Ifahamu afya yako leo

Ifahamu afya yako leo karibu upate ushauri na suluhisho changamoto ya uzazi mwanaume na mwanamke,Tezi dume kutanuka,u.t.i sugu +255627737046

11/01/2026

mtoto kwa muda mrefu
nguvu za kiume ?

11/01/2026

Mwanaume, epuka vyakula vyenye mafuta mengi, kwa ajili ya kulinda afya ya manii /mbegu ili ziwe bora zaidi

11/01/2026

Je ,unaujua wingi wa mbegu zako,?na je zina uwezo wa kutungisha Mimba?fatilia

11/01/2026

Imarisha afya yako kwa kuweka utaratibu mzuri wa kulala,

30/12/2025

Uzito kupita kiasi
Unene kupita kiasi
Ni hatari kwa afya ya mwanaume

30/12/2025

SARATANI YA TEZI DUME
WhatsApp +255627737046

Uvimbe wa tezi dume (kwa Kiingereza Prostate Enlargement au Benign Prostatic Hyperplasia – BPH) ni hali ambapo tezi dume, ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo kwa wanaume, inaongezeka ukubwa kuliko kawaida.
Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea.

DALILI ZA UVIMBE WA TEZI DUME

↪️Kukojoa mara kwa mara hasa usiku.
↪️Mkojo kutoka kwa shida au kwa nguvu ndogo.
↪️Kuhisi kibofu hakijaisha hata baada ya kukojoa.
↪️Kuanza kukojoa kwa kuchelewa.
↪️Mkojo kukatika katikati.
↪️Wakati mwingine maumivu au hisia ya kuungua wakati wa kukojoa.

MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME(ukiachwa bila matibabu)

↗️Kuzuia kabisa mkojo (urinary retention).
↗️Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI).
↗️Kujeruhi kibofu cha mkojo kutokana na msukumo mkubwa wa mkojo.
↗️Madhara kwa figo – kutokana na shinikizo la mkojo kurudi juu.
↗️Maumivu na usumbufu wa kudumu wakati wa kukojoa.

⏹️Unapogundua dalili hizo, ni muhimu kumwona daktari wa mfumo wa mkojo (urologist) kwa uchunguzi na matibabu mapema ili kuepuka madhara makubwa.
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi

WhatsApp +255627737046

30/12/2025

■Je unapata maumivu kwenye korodani,
■Unakosa hamu ya tendo la ndoa
■Uume kusimama legelege au kusinyaa katikati ya tendo la ndoa
■mbegu zako ni chache na ni nyepesi
Hizi ni dalili mbaya kwako mwanaume usipuuze chukua hatua
WhatsApp +255627737046

29/12/2025

■Je unasimamisha uume wako kwa shda?
■Unashindwa kurudia tendo
■Unakosa hamu ya tendo la ndoa ?

29/12/2025

Chunguza ubora wa mbegu /manii ni bora na zinaweza kutungisha mimba?

29/12/2025
29/12/2025

Wewe mwanaume ambaye unatafta mtoto kwa muda mrefu ebu fatilia hii.

28/12/2025

Hii ni habari Njema juma pili ya leo ,Furaha yangu nikuona wewe ukiwa na Furaha 🤝

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255627737046

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ifahamu afya yako leo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Ifahamu afya yako leo:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram