21/12/2023
💊Habar wapendwa njoo tukupe suluhisho la changamoto zote za Afya ya uzaz kwa Mwanamke ushaur tunatoa bure
P.I.D Inasababisha uke kua mkavu na hii inatokana na uchafu uliyoganda kwenye uke ambapo Dalili Zake ni maumivu wakat watendo la ndoa
P.I.D Inasababisha mvurugiko wa hormone ambapo kitaalamu tunaita hormone imbalance ambapo unapata
📌changamoto za period k**a kukosa period , period nyeusi na za mabonge na tarehe kubadilka
📌 Dalili za mimba wakat hauna mimba Mfano kichefuchefu
📌Mabadiliko ya mwili Mfano chunusi
📌 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
P.I.D Inasababisha vivimbe vidovidogo kwenye mayai ambapo Dalili Zake ni maumivu Chin ya kitovu kwenye nyonga upande wa kulia na kushoto mwa tumbo maumivu kwenye kiuno na mgogo
📌💊Unapopata dalili hizo k**a ushapata baabdhi ya hayo madhara ya P.I.D maana yake P.I.D inakomaa kwahyo lazima upate tiba mapema karibu tukuhudumie
Call No:0764281171
No:0764281171