04/01/2026
USHAURI WA WAZI KWA KIJANA
Kuna vijana wengi leo hii wameoa kwa sababu ya shinikizo na maneno ya familia si kwa sababu ya utayari.
Shinikizo linamfanya kijana akubali kuoa bila ya kuchunguza kwa kina k**a huyu binti anafaa kuwa mke na mama wa watoto wake
Baada ya ndoa ndipo ukweli hujitokeza
K**a mshauri na kiongozi wa kiroho niliyewahudumia watu wengi nimeona matokeo ya hili mara nyingi baada ya ndoa
Vijana wanakuja wakiwa na stress ya ndoa na msongo wa mawazo
Dhamira yangu ni kumsaidia kijana kufanya maamuzi sahihi
Vijana mlioingia kwenye ndoa zenye maumivu bado kuna njia za kujijenga na kufanya maamuzi bora sio
Kijana usiruhusu mashinikizo ya familia, marafiki, yakufanye ufanye maamuzi yatakayoivunja kesho yako trust me
Mtumishi wa Mungu, Mshauri na Mwalimu 0621001042