kishini afya

kishini afya Mtaalmu wa afya na mshauri kwa changamoto ya afya kwa magonjwa ya wanawake,wanaume na watoto.

Nipo hapa kukusaidia wewe mwanamke mwenye tatizo la Uzazi ambalo huleta madhara Sana usipopata suluhisho.Nipigie kwa nam...
27/03/2025

Nipo hapa kukusaidia wewe mwanamke mwenye tatizo la Uzazi ambalo huleta madhara Sana usipopata suluhisho.

Nipigie kwa namba:0747928892 ili upate msaada zaidi

Je umekua ukikosa furaha Kwa sababu ya magonjwa ya kizazi kwa muda gani..?Natoa suluhisho Kwa matatizo ya wanawake k**a;...
25/03/2025

Je umekua ukikosa furaha Kwa sababu ya magonjwa ya kizazi kwa muda gani..?

Natoa suluhisho Kwa matatizo ya wanawake k**a;
⏭️PID.
⏭️ Hormone imbalance.
⏭️Uvimbe kwenye kizazi.
⏭️Kutoshika ujauzito.
⏭️ Kuharibika kwa ujauzito.
⏭️Mayai kutopevuka.
⏭️Kutoshika ujauzitoo
⏭️Uje kuwa mkavu

Ipo program maalumu Kwaajili ya changamoto zote ambayo itaenda kumaliza tatizo lako.

Wasiliana nami kwa ushauri na msaada zaidi;
📞0747928892.

Tunafanya delivery 🚚 kwa uaminifu kabisa iwe ndani ya dar es salaam na nje ya dar es salaam ni wewe utuamini.Mawasiliano...
19/03/2025

Tunafanya delivery 🚚 kwa uaminifu kabisa iwe ndani ya dar es salaam na nje ya dar es salaam ni wewe utuamini.
Mawasiliano ni 0747928892

Infection/maambukiza kwenye via vya Uzazi yamekua ni kilio kwa wanawake wengi.Kutana na dr.kishini ili nikushauri ikiwez...
14/03/2025

Infection/maambukiza kwenye via vya Uzazi yamekua ni kilio kwa wanawake wengi.

Kutana na dr.kishini ili nikushauri ikiwezekana nikupe tiba ya Hali inayokusumbua.

Wasiliana nami kwa no;
☎️0747928892

10/03/2025
Dalili za PID(maambukiza kwenye via vya Uzazi):➡️Miwasho sugu sehemu za siri.➡️Kutokwa uchafu wenye harufu mbaya sehemu ...
10/03/2025

Dalili za PID(maambukiza kwenye via vya Uzazi):
➡️Miwasho sugu sehemu za siri.
➡️Kutokwa uchafu wenye harufu mbaya sehemu za siri.
➡️ Maumivu makali ya mgongo,kiuno.
➡️Kukosa ute/Uke kuwa mkavu.
➡️Kukosa hamu ya tendo la ndoa/maumivu makali wakati wa tendo.
➡️ Mazunguko wa hedhi kuvurugika.
➡️Kuhusi unaujauzito ukipima hakuna kitu.

Madhara ya PID.
➡️Ugumba.
➡️Kizazi kuharibika(kuoza)
➡️ Ujauzitoo kuharibika.
➡️Mirija ya uzazi kuziba.

PID inatibika ila kwa kufuata muongozo maalumu ambao utapewa na mtaalamu.

Ipo tiba maalumu kwa ajili ya PID ambayo huondoa tatizo na halitajirudia tena.

Kwa msaada zaidi/maelezo zaidi piga simu no;
📞0747928892.
Ushauri ni bure.

🎯🎯 SIPATI UJAUZITO NINI TATIZO? 🎯🎯🥏🪀 K**a ushawahi jiuliza swali hili na ukahangaika bila kujua sababu,soma hizi sababu ...
06/03/2025

🎯🎯 SIPATI UJAUZITO NINI TATIZO? 🎯🎯

🥏🪀 K**a ushawahi jiuliza swali hili na ukahangaika bila kujua sababu,soma hizi sababu kwa makini upate kuelimika..!

🪀 1.MARADHI; kuna magonjwa mengi ya uzazi ambayo ukiwa nayo yanapelekea usipate ujauzito k**a huto yatibu mapema,mfano tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi,tatizo la uvimbe kwenye kizazi,uwinao mbaya wa homoni mwilini,n.k ni vema kutazama magonjwa haya unapopata tatizo hili.

🪀2.KUBADILIKA KWA HEDHI; Kwa kawaida hedhi ni sikun24,26, 28, na wachache ni siku 31, lakini hedhi hii inadum kwa siku 3 hadi 7 kiafya,chini ya siku hizo au juu ya siku hizo sio salama sana,kuvurugika kwa hedhi kunasababisha wanandoa wengi kushindwa kutambua zipi ni siku za joto au hatari ili wazitumie kutafuta mtoto,hapa ndio husbabisha ushindwe kupata ujauzito.
🪀⛳3.DAWA ZA KUZUIA MIMBA; Kutokana na afya ya mtu na mfumo wake wa homoni,kuna baadhi ya wanawake mara baada ya kuacha kutumia dawa za kuzuia mimba kila akijarbu kupata mimba hapati n kwa wengine hata hedhi hawapati kabisa,hii inahitajika upate ushaur wa kina wa mwenendo wa afya yako na aina ya dawa ulizo zitumia.
🪀4.KUTOA MIMBA; K**a umewahi kutoa mimba moja au zaidi,kwasasa ukiona hupati tena ujauzito usishangae ni matokeo ya ulichokifanya,njia zinazotumika kutoa mimba zote sio salama,hupelekea kuharibika kwa kizazi au kutoka kabisa,ni heri ukazaa mtoto akahudumiwe kwenye kituo cha kulelea yatima kwa kuwa huwezi mtunza kuliko ya kutoa mimba kwa makusudi kabisa,Dhambi ya jambo hili haitokuacha salama wewe na familia yako pia.
🪀5.UMRI; Kuna umri ukifika hedhi inakoma,na homoni zinazohusika na ukuaji wa mayai nazo zinaishiwa nguvu,hapa kupata mimba itakuwa kazi,umri mzuri wa kuzaa ni miaka 20 hadi 35, chinu ya hapo au juu ya hapoo,si salama sana kwa afya yako na mtoto pia.

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,

💥Tunatoa Huduma Ya virutubisho vya kumaliza changamoto zenu kwa usalama na uhakika.

Piga/whtsap: 0747928892

Hormone imbalance inaweza kuathiri uzazi wa mwanamke kwa njia mbalimbali. Madhara haya hutokea kutokana na mabadiliko ka...
25/02/2025

Hormone imbalance inaweza kuathiri uzazi wa mwanamke kwa njia mbalimbali. Madhara haya hutokea kutokana na mabadiliko katika homoni k**a estrogen, progesterone, testosterone, prolactin, na thyroid hormones. Hapa ni baadhi ya madhara muhimu kwenye uzazi wa mwanamke:

1. Kukosa Hedhi (Amenorrhea) au Hedhi Isiyo ya Kawaida

Homoni zisizokuwa sawa zinaweza kusababisha mzunguko wa hedhi kuwa usio wa kawaida, hedhi kukosa kabisa, au kuwa na mizunguko mifupi au mirefu isiyoeleweka.

Hii mara nyingi hutokea kwa wanawake wenye Polycystic O***y Syndrome (PCOS) au matatizo ya tezi ya thyroid.

2. Upungufu wa Ovulation (Anovulation)

Ikiwa homoni za uzazi hazipo katika kiwango sahihi, ovari zinaweza kushindwa kutoa yai kila mwezi, hali inayofanya iwe vigumu kupata mimba.

3. Ugumba (Infertility)

Kwa sababu ya ovulation isiyo ya kawaida au kukosekana kabisa, uwezekano wa mimba kushika hupungua.

Estrogen na progesterone zisizokuwa sawa zinaweza kuathiri afya ya mji wa mimba (uterus), hivyo kufanya iwe vigumu kwa kiinitete kujishikiza na kukua ipasavyo.

4. Mimba Kuharibika (Miscarriage)

Homoni zisizokuwa sawa, hasa progesterone, zinaweza kusababisha ukuta wa mji wa mimba usiwe na nguvu za kutosha kushikilia ujauzito, hivyo kuongeza hatari ya mimba kuharibika.

5. Maumivu Makali ya Hedhi na Endometriosis

Viwango vya juu au vya chini vya estrogen vinaweza kusababisha ukuaji usio wa kawaida wa tishu za mji wa mimba, hali inayoweza kusababisha endometriosis.

Hali hii husababisha maumivu makali wakati wa hedhi na inaweza pia kuathiri uzazi.

6. Kupungua kwa Hamasa ya Tendo la Ndoa (Low Libido)

Upungufu wa homoni k**a estrogen na testosterone unaweza kusababisha mwanamke kupoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa, hali inayoweza kuathiri uhusiano wa kimapenzi na uzazi.

7. Kukosa Ute wa Kutosha Kwenye Uke (Vaginal Dryness)

Estrogen inapopungua, uke unaweza kuwa mkavu, hali inayoleta maumivu wakati wa tendo la ndoa na kufanya mimba kuwa vigumu kutokea.

8. Matatizo ya Tezi ya Thyroid na Uzazi

Hypothyroidism (tezi kufanya kazi kwa kiwango cha chini) au hyperthyroidism (tezi kufanya kazi kupita kiasi) vinaweza kuathiri uzazi kwa kusababisha ovulation isiyo ya kawaida

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kishini afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share