Afya Yangu

Afya Yangu Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA.

+255628361104

๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ - ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜, ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ (๐—ผ๐—ธ๐—ผ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ):Homa ya ini ni hali am...
19/05/2025

๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ - ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜, ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ (๐—ผ๐—ธ๐—ผ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ):

Homa ya ini ni hali ambapo ini (liver) huathirika na kuvimba kutokana na maambukizi ya muda mlefu ya virus vya homa ini bila kutibiwa, au sababu nyingine na hujulikana kitaalamu k**a hepatitis. Kuna aina kadhaa za virus vya homa ya ini:

๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:

Kuna aina mbali mbali ya virus vya homa ya ini, na namna vinavyo sambazwa na kusababisha madhara makubwa k**a vile cirrhosis ya ini, saratani ya ini na kifo:

๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—” (๐—›๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—”):

โœ… Husababishwa na virusi vya Hepatitis A.

โœ… Huenea kupitia chakula au maji machafu.

โœ… Kwa kawaida hupona yenyewe bila kuwa sugu.

๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—• (๐—›๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—•):

โœ… Huenea kupitia damu, ngono, jasho au mama kwenda kwa mtoto katika kipindi cha ujauzito au kuzaliwa.

โœ… Inapo dumu kwa miaka mingi bila matibabu Inaweza kuwa sugu na kusababisha cirrhosis au saratani ya ini (Hepatocellular carcinoma)

๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—– (๐—›๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—–):

โœ… Mara nyingi huenea kupitia damu iliyoambukizwa na jasho.

โœ… Mara nyingi huwa sugu hasa inapo endelea kudumu kwa muda mlefu bila matibabu, homa ya ini C na huweza kuharibu ini taratibu.

๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—— ๐—ป๐—ฎ ๐—˜:

โœ… Maambukizi ya virus vya Homa ya ini D na E hutokea tu kwa watu wenye Hepatitis B (Mgonjwa wa hepatitis B yupo hatarini sana kupata maambukizi ya Hepatitis D na E).

โœ… Maambukizi ya virus vya Homa ya ini E huenea k**a A โ€“ kupitia maji machafu.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ:

โœ… Tumbo kujaa gesi na kuhisi vichomi vya mara kwa mara.

โœ… Vidonda sugu vya tumbo na kuzidi kwa asidi mwilini.

โœ… Uchovu mwingi au uchovu wa mara kwa mara.

โœ… Miwasho ya ngozi hasa majira ya jioni baada tu ya kuvua nguo.

โœ… Maumivu ya tumbo (sehemu ya juu kulia) maumivu ambayo huja na kupotea k**a ugonjwa ukiwa bado upo katika hatua za awali.

โœ… Homa za mara kwa mara na kupungua uzito.

โœ… Macho au ngozi kuwa ya njano (jaundice).

โœ… Tumbo kujaa maji na kukonda sana.

โœ… Kuhusi iichefuchefu mara kwa mara na kutapika.

โœ… Mkojo kuwa wa rangi ya giza au rangi ya njano iliyo kolea.

๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ (๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—”๐—จ ๐—–) ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜:

Matibabu ya homa ya ini, hutegemea na aina ya maambukizi, ukubwa wa tatizo lilipo fikia na afya ya mgonjwa kwa ujumla.

โœ… ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—” ๐—ป๐—ฎ ๐—˜:

Kwa kawaida hupona yenyewe bila msahada wa dawa k**a matibabu.

โœ… ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—›๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€ ๐—• ๐—ป๐—ฎ ๐—–:

Wagonjwa wanaweza kuhitaji msahada wa dawa maalum za antiviral k**a matibabu ya kuondoa maambukizi na kuzuiya saratani na cirrhosis ya ini.

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข:

โœ… Badili mtindo wa maisha, usile nyama nyekundu.

โœ… Usinywe pombe wala kuvuta sigala.

โœ… Epuka msongo wa mawazo wa mara kwa mara.

โœ… Tumia matunda kwa wingi sambamba na mboga za majani.

โœ… Epuka vyakula vyenye kupikwa na mafuta mengi na chumvi nyingi.

๐—ž๐—œ๐—ก๐—š๐—” ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข ๐——๐—›๐—œ๐——๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—” ๐—ก๐—” ๐—•:

โœ… Epuka vyakula na maji machafu.

โœ… Epuka kugusa damu, jasho au vifaa vyenye damu bila kinga.

โœ… Tumia kondomu ili kupunguza hatari ya maambukizi.

โœ… Fikia huduma ya vipimo pata chanjo k**a hauna maambukizi au umeshapona kutoka katika maambukizi.

โš ๏ธ Ikiwa una dalili zozote au unahisi huenda umeambukizwa, ni muhimu kupata vipimo kuthibitisha, ushauri sahihi na matibabu ya mapema.

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—”:- Ni muhimu kufuatilia afya yako kwa kufanya vipimo vya mara kwa mara na kuyafikia matibabu ya mapema pale tatizo linapo bainika, kwani kila sekunde ni muhimu katika kuokoa maisha na kuepuka madhara ya kudumu.

๐— ๐—”๐—›๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ง๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ข: Hospitali, tunapatikana Dar es salaam Mbezi luis.

๐—›๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐——๐—ฎ๐—ธ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜๐—ผ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ฏ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ.

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp: 0628 361 104 +255746484873

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ.

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฒ:๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ...
22/09/2024

๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—จ๐—›๐—œ๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฎ
๐—›๐—”๐——๐—œ ๐Ÿญ๐Ÿฒ:

๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐—• :- Ni virus vinavyo sababisha ugonjwa mkali wa Ini kutokana na uwepo wa maambukizi haya kwa muda mlefu.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

[1] Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto Katika kipindi cha ujauzito au kujifungua.

[2 ] Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI [HEPATITIS].

[3 ] Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

[4 ] Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

[5 ] Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[6 ] Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

[7 ] Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—จ๐——๐—” ๐— ๐—Ÿ๐—˜๐—™๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ [๐—›๐—•๐—ฉ]:

[1 ] Uchovu wa mara kwa mara

[2 ] Kichefuchefu.

[3 ] Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

[4 ] Homa kali.

[5 ] Kupoteza hamu ya kula.

[6 ] Kupungua uzito.

[7 ] Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

[8 ] Macho na ngozi kuwa vya njano.

[7 ] Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ€œ๐—™๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza maambukizi. [Kupona kabisa]

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[1 ] INI kushindwa kabisa kufanya kazi (Falminant liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma au hepatocelluler casinoma).

[3 ] Figo kuferi na kujaa maji kutokana na kuharibika kwa tishu za ogani hizo Hali ambayo inasababishwa na uwepo wa maambukizi Pamoja na Simu mwilini.

[4 ] Maumivu ya tumbo yasiyo Isha.

[5 ] Ascites ya tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6 ] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7 ] Manjano ya macho na ngozi ya kudumu

[8 ] Mgonjwa Kupoteza maisha

๐—ž๐—ช๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ง๐—ข๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ, ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข - ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜.

Unaweza kuwasiliana nasi kwa kupiga Simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp

0628 361 104

๐Ÿ“ž +255746484873

๐—ช๐—”๐—ž๐—”๐—ง๐—œ ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ž๐—จ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐— ๐—”๐—”๐—Ÿ๐—จ๐—  ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—˜๐—ข ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—”๐—ฅ๐—”๐—ž๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ:

๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐] ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐–๐ˆ๐Š๐ˆ  ๐Ÿ๐Ÿ:Rejesha afya na tumaini jema la maisha yako:HOMA YA INI INATIBIKA:...
07/03/2024

๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ [ ๐—›๐—˜๐—ฃ๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ ๐] ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐–๐ˆ๐Š๐ˆ ๐Ÿ๐Ÿ:

Rejesha afya na tumaini jema la maisha yako:
HOMA YA INI INATIBIKA:

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

[1] Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

[2 ] Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[3 ] Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

[4 ] Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

[5 ] Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[6 ] Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

[7 ] Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

๐๐€๐€๐ƒ๐‡๐ˆ ๐˜๐€ ๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐ˆ๐“๐Ž๐Š๐€๐๐€๐™๐Ž ๐๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ:

[1 ] Uchovu wa mara kwa mara

[2 ] Kichefuchefu.

[3 ] Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

[4 ] Homa kali.

[5 ] Kupoteza hamu ya kula.

[6 ] Kupungua uzito.

[7 ] Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

[8 ] Macho na ngozi kuwa vya njano.

[7 ] Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ€œ๐—™๐˜‚๐—น๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—น๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ ๐—ณ๐—ฎ๐—ถ๐—น๐˜‚๐—ฟ๐—ฒโ€.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza virus wote. [Kupona kabisa]

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

[1 ] INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma).

[3 ] Figo kuferi na kujaa maji

[4 ] Maumivu ya tumbo yasiyo isha

[5 ]Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6 ] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7 ] Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha

[8 ] Mgonjwa Kupoteza maisha

๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐— ๐—จ๐—ข๐—ก๐—” ๐——๐—”๐—ž๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—›๐—จ๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—˜๐—ช๐—” ๐—•๐—จ๐—ฅ๐—˜...

Bonyeza namba hii kuwasiliana nasi kupitia WhatsApp au kupiga simu

0628 361 104

๐Ÿ“ž +255628361104

๐—ช๐—”๐—ž๐—”๐—ง๐—œ ๐—จ๐—ก๐—”๐—ฃ๐—ข ๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—จ๐— ๐—œ๐—” ๐——๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฃ๐—˜๐—ช๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—•๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ, ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—˜๐—ข ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—”๐—ฅ๐—”๐—ž๐—” ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ:

๐“๐”๐๐€๐๐€๐“๐ˆ๐Š๐€๐๐€ ๐ƒ๐€๐‘ ๐„๐’ ๐’๐€๐‹๐€๐€๐Œ - ๐Š๐ˆ๐Œ๐€๐‘๐€ - ๐’๐“๐Ž๐ ๐Ž๐•๐„๐‘:

- ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ๐—•๐—จ ๐—ง๐—จ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—œ๐—˜ -

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA P.I.D, U.T.I SUGU, MIWASHO, UKE KULEGEA, MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI, NYONGA NA UKE MKA...
16/02/2024

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA P.I.D, U.T.I SUGU, MIWASHO, UKE KULEGEA, MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI, NYONGA NA UKE MKAVU.

Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa na ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya mfumo wa uzazi kwa asilimia 100%. K**a ifuatavyo:.

1โƒฃ Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2โƒฃ Inatibu Fangasi sugu uke mkavu, na U.T.I sugu

3โƒฃ Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D sugu

4โƒฃ Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5โƒฃ Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6โƒฃ Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.

7โƒฃ Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.

8โƒฃ Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango) na kiuno.

9โƒฃ Inaondoa michubuko ukeni.

NB: HAINA MADHARA NI DAWA LISHE NA MMEA SALAMA.

Epuka aibu sasa fika ofisin kwetu Wasiliana nami kwa WhatsApp.

๐Ÿ“ž +255628361104

Na shuhuda zinazidi kuongezeka kilasiku.

Tunapatikana Dar es Salaam Kimara stop over.

0628 361 104

THAMANI YA DOZI LI ELFU 45.

TZS.45,000 /=

_KARIBU SANA_

OKOA FIGO YAKO  PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA FIGO KUFELI Acha kuhatarisha maisha yako kwa kufanyiwa Dayalisis.Figo ni mio...
02/02/2024

OKOA FIGO YAKO

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA FIGO KUFELI

Acha kuhatarisha maisha yako kwa kufanyiwa Dayalisis.

Figo ni miongoni mwa kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu Kutokana na kazi zake.

BAADHI YA KAZI ZINAZO FANYWA NA FIGO

- Kuchuja Damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini mfano wa mabaki ayo UREA, URIC ACID NA AMMONIA

- Kudhibiti shinikizo la damu kupitia mfumo wa renini - angio Tensin

- Kudhibiti na kuhifadhi Virutubisho na maji kisha kuondoa mabaki kupitia mkojo

[[= KUMBUKA -]]

Figo inapo feli na kazi zote izo zina simama na hatimae kumpelekea binadamu kuwa hatarini na uhai wake

MADHARA YA KUFANYIWA DAYALISISI NA FIGO KUFELI

- Kupumua kwa shida na kifua kubana

-Miguu au Uso kuvimba

- Kupata maambukizi ya magonjwa k**a vile HIV na Virus vya Hepatitis B

- Kuwa na damu ISIYO na Virutubisho

- Ni rahisi figo kufa baada tu ya kufikia stage 3 adi 4 na mwisho hufika stage 5 ambayo ni hatua ya mwisho na mgonjwa huitajika kufanyiwa Transplants (Kupandikizwa figo nyengine) au kupoteza maisha.

- Kutokula baadhi ya vyakula

- Mwili kudhohofika na kuishiwa nguvu na mwonekano.

SABABU ZA KUFANYIWA DIALYSIS

- Kuondolewa Sumu mwilini kwanjia ya Mashine

- Kuisaidia figo katika uchujaji na uondoaji wa sumu kwenye damu au mwilini.

FAIDA YA KUTUMIA DAWA ZETU KATIKA KUIMARISHA AFYA YA FIGO NA MWILI KIUJUMLA.

- Kuondoa Presha au shinikizo la Damu.

- Kurejesha afya ya Moyo kwa wenye moyo Mpana au wenye Tundu.

- Kuwezesha moyo uweze Kusukuma Damu vizuri pasipo na changamoto yoyote

- Kuchuja sumu pasipo mgonjwa kuathirika na chochote katika afya yake na figo.

- Kuondoa Maji machafu na Protein isiyo hitajika kwenye damu.

- Kuongeza Virutubisho kwenye damu na kumfanya mgonjwa ajisikie amani na mwenye afya bora.

- Kulinda figo, INI, kongosho na Mwili kiujumla kutokana na magonjwa mengine Nyemelezi.

- kuimarisha afya ya figo kwakuliwezesha kufanya kazi zake vizuri na Kurejesha cell za figo zilizo kufa na ziweze kurudi tena kwaajili ya matumizi zaidi.

- Kuondoa Cholesterol na kuzibua mishipa ya damu iliyo ziba.
- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - -

KARIBU KATIKA TIBA KWA NJIA SALAMA NA YA MUDA MFUPI ISIYO NA MADHARA.

Tunapatikana Dar es Salaam - Tanzania.

Kwa mawasiliano zaidi usisite kuwasiliana nasi kupiga simu au whatsapp

0628 361 104

+255628361104

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI  12 - Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO - - HOMA YA INI INATI...
24/01/2024

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI 12

- Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO -

- HOMA YA INI INATIBIKA -

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

(1) Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

(2) Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(3) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

(4) Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.

(5) Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(6) Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

(7) Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

BAADHI YA DALILI ZITOKANAZO NA HOMA YA INI:

(1) Uchovu wa mara kwa mara

(2) Kichefuchefu.

(3) Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

(4) Homa kali.

(5) Kupoteza hamu ya kula.

(6) Kupungua uzito.

(7) Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

(viii) Macho na ngozi kuwa vya njano.

(9) Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu mapema.
Hii hatua huitwa โ€œFulminant liver failureโ€.

- - - - - - - - - - - - - - - - -

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza virus wote. [Kupona kabisa]

BAADHI YA MADHARA YATOKANAYO NA HOMA YA INI

[1 ] INI kushindwa kufanya kazi (liver failure).

[2 ] Saratani ya ini (hepatoma).

[3] Figo kuferi na kujaa maji

[4] Maumivu ya tumbo yasiyo isha

[5]Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

[6] Njaa ya mara kwa mara na kali.

[7] Kifo

VIPIMO, CHANJO NA KUMUONA DAKTARI HUTOLEWA BURE...

Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp au kupiga simu

0628 361 104

๐Ÿ“ฒ+255628361104
... Mgonjwa hulipia tu Ghalama ya Dozi...

OKOA FIGO YAKO  PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA FIGO KUFELI Acha kuhatarisha maisha yako kwa kufanyiwa Dayalisis.Figo ni mio...
19/01/2024

OKOA FIGO YAKO

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA FIGO KUFELI

Acha kuhatarisha maisha yako kwa kufanyiwa Dayalisis.

Figo ni miongoni mwa kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu Kutokana na kazi zake.

BAADHI YA KAZI ZINAZO FANYWA NA FIGO

- Kuchuja Damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini mfano wa mabaki ayo UREA, URIC ACID NA AMMONIA

- Kudhibiti shinikizo la damu kupitia mfumo wa renini - angio Tensin

- Kudhibiti na kuhifadhi Virutubisho na maji kisha kuondoa mabaki kupitia mkojo

[[= KUMBUKA -]]

Figo inapo feli na kazi zote izo zina simama na hatimae kumpelekea binadamu kuwa hatarini na uhai wake

MADHARA YA KUFANYIWA DAYALISISI NA FIGO KUFELI

- Kupumua kwa shida na kifua kubana

-Miguu au Uso kuvimba

- Kupata maambukizi ya magonjwa k**a vile HIV na Virus vya Hepatitis B

- Kuwa na damu ISIYO na Virutubisho

- Ni rahisi figo kufa baada tu ya kufikia stage 3 adi 4 na mwisho hufika stage 5 ambayo ni hatua ya mwisho na mgonjwa huitajika kufanyiwa Transplants (Kupandikizwa figo nyengine) au kupoteza maisha.

- Kutokula baadhi ya vyakula

- Mwili kudhohofika na kuishiwa nguvu na mwonekano.

SABABU ZA KUFANYIWA DIALYSIS

- Kuondolewa Sumu mwilini kwanjia ya Mashine

- Kuisaidia figo katika uchujaji na uondoaji wa sumu kwenye damu au mwilini.

FAIDA YA KUTUMIA DAWA ZETU KATIKA KUIMARISHA AFYA YA FIGO NA MWILI KIUJUMLA.

- Kuondoa Presha au shinikizo la Damu.

- Kurejesha afya ya Moyo kwa wenye moyo Mpana au wenye Tundu.

- Kuwezesha moyo uweze Kusukuma Damu vizuri pasipo na changamoto yoyote

- Kuchuja suma pasipo mgonjwa kuathirika na chochote katika afya yake na figo.

- Kuondoa Maji machafu na Protein isiyo hitajika kwenye damu.

- Kuongeza Virutubisho kwenye damu na kumfanya mgonjwa jisikie amani na mwenye afya bora.

- Kulinda figo, INI, kongosho na Mwili kiujumla kutokana na magonjwa mengine Nyemelezi.

- kuimarisha afya ya figo kwakuliwezesha kufanya kazi zake vizuri na Kurejesha cell za figo zilizo kufa na ziweze kurudi tena kwaajili ya matumizi zaidi.

- Kuondoa Cholesterol na kuzibua mishipa ya damu iliyo ziba.
- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - -

KARIBU KATIKA TIBA KWA NJIA SALAMA NA YA MUDA MFUPI ISIYO NA MADHARA.

Tunapatikana Dar es Salaam - Tanzania.

Kwa mawasiliano zaidi usisite kuwasiliana nasi kupiga simu au whatsapp


0628 361 104

+255628361104

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI  12 - Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO - - HOMA YA INI INATI...
17/01/2024

TOKOMEZA HOMA YA INI [Hepatitis B] NDANI YA WIKI 12

- Rejesha afya na tumaini jema la maisha YAKO -

- HOMA YA INI INATIBIKA -

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-

(1) Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

(2) Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(3) Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.

(4) Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya homa ya ini.

(5) Kunyonyana Ndimi Dendaโ€™ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

(6) Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.

(7) Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba.

Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.

BAADHI YA DALILI ZITOKANAZO NA HOMA YA INI:

(1) Uchovu wa mara kwa mara

(2) Kichefuchefu.

(3) Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu.

(4) Homa kali.

(5) Kupoteza hamu ya kula.

(6) Kupungua uzito.

(7) Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

(viii) Macho na ngozi kuwa vya njano.

(9) Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna kundi dogo la wagonjwa wa homa ya ini hupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu mapema.
Hii hatua huitwa โ€œFulminant liver failureโ€.
- - - - - - - - - - - - - - - - -

WATU WANAO HITAJIKA KUPIMA HOMA YA INI

(1) Watu wote wanaotumia dawa za kulevya na kujidunga.

(2) Wafanyakazi katika sekta ya afya.

(3) Watu wote wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi.

(4) Watu wote ndani ya familia wanaoshi na ndugu aliyeambukizwa virusi vya homa ya ini.

(5) Watu wote wanaotumia dawa za kufubaza kinga ya mwili (immunosuppressive therapy)

(6) Watu wote wenye ugonjwa wa figo wanahitaji kuanza dialysis.

(7) Akina mama wajawazito wote.

(viii) Wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wenzao.

CHANJO YA HOMA YA INI NCHINI TANZANIA

Makundi ambayo ni lazima kupatiwa chanjo ya homa ya ini pamoja na;

(1) Watoto.

(2) Watu wote wanaotumia dawa za kulevya na kujifungua.

(3) Watu wote wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi.

(4) Watu wote ndani ya familia wanaoshi na ndugu aliyeambukizwa virusi vya homa ya ini.

(5) Watu wote wanaotumia dawa za kufubaza kinga ya mwili (immunosuppressive therapy).

(6) Wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wenzao.

(7) Watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

(viii) Watu wote ambao wana mpenzi zaidi ya mmoja ndani ya miezi 6.

(9) Watu wenye maradhi ya kudumu ya ini.

(10) Watu wengine wote wanahitaji kujikinga dhidi ya virusi vya homa ya ini.

Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.

Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 adi 16 humaliza virus wote. [Kupona kabisa]

BAADHI YA MADHARA YATOKANAYO NA HOMA YA INI

๐Ÿ‘‰ INI kushindwa kufanya kazi (liver failure).

๐Ÿ‘‰ Saratani ya ini (hepatoma).

๐Ÿ‘‰ Figo kuferi na kujaa maji

๐Ÿ‘‰ Maumivu ya tumbo yasiyo isha

๐Ÿ‘‰ Tumbo, Sura na miguu kuvimba.

๐Ÿ‘‰ Njaa ya mara kwa mara na kali.

๐Ÿ‘‰ Kifo

CHANJO NA KUMUONA DAKTARI HUTOLEWA BURE katika clinic YETU..

Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp au kupiga simu

0628 361 104

๐Ÿ“ฒ+255628361104
... Mgonjwa hulipia tu Ghalama ya Dozi...

_Soma hadi mwisho itakusaidia._ *MADHARA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO NA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA P2(POSTINOR2)*โ–ถ๏ธ Huathir...
17/01/2024

_Soma hadi mwisho itakusaidia._

*MADHARA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO NA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA P2(POSTINOR2)*

โ–ถ๏ธ Huathiri fuko la uzazi kwa ndani kusababisha uvimbe (cysts & fibroids)

โ–ถ๏ธ Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga

โ–ถ๏ธ Kupata magojwa sugu
K**a vile UTI SUGU, FUNGUS SUGU na *P. I. D.*

โ–ถ๏ธ Kuumwa kichwa mara kwa mara,Matiti kuwa laini(kulegea)

โ–ถ๏ธ Kuchoka,kichefuchefu na hata Kutapika.

โ–ถ๏ธ Kutopata hedhi kwa Baadhi ya Wanawake Ama Kutokwa na damu nyingi ukeni

โ–ถ๏ธ Kubadirika kwa mfumo damu na vichocheo vya mwili (Homoni)

โ–ถ๏ธ Kuliathiri ini kidogo kidogo na Figo

โ–ถ๏ธ Kupata Kisukari ktk umri mdogo

โ–ถ๏ธ Kupata magonjwa ya moyo

โ–ถ๏ธ Kupooza upande mmoja wa mwili

โ–ถ๏ธ Kupoteza hamu ya tendo la ndoa

โ–ถ๏ธ Kupata tatizo la Chango.

unafahamu kwamba ukitumia njia za Uzazi wa mpango au vidonge vya P2 sumu yake huweza kudumu mwilini na kizazi ndani ya miaka 15

๐Ÿ›‘ Ulishawahi kujiuliza kwanini Wanawake wengi baada ya kuacha kutumia njia za uzazi wa mpango Ama P2 wengi wao huangaika Sana kubeba Ujauzito?

K**a wewe ni muhanga Ama kunamtu unajua ni muhanga wa hilo na dalili hzo unapitia/anapitia!!

Usisite kuwasiliana Nami...

Mshauri wa Afya ya Uzazi

+255628361104

TOKOMEZA HOMA YA SARATANI YA MATEZI - [ LYMPHOMA ]. LYMPHOMA INATIBIKA. Lymphoma:-  Ni aina ya saratani inayo athiri sel...
09/01/2024

TOKOMEZA HOMA YA SARATANI YA MATEZI - [ LYMPHOMA ].

LYMPHOMA INATIBIKA.

Lymphoma:- Ni aina ya saratani inayo athiri seli zako za damu zinazo itwa Lymphocytes.

Lymphocytes:- Ni aina ya seli nyeupe za damu zinazo saidia mfumo wa kinga mwilini kwa kupambana na MAAMBUKIZI.

Ripoti ya WHO (Shilika la afya Duniani) mwaka 2020 inasema kwamba kuna takribani ya watu milioni 10 ambao walipoteza Maisha kutokana na haina hii ya Saratani ya Tezi
(Lymphoma).

Tafiti zinaonyesha kwamba kutokea kwa kidonda Kwenye *DNA ๐Ÿงฌ* za aina ya seli nyeupe ya damu ambayo ni Lymphocytes ni chanzo kikubwa cha kutokea kwa ugonjwa huu wa Lymphoma.

BAADHI DALILI ZA HOMA YA SARATANI YA MATEZI [ LYMPHOMA ].

[1] Kutokea kwa uvimbe wa tezi la limfu usio na maumivu.
Tezi hiyo ya limfu hupatikana katika sehemu mbali mbali za mwili, ikiwemo.

โœ… Kwenye vidole

โœ… Sehemu za siri

โœ… Meneo ya Kwapani

โœ… Shingoni

โœ… Nyuma ya masikio

โœ… Nyuma ya kichwa

[2] Mgonjwa kupata shida sana ya kupumbua au Kukosa Pumzi.

[3] Mgonjwa kuwashwa Mwilini.

[4] Mgonjwa kutokwa na jasho sana wakati wa usiku.

[5] Mgonjwa kupata hali ya kikohozi.

[6] Maumivu ya viungo na homa za mara kwa mara.

BAADHI YA SABABU ZINAZO PELEKEA MTU KUWA NA SARATANI YA MATEZI [ LYMPHOMA ]

๐Ÿ‘‰ Kuwa na homa za maambukizi na magonjwa mengine, k**a vile
HEPATITIS, HIV, Sickle seli, Bawasiri na vidonda vya tumbo.

๐Ÿ‘‰ Umri:- Kuanzia miaka 20, 40 na zaidi ya 60.

๐Ÿ‘‰ Jinsia:- Wanaume wapo katika hatari zaidi ya kupata Lymphoma kuliko wanawake.

๐Ÿ‘‰ Kinga ya mwili kuwa ndogo.

BAADHI YA MADHARA YATOKANAYO NA SARATANI YA MATEZI [LYMPHOMA]

[1] Mwili kuvimba na mapafu kujaa maji.

[2] Saratani ya shingo ya kizazi.

[3] Homa za mara kwa mara.

[4] Uzito kupungua kwa kiwango kikubwa.

[5] Kifo.

VIPIMO๐Ÿฉบ

๐Ÿ“Œ Dalili, Historia ya mgonjwa pamoja na mgonjwa kuchunguzwa yani physical Examination.

๐Ÿ“Œ Mgonjwa kuchukulia Sample ya Lymph Node kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

๐Ÿ“Œ Vipimo vya Damu yani Blood test.

๐Ÿ“Œ Mgonjwa kuchukulia Sample ya Bone Marrow.

MATIBABU ๐Ÿ’Š

Matibabu ya saratani hii ya Lymphoma hutegemea na hatua ya ugonjwa ilipo fikia na mtu hupata tiba nzuri na kupona haraka zaidi k**a saratani hii imegunduliwa mapema zaidi au kwenye hatua za mwanzoni.

KWA USHAURI ๐Ÿฆป ZAIDI NA TIBA usisite kuwasiliana nasi kwakupiga simu au Whatsapp.

0628 361 104

+255628361104

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA HOMA YA INI AINA YA _FATTY LIVER_ ๐Ÿ’Š TOKOMEZA HOMA YA INI  ๐Ÿ‘‰  AINA YA FATTY LIVER *Fatty Live...
08/01/2024

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA HOMA YA INI AINA YA _FATTY LIVER_ ๐Ÿ’Š

TOKOMEZA HOMA YA INI ๐Ÿ‘‰ AINA YA FATTY LIVER

*Fatty Liver* Ni homa ya INI inayo sababishwa na mrundikano wa mafuta kwenye cell za Ini.

*KUNA AINA MBILI ZA FATTY LIVER*

โœ… Alcoholic Fatty Liver

๐Ÿ“Œ Ni homa ya *INI* inayo sababishwa na mrundikano wa mafuta katika Cell za INI kutokana na unywaji wa Pombe [ Kunywa pombe kupita kiasi ].

โœ… Non Alcoholic Fatty Liver

๐Ÿ“Œ Ni aina ya Fatty liver inayo sababishwa na mrundikano wa mafuta katika cell za ini pasipo husika na Pombe.

Non alcoholic Fatty liver husababishwa na ulaji wa nyama kupita kiasi k**a vile Ng'ombe, Nguruwe, Mbuzi Nk.

*SABABU ZA PAMOJA ZINAZO PELEKEA MTU KUWA NA HOMA YA INI AINA YA FATTY LIVER*

Baadhi ya sababu zinazosababisha ukuaji wa mafuta katika INI:

[1] Matumizi ya POMBE kupita kiasi

[2 ] FETMA ulaji wa nyama

[3 ] Hyperlipidemia (viwango vya juu vya triglycerides katika damu).

[4] Kisukari

[5]Uzazi

[6] Madhara ya dawa fulani k**a vile tamoxifen, amiodarone, asidi ya valproic, methotrexate,

[7] Unene ulio kithiri na kitambi.

Hatua za ini kuwa na mafuta mengi hazionyeshi ishara na dalili nyingi.

*Ikiwa hali inaendelea hadi hatua ya baadaye, mgonjwa ataanza kugundua dalili zifuatazo:*

[1 ] kuongezeka kwa uzito ghafka

[2 ] Maumivu ya tumbo

[3 ] Udhaifu wa kimwili

[4] Njaa ya mara kwa mara na uchovu

[5] Uchovu na Kuchanganyikiwa.

[6] Kuongezeka kwa tumbo

[7] Tumbo kujaa maji.

[8] Uchovu katika ngozi na macho

[9] Kuenea kwa kifua kwa wanaume

*MADHARA YA HOMA YA INI AINA YA FATTY LIVER*

๐Ÿ‘‰ Shinikizo la Damu [Presha]

๐Ÿ‘‰ INI kuferi (kushindwa kufanya kazi zake husika)

๐Ÿ‘‰ Tumbo kujaa maji

๐Ÿ‘‰ Kupata shida katika kupumbua

๐Ÿ‘‰ Tumbo kuvimba

๐Ÿ‘‰ Figo kuferi

๐Ÿ‘‰ Uono hafifu

๐Ÿ‘‰ Maumivu ya tumbo ya mara kwa mara

๐Ÿ‘‰ Kifo

*TAMBUA ๐Ÿ“*

Ni muhimu kufahamu kwamba ugonjwa wa moyo bado ni hatari kubwa zaidi kwa watu wenye ini ya mafuta.

Mabadiliko haya ya mtindo wa maisha yanaweza kuboresha au kutatua changamoto ya ini lako kuwa na mafuta na kusaidia kuweka moyo wako kuwa na AFYA njema.

*Kwa ushauri na Tiba ๐Ÿ’Š usisite kuwasiliana nasi kupiga simu au Whatsapp*

0628 361 104

๐Ÿ“ž+255628361104

Address

Kimara Stop Over
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Yangu:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram