silyvia_afya_uzazi

silyvia_afya_uzazi SULUHISHO LA AFYA YA UZAZI:

Hii Ni Maalumu Kwa Wanawake Wenye Changamoto Za Fangasi,PID,Harufu mbaya Ukeni Na UTI Sugu...."]✅Yaweza kuwa umepambana ...
06/07/2024

Hii Ni Maalumu Kwa Wanawake Wenye Changamoto Za Fangasi,PID,Harufu mbaya Ukeni Na UTI Sugu...."]

✅Yaweza kuwa umepambana kwa muda mrefu kuondokana na changamoto hizi za k**e bila mafanikio

✅Tunaelewa umuhimu wa kushughulikia masuala ya afya ya uzazi! na kutafuta suluhu kwa maisha yenye furaha na afya bora.

📌Timu yetu ya wataalam iko hapa kutoa huduma na Mwongozo katika kusaidia kushinda matatizo ya,
✅Utokaji Uchafu wenye harufu kali Ukeni
✅PID
✅Miwasho isiyoisha sehemu za siri,
✅Pamoja UTI Sugu

📌Je ungependa kupata mwongozo wa kukusaidia kuondokana na changamoto hizo,kwa njia rahisi na salama zaidi

📢WASILIANA NAMI KUPITIA WHATSAPP NUMBER +255 744 500 668

Wewe ni mjamzito hakikisha unapata pregnancy care.itakusaidia vitu vingi k**a kuwa active wakati wote michoko michoko na...
02/11/2023

Wewe ni mjamzito hakikisha unapata pregnancy care.itakusaidia vitu vingi k**a kuwa active wakati wote michoko michoko na maroroso ya mimba hutasikia zaidi itakusaidia kumkinga mtoto na maradhi, mgongo wazi,mdomo wa sugura na n.k inasaidia mimba isiporomoke au sitoke( miscarriage)Pregnancy care inamchanganyiko wa vitamins nyingi na dawa muhimu kwa mama na mtoto❤️
Tupigie/Watsap 0744500668

hii ni mpaka sa nane kamili mchana nimeona niweke leo nisaidie wanawake wengi zaidi wenye Changamoto zozote za uzazi na ...
01/11/2023

hii ni mpaka sa nane kamili mchana nimeona niweke leo nisaidie wanawake wengi zaidi wenye Changamoto zozote za uzazi na pengine hela ilikuwa inakukwamisha wahii chap Whatsup au nipigie uondoke na package yako

0744500668

Virutubisho vya mjamzito ni vya muhimu sana..pale unapokuwa mama k afu una afya nzuri..huvimbi,huchokichoki..yaaani uko ...
29/10/2023

Virutubisho vya mjamzito ni vya muhimu sana..pale unapokuwa mama k afu una afya nzuri..huvimbi,huchokichoki..yaaani uko fit mwanzo mwisho..Tumia virutubisho utakuja kunishukuru..Nipigie 0744500668

Ukitendewa hakuna mtu anaweza kukuelewa hasa k**a umesubiri kwa miaka Kelele za shangwee0744500668
29/10/2023

Ukitendewa hakuna mtu anaweza kukuelewa hasa k**a umesubiri kwa miaka
Kelele za shangwee0744500668

Booster kiboko kupevusha kukomaza mayai kufanya mayai yakomae vizuri kwa wakati, hamu ya tendo , kuondoa hali ya ukavu u...
29/10/2023

Booster kiboko kupevusha kukomaza mayai kufanya mayai yakomae vizuri kwa wakati, hamu ya tendo , kuondoa hali ya ukavu ukeni, utapata ute clear wa ovulation 🔥🔥
Package hii ipo kwenye punguzo maalumu nipigie sasa hivi utanishukuru matokeo ndani ya siku tatu
0744500668

Sababu Za Mirija Ya Uzazi Kuziba:Kisababishi kikubwa cha kuziba kwa mirija ya uzazi ni tatizo la maambukizi kwenye via v...
28/10/2023

Sababu Za Mirija Ya Uzazi Kuziba:

Kisababishi kikubwa cha kuziba kwa mirija ya uzazi ni tatizo la maambukizi kwenye via vya uzazi ambalo hujulikana kwa kitaalamu k**a Pelvic inflammatory Disease (PID). PID mara nyingi husababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia
DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Kuziba kwa mirija ya uzazi ni hali ambayo huonyesha dalili zake kwa nadra sana. Wanawake wengi hushindwa hata kutambua kuwa wana tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi mpaka pale wanapokuwa wakijaribu kutafuta ujauzito bila mafanikio. Hata hivyo kwa baadhi ya wanawake hali hii inaweza kuonyesha dalili zifuatazo;

1) Maumivu makali wakati wa hedhi.

2) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

3) Maumivu wakati wa kukojoa.

4) Kutokwa na uchafu ukeni.

5) Mirija ya uzazi kuvimba na kujaa maji.

6) Maumivu makali chini ya kitovu.

7) Maumivu ya nyonga.

Package ya FERTILITY BOOSTER ina faida nyingi mnoo hata ujauzito wako na afya kwako na kwa mtoto...na muonekano wako na ...
28/10/2023

Package ya FERTILITY BOOSTER ina faida nyingi mnoo hata ujauzito wako na afya kwako na kwa mtoto...na muonekano wako na ngozi utavutia mnooo....*

Ni package ya doze ya matibabu ambayo ipo katika muundo wa capsule iliyoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu na imetokana na mimea na mitishamba.....
Inasaidia kutibu na kukinga magonjwa mengi sana ya uzazi kwa wanawake

Na hizi ndizo faida zake👇👇👇
🎀Humwezesha mwanamke kuboresha Afya ya uzazi au kupata mimba/ ujauzito kwa;
🎀Huzuia Na kutibu magonjwa ya Mambukizi ya Mfumo wa via vya uzazi (PID)
🎀 Hutibu na kuzuia Mvurugiko Wa Vichocheo vya Uzazi (Hormonal Imbalance)
🎀Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa uzazi (Fibroids)
🎀Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa mayai (Ovarian Cysts)
🎀Tiba ya Maambukizi ya njia ya Mkojo (Urinary Tract Infection, UTI) na Gono (Gonorrhea)
🎀 *Huondoa Makovu kwenye Mfuko wa uzazi yanayosabishwa na matumizi ya vitanzi au njia za Uzazi wa mpango*
🎀Huondoa Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi (Abdominal pain)
🎀Huondoa ukavu ukeni
🎀Huzuia mimba kutunga nje ya kizazi

Hii package ni kiboko ata k**a umetafuta mimba kwa muda mrefu Bila mafanikio. Hakika utaitwa mama kijacho ndani ya mwezi ujao ...... yupo kukusaidia uweze kubeba ujauzito
0744500668

Ni package ambayo hujumuisha dawa nne tofauti , zote ni vidonge ni dose ya miezi miwili tu ! Hazina masharti ! Sio chemi...
23/10/2023

Ni package ambayo hujumuisha dawa nne tofauti , zote ni vidonge ni dose ya miezi miwili tu ! Hazina masharti ! Sio chemicals! Unatumia na kuendelea na shughuli zako k**a kawaida !

Ambazo zinafanya mfumo wako wa uzazi kuwa more fertile yaan uwe rahis kushika ujazuzito kwa

a) kusafisha/kuzibua mirija

b)kuballance hormone zako za uzazi ambapo hupelekea kupevusha mayai, kuzia mimba kutoka mara kwa mara , kuuweka sawa mzunguko wako wa hedhi n.k

Tupigie tukuhudumie acha kuh 0744500668

Blessing from above!Mungu akupe kadri uombavyo. Piga au whatsapp 📞 0744500668
18/10/2023

Blessing from above!
Mungu akupe kadri uombavyo.

Piga au whatsapp 📞 0744500668

KUNA WANAWAKE WA AINA MBILI TOFAUTI📌AINA YA KWANZA NI wanawake wanaoogopa kabisa kujiingiza Vidole ndani ya uke kwa ajil...
17/10/2023

KUNA WANAWAKE WA AINA MBILI TOFAUTI📌

AINA YA KWANZA NI wanawake wanaoogopa kabisa kujiingiza Vidole ndani ya uke kwa ajili ya kujisafisha

AINA YA PILI NI wanawake wale wa siwezi kuoga au kujisafisha sehemu za siri bila Kuingiza vidole na Kuchokonoa mauchafu kule ndani sass ujumbe unawahusu huu...

UKE...Vagina kule ndani KUNAJISAFISHA KWENYEWE wajibu wako chukua maji Mengi na sabuni Isiyo na makali (usitumie medicated soap k**a Dettol hii inaua wadudu walinzi Ukeni) k**a ni lazima utumie sabuni basi ni any non medicated soap.

Nawa vizuri mashavuni huko pitisha maji ya kutosha kabisa kwenye Uke nje muhimu tu,usiingize vidole kule ndan na kujichokonoa.

Madhara ya kuchokonoa au kuingiza ingiza vidole Kule ndani ni kuingiza vijidudu mwenyewe kwenye uke wako vinaweza ingia kwenye mji wako wa uzazi
Ina irritate cervix(shingo ya kizazi) sio salama kwa chembe chembe za shingo ya kizazi......

Mnaotafuta Mtoto wa Kiume, Mbinu Kubwa Ni Siku ya kufanya tendo Ili upate mimba ni hii hapa (dog style)...👉Style ya kuru...
17/10/2023

Mnaotafuta Mtoto wa Kiume, Mbinu Kubwa Ni Siku ya kufanya tendo Ili upate mimba ni hii hapa (dog style)...

👉Style ya kuruhusu UUME uzame sana Ukeni,yaan Deep Pe*******on, na kwenye Hili,

Kujamiiana kwa mtindo wa “Doggy-style” huruhusu uume kuzama ndani sana kwenye sehemu za siri za mwanamke, hivyo kupunguza umbali wa kuogelea wa mbegu dhaifu zinazotengeneza jinsia ya kiume (Y) kulielekea yai la mwanamke ili ujauzito uweze kutungwa.

Pamoja na mtindo huu, tendo la ndoa ni muhimu likifanyika kwenye siku yenye uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ujauzito kuliko siku zingine kulingana na mzunguko wa mwanamke husika.

-

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke,

0744500668

Kimbia na wewe uanze kutumia fertility cleanser.0744500668
12/10/2023

Kimbia na wewe uanze kutumia fertility cleanser.0744500668

Sababu zinazopelekea mwanamke kuwa na uke mkavu zipo nyingi ikiwemo  changamoto za infection k**a U.T.I, FANGASI sugu au...
09/10/2023

Sababu zinazopelekea mwanamke kuwa na uke mkavu zipo nyingi ikiwemo changamoto za infection k**a U.T.I, FANGASI sugu au P.I.D pia mvurugiko wa homoni mwanamke anapokuwa na mawazo mengi hupelekea Hormone zake kuvurugika lakini pia kuanza kushiriki tendo akiwa mdogo wengi wao wanakuwa na uoga unaopelekea ukavu lakini pia ,kushiriki tendo na mtu usije mpenda hupelekea iyo kitu sababu ya kukosa hisia na uyo kijana wa watu........suluhisho lipo kwa sababu zote lakinj hakikisha ukiwa unataka kushiriki mwanaume anamuanda mwanamke Vizuri.

Piga au whatsapp 📞0744500668

CHANZO NA DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA MAYAI (HYDROSALPINX)Mirija ya mayai ni mirija miwili myembamba inayaokuwa katik...
09/10/2023

CHANZO NA DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA MAYAI (HYDROSALPINX)
Mirija ya mayai ni mirija miwili myembamba inayaokuwa katika tumbo la uzazi,Mmoja upande wa kulia na mwingine kushoto,ambayo hulisaidia yai lililopevuka liweze kusafiri kutoka katika mfuko wa yai mpaka kwenye kifuko Cha uzazi.

Kitu chochote kinapojitokeza na kuzuia yai lisiweze kusafiri mpaka kufika kwenye kifuko Cha uzazi (uterus) ,humfanya mwanamke awe na Hali ya kuziba Kwa mirija ama mirija ya mayai.Hivyo ,hali hii isipotiwa mapema humfanya mwanamke kuwa mgumba.

VISABABISHI VYAKE:

Kuziba Kwa mirija ya mayai hutokana na mambo yafuatayo

1.Maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa ( Chlamydia) ,kisonono ,kaswende,n.k

2.utoaji mimba

3 magonjwa ya maambukizi k**a vile
UTI n.k

DALILI ZAKE.
Dalili za kuziba Kwa mirija ya mayai huwa k**a ifuatavyo

1.kutokwa na uchafu sehemu za uke, wenye harufu mbaya

2.kutokwa na uchafu wenye usaa sehemu za uke

3.kubeba mimba nje ya kizazi

4.Maumivu ya mgongo.

5.Maumivu ya kiuno ama tumbo la chini

6.Maumivu ya tumbo la chini upande wa kushoto ama kulia

7.Hedhi ya kubadirika badirika

Hata ivyo, kuziba Kwa mirija ya mayai kunaweza kusababisha matatizo mengine k**a PID, maumivu makali wakati wa hedhi ama wakati wa tendo la ndoa

tunatiba nzuri za asili zenye uwezo wa kuondoa matatizo haya.

Piga au whatsapp 📞 0744500668

Una hii changamoto upo kwenye ndoa au nimwanamke unayetafuta ujauzito.Hivi umewahi kujiuliza ikiwa na PID hata kubeba mi...
06/10/2023

Una hii changamoto upo kwenye ndoa au nimwanamke unayetafuta ujauzito.
Hivi umewahi kujiuliza ikiwa na PID hata kubeba mimba ni ngumu? na hata ukibeba mimba nirahisi naharaka kuharibika
Anza kujitibu uweke sawa mji wamimba mimba utabeba rahisi naharaka na utajifungua miezi inayotakiwa
#0744500668

Tupo ofisini hadi saa kumi na mbili jioni karibu tukuhudumie
03/10/2023

Tupo ofisini hadi saa kumi na mbili jioni karibu tukuhudumie

Watu wengi wanasumbuliwa na magonjwa ya uzazi na wengi wao tatizo lilianza pale tu ulipoanza kutumia njia za uzazi wa mp...
03/10/2023

Watu wengi wanasumbuliwa na magonjwa ya uzazi na wengi wao tatizo lilianza pale tu ulipoanza kutumia njia za uzazi wa mpango k**a sindano kijiti kitanzi vidonge vya majira kumeza p2 n.k wewe shida yako ilianza lini??? Baada ya kuacha kutumia hizi njia umeshindwa kubeba mimba tena kabisa au ukibeba zinatoka tutafute tukusaidie suluhisho la kudumu

Address

Sinza Afrikasana
Dar Es Salaam
16102

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 14:00

Telephone

+255744500668

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when silyvia_afya_uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to silyvia_afya_uzazi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram