Saikolojia akili

Saikolojia akili Ni kituo Cha masuluhisho, ni mahali sahihi pakupata ushauri wa saikolojia na ushauri wa kiroho kupitia neno la Mungu
Mawasiliano 0612001042

19/11/2025

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

Naiona hatari mbele yako chukua taadhari kwenye mialiko, kwa marafiki zako, kwenye vyakula, kwenye matembezi yako , chukua taadhari

19/11/2025

*USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO*

Naiona hatari mbele yako una marafiki wengi waliokuzunguka wengi wao sio sahihi wana mipango mingi ya kukufelisha na mingine imeshaanza kufanya kazi ila umepigwa upofu wa kiroho usione

Omba Mungu awaondoe

18/11/2025

Mwanangu mpendwa hivi toka umekuwa mwanafamilia ya Saikolojia Akili kuna ushauri na masomo mbali mbali tunayatuma kwenye page hii ujawahi kutendewa na Mungu ushuhuda wowote ambao unaweza kumshukuru

Shukrani yako unaitoa wapi?

K**a hakuna ulichotendewa Anza kutoa dhabihu za shukrani kwa uaminifu utakuja na ushuhuda na shukrani hapa
πŸ‘‡

πŸ‘‰πŸ½Rej:Kumbukumbu la Torati 32:15, 17-18
15 Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke; Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda; Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya, Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.

17 Walitoa sadaka kwa pepo, si Mungu, Kwa miungu wasiyoijua, Kwa miungu mipya iliyotokea siku zilizo karibu, Ambayo baba zenu hawakuiogopa.

18 Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.

πŸ‘‰πŸ½Rej:Kumbukumbu la Torati 8:12-14
12 Angalia, utakapokuwa umekula na kushiba, na kujenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake;

13 na makundi yako ya ng'ombe na kondoo yatakapoongezeka, na fedha yako na dhahabu yako itakapoongezeka, na kila kitu ulicho nacho kitakapoongezeka

14 basi hapo moyo wako usiinuke, ukamsahau Bwana, Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa;

17/11/2025

Umeshawahi kutapeliwa? au kunusurika kutapeliwa

Niambie kwenye coments ilikuwaje

16/11/2025

BREAK NEWS

KESHO UTAITWA KAZINI

15/11/2025

NINATOA NAFASI KWA WEWE ULIYE DAR NA UNATAMANI TUONANE KWAAJILI YA KUPATA MSAADA WA KIROHO (USHAURI, MAOMBI NA KUFUNGULIWA).

ZINGATIA HAYA:
- IWAPO UNAKUJA TAFADHALI NIPE TAARIFA MAPEMA KWA NJIA YA SMS/WHATSAPP YENYE MAJINA YAKO NA TAARIFA KUWA UNAKUJA.

- TUMIA VIZURI NAFASI HII ILI USIMALIZE MWAKA NA MATATIZO AMBAYO MSAADA WAKE UPO KARIBU YAKO TAYARI.

MAWASILIANO
+255[0]621001042

15/11/2025

*HABARI NJEMA*

Wewe mhubiri wa Injili katika huduma zile tano yaani Mchungaji, Mwinjilisti, mtume, nabii, Mwalimu

K**a ni mhubiri na unao wito wa utumishi nitafute tuyajenge mambo ya ufalame

0621001042

15/11/2025

πŸ‘‰πŸ½Rej; Mhubiri 7:9 Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.

Hasira ikizidi na kushindwa kudhibitiwa, inaweza kuleta madhara makubwa kwa afya, mahusiano, na hali ya maisha kwa ujumla.

Zifuatazo ni baadhi ya hasara na madhara ya kuwa na hasira kupita kiasi:

1. Kuathiri Afya ya Moyo

Hasira inapokuwa kali, mwili huzalisha homoni za msongo k**a vile adrenaline na cortisol ambazo huongeza kasi ya mapigo ya moyo na shinikizo la damu.

Kwa muda mrefu, hali hii inaweza kusababisha matatizo ya moyo k**a vile kiharusi, ugonjwa wa moyo, na mshtuko wa moyo.

Watu wenye hasira kali mara nyingi wana hatari kubwa ya kupata magonjwa haya kwa sababu mwili wao unakuwa na msukumo wa kudumu.

2. Kusababisha Msongo wa Mawazo (Stress)

Hasira inaposababisha mvutano wa ndani, inaweza kuchochea hali ya msongo wa mawazo.

Mwili unapotengeza homoni za msongo kutokana na hasira za mara kwa mara, akili inakosa utulivu na amani.

Hii inaweza kuathiri sana hali ya kiakili na kuwa chanzo cha msongo wa mawazo wa kudumu, ambao unaweza kupelekea mtu kushindwa kujihisi vizuri au kufurahia maisha.

3. Kuongeza hatari ya Shinikizo la Damu

Hasira kali inaweza kusababisha ongezeko la muda mrefu la shinikizo la damu.

Wakati wa hasira, mishipa ya damu hubana, na damu hupita kwa nguvu zaidi.

Shinikizo la damu la muda mrefu linahusishwa na magonjwa k**a vile kiharusi, matatizo ya figo, na ugonjwa wa moyo.

Kwa hiyo hasira ya mara kwa mara inaweza kuathiri vibaya afya ya mishipa ya damu na moyo.

4. Kuharibu Mahusiano na Watu wa Karibu

Hasira inayotoka nje kwa ghafla au isiyodhibitiwa inaweza kusababisha mivutano kwenye mahusiano ya kifamilia, urafiki, na kikazi. Ndoa
Watu wanaweza kuhisi woga au kutokukuelewa kwa sababu ya hasira yako, hali inayoweza kusababisha kukosa mawasiliano mazuri.

Mahusiano yanayoharibiwa na hasira husababisha upweke, hali ya kutengwa na watu, na kupungua kwa msaada wa kijamii.

5. Kuchochea Matatizo ya Kiakili

Hasira inaweza kusa

14/11/2025

*USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO*

Mambo yanayozuia sauti ya Mungu ndani.

1. Uchungu uliopitiliza
2. Kutokusamehe

3. Hasira iliyozidi

4. Kisasi

Mambo haya mara nyingi huenda sambamba.

Mambo haya ni mlango mkubwa wa adui kuingia kwenye maisha yako.

Ukigundua kuna kimojawapo ama yote basi kimbilia haraka kwa Mungu.

Watu wengi wanaugua magonjwa yasiyoonekana hospitali waliyapata kupitia mambo haya.

Usione k**a ni haki yako kuwa na uchungu, kutosamehe, kuwa na hasira kali hayo ni mambo yatakuangamiza.

Tafuta msaada wa Mungu mapema sana

13/11/2025

Usimpe mtu maana asiye na maana, maana atasema haina maana,
Kuna wakati walio gizani ukiwapelekea Nuru wataikata watasema ile Nuru ni uchawi unafikiri kwanini ni kwa sababu akili zao ndio giza lenyewe.

β€œNa hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.”
Yohana 3:19

13/11/2025

ROHO MTAKATIFU AMENIWEKEA MZIGO HUU NDANI YA MOYO WANGU. KILA MMOJA UNAPASWA KUUFANYIA KAZI KWA HARAKA

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

1. K**A UPO HAPA NA ULISHAANGUKA NA KURUDI NYUMA NA HUJATENGENEZA MPAKA SASA TAFADHALI NITAFUTE HARAKA
2. K**A UPO HAPA NA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA NA HUNA HAMU NA MAMBO YA KIROHO K**A NENO, MIFUNGO NA IBADA, TAFADHALI NITAFUTE HARAKA
3. K**A UPO HAPA NA HUNA MALEZI RASMI YA KIROHO MPAKA SASA, TAFADHALI NITAFUTE HARAKA
4. K**A UPO HAPA NA UNAPITIA CHANGAMOTO KWENYE MAHUSIANO AU NDOA NA UNATAMANI MUNGU AKUSAIDIE TAFADHALI NITAFUTE HARAKA
5. K**A UNAISHI NJE YA NCHI NA HUKO ULIPO HAUPATI NAFASI WA KWENDA KANISANI AU KUABUDU NA WENGINE AU KUABUDU KABISA TAFADHALI NITAFUTE

K**A UPO KWENYE FUNGU HILI NITAFUTE INBOX KWA HARAKA SANA (LEO LEO)

+255[0]621001042

11/11/2025

KITUO CHA AGAPE SPIRITUAL HEALING INTERNATIONAL CENTRE

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

Tunaendesha semina kwa wanandoa watarajiwa

Semina hizi zitawahusisha wakufunzi wenye uzoefu

Kituo kinatoa ushauri nasaha kwa wanandoa wenye changamoto mbali mbali katika ndoa

Semina hizi zinaratibiwa kituoni kwa mawasiliano tuma ujumbe Whatsaap 0621001042

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Saikolojia akili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category