Saikolojia akili

Saikolojia akili Ni kituo Cha masuluhisho, ni mahali sahihi pakupata ushauri wa saikolojia na ushauri wa kiroho kupitia neno la Mungu
Mawasiliano 0612001042

04/01/2026

USHAURI WA WAZI KWA KIJANA

Kuna vijana wengi leo hii wameoa kwa sababu ya shinikizo na maneno ya familia si kwa sababu ya utayari.

Shinikizo linamfanya kijana akubali kuoa bila ya kuchunguza kwa kina k**a huyu binti anafaa kuwa mke na mama wa watoto wake

Baada ya ndoa ndipo ukweli hujitokeza

K**a mshauri na kiongozi wa kiroho niliyewahudumia watu wengi nimeona matokeo ya hili mara nyingi baada ya ndoa

Vijana wanakuja wakiwa na stress ya ndoa na msongo wa mawazo

Dhamira yangu ni kumsaidia kijana kufanya maamuzi sahihi

Vijana mlioingia kwenye ndoa zenye maumivu bado kuna njia za kujijenga na kufanya maamuzi bora sio

Kijana usiruhusu mashinikizo ya familia, marafiki, yakufanye ufanye maamuzi yatakayoivunja kesho yako trust me

Mtumishi wa Mungu, Mshauri na Mwalimu 0621001042

04/01/2026

Ushindwe mwenyewe

04/01/2026

Usikubali kuikosa hii mikoani tunatuma 0621001042

04/01/2026

HAYA NA MAELEKEZO KWAKO MWANANGU MWAKA HUU USIFANYE CHOCHOTE KINACHOHUSIANA NA PESA HAKIKISHA HIYO PESA INAOMBEWA KWANZA NA UPATE MAELEKEZO, USIANZISHE UJENZI KWENYE HILO ENEO ULILONUNUA HAKIKISHA MAOMBI YA UKOMBOZI WA HIYO ARDHI YANAFANYIKA, USITUME MAOMBI YA KUOMBA KAZI SEHEMU YOYOTE NI MPAKA YAWEKWE WAKFU PAMOJA NA WEWE MWENYEWE KWA KUWA UMEKUWA NI MTU WA KUNIPUUZA ENDELEA KUPUUZA HIVI SIO VITISHO

👉🏽Yohana 2:5 Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni. [ Baraka zimefungwa kwenye utii]

MIMI SIJIHITI MTUME AU NABII ILA NITAKACHO KWAMBIA UKIFANYE NA KUKIISHI

04/01/2026

AGIZA MZIGO POPOTE UNATUMIWA NJOO WHTASAP 0621001042 USIKUBALI UTESEKE

04/01/2026

SIKILIZA HIYO CLIP

03/01/2026

LUNCH TIME

👉🏽Yohana 2:5 Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni. [ Baraka zimefungwa kwenye utii]

MIMI SIJIHITI MTUME AU NABII ILA NITAKACHO KWAMBIA UKIFANYE NA KUKIISHI

02/01/2026
02/01/2026

Ukihitaji hii bidhaa lipa utarudi na shukrani 0621001042

Naomba uwe mwaminifu sitaki matapeli

01/01/2026

USHAURI HUU UNATOKA KWA KIONGOZI WA KIROHO KWENDA KWA MWANANGU

Mpendwa sana

Tumekuwa busy kukimbizana kutafuta maisha jambo ambalo ni muhimu kwa kuwa tunaangaikia mkate wa kila siku

Lakini Mwanangu tunashau upande wa ukiroho na wenyewe unapaswa kuangaikiwa

Watu wengi tunaungua ukiro wa Kiroho

Ukiro wa kiroho ni
nini? ni upungufu wa kinga rohoni huu ni ukimwi wa kiroho kwa yeyote ambaye hana mahali pa kulishwa kiroho na kunywa kupitia neno la Mungu na mafundisho ya kumjenga ukiroho wake mtu huyu ni mgonjwa kiroho

Binadamu tumekuwa na tabia ya kuupendelea kuulishwa mwili kwa vyakula mbali mbali jambo ambalo ni zuri lakini tunasahau kuilisha na roho

Chakula roho ni kusoma neno la Mungu, kupata semina zinazokujenga, mifungo, maonyo na makatazo

Usipokuwa ni mtu wa kuyaadhibu maisha yako ya kiroho kwa kulipa gharama sahau kupata matokeo duniani na mbinguni

Anza sasa uchachelewa

Nashauri huu mwaka 2026 jiwekee utaratibu wa kusoma biblia kila siku sura tatu na pia soma vitabu vingine mbali mbali vya watu mashuhuri, Sikiliza mafundisho mbali mbali yenye tija

Nakuhakikishia hutakuwa ni mtu mkuu katika kizazi chako acha kupoteza muda kwenye magroup yasiyo na tija

Nakushauri ondoka na futa magroup uliyo nayo yasiyo na tija kwako kiriho na kiuchumi bakiza magroup yenye faida tumia bando lako kwa faida na sio hasara

Usikubali siku ipite bila kupitia na kusoma biblia Takatifu, kusikiliza mafundisho kwenye group lenye tija

Jitahidi kuhudhuria midalo na makongamano mbali mbali yanayotoa fursa kiuchumi, kibiashara na kiroho

Kila siku usikose kupitia ukurasa wa whtasaap wa Agape kuna mengi ya kujifunza

Mimi nachagua kubaki Agape je? Wewe mwenzangu?

Usiponielewa leo utanielewa kesho

MOVE INAANZIA HAPA SASA ....WALE WALIO KUKIMBIA KUKUTENGA KUDHARAU KUBEZA KUSIMANGA JALADA LIMEFUNGWA BADILISHA WATU WAK...
01/01/2026

MOVE INAANZIA HAPA SASA ....WALE WALIO KUKIMBIA KUKUTENGA KUDHARAU KUBEZA KUSIMANGA JALADA LIMEFUNGWA BADILISHA WATU WAKUISHI NAO WAPYA...
HATA K**A MPENZI HANAFAIDA BWAGA PEMBENI TAFUTA MWENYE FAIDA KWAKO.

una maoni gani hapo
31/12/2025

una maoni gani hapo

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Saikolojia akili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category