Afya na Kizazi

Afya na Kizazi Hii ni page Maalum kwa Ajili ya kuweka Usalama wa Afya yako ya Uzazi

19/05/2025

Kwanini Tangawizi?; Tangawizi inapunguza Maumivu ya Tumbo ya Mara Kwa Mara, Inaondoa Hali ya Tumbo Kujaa Gesi mara Kwa mara, hili limethibitishwa Na Taasisi ya PubMed iliyofanya Utafiti Juu Ufanisi wa Tangawizi Katika Kupambana Na Changamoto za Hedhi Hasa Hedhi Nzito Yenye nyamanyama k**a Maini inayoambatana Na Maumivu,

2.Kwanini Manjano?; Manjano Ina Kitu kinaitwa Curcumin ni kiambata ambacho Hupambana Na kuepusha Kizazi na Vivimbe na Kufanya Kizazi chako Kuwa Imara

3.kwanini pilipili Nyeusi?;
Pilipili Nyeusi hii inasaisaidia Manjano Kufanya kazi Kwa Ufanisi yaani Kwa 2000% na Kuchukuliwa Kirahisi Kwenye Mwili wa Binadamu

4.kwanini Limao?; Wote tunafahamu Kazi ya Limao Kwamba Inaondoa Sumu Mwilini hii ni Msaada Kwa Waliotumia Njia Za Uzazi wa mpango Kuondoa Sumu za Njia za Uzazi wa Mpango , LICHA ya Yote Hayo Limao Ina Vitamin C Muhimu Sana Kwenye Uzazi na Inabalance Kiwango Acid Kwenye Mwili wako pia

K**a Umependa Somo Hili Share group link hii Kwa Wengine Nao Wajifunze πŸ™

Ila Uzazi Duuuh! Unaweza kusema Umelogwaaa...Haya Mambo 5 ndiyo yanakufanya Useme umelogwa Kwa Sababu ya Ugumba (Namba. ...
10/12/2024

Ila Uzazi Duuuh! Unaweza kusema Umelogwaaa...

Haya Mambo 5 ndiyo yanakufanya Useme umelogwa Kwa Sababu ya Ugumba (Namba. 5 Nina Uhakika na Wewe inakuhusu Haswaa!)

Naelewa Ni Kwa Sababu Umetumia Madawa Ya Kila Aina ,,,ya Kienyeji na ya hospitali, ya Mitandaoni na Zingine Umetumia Bila Matokeo na Unahisi kupoteza Pesa Nyingi Sana,

Usijali Hilo Sio Kosa Lako

Kwa Sababu...
Haya Mambo matano ndiyo Yanasababisha Wewe Hadi kuhisi Umelogwa
1.Dalili za Hedhi kufanana na Dalili za Ujauzito

Mambo Ya Uzazi Huwa yanachanganya Sana Kuanzia Dalili za Magonjwa ya Uzazi Hadi Dalili za Mimba Mda Mwingine ni Za Uwongo πŸ€”,

Naelewa ushawahi Kuwa na Dalili za Mimba halafu ukapima Nakukuta hakuna Mimba ukajisikia Vibaya na unaogopa hata kupima Kwa hofu ya kukosa Majibu Mazuri Baada ya Kushiriki Siku za Hatari πŸ₯Ή , hapa Lazima useme umelogwa kumbe Sio

2.Miwasho, ukavu ukeni ,Kukosa Kabisa Hamu ya Kushiriki tendo la Ndoa ,,- Kuna Miwasho husababishwa na Pedi unazotumia Unajua ni UTI na Magonjwa ya zinaa kumbe Sio unaharibu Kizazi chako na Dawa Tu
3.Maumivu Ambayo hayaishi na Ukipima utaambiwa hakuna Tatizo,,
Hii inakuchanganya Hadi Unahisi au Bibi MchawiπŸ‘Ί kachukua Nguo Yangu ya Ndani?
4.Unaona Ute Wa Uzazi , unapata Hamu ya Kushiriki tendo umepima hakuna Tatizo lolote Lakini hupati Matokeo ya Ujauzito aaaah hapa Lazima useme umelogwa πŸ˜€
5. Kila Ukipima unaambiwa Homoni zako hazipo sawa , una PID ,una Vivimbe Kwenye Mayai ,una Uvimbe Kwenye kizazi,Mirija Imeziba , wanakupa Dawa unatumia ila Wapi! Lazima ufikirie kulogwa aisee
Acha Nikwambie Ukweli Kila Changamoto ya Kizazi inachanzo na namna yake ya Kutibu Kuna Njia Tofauti za Matibabu Ambazo hata Wewe Mwenyewe unaweza kufuata na Ukapona Magonjwa ya Uzazi k**a , Mvurugiko wa Homoni,UTI Sugu Fangasi Sugu , kushindwa Kubeba Mimba ,

NAKUSHAURI; usitumie Dawa Kwa Mazoea utaharibu

Bonyeza Link πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://chat.whatsapp.com/BXJuMiqE5hjCF2j7EiXDAj

hii uingie Kwenye Group la Whatsapp na Kuwa Miongoni mwa watakao faidika na Darasa ghali na lenye Elimu na masomo mazito ya Uzazi ,

Humo Kuna
1. Njia Zaidi ya 5 Za Kubeba Mimba Kwa Urahisi,
2. Vyakula na matunda 11 yaliyothibitika Kutibu Magonjwa ya Uzazi na Kukusaidia Kubeba Mimba Kwa Urahisi na Haraka
3. Utajua Changamoto inayokusumbua Kwa Urahisi na Kupata Suluhisho Hapo hapo
4. Utaona Maelfu ya Shuhuda za Wanawake waliokuwa na Changamoto za Uzazi zilizoshindikana na Sasa Wanalea Watoto
Darasa hili Watu hulipia Tzs 50,000/= tu,

Ila...

Habari Njema ni Kuwa tutatoa Darasa Hili BUREEE Kwa Watu 150 wa kwanza Watakaoingia Kwenye Group , Kwa Sababu ni Mwisho wa Mwaka

USIINGIE/ USIBONYEZE LINK K**A WEWE SIO MLENGWA WA DARASA HILI

06/02/2024

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Kizazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share