Afya check na Gcat health care

Afya check na Gcat health care Karibu sana kwenye page yetu ya Afya kwanza

*OFA YA CHECKUP YA MIFUPA NA MAUNGIO*🔥 OFA MAALUM: Checkup Kamili ya Mifupa na Maungio kwa 30,000/= Tu! 🔥  *Unasumbuliwa...
10/01/2026

*OFA YA CHECKUP YA MIFUPA NA MAUNGIO*

🔥 OFA MAALUM: Checkup Kamili ya Mifupa na Maungio kwa 30,000/= Tu! 🔥

*Unasumbuliwa na maumivu ya mgongo, miguu, magoti au viungo?*
Tuna suluhisho la kisayansi, salama na asilia!

---

💥 Unapata Nini kwa 30,000/= Tu?

✅ *Kipimo cha Kisasa cha Mifupa & Maungio*
- Kinaonyesha *tatizo halisi, chanzo chake*, na *eneo la mwili lililoathiriwa*.

✅ *Ushauri wa Kitaalamu kutoka Wataalamu wa China*
- Madaktari walio bobea katika *tiba lishe ya asili* na mifumo ya tiba ya mashariki.

✅ *Mpango wa Tiba Asilia wa Kurekebisha Tatizo Bila Dawa Kali*
- Unapewa muongozo wa lishe na mbinu asilia za kupunguza maumivu na kurejesha nguvu.

---

🎁 BONUS YA BURE:
🎁 *Muongozo wa Chakula Bora kwa Mifupa na Maungio*
🎁 *Mapendekezo ya tiba lishe maalum kwa mtu binafsi*

---

🛡️ *Kwa Nini Uchague Sisi?*
- Hatutumii dawa kali wala sindano
- Tiba ya asili inayolenga chanzo cha tatizo, si dalili tu
- Matokeo yanayoonekana ndani ya muda mfupi

---

⚠️ Nafasi ni CHACHE — Tunahudumia watu wachache kwa uangalizi wa karibu.

📍 *Mahali:* Dar es salaam pia Tuna Vituo pia Mikoa yote Tanzania.

Tuma neno *OFA* WhatsApp 0743950892 Kuwahi nafasi ya Kumuona daktari.
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)Dr.Mapande(0743950892)GCAT HOSPITAL https://wa.me/messag...
09/01/2026

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

Dr.Mapande(0743950892)
GCAT HOSPITAL
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1
Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.
23.🖇️ Maumivu ya Masikio
24.🖇️ Kupata ganzi kwenye vidole vya miguu au mkono.

BAADHI YA MADHARA YA ACID REFLUX

1.🖇️ Saratani/Kansa ya koo
2.🖇️ Kupungua kwa ukubwa wa koo/Kuziba kwa koo(EUSOPHAGEAL STRICTURE)
3.🖇️ Wasiwasi/Khofu isiyokuwa na kikomo.
4.🖇️ Kukosa amani ya kuishi duniani na kuona dunia nzima imekutenga
5.🖇️ Kupata Bawasiri kutokana na kujisaidia choo Kigumu
6.🖇️ Kupoteza kuwezo wa kushiriki tendo (Wanawake & wanaume)
7.🖇️ Mwili kudhoofika na kukonda kupita kiasi. Hasa pale Acid reflux hupelekea kupotea hamu ya kula.
8.🖇️ Kunenepa kupita kiasi. Hasa pale Acid hupelekea upate njaa mara kwa mara na kupelekea kula mara kwa mara.
9.🖇️ Kupata Fangasi wa mdomoni na katika mfumo mzima wa chakula
10.🖇️ Kupata ngiri ya Kifua /Hiatal hernia.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.🖇️ Uvutaji wa sigara
2.🖇️ Unywaji wa pombe
3.🖇️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🖇️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🖇️ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🖇 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🖇️ Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Hiatal hernia)
8.🖇️ Kuwa Mjamzito
9.🖇️ Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🖇️ Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD
-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon ni k**a ifuatavyo:⤵️⤵️

MATIBABU KWA TIBA ASILI/KUROKA CHINA
-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea hutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi .
0743950892
Au bonyeza link hapo chini
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

17/12/2025
17/12/2025
08/12/2025

JE UMESUMBUKA NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MUDA MREFU?
GCAT HEALTH itakupatia huduma kwa punguzo la Gharama kwa asilimia 40% kwa kila huduma ikiwemo vipimo, matibabu pamoja na Dawa.

🌊 PID, UTI,hedhi
⏺️ Fangasi, Uvimbe
⏺️Ukavu ukeni
⏺️ Mimba kutoka
⏺️ Nguvu za kiume
⏺️Mirija ya uzazi
⏺️ Saratani ya uzazi
⏺️ Kutoshika mimba
⏺️ Mvurugiko wa homoni
⏺️Hamu ya watoto kula
⏺️ Madhara ya punyeto
⏺️Kushindwa kuludia tendo la ndoa

Ofa hii ni mwezi huu tu!

Tunapatikana Dar es Salaam na mikoani. Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe au WhatsApp au Piga simu namba 0743950892☎️
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

TAMBUA KWANINI UNATUMIA DAWA NYINGI BILA KUPATA MATOKEO ?     Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kut...
15/11/2025

TAMBUA KWANINI UNATUMIA DAWA NYINGI BILA KUPATA MATOKEO ?
Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kutoshika Mimba kutokana na changamoto mbalimbali. Swala la uzazi sio la upande mmoja tu wa mwanamke pia wanaume wengi hawana uwezo wa kutungisha mimba. ✍🏻✍🏻
Tumewasaidia wanaume na wanawake wengi sana kutibu tatizo la ugumba na wamepata watoto. Na wengi wao walikuwa na changamoto k**a hizi👇
✅Kuwa na mbegu chache
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
✅Mbegu kuwa na uwezo mdogo wa kuogelea.
✅ Mvurugiko wa homoni/ Homone imbalance
✅ Kutokurudia tendo la ndoa
✅ Mirija ya uzazi kuziba
✅ Upunguvu wa nguvu za kiume
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅Dhakari kusimama kwa ulegevu.
✅ Kukosa hedhi/Period
✅ Saratani ya shingo ya kizazi
✅Kuhisi maumivu wakati wa tendo.
✅ Kukosa hisia
✅ Changamoto ya tezi dume.
#.Nanyingine nyingi

Haijalishi changamoto yako wewe imekutesa kwa mda gani,GCAT HEALTH CARE CLINIC Kutoka China ipo kwa ajili ya kutatua changamoto yako.
⚫Tunatoa huduma ya vipimo vya mfumo mzima wa Mwanaume na Mwanamke kwa Tshs 30,000/= tu .
NB: Usitumie dawa yoyote bila kupata vipimo na Ushauri wa daktar.✖️
Je ni wewe unahitaji huduma kwa ofa hii ya vipimo?
K**a ni wewe basi piga simu kwa namba 0743950892 Kwa maelekezo zaidi , Tunapatikana dar es salaam Majumba sita na mkoani pia.
Wasiliana nasi kwa namba 0743950892 maana ninao mda wa kuongea na wewe ,piga simu sasa hivi.
👇
Ps.Thamani ya kipimo hiki ni tsh.130000 lakini ndani ya week hii utaipata kwa ofa ya tsh,30,000 tu!
Au bonyeza link hapo chini
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

‼️‼️ VIPIMO NA MABINGWA KWA MSAADA PIGA ☎️0743950892 UPATE MAELEKEZO  👇 HUDUMA YA VIPIMO VYOTE, USHAURI NA MATIBABU KWA ...
15/11/2025

‼️‼️ VIPIMO NA MABINGWA KWA MSAADA PIGA ☎️0743950892 UPATE MAELEKEZO 👇 HUDUMA YA VIPIMO VYOTE, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO
GCAT HOSPITAL IMETIMIZA MIAKA10 YA HUDUMA HIVYO IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote ✅, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU,,Ofa hii niya👇👇
🩸🩸▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 30,000/= tu

‼️MAGONJWA TUNAYO PIMA NA KUTIBU NI...!!
✅,SUMU MWILINI ✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa, ✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari ✅Pumu
✅Stroku. ✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa, ✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi, ✅Figo, ✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri, ✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu 0743950892

Kwa Whatsapp gusa
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZOShirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO...
10/11/2025

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU
Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 30,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa,
✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari
✅Pumu
✅Stroku.
✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa,
✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi,
✅Figo,
✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri,
✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba
0743950892
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO Shirika la Afya  kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA  OFA KWA WATU WATA...
23/10/2025

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU,,Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 30,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 ✅, ✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa, ✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari ✅Pumu
✅Stroku. ✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa, ✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi, ✅Figo, ✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri, ✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport, ubungo na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba
0743950892

Kwa Whatsapp gusa Link hapa chini 👇
https://wa.me/message/4DB4KJJZVS43B1

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255743950892

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya check na Gcat health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya check na Gcat health care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram