21/11/2023
UNAPOKAA NA BAWASIRI KWA MUDA MREFU SANA INAWEZA KUKUSABABISHIA;
π Kansa ya utumbo mpana
π Upungufu mkubwa wa damu
π Uwezo wa tendo kupungua (kwa mwanaume)
π Mwili kudhoofika sana
π Kushindwa kuzuia haja kubwa
π Kupungua uwezekano wa kubeba ujauzito (kwa wanawake)
π Kuathirika kisaikolojia
π Kutokwa usaha sehemu ya haja kubwa
Hata hivyo moja ya kosa wanalolifanya wengi wanapohitaji kuondokana na changamoto ya bawasiri ni kutumia dawa kiholela pasipo kufahamu changamoto zao vizuri..!
Kituo cha afya cha GcatEternal Health Clinic kinakukaribisha kwenye vituo vyetu zaidi ya 15 Tanzania kwa ajili ya suluhisho la bawasiri ambapo;
1. Utapata nafasi ya kufanya vipimo sahihi vya mfumo wa chakula (Bawasiri ni changamoto ya mfumo wa chakula)
2. Matibabu sahihi kutokana na majibu ya vipimo utakavyovifanya kwani kila mwenye changamoto ya bawasiri ana chanzo cha ugonjwa wake tofauti na mwingine.
GcatEternal Health Clinic
0620657127