Ifahamu afya yako leo

Ifahamu afya yako leo karibu upate ushauri na suluhisho changamoto ya uzazi mwanaume na mwanamke,Tezi dume kutanuka,u.t.i sugu +255627737046

26/02/2026

SARATANI YA TEZI DUME
WhatsApp +255627737046

Uvimbe wa tezi dume (kwa Kiingereza Prostate Enlargement au Benign Prostatic Hyperplasia – BPH) ni hali ambapo tezi dume, ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo kwa wanaume, inaongezeka ukubwa kuliko kawaida.
Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea.

DALILI ZA UVIMBE WA TEZI DUME

↪️Kukojoa mara kwa mara hasa usiku.
↪️Mkojo kutoka kwa shida au kwa nguvu ndogo.
↪️Kuhisi kibofu hakijaisha hata baada ya kukojoa.
↪️Kuanza kukojoa kwa kuchelewa.
↪️Mkojo kukatika katikati.
↪️Wakati mwingine maumivu au hisia ya kuungua wakati wa kukojoa.

MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME(ukiachwa bila matibabu)

↗️Kuzuia kabisa mkojo (urinary retention).
↗️Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI).
↗️Kujeruhi kibofu cha mkojo kutokana na msukumo mkubwa wa mkojo.
↗️Madhara kwa figo – kutokana na shinikizo la mkojo kurudi juu.
↗️Maumivu na usumbufu wa kudumu wakati wa kukojoa.

⏹️Unapogundua dalili hizo, ni muhimu kumwona daktari wa mfumo wa mkojo (urologist) kwa uchunguzi na matibabu mapema ili kuepuka madhara makubwa.
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi

WhatsApp +255627737046

25/02/2026

Je umekuwa na changamoto kwenye tendo la ndoa
Uume unasimama legelege ?

25/02/2026
16/02/2026

WANAUME KUJALI AFYA MAPEMA NI MUHIMU

Wanaume wengi siku hizi wanachagua kujali afya zao mapema ili kuendelea kujisikia vizuri kila siku.

Mwili unapokuwa imara, kujiamini huongezeka na siku zinaenda vizuri zaidi.

Kuna virutubisho vya asili vinavyosaidia ustawi wa mwanaume kwa matumizi ya kila siku, rahisi kutumia na vinafaa kwa wanaojali afya zao.

Tunapatikana Tanzania nzima na tunatoa maelezo kwa wanaohitaji kujua zaidi.

Kwa mawasiliano zaidi
WhatsApp +255627737046

Call +255627737046

12/02/2026

K**a unatafta mtoto wa kiume basi sikiliza hii video kwa makini

12/02/2026

Hii ni namna gani unaweza kupata mtoto wa k**e

11/02/2026

Sababu za kupata watoto wa k**e tu

1. Mchanganyiko wa mbegu za mwanaume (bahati ya kimaumbile)
Mbegu zenye kromosomu X zinaweza kuwa ndizo zimekuwa zikifika na kurutubisha yai mara nyingi zaidi kuliko za Y. Hii ni hali ya kawaida na hutokea kwa bahati tu.

2, Ubora au uimara wa mbegu za Y kuwa mdogo
Wakati mwingine mbegu zenye Y (za kuzaa mtoto wa kiume) huwa dhaifu au hufa mapema kuliko za X, hivyo za X ndizo zinazofanikiwa zaidi.

3,Mazingira ya mwili wa mwanamke
Mazingira ya uke/uzazi (k**a tindikali au muda wa ovulation) yanaweza kuwa rafiki zaidi kwa mbegu za X kuliko za Y, hivyo kuongeza uwezekano wa kupata mtoto wa k**e.

10/02/2026

Je umeangaika kwa muda mrefu kwa changamoto ya kupata mtoto/watoto bila mafaniko,basi chukua namba yangu njoo nikupe formula.

17/01/2026

■Je unapata maumivu kwenye korodani,
■Unakosa hamu ya tendo la ndoa
■Uume kusimama legelege au kusinyaa katikati ya tendo la ndoa
■mbegu zako ni chache na ni nyepesi
Hizi ni dalili mbaya kwako mwanaume usipuuze chukua hatua
WhatsApp +255627737046

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255627737046

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ifahamu afya yako leo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Ifahamu afya yako leo:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram