ANM Health CARE

ANM Health CARE NUTRITIONIST. Natoa suluhisho la bawasiri vidonda vya Tumbo na Uzazi Kwa wanawake na wanaume na magonjwa sugu yasiyo ambukizwa.

⏩Watu wengi wamekua Wakisumbuka Sana kutibu  Bawasiri Bila kujua kua sababu kubwa ni Mpangilio WA chakula  WA kila siku ...
05/04/2024

⏩Watu wengi wamekua Wakisumbuka Sana kutibu Bawasiri Bila kujua kua sababu kubwa ni Mpangilio WA chakula WA kila siku
Hivyo basi kabla ya kuanza kutafuta tiba Basi fanya Mpangilio wako WA chakula kuwa Sawa.

⏩Chanzo kikubwa cha tatizo hili ni matatizo ya mfumo wa umen’genyaji chakula k**a kukosa choo kwa muda mrefu, kupata choo kigumu, kuharisha mara kwa mara na tumbo kujaa gesi, hivyo kwa kuzuia matatizo haya basi utakuwa umejikinga na bawasiri. Hivyo hakikisha unafanya yafuatayo:

⏩ MAMBO YAKUZINGATIA ILI KUTOKOMEZA BAWASIRI KWA HARAKA SANA.

Kulingana na ukali wa hemorrhoids, daktari atakupendekeza chaguo bora kwako. Kwa ujumla, bawasiri zenye kutokwa na damu kidogo na maumivu zinaweza kutibiwa kwa krimu au marashi yanayopatikana kwa urahisi. Wakati mwingine, daktari anaweza kupendekeza taratibu chache za kutatua hemorrhoids. Taratibu hizi kwa ujumla zinajumuhishwa k**a:-

⏩MATUMIZI YA MDALASINI
Kwa kawaida Vyakula vya fibres husaidia katika kutatua Changamoto ya bawasiri Kwani Madini ya fibers yalokuepo kwenye mdalasini husaidia mtu anayeharisha au kupata choo kigumu.
Tumia MDALASINI asubuhi na jioni kwenye maji ya vuguvugu Kila siku is WA siku 10
Kunbuka hii sio Tiba mbadala hii HIVYO usipoona mabadiliko yoyote waweza Kuja ofisini kwetu tukusaidie.

⏩Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.

⏩Tumia machungwa kwa wingi

machungwa yana kiungo kinachoitwa flavonoids, kiungo hiki ni muhimu katika ustawi wa mishipa ya damu ya veins, mishipa hii ndio huathirika na kusababisha bawasiri.

⏩Kunywa maji ya kutosha

Tumia kiu na rangi ya mkojo k**a dalili ama kiashiria cha kiasi gani cha maji unatakiwa kunywa. K**a mkojo ni wa rangi ya njano inayokolea basi ni kiashiria kwamba mwili hauna maji ya kutosha na unatakiwa kunywa. Kunywa maji ya kutosha walau lita 3 kwa siku na vinywaji vingine isipokuwa pombe. Nyuzinyuzi na maji ya kutosha husaidia kulainisha choo chako na hivyo kurahisisha utolewaji wake bila kujikamua.

⏩Jitahidi kutumia juice ya matunda k**a vile parachichi,passion na maembe angalau mara 3/5 kwa wiki.

KWA CHANGAMOTO YOYOTE YA KIAFYA WAWEZA KUPIGA SIMU KWA WATOA HUDUMA WETU ILI KUSAIDIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZAKO
TUNAPATIKANA TANZANIA NZIMA
PIGA SIMU KWA 0622183833

05/04/2024
24/03/2024

# # GOOD NEWS # #
K**a umesumbuliwa na bawasiri Kwa mda mrefu ama unatatizo la KUkosa choo au unapata choo kigumu mpaka unahisi maumivu au unajisaidia choo cha damu na umemtumia Dawa tofautitofauti na unapata nafuu Basi Leo ""say goodbye bawasiri""
Suluhisho limepatikana sasa.

Utatumiwa Dawa mbili tu ya kupaka kwaajili ya vinyama vya nje na ya kunywa kwaajili ya ndani

Kwa Maelezo Zaid unaweza kuwasiliana na mtoa huduma wetu Kwa Namba hii 0622183833

TIBA YA BAWASIRI MENO NA NGOZIHII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZI NA BAWASIRIMawasiliano 06...
29/12/2023

TIBA YA BAWASIRI MENO NA NGOZI

HII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZI NA BAWASIRI
Mawasiliano 0622183833

Hii ni dawa ya meno inayotokana na mimea tiba ya asili ambayo imechanganywa kwa pamoja na kuifanya kuwa ni dawa yenye nguvu zaidi na bora kuliko zote.

Kutokana na aina ya mimea tiba iliyotumika dawa hii imekuwa na matumizi mbalimbali.

Dawa hii haina fluorine
DAWA HII INAONDOA MATATIZO YAFUATAYO;
➖Huzuia kutoboka kwa meno
➖Hufanya meno kuwa meupe
➖Inauwa bakteria wanaoeneza maradhi ya kinywa na meno
➖Inasaidia kwa wale wanaosumbuliwa na ganzi ya meno
➖Huondoa harufu mbaya katika kinywa

PIA DAWA HII INAHUSIKA NA NGOZI
➖Inatibu chunusi na fangasi
➖Inatibu afya ya ngozi
➖Huondoa makovu
➖Pia inatibu tumbo na kusaidia kufunga kwa tatizo la kuhara.
➖Inatibu mafindofindo
➖Pia inawasaidia wenye manyama ya pua
➖Inatibu mapunye na muwasho,
➖Pia inakausha damu kwa mtu aliepata jeraha
➖Pia Inatibu bawasiri

KWA MAHITAJI YA DAWA HII USISITE KUNIPIGIA.
NAMBA 0622183833
Tupo kariakoo
KARI

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ANM Health CARE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram