Dr.othuman tiba naishauri

Dr.othuman tiba naishauri dawa za nguvu zakiume Zina patikana

28/06/2024

*FAIDA ZA NDIZI KWA MWANAUME*

ni tunda linalopendwa na watu wengi sana kwenye jamii ya watanzania lakini je unajua ndizi zinaweza kukusaidia mwanaume kwenye shughuli za ndoa na kutimiza majukumu yako ya uwamaume vizuri kwa mke wako au mwenzi wako *leo tutazame faida tatu za ndizi kwa wamaume wenye sehemu ya mahusiano.

1.Ndizi Ni Chanzo Kikubwa Cha Nguvu Mwilini.

Ndizi mbivu *zina kiwango kizuri cha Glucose* ambayo huingia kwenye damu moja kwa moja na kuleta *msisimuko na kuongeza utendaji wa kazi wa mwilini* si unasikia wachezaji wanaambiwa wabugie Glucose kwenye kipindi cha mapunziko sasa ndizi ni glucose salama zaidi tena sio glucose pekee na faida zingine kibao

2.Ndizi ina madini kiasi kikubwa Cha Potassium

Mtu mwenye kisukari (BP) uwezo wake wa kucheza mechi kitandani unakuwa mdogo basi *ndizi ina madini ya potassium* ambayo yanasaidia *kurekebisha kiwango cha sukari mwilini

3.Ndizi husaidia Mfumo wa Mmengenyo wa Chakula

Unajua kitambi kinasababishwa na nini?

kitambi husababishwa na *wingi wa mafuta* ambayo yapo mwilini yameshindwa kuchanganywa vizuri na mfumo wa mmengenyo sasa sikia *ndizi inasaidia mfumo wa chakula kufanya kazi yake vizuri na kwa haraka* sasa unapokula ndizi inaenda *kuongeza nguvu kwenye mfumo huu na mafuta ambayo yanashindwa kutumika mwilini yatatumika kwa kiasi kwenye mfumo huu* hivyo kukusaidia kwenye *mambo ya kitandani*

4:Ndizi mbivu ina kimeng’enyo cha Bromelain ambacho husaidia kuongeza nguvu za kiume na ashki ya mapenzi (libido)*

5:Tunda hili pia lina vitamin B kwa wingi ambavyo husaidia kuamsha hamu ya tendo la ndoa na uzalishwaji wa homoni wa kiume ijulikanayo k**a testosterone.

*USHAURI*

Mwanaume *unashauriwa kula angalau ndizi mbivu 2 mpaka 3 kila siku* ili kusaidia kujenga uimara wa misuli ya uume na kuongeza ufanisi katika tendo la ndoa.

*ZINGATIA*👇

*Hizo ni faida kuu za ndizi mwilini lakini haimanishi kuwa ukila ndizi mchana usiku wake mambo yatabadilika ni swala la muda na mazoea pia usisahau maz

Mujarrabu nidawa mzuri ya viwango ina ongeza nguvu zaki ume napia ina imarisha misuli ndindiindii💯 inakupa nguvu zakufan...
26/12/2023

Mujarrabu nidawa mzuri ya viwango ina ongeza nguvu zaki ume napia ina imarisha misuli ndindiindii💯 inakupa nguvu zakufanya jimai kwamda mwingi mpaka anaomba poo.karibuni mpate huduma zetu bora.

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINY...
09/12/2023

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja,Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa,uwenda ikawa bawasi ya ndani au ya nje.

Mbili, Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea,kwa asilimia 90 hii utokea pale unapo kaa chini because mgandamizo wote unakuwa chini kwa asilimia 100

Tatu, Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa, hii inathiri sana lakini ndicho kinacho pelekea kupata bawasi iyo tuliozungumzia apo juu.

Nne, Kujichua/punyeto Punyeto Punyeto Punyeto. Nimeiita mara 3 punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu unazani ata ile raha utapata asilimia 98 MWANAUME anapata raha pale anapo mwaga.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.

Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua na utatumia gharama nyingi mpaka kukaa sawa.

----------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Care & cure Herbal Clinic
Location:
Dsm - Buguruni

Contuct us

+255717945652

23/10/2023

Mwisho wakuzarahulika nyumban ume fika dawa iyo apo karibuni uirejeshe heshima yako.

Pata tiba ya uhakika ni tafte 0774488595
19/10/2023

Pata tiba ya uhakika ni tafte 0774488595

Habari wapendwa karibuni kwenye ukurasa wetu ili tuwa hudu mie kwachanga moto zama Radhi mbali mbali kwakutibu na kwaku ...
18/10/2023

Habari wapendwa karibuni kwenye ukurasa wetu ili tuwa hudu mie kwachanga moto zama Radhi mbali mbali kwakutibu na kwaku wapa ushauri. Karbun sana wapendwa.

dawa za nguvu zakiume Zina patikana

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.othuman tiba naishauri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram