AFYA YETU

AFYA YETU VIPIMO VYA MWILI MZIMA NA MATIBBU.

Usikubali Kupitwa Na Hii Neema Hakika Mungu Ametupendelea....Kwanini Tena Twende Nje Kutafuta Matibabu? Wale wataalam ma...
24/07/2025

Usikubali Kupitwa Na Hii Neema Hakika Mungu Ametupendelea....

Kwanini Tena Twende Nje Kutafuta Matibabu?

Wale wataalam mahiri wa kichina wanaotoa tiba kwa magonjwa SUGU na YASIOAMBUKIZA ya kwa kutumia virutubisho maalum sasa wapo TANZANIA wakitoa huduma kwa mara nyingine.

Huduma hizi zinapatikana katika vituo vyetu vya Hospital za GCAT INTERNATIONAL zilizoenea karibu nchi nzima(Tanzania).

Hakika ni wabobezi katika magonjwa yasioambukiza k**a vile:

🌷Vidonda vya tumbo.

🌷Matatizo ya macho.

🌷Shinikizo la damu(presha).

🌷Matatizo ya meno na kinywa.

🌷Magonjwa ya moyo.

🌷Bawasiri.

🌷Tezi dume.

🌷Gazi na miguu kuwaka moto.

🌷Mifumo ya uzazi kwa wanawake na wanaume.

🌷Matatizo mgongo.

🌷kupooza /stock.

🌷Magonjwa ya figo na homa ya ini

🌷Typhoid na u.t.i sugu na pid

🌷Matatizo ya ngozi.

🌷Kisukari. Na mengine mengi yasiokua ya kuambukiza.

Ujio huu umeambatana na OFA maalum ya matibabu ambapo:

Utakutana na specialist wetu bure kabisa bila fedha ya kuona Daktar wa kufungua faili.
Pia Ushauri ni bure

Na utafanya Vipimo kwa ofa ya Tsh 30000 tu, badala ya sh 100000 ambayo ni gharama halisi.

Lakini pia utapata dawa(virutubisho) kwa gharama ya ofa ya punguzo la 15%. Ofa hii ni ndani ya siku tano tu kuanzia leo.

Wasiliana Nasi Muda huu ili kuweka appointment ya kukutana na specialist wetu. Karibu sana. Piga +255755912740
Au bofya link👇https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

14/06/2025

,NDANI YA WEEK TATU TU UNAENDA KUWA MAMA KIJACHO HAIJALISHI UNA;
- UVIMBE (fibroids, mayoma,ovarian cysts,uvimbe maji )unatibika wote bila operation
- ⁠Mirija kuziba au kujaa maji
- ⁠homoni imbalance (huoni siku zako, unapata hedhi ndefu au kubleedmabongemabonge ,kupata dalili za ujauzito na ukipima hakuna)
- ⁠mimba kuharibika
- ⁠PID(maambukizi kwenye via vya uzazi)
- ⁠hauna mbegu za kutosha
- ⁠na changamoto zote za uzazi suluhisho lako liko hapa

K**a una dalili za changamoto tajwa hapo juu na nyingine nyingi, wasiliana nasi sasahivi kwa suluhisho la kudumu kwani;

✅️ Utafanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi ili kufahamu changamoto yako vizuri kwa thamani ndogo ya tsh 30,000 tu! Ndio ni tsh elfu thelathini tu (pasipo vipimo sahihi ni sawa na kuotea ugonjwa tu).

✅️ Utapata matibabu sahihi kutokana na majibu ya vipimo vya uzazi utakavyofanya.

Sisi ni daraja la afya yako njema ya uzazi, Mungu unayemuamini azidi kukupa afya njema wewe na uzao wako.

SASA KUPATA SULUHISHO JUU YA CHANGAMOTO .

Wasiliana nasi kupitia
0755912740
Au Whatsapp no 0755912740 Au gusa link hapo https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

14/06/2025
Usikubali Kupitwa Na Hii Neema Hakika Mungu Ametupendelea....Kwanini Tena Twende Nje Kutafuta Matibabu? Wale wataalam ma...
12/06/2025

Usikubali Kupitwa Na Hii Neema Hakika Mungu Ametupendelea....

Kwanini Tena Twende Nje Kutafuta Matibabu?

Wale wataalam mahiri wa kichina wanaotoa tiba kwa magonjwa SUGU na YASIOAMBUKIZA ya kwa kutumia virutubisho maalum sasa wapo TANZANIA wakitoa huduma kwa mara nyingine.

Huduma hizi zinapatikana katika vituo vyetu vya Hospital za GCAT INTERNATIONAL zilizoenea karibu nchi nzima(Tanzania).

Hakika ni wabobezi katika magonjwa yasioambukiza k**a vile:

🌷Vidonda vya tumbo.

🌷Matatizo ya macho.

🌷Shinikizo la damu(presha).

🌷Matatizo ya meno na kinywa.

🌷Magonjwa ya moyo.

🌷Bawasiri.

🌷Tezi dume.

🌷Gazi na miguu kuwaka moto.

🌷Mifumo ya uzazi kwa wanawake na wanaume.

🌷Matatizo mgongo.

🌷kupooza /stock.

🌷Magonjwa ya figo na homa ya ini

🌷Typhoid na u.t.i sugu na pid

🌷Matatizo ya ngozi.

🌷Kisukari. Na mengine mengi yasiokua ya kuambukiza.

Ujio huu umeambatana na OFA maalum ya matibabu ambapo:

Utakutana na specialist wetu bure kabisa bila fedha ya kuona Daktar wa kufungua faili.
Pia Ushauri ni bure

Na utafanya Vipimo kwa ofa ya Tsh 25,000 tu, badala ya sh 100000 ambayo ni gharama halisi.

Lakini pia utapata dawa(virutubisho) kwa gharama ya ofa ya punguzo la 15%. Ofa hii ni ndani ya siku tano tu kuanzia leo.

Wasiliana Nasi Muda huu ili kuweka appointment ya kukutana na specialist wetu. Karibu sana. Piga +255755912740
Au bofya link👇https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

Kwa Yeyote Mwenye Changamoto Usikubali Kupitwa Na Hii Ofa ...Tafiti zinaonyesha ni hatari sana kuendelea kuvumilia (kuto...
11/05/2025

Kwa Yeyote Mwenye Changamoto Usikubali Kupitwa Na Hii Ofa ...

Tafiti zinaonyesha ni hatari sana kuendelea kuvumilia (kutokuchua hatua) za haraka dhidi ya changamoto zinazojitokeza kdwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

Hii ni kwa sababu muda wowote inaweza kukupelekea kupata kansa ya tumbo au hata Kifo kabisa.

Kulingana na tafiti za kisayansi kwa sasa kuna ongezeko kubwa sana la kansa ya tumbo na hata ongezeko la vifo vitokanavyo na changamoto hizi.

Hizi ni mojawapo ya dalili mbaya katika Mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula na zisizipaswa kuvumilika:👇👇.

*Kutoa Arufu Mbaya Kinywani.
*Kutapika kila unapokula.
*Tumbo Kujaa Gesi.
*Tumbo Kuwaka Moto na Kupata maumivu Makali sehem za Mgongoni Na mbavuni na hata kifuani.
*kukoswa Hamu ya Kula.
*Kukoswa au Kupata Choo Kigumu.
*Kupata Kinyesi Chenye Damu.
*Bawasiri ya Ndani au ya nje.
Na dalili nyingne nyingi..

Hizi ni baadhi ya dalili ambazo wengi waliozivumilia waliishia kupatwa na changamoto kubwa katika mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula na hata kupoteza maisha.

Pata Suluhisho la haraka na Kudumu kutoka kwa wataalam na madaktari bingwa waliobobea kutoka China kupitia Vituo vyetu vya GCAT Internatinal Hospital hapa Tanzania.

Ni vituo pekee vilivyo thibitishwa na kupewa idhini na serikali ya kupambana na changamoto za mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula na Magonjwa Sugu kupitia TIBA LISHE AU VIRUTUBISHO MAALUM.

Katika kipindi hiki cha kuelekea kushelekea miaka 25 ya utoaji wa huduma zetu kwa jamii tumekuandalia Ofa.

Ni OFA ya kukutana na madaktari bingwa na kufanya vipimo vya kisasa kabisa vya mwili mzima kwa Tsh. 25000 tu.

NB. Ofa hii ni kwa muda maalumu tu. Wahi sasa uhudumiwe na wataalam mahiri.

Karibu sana tukuhudumie VITUO VYETU VINAPATIKANA NCHI NZIMA.

ILi kukutana na Dr bingwa kwa sasa piga 0755912740 au bonyeza link ya whatsap 👇

https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

27/04/2025


Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 🔹Presha, 🔹Matatizo ya Moyo na INI
🔹Kansa, 🔹Vidonda vya Tumbo,
🔹Kisukari 🔹Pumu
🔹Stroku. 🔹Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
🔹Matatizo ya mifupa, 🔹Matatizo ya miguu
🔹Ngozi, 🔹Figo, 🔹Fangasi sugu
🔹Kupunguza unene, uzito, na matumbo
🔹Kuongeza kinga mwilini(CD4)
🔹U.T.I sugu, 🔹Gesi
🔹Bawasiri, 🔹Tenzi dume
🔹Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma yetu msimu huu wa Ofa. Tupo Dar es salaam na Mikoani pia tunapatikana

Piga simu sasa kuwasiliana na Dr bingwa kwa msaada zaidi: 0755912740 au bonyeza link 👇👇👇 https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

*_VIDONDA VYA TUMBO - MWAMBA ANAYETUMALIZA  KIMYA KIMYA_* .K**a kuna ugonjwa uliopata umaalufu kwa miaka ya hivi karibun...
10/04/2025

*_VIDONDA VYA TUMBO - MWAMBA ANAYETUMALIZA KIMYA KIMYA_* .

K**a kuna ugonjwa uliopata umaalufu kwa miaka ya hivi karibuni basi ni Ugonjwa wa VIDONDA VYA TUMBO.
*
_*Basi Acha Uvivu wa Kusoma Upate njia Rahisi na Ya Haraka Ya Kuondokana na Hii Changamoto*_ 👇👇👇
*
Huu ni miongoni mwa magonjwa hatari yanayomaliza watu kimya kimya kwa sababu ya tabia zake za kumuanza mtu taaratibu na hatimae kufichuka ukiwa umesababisha madhara makubwa.

Ukiwa unajua au hujui, huu ni ugonjwa ambao huanza kuushambulia mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula kidogo kidogo

Na hatimaye kufanya uharibifu mkubwa ikiwemo kusababisha kansa ya tumbo na hata vifo kabsa kwa wagonjwa.

Si ugonjwa wa kufumbia macho na kuendelea kuishi nao kabsa maana waliowengi waliendelea kuvumilia dalili zifuatazo na hatimaye huwezi amini leo hatunao tena.

_*NI ZIPI DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* ?_

Kwa namna yoyote usiendelee kuvumilia dalili zifuatazo ambazo ni viashilia vya ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo.

1. Kukoswa hamu ya kula mara kwa mara.
2. Kuwa na dalili ya kuvimbiwa na kubeua mara kwa mara.
3. Kuhisi kuungua sehemu za tumbo la juu na hata kifuani ( kiungulia).
4. Kupata maumivu makali ya tumbo hasa kila baada ya masaa kadhaa ya kupata chakula.
5. Kupata choo kigumu na cheusi na wakati mwingine kinakuwa na harufu mbaya.
6. Kupata maumivu sehemu za mbavu na mgongo.
7. Mwili kuhisi kuchoka bila sababu.
8. Kupoteza uzito na kupungua mwili .
9. Kupata kichefu chefu na Kutapika mara baada kula.
10. Kuhisi kuwa na gasi tumboni na hata mpaka sehemu ya kifuani.

Piga 0755912740 kupata OFA ya matibabu. WhatsApp bonyeza link hii: https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

*KIZURI ZAIDI* , pamoja na kwamba janga hili ni hatari lakini bado Kuna uwezekano wa kupona kabisa endapo utawahi kupata matibabu sahihi. Nirudie tena hapa "Ukipata matibabu sahihi."

Kumbuka ukiwa una vidonda vya tumbo unapoteza uwezo wa uyeyushaji wa chakula na ufyonzaji wa virutubisho muhimu kuingia mwilini. Kitu ambacho hupelekea mwili kukoswa virutusho muhimu na hata kudhoofika kwa mifumo mingine.

Hivyo tiba yako lazima ijikite katika kuupa mwili uwezo wa kuyeyusha chakula, kujenga na ulekibishaji mfumo wa kuzalisha Gesi na Acid ili kuzuia uharibifu wa kuta na kurudisha uwezo wa mwili kufyonza virutubisho mhimu.

_*JE TIBA YETU IPOJE KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO* ?_

Tunatoa tiba ya pekee na ya uhakika kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo kwa kutumia VIRUTUBISHO au dawa za tiba lishe.

Hizi ni dawa zisizokuwa na kemikali na zinatokana na mimea na madini mbalimbali ya Asili.

Ni tiba lishe zenye uwezo mkubwa wa kusafisha na kujenga sehemu za mwili zilizohalibika na si kutuliza ni kutibu kabisa changamoto ya vidonda vya tumbo.

**DAWA ZETU**

*Mosi* , Kwa miaka mingi sasa mmea Wa ALOE VERA umejulikana k**a mmea mama katika tiba ya magonjwa.

Hii ni kwa sababu ya utajiri wake wa viambata k**a vile Aloin, aloe polysaccharide, plant protein, vitamin A, vitamin B6 na vingine vingi.

Mchanganyiko huu wa vitamin huupa mwili uwezo wa kuyeyusha vyakula mbalimbali kwa urahisi na kuongeza HAMU YA KULA, kwa wanaokosa hamu ya kula.

Hivyo zipo dawa nzuri kabisa zilizo katika mfumo wa vidonge zinazotokana na mmea huu mama. Na zimekuwa mashuhuli kusaidia wathirika wengi wa vidonda vya tumbo,

Kutokana na uwezo dawa hii wa kupambana na bakteria wabaya katika mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula huku ikiongeza virutubisho muhimu ndio maana imendelea kuwa bora zaidi na kuusaidia mwili kupata virutubisho muhimu.

*_Pili_* : Kwa kuwa ugonjwa huu hushambulia na kuharibu kabisa kuta za utumbo au tumbo kwa Tindikali na Gesi zinazozalishwa kwa wingi, basi kuna kila ulazima mgonjwa kupata dawa yenye uwezo wa kujenga vidonda vya ndani ya tumbo bila kuleta madhara.

Hivyo tunayo dawa inayotokana na asali ya nyuki wadogo weusi yenye virutubisho zaidi ya 120 Vya Flavoniods. Husaidia kuponyesha mifumo ya mwili iliyoharibiwa na maradhi kwa kuchochea mfumo wa kinga za mwili.

Hii ni dawa pekee yenye uwezo mkubwa wa kujenga kuta zilizohalibika na pia kurudusha utandu (layer) za tumbo zilotobolewa. Maana pasipo kufanya hivyo basi si rahisi kupona vidonda bali utakuwa unapooza kwa muda tu. Kitu ambacho ni hatari.

Pia dawa hizi zipo katika mfumo wa vidonge na zinatumika kwa muda mfupi na hazina usumbufu wowote katika matumizi.

*_Tatu_* ; Ikumbukwe kuwa kutokana na kuharibika kwa kuta na kujaa kwa gesi na tindikali kwa wingi tumboni,

hupelekea chakula kukaa kwa muda mrefu bila kumeng'enywa, kitu ambacho hupelekea kuongezeka kwa mgandamizo na kuzalishwa sumu mbalimbali (food toxins) zitokanazo na chakula zinazoendelea kuathiri mfumo mzima.

Hivyo tunayo dawa mashuhuli iliyo katika mfumo wa majani chai inayotokana na mimea ya asili k**a vile Gynstemma, Cassia seed,, na maganda ya matunda mbalimabali.

Hivyo mchanganyiko huo unaifanya hii kuwa dawa bora zaidi kutokea yenye uwezo wa kutoa sumu za vyakula ambazo k**a zitaendelea kubaki tumboni basi uponaji wa vidonda unaweza kuwa bado ni story tu kwako.

Kitu ambacho kinawafanya wengi kuendelea kuzunguka kwa muda mrefu na janga hili.

*_Nne_* ; bila kusahau ya kwamba changamoto hii huweza kuendana na uzalishwaji wa GESI na ACID kwa wingi tumboni.

Hivyo ni lazima pia upate kirutubisho dawa chenye uwezo wa kulekebisha mfumo wa uzalishwaji wa gesi na acid na ili uweze kupona kabsa na sio kupunguza makali ya Acid.

Hivyo kirutubisho dawa hicho chenye mchanganyiko wa Oligosaccharide ili kuwapa nguvu bacteria wazuri wa mwili na pia huwasaidia wasiopata choo na kuzuia tumbo la kuharisha kwa muda mrefu.

*_MSOMAJI WANGU_* ; K**a unaziona dalili moja wapo hapo juu au k**a umethibitisha ya kwamba unayo changamoto ya vidonda vya tumbo au Gesi na Acid Basi amini yakwamba huu ni muda sahihi wa kuondokana na changamoto hii.

*_TAFADHALI_* ; usiendelee kuvulia dalili za vidonda vya tumbo ni hatari sana maana ni wengi muno wanapoteza maisha kwa kuendelea kuvumilia janga hili kwa kuwa mara nyingi huwa na maumivu ya kuibuka na kupoa.

Bila kujua hapo huendelea kusaga sehemu yako ya mwili, kitu ambacho hupelekea kuwa na hali mbaya zaidi na ni hatari zaidi.

Piga 0755912740 kupata OFA ya matibabu. WhatsApp bonyeza link hii: https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

*_MSOMAJI WANGU_* , usiwe mvivu jifunze kitu hapa.

Kabla hatujaangalia ni vitu gani husababisha vidonda ni vyema pia kujua ni mazingira/ vitu gani uzingatie ili kuepukana kupunguza athari za janga hili.

Vidonda vya tumbo kwa kiasi kikubwa ni ugonjwa unaotokana na maambukizi ya bacteria wajulikanao k**a Helicobacter wenye uwezo wa kuishi ndani ya tumbo la binadam pia vidonda hutokea kwa sababu ya mfumo mbaya wa ulaji wa vyakula.

Mambo yafuatayo yatakusaidia kuepuka au kupunguza athari za vidonda vya tumbo k**a ukiyafata katika mfumo wako wa ulaji.

1. Kuzingatia muda kupata chakula, jitahidi kuwa na ratiba maalum ya kupata chakula ili kuzuia uzalishaji wa acid kwenye utumbo mtupu na kuendelea kulika.
2. Hakikisha kila mlo wako unakuwa na mboga za majani.
3. Jenga tabia ya kunywa maji mengi ili ikusaidie katika hatua za uyeyushaji wa chakula kwa wakati.
4. Jitahidi kutumia matunda kwa wingi na hasa yale yenye nyuzinyuzi k**a vile machungwa, maembe n.k
5. Usipende kupuuza dalili za ugonjwa huu na kuishi nao, chukua hatua ya kumuona daktari mapema.
6. Epuka matumizi horera ya dawa za maumivu.
7. Epuka matumizi ya pombe kali wakati ambao hujala kitu.
8. Epuka kupendelea matumizi ya vyakula vyenye tindikali kwa wingi.

Pamoja na mengine mengi ni muhimu sana kujiepusha na mambo yaliyo orodheshwa hapo juu ili kuendelea kulinda afya au kupunguza athari za vidonda vya tumbo.

Hili ni somo endelevu ili kuhakikisha tunapambana na magonjwa sungu yanayotumaliza kimyakimya na pia jitayalishe kupata elimu ya magonjwa mengine zaidi....

Piga 0755912740 kupata OFA ya matibabu. WhatsApp bonyeza link hii: https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1

Address

Banana, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YETU posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YETU:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram