpaka mwenye mali atokee.

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

MAVI YA NG'OMBEUsisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's  kwa elimu zaidiYamezoeleka kutumika k**a mbolea kwaajili ...
24/02/2026

MAVI YA NG'OMBE

Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's kwa elimu zaidi

Yamezoeleka kutumika k**a mbolea kwaajili ya ustawi wa mimea na chakula cha mifugo. Japo kua mavi ya ngombe yanafaida zaidi katika Ulimwengu wa kiroho.

👉Fusho la kuondoa uchawi mwilini
Unapojifusha kwa mavi ya Ng'ombe k**a una uchawi hasa ule uchawi wa Asili yako unakua unajitibu na kua salama dhidi ya huo ubaya.
Jifushe kwa siku 14 mfululizo.

👉Dawa ya mvi
Kwa wale wenye kusumbuliwa na mvi ambazo sio za uzee.
Chukua mavi ya Ng'ombe yaliyokauka. Uyaloweke katika maji ya uvuguvugu na ujipake kichwani. Subiria kwa dakika 30 hadi lisaa kisha osha na maji safi.

👉Degedege kwa watoto
Chukua mavi ya tembo, maganda ya kitu saumu na mavi ya Ng'ombe
Mfushe mtoto kila siku kwa siku 14 hadi 21 mfululizo. Tatizo la degedege litaondoka na kuisha kabisaa.

👉Ulevi wa pombe au sigara,
Mchanganyie mavi ya Ng'ombe na kuku katika kilevi anachotumia huyo mlevi hakika itasaidia ila k**a ni ulevi wa kurogezewa sio kwa tiba hii.

👉K**a nyumba yako inaandamwa sana na nyoka.
Chukua mavi ya Ng'ombe na uyakandike kuzunguka katika kuta za nyumba yako. Nyoka hawatoingia tena katika makazi yako

Mavi ya Ng'ombe yanafaida lukuki hutumika k**a mvuto,kuvunja maagano, limbawata na mengineo. Kwa leo turidhike na hayo Dr Asili atawaletea faida zaidi na elimu zaidi

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

TAMBIKO LA KUFUNGUA MILANGO YA FURSAUsisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's kwa elimu zaidiAndaa 👉Maji ya mvua na...
24/02/2026

TAMBIKO LA KUFUNGUA MILANGO YA FURSA

Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's kwa elimu zaidi

Andaa
👉Maji ya mvua na maji ya bahari
na maji ya mto. (maji ya aina 3)
👉Ndimu 3
👉viatu vilivyovaliwa (vya zamani)

Mimina maji kwenye ndoo na Kamulia ndimu zote katika maji hayo.
Vaa viatu viatu vya zamani usivae viatu ambavyo unavitumia kisha Dhihirisha Nia zako katika yale unayoyataka.

Ogea maji hayo bila sabuni wala sponchi la kujisugulia maana yake jisugue kwa mikono yako.

Utafanya hivi kila siku usiku kwa siku 5 mfululizo
Na ikifika siku ya tano baada ya kumaliza kuoga chimba shimo na ufukie viatu hivyo.

Kumbuka kipindi unafanya ibada ya tambiko hili usiruhusu mtu yoyote avae viatu hivyo
Katika kipindi chote cha tambiko lako

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

KWA KILA Mwanaume NA Mwanamke.! Dawa zilizotayari Mujarabu muone Tabibu Marimo Herb's Tabibu Marimo Herb's uhakika na ti...
24/02/2026

KWA KILA Mwanaume NA Mwanamke.!

Dawa zilizotayari Mujarabu muone Tabibu Marimo Herb's Tabibu Marimo Herb's uhakika na tiba rasmi.

Kwa wanaume wanaokabiliwa na kukataliwa wanapokuwa wanawatongoza wanawake, na wanawake ambao hawajawahi kutongozwa na mwanaume yeyote, pata mmea ufuatao:

- MAJANI YA LUFYAMBO (MLAZALAZA)
- MAJI YA KISIMA. SIO YA BOMBA

Ponda ponda majani hayo kisha weka kwenye maji kisha oga asubuhi na jioni mara kwa mara. Tatizo limekwisha.

Pia, wanandoa ambao wapenzi wao wanakuwa na hisia za kuchoshwa nao wanaweza pia kuitumia.
Unaweza tumia siku 7 hadi 14

Nb: K**a utaitumia kwa lengo baya ,yaani ukubaliwe na wengi halafu unawaacha , Mimi sitahusika dhambi hiyo .

KWA AJILI YA WATOTO AMBAO WAMECHELEWA KUONGEA AU WANA SHIDA YA KUJIELEZA. AU WATU WALIOPOTEZA UWEZO WAO WA KUMBUKUMBU Da...
24/02/2026

KWA AJILI YA WATOTO AMBAO WAMECHELEWA KUONGEA AU WANA SHIDA YA KUJIELEZA. AU WATU WALIOPOTEZA UWEZO WAO WA KUMBUKUMBU

Dawa iliyo tayari muone Tabibu Marimo Herb's kuna mafuta ya mavuo kwa tiba rasmi.. Au una matatizo yanakusibu ndio utasaidika

Tuendelee.. Rasha rasha zetu..🤔

Je una mtoto ambaye amefikisha umri wa kuzungumza lakini anapata shida kujielezea?
Je una mtoto ambaye anaelewa vizuri anachoambiwa na anafanya kila kitu lakini kuzungumza tu ni shida kwake?
Je, una mtoto ambaye ana aibu sana kuzungumza?

Chakufanya
Chukua kiota cha ndege
Saga kiota hicho mpaka kiwe unga laini. Unaweza kukichoma au usichome muhimu ni kupata unga wake
Changanya unga wa kiota cha ndege na uji au chakula cha mtoto angalau mara moja kwa siku.
Tumia kwa muda wa wiki moja hadi mbili tu.
Mtoto wako atakua vizuri tu katika kuzungumza

JE UNATAKA MVUTO
Chukua kiota cha ndege na pilipili manga viunguze kwa pamoja na upate unga wake.
Changanya katika mafuta yako ya Asili utumie kujipaka kila siku asubuhi wakati unatoka nyumbani kwako.

Au
Chukua kiota cha ndege kiunguze upate kile ambacho ndege nado anaishi. Unguza na kisenya kuni
Changanya unga wa kiota na kisenya kuni.
Tumia kwa kuogea na kujifukiza kwa manuizi unayoyataka

Kiota cha ndege kina maajabu makubwa Katika Elimu ya tiba inategemea tu kiota hicho ni kile kilichotelekezwa na ndege hicho kitafaa zaidi kwa kupambana na uadui mwilini na kujifungua vifungo, kufarakanisha na kumuhamisha Adui yako

Na ukikuta kiota ambacho ndege yupo kitafaa sana kwa mvuto wa mwili na biashara. Kuimarisha mahusiano

Pia ukiokota kiota kilichoanguka chenyewe pia ni tiba kwa wale wanaoweweseka au wenye watoto watundu wakorofi.

Nadhani tukipata wasaa somo hili litakuja kwenu 🙏🙏🙏

Usisahau kufollow page ya kwa elimu zaidi

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

Dakika 45 Kila roundi ya Game, Siri ya Lishe Sahihi kwa Nguvu, Mbegu bora na Utulivu wa Machine.🍌🥥Wanaume wengi wanahang...
24/02/2026

Dakika 45 Kila roundi ya Game, Siri ya Lishe Sahihi kwa Nguvu, Mbegu bora na Utulivu wa Machine.🍌🥥

Wanaume wengi wanahangaika na nguvu za kiume yaani KUWAHI KILELENI? , uchovu sugu, kushuka kwa hamu ya tendo la ndoa bila kujua suluhisho lipo jikoni, au kwenye mfuko wako wa shati...

Siri ni hii..👇

Tafuta Msoniti (Green soni), tumia chai yake mara mbili tu, mara tu unapo amka....

Kitaalamu, Nikiwa k**a Mtabibu bigwa wa lishe Nutritionist...Msoniti ina flavonoids, saponins, na alkaloids ambazo...

↳ Huongeza mtiririko wa damu kwenye viungo vya uzazi..🍆🍑

↳ Huamsha mfumo wa neva na kuongeza stamina 💪

↳ Huimarisha kinga ya mwili na kuondoa sumu mwilini..🛡️

Na...

Kuamka asubuhi ukiwa na nguvu mpya, Mwili mchangamfu, na morali ya kuichapa kiume..🍆

: Kunywa kwa kiasi, usizidishe — Ladha yake kali ndio tiba yake....🩺

Je, Umewahi kujaribu kunywa chai ya msoniti asubuhi kabla ya kifungua kinywa..?

Embu Tuachane na “BOOSTER” Zisizo salama — hebu tuanze kwa pamoja nguvu za tiba asili Sokoni...🫘

Mahitaji ya tiba Asilia Zilizotayari wasiliana nasi kwa no. +255 0684 765 575

By MtabibuAsiliaTz A sound of health | Jifunze na chukua hatua kuboresha afya yako...🩺🫡

Unapata Fedhea kuwa wewe ni  ?  Sasa pata Siri ya Lishe Sahihi kwa kukuza uume wako mpaa inch 12 kamili...Wakuu msikosee...
24/02/2026

Unapata Fedhea kuwa wewe ni ? Sasa pata Siri ya Lishe Sahihi kwa kukuza uume wako mpaa inch 12 kamili...

Wakuu msikosee— Pima uume wako uko inch- ngapi sasa? Una inch-3 utaweza pata inch 3 zingine kuwa 6.. Uume ni lastic band unaweza kukuza kwa njia asilia na kubaki na nguvu zake kwa 100%

↳ Mimea ya Msoniti (mkuza)
↳ Mmea wa msonobali
↳ Mmea uitwao Kikilo
↳ Mdinda dinda
↳ Msamitu
↳ Banji chukua mbili
↳ Dende-Mzunguko bora wa damu...

Katika Maandalizi, Mwili wako unahitaji nishati, maji, na virutubisho vinavyoamsha mfumo wa homoni na mzunguko wa damu... Ili kukuza uume bila madhara

↳ Tende, Ni hanzo bora cha natural glucose, huongeza nishati na stamina ndani ya dakika chache... Pale tu ukuaji wa uume unapo anza

↳ Mdinda dinda, Husaidia kusawazisha potassium, kuzuia maumivu ya misuli na husaidia misuli isichoke mapema... Ukuaji unapoendelea

↳kakilo- saga upate unga wake husapoti soniti katika ukuaji wa uume pale unapoanza kukuza uume wako.

💥UNGA WA Msoniti(Tunda lake), Huongeza hydration na mafuta mazuri yanayowezesha uume kukua na kunenepesha misuli, Pia kuipa Nguvu kudumu kwa muda mrefu bila kuchoka....

↳ Mdinda Dinda, Huchochea hormones za nelviflox za ukuaji wa uune ndani mwili. Pia husidia kunenepesha uume.

↳ Banji na msamitu husaidia kuupa nguvu uume ili ubaki na nguvu zako pale utapokuza uume wako.

MATUMIZI: Mchanganyiko huu huchochea homoni za ukuaji uume ( dopamine), kuruhusu ukuaji wa uume wako na, huimarisha stamina na kuruhusu uume kukua kwenye uwiano kufanya kazi kwa ufanisi wa hali ya juu...

JE..? Unataka Wewe ni KIBAMIA..? Epuka fedhea tiba iliyotayari wasiliana nami sasa +255 0684 765 575

Anza kukuza Uume wako, kuwa na KIBAMIA NI FEDHEA kwako unahitaji maandalizi ya asili ili kukuza uume wako kwa uhakika100%...🫵

Hii ni kwaajili ya wanawake tuK**a mwanaume wako anakusaliti lakini bado unampenda  Chukua:Gamba 1 la konokonoMajani 3 y...
23/02/2026

Hii ni kwaajili ya wanawake tu

K**a mwanaume wako anakusaliti lakini bado unampenda

Chukua:

Gamba 1 la konokono
Majani 3 ya msharifu
Vijiti 3 vya ufagio mpya

Tumia kijiti vya ufagio kuandika jina la mumeo kwenye majani ya msharifu

Tumia ufagio kufunga majani yaani
Tumia hivyo vijiti 3 vya ufagio kufunga hayo majani

Weka ndani ya gamba la konokono.

Kisha zika chini ya mti wowote

Akikusaliti nitafute Dr Asili

Hii usifanye kwa mtu tofauti na mumeo na uwe unampenda kweli na wewe usiwe mchepukaji

Usisahau kufollow page ya Tabibu Marimo Herb's kwa elimu zaidi

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

Unapoishi katika makazi yako na ndani ya makazi hayo kukawa na wadudu hawa chukua hatua hatua haraka ya kutakasa mji wak...
22/02/2026

Unapoishi katika makazi yako na ndani ya makazi hayo kukawa na wadudu hawa chukua hatua hatua haraka ya kutakasa mji wako na kujitakasa wewe mwenyewe pia pia yawekee ulinzi mazingira yako.
K**a ni makazi ya kupanga ikiwezekana hama kwanini pesa yako ikawe adhabu kwako.

👉Mende
Ukiona ndani ya nyumba yako au chumba chako wadudu jamii ya mende wamekua wengi unatakiwa kujua kua mende ni mdudu aliebeba maana yenye kukusaidia wewe kua eneo hilo huenda ni chafu yaani uchafu wa mazingira na k**a umejitahidi kusafisha ila bado wapo ndani na kila ukiwatoa wanarudi tambua kuna uchawi wenye kusababisha Nuksi, mikosi kwa wakazi wa eneo hilo.
Ngumu kupanga maendeleo katika eneo lenye Wadudu hao.

👉Inzi
Unapoona inzi ujue kuna uchafu na k**a umesafisha mazingira yako au umejisafisha wewe mwenyewe lakini Inzi hawaachi kukuandama tambua Inzi kiroho ana uwezo mkubwa sana wa kutambua uchafu na uchafu sio takataka tu uchawi pia unatambulika k**a uchafu na inzi ni miongoni mwa wadudu anaeweza kuuona uchawi na ulipo na yeye yupo. Ukijisafisha ukawa vizuri Inzi wakakuandama chukua tahadhali huenda uchawi upo mwilini mwako.

👉Panya
Ikiwa unaishi katika makazi yenye panya wengi jitahidi usafishe mazingira yako na uweke mpangilio uliomzuri ndani mwako pia dhibiti njia za hao panya wasiweze kuingia katika makazi yako. Na k**a umefanya hivi lakini panya wakawa ndani mwako. Tambua kua kuna uchawi wa chuma ulete ndani mwako yaani ata uwe unapata millions 5 kila mwezi maendeleo yatadumaa tu na usijue wapi pesa zako zinaishia. Kila siku matatizo ili pesa itumike tu, pia panya hutumika na wachawi katika kuchua au kuiba vitu anavyoagizwa na wanga kutoka katika makazi hayo.
Ata kula nguo ili kipande cha nguo hiyo apeleke alipotumwa lengo kumroga mwenye nguo hiyo. Atakula hela ili kuwapelekea wanga waliomtuma ili kuathiri kipato cha mwenye hela hiyo.

👉Mijusi
Ndani ya nyumba yako au chumba chako k**a umeandamwa na mijusi ujue kwamba kila unachofanya au kupanga wabaya wako wanajua kila kitu. Mijusi hutumiwa kwaajili ya kudukua, ushushu, umbea wa kuchukua taarifa sehemu waliopo na kupeleka walipotumwa.

👉Buibui
Unapoona wadudu hawa katika makazi yako tambua fika hakuna kizuizi katika makazi hayo na uchawi upo ndani yake na ukiona zile kambakamba za buibui zinakuzingira mara kwa mara tambua fika makusudio mabaya yaliyoelekezwa kwako yamekufikia chukua hatua ya kujiondoa katika ubaya huo na ujikinge.

👉Paka
Ukiona paka wanakuja sana Katika makazi yako angalia ujaji wake. Kwasababu paka ni kiumbe anaona ubaya na wema. Na hapendi ubaya na akiuona ubaya lazima atoe sauti kali yenye msisitizo wa hatari na anaweza kukuparura k**a utakua umebeba uchawi mwilini mwako au kumfanyia fujo mtu anaembaini kua ni mwanga, pia hubadilika hadi macho anapomuona jini. Shida inakuja katika utambuzi wa mtu aliekaribu na paka huyo mda huo unaweza kumchukia na kumpiga kwa kumwambia mwanga kumbe ameona hao wanga anajaribu kufikisha taarifa kwa uwezo wake ila ubaya unarudia yeye.
Hivyo sehemu yenye paka wakawa wanalia sana usiku ujue sehemu hiyo kuna uchawi unaendelea. Chukua hatua haraka ya kujilinda na kujiepusha.

Zingatia
Wadudu na wanyama ni sehemu ya maisha ya mtu. Katika Ulimwengu wa kiroho wadudu na wanyama ni sehemu ya taarifa. Ulimwengu unawasiliana na Mtu kupitia Ishara mbalimbali ikiwemo za wadudu na wanyama na viumbe wengine.
Usijenge uadui na viumbe hawa ila jenga uelevu wa kuwaelewa ili kuepukana na mabaya na kuvutia mazuri.
Ukiona Mijusi, panya, mende ujue ubaya huo hawajautengeneza wao ila kuna Mtu mahali ndie sababu ya hayo.
Adui yako ni Mtu sio panya. Chukua tahadhali dhibiti mazingira yako na taarifa zako dhidi ya wengine ili kua salama.
Ishi katika mazingira safi hakika Ulimwengu huwasiliana na wale walio safi kimwili, kiroho na mazingira. Ukiwa mchafu huwezi kupata maana ya ishara hizo kwani ata inzi akikuzonga utafikiria sababu ni uchafu wa mwili wako kumbe kuna uchawi ndani yako.
Elimu hii unaipata katika page ya Dr Asili tu.

Usisahau kufollow Tabibu Marimo Herb's kwa tiba iliyo tayari no. 0674 378 647

ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255684765575

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtabibu Asilia Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram