Afya Ni Uhai

Afya Ni Uhai Karibu kwenye ukurasa huu kupata suluhisho kwa changamoto za magonjwa sugu yasioambukizwa.

04/10/2023

Kukabiliana na changamoto za uzazi kwa wanawake ni safari yenye vipindi vya changamoto nyingi sana na wanawake wengi wamekua wakipitia changamoto hizi k**a wewe unayesoma ujumbe huu.

Changamoto ya mvurugiko wa homoni inaweza kukuletea changamoto kubwa sana katika mwili, kuchanganya mizunguko yako ya hedhi ya kila mwezi na kusababisha wasiwasi mkubwa sana.

Lakini pia Fangasi ukeni ni kikwazo, lakini matibabu hurejesha hali ya uke vizuri kabisa

Lakini changamoto ya kutokupata ujauzito ni changamoto inayovunja moyo, ikitoa machungu na maswali mengi. Katika hali hii, matibabu ya uzazi na msaada wa kiakili ni muhimu.

Kwa upande mwingine hedhi kuvurugika inaweza kuwa kikwazo kingine, ikisababisha wasiwasi na kubadilika kwa hisia. Kuelewa mwili wako na kushirikiana na wataalamu wa afya ni hatua muhimu kuelekea afya bora.

Uvimbe kwenye kizazi ni changamoto nyingine inayowakumba wanawake, ikileta maumivu na wasiwasi kuhusu uzazi. Kupata tiba sahihi na ushauri wa kitaalamu ni muhimu kudhibiti hali hii.

Maambukizi kwenye kizazi (P.I.D) yanaweza kuwa vikwazo vingine, yanayohitaji matibabu sahihi na kuepuka maambukizi mapya.

Katika safari hii ya kutatua changamoto za uzazi, kituo cha afya cha Gcat Clinic kinakualika kwenye vituo vyote vya afya vinavyopatikana nchi nzima kwa ajili ya huduma za vipimo vya afya ya uzazi na matibabu sahihi kwa changamoto zote tajwa za uzazi.

Wasiliana nasi kwa namba 0747712286
Gcat Health Clinic.

Tunajali sana afya yako mwanamke.

OFA YA VIPIMO MFUMO MZIMA WA MWILI.     Shirika la afya kutoka CHINA GCAT HEALTH CARE, Imeanza kutoa OFA kwa wagonjwa wo...
28/09/2023

OFA YA VIPIMO MFUMO MZIMA WA MWILI.
Shirika la afya kutoka CHINA GCAT HEALTH CARE, Imeanza kutoa OFA kwa wagonjwa wote wanaofika katika vituo vyake vyote katika msimu huu wa sikukuu na OFA hii ni ya vipimo mwili mzima kupima magonjwa yote Sugu mwili mzima ni tshs.20,000 tu /=
Tunapima magonjwa yote ya mwili k**a .

KANSA ✅PRESHA✅KISUKARI✅UZAZI KWA MWANAMKE✅UZAZI KWA MWANAUME✅TEZI DUME✅VIDONDA VYA TUMBO✅PUMU✅MOYO✅PID SUGU✅FIGO✅UVIMBE WA AINA BILA UPASUAJI✅

Tunapatikana DAR ES SALAAM MOROGOROMOSHIARUSHAIRINGAMAFINGAMBEYAMWANZADODOMATUNDUMA
.ZANZIBARTANGA NJOMBE

JE ,wewe ni unahitaji kujipatia OFA hii?
Tafadhari tupigie kwa namba hizi za chini ili kuweza kupata Maelekezo zaidi.

📞 0747712286
Au wasiliana nasi kwa Whatsapp kwa kugusa link hapa chini. 👇
https://wa.me/message/5KEOCPH2E7HMM1

AFYA NI UHAI
28/09/2023

AFYA NI UHAI

Address

Majumbasita
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ni Uhai posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram