21/03/2015
Ugumba ni hali ambayo mwanaume na mwanamke wapo kwenye mahusiano ya kutafuta uauzito kwa mwaka mmoja na tendo la ndoa linafanyika kikamilifu lakini hakuna ujauzito. Tendo la ndoa kufanyika kikamilifu ni pale wakati yai linapevuka. Zipo sababu za ugumba kwa mwanamke na mwanaume ambazo zinzpatikana ktk maisha yetu ya kilasiku. Endelea kufuatilia page hii.