MNH-Mloganzila

MNH-Mloganzila Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MNH-Mloganzila, Medical and health, Kibamba, Dar es Salaam.

05/01/2026
05/01/2026

Fahamu sababu, dalili na matibabu ya kifafa cha mimba k**a anavyoeleza Dkt Hilary Kizwi, Daktari Bingwa wa magonjwa ya Wanawake na afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila.

03/01/2026

Je! Unafahamu nini kuhusu ugonjwa wa kisukari cha mimba?

Ungana na Dkt. Isaac Rugemalila, Daktari Bingwa Mbobezi Wa Magonjwa Ya Wanawake na Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa undani zaidi.

02/01/2026

Je! Unajua makundi yaliyopo hatarini kupata kifafa cha mimba??

Ungana na Dkt. Hilary Kizwi, Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake na afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila kwa ufafanuzi zaidi.

31/12/2025

Je! Wajua visababishi vya mjamzito kujifungua kabla ya muda?

Ungana na Dkt. Stephen Mihungo, Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila kwa ufafanuzi zaidi.

30/12/2025

“Hospitali ya Mloganzila ni sehemu kubwa ya kutolea huduma ya mazoezi tiba. Kwasasa najisikia vizuri naweza kuzungumza, kutembea na kufanya kila kitu”.

Bw. Maulidi Mkwike,
Shuhuda wa huduma
Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila.

29/12/2025

“Huduma ya matibabu ya kupunguza uzito tunaipanua na kuiboresha zaidi, kwasasa itakuwa na huduma shirikishi kati ya idara mbalimbali kwa lengo la kuendelea kuwasaidia watu wenye unene uliokithiri ili kuepuka magonjwa”.

Dkt Eric Muhumba, Daktari Bingwa wa Upasuaji Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila.

28/12/2025

“Nilikuwa siwezi kutoka kitandani lakini kupitia mazoezi tiba nimeweza kusimama na kutembea mwenyewe, nawashukuru sana wataalam wa MNH - Mloganzila kwa huduma nzuri sasa afya yangu inaendelea kuimarika”.

Bw. Dennis Mwaitete,
Shuhuda wa huduma

26/12/2025

Je! Unafahamu umuhimu wa chanjo kwa watoto?

Ungana na Dkt Moses Mahugi, Bingwa wa Watoto kutoka hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila kwa ufafanuzi zaidi.

24/12/2025

# and happy #

23/12/2025

“Mwaka 2025, Hospitali ya Taifa Muhimbili - Mloganzila imefanikiwa kutoa huduma mbalimbali za kibingwa na kibobezi , kwa mwaka 2026 tumejipanga kuendelea kutoa huduma bora zaidi za afya katika kuhakikisha Watanzania wananufaika na uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali”

Dkt. Godlove Mfuko,
Mkurugenzi msaidizi huduma za upasuaji MNH-Mloganzila.

22/12/2025

“Nilifika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa ajili ya matibabu ya mazoezi, mwanangu alikuwa na changamoto ya kutokukaa, kutambaa wala kusimama lakini kwa sasa anaendelea vizuri, nawashukuru madaktari kwa huduma hii nzuri”

Bi. Chiku Iddi
Shuhuda wa Huduma

Address

Kibamba
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MNH-Mloganzila posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to MNH-Mloganzila:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram