Saikolojia akili

  • Home
  • Saikolojia akili

Saikolojia akili Ni kituo Cha masuluhisho, ni mahali sahihi pakupata ushauri wa saikolojia na ushauri wa kiroho. Mawasiliano 0612001042

28/07/2025

*UMEFIKIA HATUA UNATAMANI KUACHA KUBETI UNASHINDWA USIONE AIBU*

Kwa sasa uwezi kuona madhara ya urahibu wa kubeti kwa sababu ni jambo lililojificha chini ya ndoto za kushinda

Kamari ni ugonjwa unaohitaji matibabu ya afya ya akili na msaada wa Kisaikolojia [Therapy]

Mchezo huu una urahibu mkali unaosababisha matatizo ya afya ya akili

*UKITAKA KUTOKA*

>Unda ratiba madhubuti

>Epuka mazingira ya k**ari

>Kubali mpango wa kupona- mchakato hauendi kwa kasi

>Epuka matumizi yasiyo ya lazima

MADHARA

Itaendeleaaa.......

Pyschologist 0621001042

28/07/2025

*SOMO MAALUM: UMEZIKWA, LAKINI SIO MWISHO WAKO!**

Yesu alipomwita, Lazaro alitoka kaburini alitoka akiwa hai !

Leo Yesu anaita ndoto yako, huduma yako, utambulisho wako – VYOTE VINAAMKA TENA!

Nami mwanangu kwa mamlaka ya Jina la Yesu ninakutamkia kila kilichozikwa kwenye maisha yako kikarejeshewe uhai,

Nasema kikarejeshewe uhai katika jina la Yesu

Wale wanaoamini tu ndio watakaorejeshewa uhai kwa kilichokufa

Wewe unayesoma huu ujumbe nahitaji kuomba na wewe kuna vitu vimekufa na vimezikwa vinahitaji kuitwa vifufuke

Njoo whatsaap uniandikie chapu

Ulikuwa umezikwa Lakini Sio Mwisho
Mungu anakufufua

Mtumishi wa Mungu Silvano 0621001042

27/07/2025

*SHINDA DHAMBI IKIWA BADO NI WAZO*

Dhambi ni mchakato unaoanza na tamaa.

Tamaa inaleta wazo na baada ya wazo kitendo kinafuata.

Dhambi ni matokeo ya wazo kufanyiwa kazi.

Kila unapoona kuna dhambi imetendeka ujue wazo la dhambi lilitangulia.

Baada ya kuwaza ndipo utendaji unafuata.

Kablaya kuzini lilitangulia wazo la kuzini.

KILA ANAYETAKA KUSHINDA DHAMBI LAZIMA KUIWAHI KATIKA HATUA YA WAZO

Ukiyapa sana nafasi mawazo mabaya mwisho lazima uangukie dhambini.

Usiseme ni vigumu kushinda dhambi,

0621001042

27/07/2025

*TANGAZO MAALUMU*

Wangapi Mungu ameshaongea nanyi kuhusu kujiunga na Agape na mnasikia msukumo wa kututembelea

Naomba unitafute maana wakati wenu umefika na kuna jambo Mungu ameandaa kwa ajili yenu

Wahatsapp 0621001042

Mshauri huyu Dada afanyaje
26/07/2025

Mshauri huyu Dada afanyaje

25/07/2025

Nina marafiki zangu wananiambia tungekuwa na pesa tungechangia huduma ya Agape

Lakini laki 2, laki 5, Milioni zinapita mikoni mwao mara kibao

Siku moja niliwakumbusha hizo pesa wanazozipata na kuzitumia ndio mbegu ya kupanda wazitumie ili ziwaletee matokeo makubwa

Anzia hapo kwenye hicho kidogo ulicho nacho hakuna siku vitakuwa vingi,

Kila siku mambo yanaongezeka usitegemee kuwa na vingi ndio uanze kuchangia huu ni uongo

Namba ya ofisi ya kuchangia Airtel Money 0688-082-390 Agape

24/07/2025

*MAUMIVU YA KIMYA YA MWANAUME NA ATHARI ZAKE*

Mwanaume ameumbwa kuwa na moyo wa uvumilivu

Mara nyingi hutunza hisia zake za ndani

Ni nadra mwanaume kulalamika na kuelezea maumivu yake, badala yake huumia kimya kimya bila kupaza sauti

Mateso hayo ya ndani yamewafanya wanaume wengi kuogopa ndoa

Wanaume Wakipata mtoto nje ya ndoa huchagua kutunza mtoto na siyo kuoa mama wa mtoto

*SABABU*

01. Moyo wake ulishaugua bila mtu kuona

02.Kimya chake kilizaa kidonda kisichoonekana kwa macho

>Mwanaume anapoamua kuwa kimya si kwa sababu hana uchungu ni kwa sababu sauti yake haithaminiwi

*NJIA ZA KUKUSAIDIA KIROHO*

01. Mwanaume jipe nafasi ya kupona kupitia maombi na mazungumzo
Usijifiche nyuma ya ukimya

>Tafuta mtu wa kiroho wa kuzungumza naye toa uchungu wako

>Mwanaume sio chombo cha kubeba mzingo tu

Katika jamii maumivu ya wanawake kwenye ndoa yamekuwa yakisikika sana kila mahali

Pychologist, Chaplain Mlezi Agape 0621001042

Kuwa mwaminifu naomba jibu DM kuna jambo nataka tuongee
22/07/2025

Kuwa mwaminifu naomba jibu DM kuna jambo nataka tuongee

21/07/2025
Mwanamke usifanye kosa hili kwa mwanaume wako wa ndoa ukadhani unamkomoa utakuwa umemfungulia mlango adui mwenyewe na ut...
20/07/2025

Mwanamke usifanye kosa hili kwa mwanaume wako wa ndoa ukadhani unamkomoa utakuwa umemfungulia mlango adui mwenyewe na utajuta maisha yako yote

20/07/2025

Huwezi kuyafurahia mapenzi na mtu uliyenaye kwenye mahusiano k**a humtaki ila upo naye kwa sababu fulani tu.

Ni heri ubaki huna mafanikio kisha ukawa unafurahia mapenzi na mtu umpendaye...

Kuliko kuwa na mahusiano ambayo huna furaha nayo...

Unaweza kujipa moyo ya kwamba nitakaza tu kikubwa napata nachokitaka...

Ila nikwambie siyo rahisi hata kidogo kuishi na mtu ambaye huna hisia naye...

Wewe unafikiri ni kwa nini hao hao huanzisha mahusiano pembeni ilihali wao wenyewe walisema tutakaza?

Majibu ni kwamba siyo kazi rahisi kuishi na mtu usiyempenda kihisia...

Sasa ili kuepusha majanga, hakikisha unaingia kwenye mahusiano na mtu umpendaye...

Utumwa wa kihisia ni mbaya...

Mwenye kusikia na asikie...

Pyschologist chaplain na mlezi wa kiroho Agape 0621001042

19/07/2025

Usiache kumpeleka mke wako, mchumba wako, Dada yako, mtegemezi wako kwenye hii semina ya ujasirilimali ili kuepusha kupigwa vibomu

Usikubali mke wako awe goli kipa maisha ya sasa ili msonge mbele inabidi wote mpambane tofauti na hapo wewe mwanaume utakufa mapema

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Saikolojia akili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share