AFYA NI MIMI

AFYA NI MIMI Tunajari Afya Yako Ya Leo, Ya Kesho na Ya Kizazi Kijacho. SISI NI LEO NA KESHO. Tunza AFYA Yako Itunze Ndoto Zako. For Today, For Present & For Future Generations

๐ƒ๐‡๐€๐๐€ ๐๐Ž๐“๐Ž๐…๐” ๐Š๐”๐‡๐”๐’๐” ๐”. ๐“. ๐ˆ (๐Œ๐š๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐ข๐ณ๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ง๐ฃ๐ข๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ค๐จ๐ฃ๐จ) ๐”. ๐“. ๐ˆ ๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ง๐ข? ๐‰๐ž, ๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐ข๐ณ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ž...
30/05/2024

๐ƒ๐‡๐€๐๐€ ๐๐Ž๐“๐Ž๐…๐” ๐Š๐”๐‡๐”๐’๐” ๐”. ๐“. ๐ˆ (๐Œ๐š๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐ข๐ณ๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ง๐ฃ๐ข๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐ค๐จ๐ฃ๐จ) ๐”. ๐“. ๐ˆ ๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ง๐ข? ๐‰๐ž, ๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐ข๐ณ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ž๐ง๐ณ๐ข? ๐€๐ณ๐ฎ๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐”. ๐“. ๐ˆ, ๐ฎ๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐ฎ๐ฉ๐ข?

๐”. ๐“. ๐ˆ - Urinary tract infection ni maambukizi kwenye njia ya mkojo, ni maambukizi ya vimelea vya magonjwa (bacteria) kwenye njia ya mkojo yaani urethra, kibofu cha mkojo, ureter au figo Sehemu kubwa ya maambukizi hutokea sehemu ya chini ya mfumo wa mkojo (urethra na kibofu), asilimia 80-85% ya UTI husababishwa na bacteria aina ya E.coli ambao wanapatikana kwenye utumbo na njia ya haja kubwa k**a normal flora, husaidia kumeng'enya chakula na kufyonzwa virutubisho tumboni .Tatizo linaanza anapohamishwa kutoka eneo la makazi yake kwenda sehemu nyingine ambayo si makazi yake.

๐ƒ๐š๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐”๐“๐ˆ
โž  Maumivu wakati wa kukojoa
โž  Maumivu chini ya kitovu
โž  Kukojoa kila saa (mara kwa mara kuliko kawaida)
โž  Damu wakati wa kukojoa
โž  Homa
โž  Mkojo kuwa na harufu kali
โž  Maumivu kiuno, wakati mwingine.

๐——๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ผ๐—ณ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—จ๐—ง๐—œ

๐”๐“๐ˆ ๐ก๐ฎ๐ฐ๐š๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฐ๐š๐ค๐ž ๐ฉ๐ž๐ค๐ž๐ž ?!
Ukweli; UTI inaweza kupata jinsia zote, japokuwa wanawake wanaambukizwa kwa wingi kuliko wanaume ambapo wanawake 60 kati ya 100 wanapata UTI. Na wanaume 12 kati ya 100. Hii inafanya ionekane k**a ugonjwa wa wanawake pekee. Hutokea sana kwa wanawake kwa sababu ya ufupi wa njia ya mkojo (urethra) ambayo ni sm 4 tofauti na wanaume ambayo ni sm 20, hii inafanya bacteria kushika hatamu haraka kwa wanawake tofauti na kwa wanaume. Maumbile, ukaribu wa njia ya mkojo na njia ya haja kubwa kwa mwanamke.

๐”๐“๐ˆ ๐ฅ๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐ข๐จ๐ง๐ž๐ฌ๐ก๐ž ๐๐š๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข ?!
Ukweli; UTI mara nyingi huwa na dalili k**a maumivu wakati wa kukojoa, kukojoa mara kwa mara. Sio mara zote mtu atakuwa na dalili, mtu anaweza kuwa na vimelea vya ugonjwa kwenye njia ya mkojo lakini asiwe na dalili yoyote ile.

๐‹๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ž ๐๐š๐ฐ๐š ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐”๐“๐ˆ ?!
Ukweli: Watakaokuwa na bacteria kwenye njia ya mkojo lakini hawana dalili hawana ulazima wa kutumia dawa. Wajawazito, wazee, na wenye mpira wa mkojo (catheter) ni lazima watumie dawa wakionekana kuwa na bacteria hata k**a hawatakuwa na dalili husika.

๐”๐“๐ˆ ๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐จ๐ง๐š ๐ฒ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ฐ๐ž ?!
Ukweli; Mtu mwenye dalili za UTI ni vema akatumia dawa husika kwa ajili ya matibabu Watu wasio na dalili kabisa hawatalazimika kutumia dawa na ugonjwa unaweza kuisha wenyewe, na kwa wale wenye tatizo hili sugu wafanye hivo kupata tiba haraka Zaidi kuepusha madhara k**a saratani ,PID n.k.

๐”๐“๐ˆ ๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฆ๐ข๐ณ๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ž๐ง๐ณ๐ข ?!
Ukweli; UTI sio ugonjwa wa zinaa (STIs) hivyo hauwezi kuambukizwa kwa kujamiiana kwani uhusika wa njia ya mkojo kwenye kujamiiana haupo. UTI ni maambukizi kwenye njia ya mkojo, tendo la kujamiiana halihusishi njia ya mkojo kabisa.

๐”๐“๐ˆ ๐ง๐ข ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ณ๐ข๐ง๐š๐š (๐’๐ž๐ฑ๐ฎ๐š๐ฅ๐ฅ๐ฒ ๐ญ๐ซ๐š๐ง๐ฌ๐ฆ๐ข๐ญ๐ญ๐ž๐ ๐ข๐ง๐Ÿ๐ž๐œ๐ญ๐ข๐จ๐ง - ๐’๐“๐ˆ๐ฌ)?!
Ukweli; UTI sio ugonjwa wa zinaa, ingawaje kujamiiana kunaweza kuongeza hatari ya UTI kwa wanawake.
Hivyo ni vema baada ya tendo kunawa kwa maji na kukojoa ili kuondoa vimelea vya magonjwa ambavyo vinaweza kunasa kwenye mlango wa njia ya mkojo na kusababisha ugonjwa. Mwanamke akiwa na UTI haimfanyi mwenza wake kuwa na UTI pia.

"๐”๐ค๐ข๐จ๐ง๐š ๐š๐ง๐š๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐š ๐€๐ณ๐ฎ๐ฆ๐š ๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ž ๐”๐“๐ˆ ๐ฌ๐ฎ๐ ๐ฎ ๐ฌ๐š๐ง๐š" Azuma ni jila la chapa (brand name) ya Azithromycin. Azithromycin ni dawa (antibiotic) kutoka kwenye kundi la Macrolides, inafanya kazi kwa kuzuia ukuaji wa bacteria kisha kuziua. ๐€๐™๐”๐Œ๐€ ๐‡๐€๐ˆ๐“๐ˆ๐๐” ๐”๐“๐ˆ ๐„๐‹๐„๐–๐€ ๐”๐’๐ˆ๐Š๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ.

๐€๐ณ๐ข๐ญ๐ก๐ซ๐จ๐ฆ๐ฒ๐œ๐ข๐ง ni nzuri kwa kutibu magonjwa ya mfumo wa upumuaji k**a Nimonia, mafindofindo (tonsillitis), pharyngitis, maambukizi kwenye masikio na magonjwa ya zinaa k**a Kisonono na PID, na hapa ndipo utata ulipo na watu kudhani kuwa Azuma inatibu UTI, UTI sio ugonjwa wa zinaa nan do maana watu hutumia dawa weeee lakini tatizo hubakia pale pale, karibu kwa tiba thabiti ya kudumu na kuondosha usugu huo na ugonjwa huo mara moja.

Kutokwa uchafu ukeni
Muwasho ukeni
Kuharisha na kutapika
Kutokwa harufu isiyo ya kawaida ukeni na dalili zingine k**a hizi Sio dalili za UTI.

๐๐ž๐ง๐๐š ๐ก๐จ๐ฌ๐ฉ๐ข๐ญ๐š๐ฅ๐ข ๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐ข๐ฐ๐ž ๐ฏ๐ข๐ฉ๐ข๐ฆ๐จ ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ค๐จ ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ง๐š๐ฆ๐ข ๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐ก๐š๐ฉ๐จ ๐ง๐ข๐ญ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐š๐ฃ๐ข๐ซ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ฅ๐š ๐ค๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐š ๐”.๐“.๐ˆ, ๐.๐ˆ.๐ƒ, ๐…๐”๐๐†๐”๐’, ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ซ๐š๐๐ก๐ข ๐ฆ๐ž๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž๐ฒ๐จ. ๐”๐ฌ๐ข๐ฃ๐ข๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ฆ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ฐ๐ž ๐›๐ข๐ฅ๐š ๐ฎ๐ฌ๐ก๐š๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐š๐ค๐ญ๐š๐ซ๐ข ๐ž๐ฅ๐ž๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ฌ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข๐ง๐ข ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฎ๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ค๐จ ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฌ๐ก๐จ๐ฐ๐ž ๐ค๐ฎ๐ž๐ฅ๐ž๐ค๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ฆ๐š๐ซ๐š๐๐ก๐ข ๐ฆ๐š๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐œ๐š๐ง๐œ๐ž๐ซ ๐š๐ฎ ๐ฆ๐š๐ซ๐š๐๐ก๐ข ๐ฒ๐š ๐…๐ˆ๐†๐Ž, ๐ˆ๐๐ˆ ๐ง.๐ค!

๐—ž๐˜‚๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ: ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐ŸŒธ๐Ÿฉบ.๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐—ก๐—ถ๐—ป๐—ถ? ๐Ÿค”๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†...
30/05/2024

๐—ž๐˜‚๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ: ๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐ŸŒธ๐Ÿฉบ.

๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐—ก๐—ถ๐—ป๐—ถ? ๐Ÿค”

๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ni aina ya saratani inayotokea katika seli za shingo ya kizazi, sehemu inayounganisha mfuko wa uzazi na uke. Saratani hii mara nyingi inahusishwa na maambukizi ya virusi vya ๐—›๐˜‚๐—บ๐—ฎ๐—ป ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ถ๐—น๐—น๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ (๐—›๐—ฃ๐—ฉ), ambavyo vinaweza kusababisha mabadiliko ya seli ambazo baadaye zinaweza kuwa saratani.

๐ƒ๐š๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐’๐š๐ซ๐š๐ญ๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐’๐ก๐ข๐ง๐ ๐จ ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐ณ๐š๐ณ๐ข ๐Ÿ“‹โš 

1. ๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ƒ๐š๐ฆ๐ฎ ๐ˆ๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฒ๐š ๐Š๐š๐ฐ๐š๐ข๐๐š:
Kutokwa na damu katikati ya vipindi vya hedhi, baada ya kujamiana, au baada ya kukoma kwa hedhi.

2. ๐Œ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐–๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐š๐ง๐š:
Maumivu au usumbufu wakati wa kujamiana.

3. ๐Š๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐Œ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐˜๐š๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ ๐ฒ๐š ๐Š๐š๐ฐ๐š๐ข๐๐š:
Majimaji ya rangi tofauti na harufu isiyo ya kawaida kutoka ukeni.

4. ๐Œ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ฅ๐š ๐‚๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ง๐š ๐Œ๐ ๐จ๐ง๐ ๐จ:
Maumivu ya mara kwa mara katika eneo la chini ya tumbo na mgongo. ๐Ÿฉป

๐•๐ข๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ง๐š ๐•๐ข๐ก๐š๐ญ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐Ÿงซ๐Ÿ”ฌ

1. Maambukizi ya HPV:
HPV ni sababu kuu ya saratani ya shingo ya kizazi. Kuna aina nyingi za HPV, lakini aina 16 na 18 husababisha asilimia kubwa ya saratani hii.

2. Tabia za Ngono:
Kuwa na washirika wengi wa ngono au kufanya ngono bila kinga huongeza hatari ya maambukizi ya HPV.

3. Kuvuta Sigara:
Kuvuta sigara kunaongeza hatari ya kupata saratani hii.

4. Kingamwili Duni:
Watu wenye kingamwili duni, k**a vile wale walio na HIV/AIDS, wako katika hatari kubwa zaidi.

๐•๐ข๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ง๐š ๐•๐ข๐ก๐š๐ญ๐š๐ซ๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐Ÿงซ๐Ÿ”ฌ

1. Pap Test:
Uchunguzi wa Pap (Pap smear) ni kipimo cha kawaida kinachotumiwa kutambua mabadiliko ya seli za shingo ya kizazi kabla hazijawa saratani.

2. HPV Test:
Kipimo cha HPV hutumika kutambua uwepo wa virusi vya HPV vinavyoweza kusababisha saratani ya shingo ya kizazi.

3. Colposcopy:
Uchunguzi wa kina wa shingo ya kizazi kwa kutumia kifaa maalum kinachoitwa colposcope, ikiwa matokeo ya Pap test si ya kawaida.

๐Œ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐š ๐’๐š๐ซ๐š๐ญ๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐’๐ก๐ข๐ง๐ ๐จ ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐ณ๐š๐ณ๐ข ๐Ÿ’Š๐Ÿฅ

1. Surgery:
Kuondoa sehemu iliyoathirika au shingo yote ya kizazi, kulingana na hatua ya saratani.

2. Radiotherapy:
Matumizi ya mionzi kuua seli za saratani.

3. Chemotherapy:
Matumizi ya dawa za kemikali kuua seli za saratani.

4. Combination Therapy:
Matibabu yanaweza kuhusisha mchanganyiko wa upasuaji, radiotherapy, na chemotherapy.

๐Š๐ข๐ง๐ ๐š๐ญ๐ข๐›๐š ๐ง๐š ๐“๐š๐ก๐š๐๐ก๐š๐ซ๐ข ๐ŸŒŸ๐Ÿ›ก

1. Chanjo ya HPV:
Chanjo dhidi ya HPV inaweza kuzuia aina nyingi za virusi vinavyosababisha saratani ya shingo ya kizazi. Inapendekezwa kwa wasichana na wavulana kabla ya kuwa na shughuli za ngono. ๐Ÿ’‰

2. Pap Smear Mara kwa Mara:
Kufanya uchunguzi wa Pap mara kwa mara kunasaidia kugundua mabadiliko ya seli mapema kabla hazijawa saratani.

3. Kujiepusha na Tabia Hatari:
Kufanya ngono salama na kupunguza idadi ya washirika wa ngono kunaweza kupunguza hatari ya maambukizi ya HPV.

4. Kuacha Kuvuta Sigara:
Kuvuta sigara kunaongeza hatari ya saratani, hivyo kuacha ni hatua muhimu ya kinga.

Saratani ya shingo ya kizazi ni ugonjwa unaoweza kuzuilika na kutibika ikiwa utagunduliwa mapema. Ni muhimu kwa wanawake kufanya uchunguzi wa mara kwa mara na kuchukua hatua za kinga dhidi ya maambukizi ya HPV. Afya yako ni kipaumbele, na kuchukua hatua za tahadhari ni njia bora ya kujilinda.

๐—ง๐˜‚๐—ท๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐˜„๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ. ๐ŸŒธ๐Ÿ’ช

๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Š๐”๐‡๐”๐’๐” ๐Œ๐€๐๐‰๐€๐๐Ž [ ๐‰๐€๐”๐๐ƒ๐ˆ๐‚๐„ ] ๐๐€๐Œ๐๐€ ๐ˆ๐๐€๐•๐˜๐Ž ๐“๐Ž๐Š๐„๐€ ๐๐€ ๐‰๐ˆ๐๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€:๐Œ๐€๐๐‰๐€๐๐Ž ni ngozi na macho kuwa na rangi ya ...
19/03/2024

๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐Š๐”๐‡๐”๐’๐” ๐Œ๐€๐๐‰๐€๐๐Ž [ ๐‰๐€๐”๐๐ƒ๐ˆ๐‚๐„ ] ๐๐€๐Œ๐๐€ ๐ˆ๐๐€๐•๐˜๐Ž ๐“๐Ž๐Š๐„๐€ ๐๐€ ๐‰๐ˆ๐๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€:

๐Œ๐€๐๐‰๐€๐๐Ž ni ngozi na macho kuwa na rangi ya njano inayosababishwa na kuzidi kwa bilirubini mwilini.

๐๐ข๐ฅ๐ข๐ซ๐ฎ๐›๐ข๐ง, ni rangi ya njano inayozalishwa wakati wa kuvunjika kwa seli nyekundu za damu, kwa kawaida huchakatwa na ini na kutolewa kwenye bile [Nyongo]. Wakati Ini linapo kuwa na maambukizi na kuharibika na ndiyo sababu ya kawaida ya homa au kutokea kwa manjano.

Hali hii inaonyeshwa na ngozi na macho kuwa ya manjano, mkojo mweusi, kinyesi kilichopauka, na mwili kuwasha kunaweza kusababishwa na magonjwa kadhaa, pamoja na homa ya ini, vijiwe vya nyongo, na dawa fulani. Inaweza pia kuletwa na hali fulani za homa kali k**a saratani ya ini au maambukizi.

Ni hali ya kawaida inayoathiri watu wengi sana. Katika makala hii tutachunguza ukweli kuhusu homa ya manjano, ili uweze kufanya zaidi na kuchukua maamuzi sahihi kuhusu afya yako.

๐”๐Š๐–๐„๐‹๐ˆ: Ingawa jaundi inaweza kuwa ishara ya hali mbaya lakini sio mbaya kila wakati.

Katika baadhi ya matukio, manjano yanaweza kusababishwa na maambukizi madogo au hali nyingine za ugonjwa, inaweza kuwa ishara ya hali mbaya zaidi ya matibabu k**a vile ugonjwa wa ini, gallstones, au saratani.

Walakini, ikiwa wewe au mtu unayemjua Ana changamoto ya homa ya manjano, ni muhimu kutafuta matibabu kwa sababu inaweza kuwa ishara ya hali mbaya ya kiafya inayohitaji tiba.

๐Œ๐€๐๐‰๐€๐๐Ž ๐ˆ๐๐€๐–๐„๐™๐€ ๐Š๐”๐€๐Œ๐๐€๐“๐€๐๐€ ๐๐€ ๐Œ๐€๐”๐Œ๐ˆ๐•๐” ๐๐€ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐Œ๐๐€๐‹๐ˆ ๐Œ๐๐€๐‹๐ˆ

[ 1 ] Maumivu ya tumbo ya mara kwa mara upande wa kulia chini ya mbavu.

[ 2 ] Mkojo kuwa nyeusi mfano wa soda ya Coca-Cola, Kinyesi kilicho pauka na Ngozi kuwasha.

[ 3 ] Maumivu ya viuongo na mifupa, k**a vile magoti na mwili mnzima.

[ 4 ] Kukosa hamu ya kula na mwili kuushiwa nguvu, Kuhisi kichefuchefu na muda mwengine kupelekea Kutapika.

[ 5 ] Homa kali na joto Kupanda, Tumbo kujaa Gesi lililo ambatana na miungurumo.

๐๐€๐Œ๐๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐Œ๐€๐๐‰๐€๐๐Ž ๐๐€ ๐Œ๐€๐”๐Œ๐ˆ๐•๐” ๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž

[ 1 ] Tumia Dawa salama zisizo na kemikali za kuondoa sumu mwilini.

[ 2 ] Zuiya kutumia kireo yani pombe au dawa zenye kemikali mfano wa Ant-Biotics k**a vile Paracetamol, na dawa za asili miti shamba.

[ 3 ] Fanya mazoezi ili kuvuja jasho kwa wingi kwaajili ya kuondoa sumu mwilini.

[ 4 ] Kula matunda yaliyo na vioxidant kwa wingi, mfano wa matunda ayo Zababi, Matikiti, Ndizi, Parachichi, Nanasi, Embe, Apple na Papai.

[ 5 ] Tumia mboga za majani kwa wingi k**a vile Spinachi, Mchicha, Broccoli, Tembele, Uyoga, Kitunguu Swaumu, Supu ya kuku na samaki.

[ 6 ] Punguza au Acha kutumia Pombe, Vinywaji vyenye kemikali k**a vile Soda na Kula nyama nyekundu.

[ 7 ] Punguza mawazo jiamini kisha jikubali na chukua hatua stahiki kuanza matibabu.

[ 8 ] Tumia juice ya matunda iliyo Tengenezwa kienyeji k**a vile juice ya parachichi, Embe, Nanasi na juice ya Miwa.

๐”๐’๐ˆ๐’๐”๐๐ˆ๐‘๐ˆ ๐Š๐”๐Ž๐๐€ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ - ๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€ ๐Œ๐€๐“๐ˆ๐๐€๐๐” = ๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐Œ๐€๐€๐Œ๐๐”๐Š๐ˆ๐™๐ˆ.

๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐“๐ฎ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ข๐ž - ๐ค๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ญ๐จ๐š ๐”๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ ๐๐€ ๐“๐ˆ๐๐€

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด:Mishipa ya varico...
18/03/2024

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ - ๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—”๐—๐—œ - ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿด:

Mishipa ya varicose, au varicosities veins.

Ni mishipa ya damu iliyovimba na kupinda pinda kwa Kawaida mishipa hii hutokea au kukaa kwenye miguu na wakati mwingine mishipa ya varicose huunda katika sehemu nyingine za mwili tofauti na miguuni k**a vile Vifundoni ikiwa na rangi ya Blue, Zambarau au nyekundu.

Vipuli hivi vya bluu au zambarau kawaida huonekana kwenye miguu, na vifundo vyako.
Inaweza kuambatana na maumivu au kuwasha.

๐’๐€๐๐€๐๐” ๐™๐ˆ๐๐€๐™๐Ž ๐–๐„๐™๐€ ๐‚๐‡๐Ž๐‚๐‡๐„๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐•๐€๐‘๐ˆ๐‚๐Ž๐’๐„ ๐•๐„๐ˆ๐๐’!.

Mtu yeyote anaweza kupata mishipa ya varicose. Sababu fulani huongeza uwezekano wako wa kupata mishipa ya varicose, ikiwa ni pamoja na:

[ 1 ] Umri: Kwa sababu ya mchakato wa kuzeeka, kuta za mshipa na vali hazifanyi kazi vizuri k**a zilivyofanya hapo awali. Mishipa hupoteza elasticity ya kuimarisha mishipa iyo.

[ 2 ] Jinsia: Homoni za k**e zinaweza kuruhusu kuta za mishipa ya miguuni kuanza kuonyesha varicose.

Watu ambao ni wajawazito, wanaotumia kidonge cha kudhibiti uzazi au kutumia njia za uzazi wa mpango au wanaopitia kipindi cha kukoma kwa hedhi wana hatari kubwa ya kupata mishipa ya varicose kwa sababu ya mabadiliko ya viwango vya homoni.

[ 3 ] Kujifungua kwa Oparesheni

[ 4 ] Kutumia njia za uzazi wa mpango

[ 5 ] Unene au mwili mkubwa

[ 6 ] Kuwa na damu nyingi

[ 7 ] Kuwa na damu Ya kuganda au nzito

[ 8 ] Kukoma kwa hedhi

[ 9 ] Historia ya Familia: Hali hii inaweza kurithiwa (huendeshwa katika familia) Genitics Factors.

[ 10 ] Mtindo wa maisha: Kusimama au kukaa kwa muda mrefu hupunguza mzunguko wa damu. Kuvaa nguo zinazobana, k**a vile mikanda au suruali yenye mikanda ya kiunoni kunaweza kupunguza mtiririko wa damu.

[ 11 ] Afya kwa ujumla: Hali fulani za kiafya, k**a vile kuvimbiwa sana au uvimbe fulani, huongeza shinikizo la damu kwenye mishipa.

[ 12 ] Matumizi ya tumbaku: Watu wanaotumia bidhaa za tumbaku wana uwezekano mkubwa wa kupata VARICOSE VEIN.

[ 13 ] Uzito: Uzito wa ziada huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ข๐—ฆ๐—˜ ๐—ฉ๐—˜๐—œ๐—ก๐—ฆ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[ 1 ] Maumivu ya mara kwa mara ya miguu na misuri kukaza

[ 2 ] Saratani au Kansa ya kudumu

[ 3 ] Hupelekea kushindwa kutembea kabisa pindi ugonjwa huu usipo tibiwa mapema.

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga simu au WhatsApp

0719 943 008

๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐“๐ฎ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ข๐ž - ๐ค๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ญ๐จ๐š ๐”๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ ๐๐€ ๐“๐ˆ๐๐€.

๐๐‰๐ˆ๐€ ๐‘๐€๐‡๐ˆ๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐Š๐€๐๐ˆ๐’๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ...... ๐‰๐„ ๐”๐Œ๐„๐Š๐”๐–๐€ ๐”๐Š๐ˆ๐’๐”๐Œ๐๐”๐Š๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐”๐ƒ๐€ ๐Œ๐‘๐„๐…๐” ๐๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐๐ˆ๐‹๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐…๐€๐๐ˆ๐Š๐ˆ๐Ž ๐˜๐€ ๐Š๐”...
15/03/2024

๐๐‰๐ˆ๐€ ๐‘๐€๐‡๐ˆ๐’๐ˆ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐Š๐€๐๐ˆ๐’๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ......

๐‰๐„ ๐”๐Œ๐„๐Š๐”๐–๐€ ๐”๐Š๐ˆ๐’๐”๐Œ๐๐”๐Š๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐”๐ƒ๐€ ๐Œ๐‘๐„๐…๐” ๐๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐๐ˆ๐‹๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐…๐€๐๐ˆ๐Š๐ˆ๐Ž ๐˜๐€ ๐Š๐”๐๐Ž๐๐€?

๐‘๐ž๐ฃ๐ž๐ฌ๐ก๐š ๐€๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ง๐š ๐“๐ฎ๐ฆ๐š๐ข๐ง๐ข ๐ฅ๐š๐ค๐จ ๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข๐ฅ๐จ๐ฉ๐จ๐ญ๐ž๐š.. "๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐Š๐ˆ๐๐€๐“๐ˆ๐๐ˆ๐Š๐€."

๐ˆ๐ค๐จ ๐‡๐ข๐ฏ๐ข...

๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ;
Ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na Sukari nyingi kupita kiasi kwenye Damu.Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingizwa kwa Sukari kwenye Chembe/Seli kutoka kwenye Damu.
Tafiti zinasema; Ugonjwa wa Kisukari unatajwa kuwa ni miongoni mwa magonjwa hatari Sana na husababisha vifo vingi Duniani kote,Kisukari unashika nafasi ya 5 kati ya Magonjwa yanayo sababisha vifo vingi.

Zaidi ya watu milioni 285+ wameathiriwa na wanaugua Kisukari Sawa na 6.6% ya watu wote Duniani.

Kwa Tanzania kiwango cha Watu wanaougua Kisukari ni Asilimia 9 kati ya Watanzania Milioni 61+. Na hizi ni Takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa na Serikari Dar es salaam kupitia msemaji wa Serikari, September 14/2023 = Hakika hali ni mbaya Sana.

๐€๐ˆ๐๐€ ๐Œ๐๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ

1โƒฃ ๐Š๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐œ๐ก๐š ๐Š๐ฎ๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š๐œ๐ก๐จ/๐ˆ๐ƒ๐ƒ๐Œ
(๐ƒ๐ข๐š๐›๐ž๐ญ๐ž๐ฌ ๐ญ๐ฒ๐ฉ๐ž ๐จ๐ง๐ž)

Hii hutokana na kuchangiwa kwa vinasaba (D.N.A) vya Kisukari kutoka kwa MAMA au BABA(Family story).

2โƒฃ ๐Š๐ข๐ฌ๐ฎ๐ค๐š๐ซ๐ข ๐œ๐ก๐š ๐”๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š๐ง๐ข/๐๐ˆ๐ƒ๐ƒ๐Œ.(๐ƒ๐ข๐š๐›๐ž๐ญ๐ž๐ฌ ๐“๐ฒ๐ฉ๐ž ๐“๐ฐ๐จ) .
Hii hutokana na madhara ya Mtindo wa Maisha (Lifestyle).

๐’๐€๐๐€๐๐” ๐™๐€ ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐Š๐”๐๐€๐๐ƒ๐€/๐Š๐”๐™๐ˆ๐ƒ๐ˆ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐ƒ๐€๐Œ๐”.

1โƒฃInaweza kuwa ni Kufeli kwa ogani ya Kongosho na kushindwa kuzalisha Insuline (Insulin Homone) ipasavyo

2โƒฃInaweza kuwa Kukwama kwa Insulin kwenye Damu ( Insulin Resistance)

3โƒฃKuwepo/Kuzidi kwa Mafuta Mabaya Mwilini (High Level of Badly Cholesterol).

4โƒฃKushuka kwa ๐—ก.๐—”.๐—— (๐—ก๐—ถ๐—ฐ๐—ผ๐˜๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฑ๐—ฒ ๐—”๐—ฑ๐—ฒ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐——๐—ถ๐—ป๐˜‚๐—ฐ๐—น๐—ผ๐˜๐—ถ๐—ฑ๐—ฒ)
Hiki ni kimeng'enya kinachopatikana ndani ya Seli za Binadamu na Kazi kubwa ya ๐—ก.๐—”.๐—— ni...

(A) Kubadili Sukari(Glucose) kuwa Nishati ya Mwili (Nguvu) =(To Convert Sugar /Glucose to Energy).

(B) Kuimarisha shuguri za uwepo wa mwili kuwa na nguvu(Body Metabolism)

๐๐จ๐ญ๐ž.
Sio kila mgonjwa wa Kisukari anaweza kupata Kisukari kupitia sababu hizo zote nne tajwa hapo.

Na ndio maana watu wengi wameshindwa kutibu Kisukari ni baada ya kutojua Sababu za Sukari Kupanda na kutoa/Kupata matibabu pasipo kuzingatia mgonjwa Sukari yake inapanda sababu ni nini..!!!

๐’๐ฐ๐š๐ฅ๐ข :

Wewe unatibu Kisukari unalenga sababu ipi iliyokusababishia Sukari kupanda/kupata Kisukari kati ya hizo nne; k**a chanzo cha Sukari kupanda;Au tunatibu tu?

โ–ถHivyo usishangae kuona unafanya jitihada sana kujitibia Kisukari ila bado hauponi.

๐๐€๐€๐ƒ๐‡๐ˆ ๐˜๐€ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐€ ๐”๐†๐Ž๐๐‰๐–๐€ ๐–๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ.

1โƒฃKupungua Uzito gafla.

2โƒฃKupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku(Friquenty urination).

3โƒฃKuhisi Kiu,Kukaukiwa mate na kunywa maji mara kwa mara kuliko kawaida.

4โƒฃKuhisi njaa kila wakati na kula sana.

5โƒฃKupata Ganzi ya miguu,mikono, nk.

6โƒฃKupungua/Kukosa nguvu za kiume na Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa Wanawake.

7โƒฃUdhaifu wa macho kuona/Uoni hafifu.

8โƒฃKupata Uchovu/Mwili Kuchoka Sana.

9โƒฃNgozi kupauka,Maumivu ya kichwa na Kutokwa jasho Sana.Nk.

๐Œ๐ˆ๐Ž๐๐†๐Ž๐๐ˆ ๐Œ๐–๐€ ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐”๐†๐Ž๐๐‰๐–๐€ ๐–๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐๐ˆ...

(1) Kupata Malengelenge au Vidonda visivyopona haraka.

(2) Kuugua Magonjwa ya Figo na hata Figo Kufeli.

(3) Kupata Magonjwa ya Moyo; Pressure,Moyo kutanuka,Kupalalaizi(Stroke), Heart Attack/Heart Failure, nk.

(4) Matatizo ya Ngozi

(5) Kupoteza Kumbukumbu,Pia kuwa na hasira

(6) Miwasho Ukeni na hata U.T.I ya mara kwa mara.

(7) Upungufu wa Nguvu za kiume na Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa Wanawake.

(8 ) Athari katika mfumo wa mmeng'enyo wa Chakula na kusababisha Kukosa Choo au Kupata Choo kigumu (Constipation).

(9) Athari Kiuchumi na hata Kupoteza Maisha (Kifo).

๐—ฃ๐—ฆ. Hivyo huu sio wakati wa kuendelea kuteseka na tatizo la Kisukari kwani Suluhisho limepatikana.!!!!

๐Š๐”๐Œ๐”๐Ž๐๐€ ๐ƒ๐€๐Š๐“๐€๐‘๐ˆ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐”๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ ๐๐ˆ ๐๐”๐‘๐„ ๐Š๐€๐๐ˆ๐’๐€.
๐๐จ๐ง๐ฒ๐ž๐ณ๐š ๐ง๐š๐ฆ๐›๐š ๐ก๐ข๐ข ๐“๐ฎ๐ฐ๐š๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐š๐ง๐ž ๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ ๐š๐ฎ ๐๐ข๐ ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ.

0719 943 008

๐–๐€๐Š๐€๐“๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐”๐๐€๐„๐๐ƒ๐„๐‹๐„๐€ ๐๐€ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐๐Ž๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐“๐ˆ๐๐€๐๐”, ๐ˆ๐“๐€๐€๐Œ๐๐€๐“๐€๐๐€ ๐๐€ ๐”๐’๐ˆ๐Œ๐€๐Œ๐ˆ๐™๐ˆ ๐’๐€๐‡๐ˆ๐‡๐ˆ ๐–๐€ ๐‚๐‡๐€๐Š๐”๐‹๐€ ๐๐€ ๐‹๐ˆ๐’๐‡๐„ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐–๐„๐๐˜๐„ ๐‚๐‡๐€๐๐†๐€๐Œ๐Ž๐“๐Ž ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐’๐”๐Š๐€๐‘๐ˆ ๐‡๐€๐ƒ๐ˆ ๐”๐ˆ๐Œ๐€๐‘๐ˆ๐Š๐„.

๐“๐”๐๐€๐๐€๐“๐ˆ๐Š๐€๐๐€ ๐ƒ๐€๐‘ ๐„๐’ ๐’๐€๐‹๐€๐€๐Œ ๐“๐€๐๐™๐€๐๐ˆ๐€
๐Š๐ˆ๐Œ๐€๐‘๐€ -๐’๐“๐Ž๐ ๐Ž๐•๐„๐‘.

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐“๐”๐Š๐”๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐ˆ๐„.

๐™๐ˆ๐‰๐”๐„ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž (๐๐„๐๐“๐ˆ๐‚ ๐”๐‹๐‚๐„๐‘๐’) ๐๐€ ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€๐Š๐„ ๐Š๐ˆ๐”๐‰๐”๐Œ๐‹๐€ ๐•๐ˆ๐’๐ˆ๐๐Ž๐“๐ˆ๐๐ˆ๐–๐€ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐Ž๐๐€.๐•๐ข๐๐จ๐ง๐๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ni t...
13/03/2024

๐™๐ˆ๐‰๐”๐„ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž (๐๐„๐๐“๐ˆ๐‚ ๐”๐‹๐‚๐„๐‘๐’) ๐๐€ ๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€๐Š๐„ ๐Š๐ˆ๐”๐‰๐”๐Œ๐‹๐€ ๐•๐ˆ๐’๐ˆ๐๐Ž๐“๐ˆ๐๐ˆ๐–๐€ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐Ž๐๐€.

๐•๐ข๐๐จ๐ง๐๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ
ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus.

Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.

Vidonda vya mfumo wa umeng'anyaji chakula vikiwa kwenye tumbo tunaita vidonda vya tumbo '๐†๐š๐ฌ๐ญ๐ซ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ', vikiwa katika duodenum (utumbo mdogo) tunaita '๐——๐˜‚๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ๐—ป๐—ฎ๐—น ๐˜‚๐—น๐—ฐ๐—ฒ๐—ฟ' na vikiwa katika esophagus tunaita ''๐„๐ฌ๐จ๐ฉ๐ก๐š๐ ๐ž๐š๐ฅ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ'.

๐•๐ข๐๐จ๐ง๐๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ฆ๐๐จ๐ ๐จ (๐ƒ๐ฎ๐จ๐๐ž๐ง๐š๐ฅ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ)
Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)

๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข
Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ila vyote ni vile vinavyohusiana na mmengโ€™enyo, vyanzo hivyo ni;

+ Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)

+ Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)

+ Kuwa na mawazo mengi

+ Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi

+ Kunywa pombe na vinywaji vikali

+ Uvutaji wa sigara

+ Kuto kula mlo kwa mpangilio

+ Non-Steroidal Anti Inflammatory Drugs 'NSAIDs' ndio visababishi vikuu mfano decrofenac, ibuprofen.

Bakteria ๐—›.๐—ฝ๐˜†๐—น๐—ผ๐—ฟ๐—ถ wanahusika sana kwa angalau nne ya tano ya vidonda vya tumbo 'Gastric ulcers' & 95% ya 'Duodenal ulcers' ambapo NSAIDs husababisha 20% ya 'Gastric ulcers' na 5% ya 'Duodenal ulcers'

๐—•๐—ฎ๐—ธ๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐—›.๐—ฝ๐˜†๐—น๐—ผ๐—ฟ๐—ถ husababisha kupitia vyakula na maji. Pia hupatikana kwenye mate ya binadamu hivyo inaweza kusambazwa mdomo kwa mdomo wakati mkila denda/kunyonyana midomo.
Bakteria H.pylori huishi kwenye kuta za utumbo na hutengeneza vimeng'enya '๐„๐ง๐ณ๐ฒ๐ฆ๐ž' iitwayo '๐—จ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฎ๐˜€๐—ฒ' inayopunguza athari za asidi kwenye utumbo.

Utumbo hutaka kufidia kiasi cha asidi kinachopotea kwa kutengeneza zaidi na husababisha kukwangua kuta za utumbo.
๐๐จ๐ง-๐’๐ญ๐ž๐ซ๐จ๐ข๐๐š๐ฅ ๐€๐ง๐ญ๐ข ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐ฅ๐š๐ฆ๐ฆ๐š๐ง๐ญ๐จ๐ซ๐ฒ ๐ƒ๐ซ๐ฎ๐ ๐ฌ '๐๐’๐€๐ˆ๐ƒ๐ฌ' ni dawa za kutuliza maumivu ya kichwa, maumivu ya hedhi, kushusha homa na kuondoa maumivu madogo madogo mfano Aspirin, Ibuprofen,Diclofenac & Meloxicam.

Dawa hizi hupunguza uwezo wa kuta za tumbo na kufanya uwe rahisi kushambuliwa na asidi za tumboni hivyo kusababisha vidonda.

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข

Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;

1. Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula

2. Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo

3.Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

4. Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu

5. Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu
mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu

6. Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito

7. Kushindwa kupumua vizuri

8. Kuuma mgongo au kiuno

9. Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia

10. Kukosa usingizi

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ๐—ก๐—˜ ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—”๐— ๐—”;
>Maumivu makali sehemu ya mwili
Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali

> Maumivu makali sehemu kilipo kidonda

> Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi

> Kutapika nyongo

> Kutapika damu au kuharisha

> Sehemu za mwili kupata ganzi

> Kukosa hamu ya kula

> Kula kupita kiasi

> Kusahahu sahau na

> Hasira bila sababu.

Hizo ni baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo. Sio zote zilizotajwa hasa kwa mwenye vidonda sugu kwani hakuna hata kiungo kimoja mwilini atakachokuambia ni kizima.
Madhara Ya Vidonda Vya Tumbo:

๐˜๐š๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐š๐ฒ๐จ ๐ง๐ข ๐ฆ๐š๐๐ก๐š๐ซ๐š ๐ฒ๐š๐ง๐š๐ฒ๐จ๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ž๐ง๐๐š๐ฉ๐จ ๐ฆ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ฏ๐ข๐๐จ๐ง๐๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐š๐ญ๐š๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ญ๐ข๐›๐š ๐ฆ๐š๐ฉ๐ž๐ฆ๐š;

1) Kansa ya tumbo (Gastric cancer).

2) Kutoboka kwa kuta za tumbo na kupelekea kifo (Gastro-intestinal perforation).

3) Kuvuja damu kwa kuta za tumbo (Gastro-intestinal bleeding).

4) Kutapika damu (hematemesis).

5) Upungufu wa damu (anaemia).

6) Kujisaidia kinyesi cheusi k**a cha mbuzi (black or Tarry stool).

7) Kuvurugika kwa mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula (obstructed digestion).

๐—๐—œ๐—ก๐—ฆ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข

1.Kunywa maji mengi

2.Punguza mawazo, fanya mazoezi yatakupunguza na mawazo

3.Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)

4.Usivute sigara

5.Punguza au acha kunywa pombe

6.Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
Lala vizuri kwa muda mzuri, masaa 7 hadi 8.

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข

Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ญ๐—˜๐—ง๐—จ ๐—๐—จ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข

1. Kuondoa maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula na maumivu ya kifua

2. Kutibu na kukinga na kiungulia karibu na chembe ya moyo

3. Huepusha tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

4. Huondoa kichefuchefu na kutapika damu

5. Huimarisha haja kubwa na kuzuia kupata haja ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana au yenye kuchanganyikana na damu

6. Hurudisha hamu ya kula

7. Huimarisha Mfumo wa upumuaji

8. Huondoa maumivu ya mgongo au kiuno

9. Hutibu tatizo la kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kiume

๐—ก๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ;
>Huondoa maumivu makali sehemu kilipo kidonda

> Huimarisha choo na kuondoa kupata choo kwa shida/kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi

>Huzuia kutapika nyongo

> Huzuia kutapika damu au kuharisha

> Hutibu ganzi zinazosababishwa vidonda.

๐— ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜๐—ผ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐Ÿฒ๐Ÿฌ-๐Ÿต๐Ÿฌ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐˜๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—ต๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐—ฎ.
๐Š๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ, ๐ฎ๐ฌ๐ก๐š๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฉ๐ข๐ ๐š/๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ ๐ฉ๐ข๐ ๐š
0719 943 008 ๐ฆ๐๐š ๐ฐ๐จ๐ฐ๐จ๐ญ๐ž ๐š๐ฎ ๐›๐จ๐ง๐ฒ๐ž๐ณ๐š ๐ฅ๐ข๐ง๐ค ๐ก๐š๐ฉ๐จ ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐š ๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ข๐ค๐ฎ๐ฉ๐ž๐ฅ๐ž๐ค๐ž ๐๐ข๐ซ๐ž๐œ๐ญ ๐ฐ๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐š๐ฉ๐ฉ.

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐’๐€๐๐€ ๐“๐”๐Š๐”๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐ˆ๐„ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐Ž๐๐€ ๐๐ˆ ๐”๐‡๐€๐Š๐ˆ๐Š๐€.

18/12/2018

Hellow guyz

Address

Stop Over
Dar Es Salaam
16104

Opening Hours

Monday 08:00 - 06:00
Tuesday 08:00 - 06:00
Wednesday 08:00 - 06:00
Thursday 08:00 - 06:00
Friday 08:00 - 06:00
Saturday 08:00 - 05:45

Telephone

+255719943008

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MIMI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NI MIMI:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram