Afya yangu

Afya yangu Mshauri wa Afya na Tabibu

08/08/2024
05/03/2024

Tatizo la kulika kwa mifupa na gegedu pamoja na viungo

UJUMBE HUU NI WAMUHIMU SANA KWAKO:Rejesha afya yako na furaha.Tokomeza P.I.D [PELIVIC INFLAMMATORY DISEASE] ndani ya mwe...
18/10/2023

UJUMBE HUU NI WAMUHIMU SANA KWAKO:

Rejesha afya yako na furaha.
Tokomeza P.I.D [PELIVIC INFLAMMATORY DISEASE] ndani ya mwezi mmoja.

P.I.D ni nini:- Pelivic inflammatory diseases ni ugonjwa unao
wakumba sana wanawake, ugonjwa huu husababishwa na bakteria
wabaya kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke [Via vya uzazi].

Maambukizi haya huathiri sana kibofu cha mkojo [Urethira] na mfuko wa uzazi wa mwanamke[Uteras].

Dalili za Pelivic Inflammatory Diseases[P.I.D]

-Maumivu makari ya nyonga au chini ya kitovu

-Kutokwa na maji maji ukeni yenye kuambatana na harufu mbaya

-Maumivu makari wakati wa kushiliki tendo la ndoa

-Kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya ukeni baada ya kumaliza tendo la ndoa na baada ya kuingia katika hedhi.

ATHARI ZITOKANAZO NA P.I.D

-Husababisha ugumba au Utasa

-Mimba kutoka

-Kukosa kabisa hamu ya tendo la ndoa

-Kuvurugika kwa homoni kuwa na hedhi ya muda mlefu ambayo siyo ya kawaida.

-Kuharibika kwa mfuko wa uzazi kuwa na makovu ya vidonda vikubwa vilivyo sababishwa na Bakteria

-Kuzaa mtoto mwenye hitirafu kutokana na kuzalishwa mayai yasiyo bora katika mfuko wa o***y

MATIBABU YA P.I.D

Suluhisho la P.I.D fika katika kituo chetu cha kutolea huduma

njoo upate ushauri na sahaa pamoja na matibabu kamili na sahihi

wasiliana nasi kwakupiga simu/ kupitia whatsapp namba

Phone number:
0746988720

18/10/2023

karibu kujifunza Afya zetu

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya yangu:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram