Topten

Topten Kituo cha Tiba Mbadala kinachopatikana Mbezi Kwa Msuguri DSM na Mafinga Iringa. Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255757298270

Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255758298270

KIVUMBASI.. MMEA HUU ULIKUSAIDIA KUTIBU UGONJWA GANI....???
13/01/2026

KIVUMBASI.. MMEA HUU ULIKUSAIDIA KUTIBU UGONJWA GANI....???

Kikawaida tumezoea watoto huanza kutembea wanapofikisha miezi 8 hadi mwaka na kidogo, lakini kuna baadhi huwa wanafika h...
13/01/2026

Kikawaida tumezoea watoto huanza kutembea wanapofikisha miezi 8 hadi mwaka na kidogo, lakini kuna baadhi huwa wanafika hadi miaka miwili au zaidi na bado hawajatembea, sasa hili ni tatizo na ndio nataka kulitolea ufumbuzi hapa. Ikiwa mtoto wako anasumbuliwa na shida hiyo tafuta udongo wa kichuguu (vile vichuguu ambavyo huwa tunachimba kwa ajili ya kupata mchwa kwa ajili ya kulisha vifaranga vya kuku) kichuguu hicho kiwe bado kina mchwa. Ponda ponda kichuguu hicho upate unga laini kabisa, loweka kidogo kwenye maji kisha koroga na umnyweshe mtoto kutwa mara 2 kwa siku 7 hadi 10 atatembea.

Ikiwa unatamani kujifunza mengi kuhusu tiba asili jipatie kitabu chetu cha TIBA ASILIA ndani yake utajifunza jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 75 ukiwa nyumbani kwako. Kitabu hiki ni softcopy unakipokea kupitia Whatsapp au email Kwa tshs 5000 tu

Wasiliana nasi kwa
wa.me/255676298270
wa.me/255676298270

Kwa Nini watu wanaogopa kupanda miti hii?
12/01/2026

Kwa Nini watu wanaogopa kupanda miti hii?

DAWA YA KIFAFA:Kwa kifupi naweza kusema Kifafa ni degedege kubwa. Ni ugonjwa unasababisha mtu anadondoka na kupoteza fah...
12/01/2026

DAWA YA KIFAFA:

Kwa kifupi naweza kusema Kifafa ni degedege kubwa. Ni ugonjwa unasababisha mtu anadondoka na kupoteza fahamu kabisa, japo hadi sasa hakuna jibu la moja kwa moja kuwa tatizo hilo husababishwa na kitu gani, kila jamii imekuwa na utaratibu wake wa kupambana na tatizo hili ila njia ambayo imekuwa ikitumia katika jamii nyingi na kuonesha matokeo mazuri ni matumizi ya Ngulukila (Parasite Plant).Ngulukila (Parasite Plant) ni mimea ambayo huota juu ya mmea mwingine na majani yake huwa ni mapana k**a mtopetope pori.
Sasa unatakiwa kutwanga majani hayo na kuyaloweka kisha mgonjwa anywe kikombe kimoja kutwa mara tatu kwa siku 10 hadi 21 kwa uwezo wa Mungu atakuwa amepona kabisa.

Endapo umependa mada hii na unapenda kujua jinsi ya kujitibia maradhi tofauti tofauti ukiwa nyumbani, unaweza kupata kitabu chetu ambacho tumeelezea jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 60. Kitabu hicho ni soft copy (digital book) na unaweza kukipata kupitia whatsapp au email yako kwa shilingi 5000/- tu. Wasiliana nasi kupitia
wa.me/255676298270.

ULIWAHI TUMIA HIKI KIFAA, TUAMBIE ILIKUWA MWAKA GANI...??? 😂😂😂
12/01/2026

ULIWAHI TUMIA HIKI KIFAA, TUAMBIE ILIKUWA MWAKA GANI...??? 😂😂😂

KARIBU NYUMBANI KWETU.🙏
12/01/2026

KARIBU NYUMBANI KWETU.🙏

11/01/2026

Unabisha ulikuwepo 😂😂

TUNAHAKIKISHA MWAKA HUU KABLA KUISHA UNAITWA MAMA  NDIO. IKO HIVI TUMEANDAA WHATSAPP GROUP NI KWA AJILI YA WANAOTAKA KUI...
11/01/2026

TUNAHAKIKISHA MWAKA HUU KABLA KUISHA UNAITWA MAMA NDIO. IKO HIVI TUMEANDAA WHATSAPP GROUP NI KWA AJILI YA WANAOTAKA KUITWA MAMA TU.
1. Tutahakikisha kila mwezi tunakuelekeza siku za hatari kulingana na mzunguko wako
2.Tutahakikisha Tunakuelekeza vyakula bora kutumia wakati wa siku za hatari ili kuchochea hormone.
3. Tutahakikisha tunakueleza siku za mtoto wa k**e na kiume ili uchague jinsia.
4. Tutahakikisha ukishika ujauzito unajifungua salama kwa kukupa Utaratibu sahihi wakati wa ujauzito.
5. Tutatoa suluhisho na msaada wa karibu kwa wote wenye shida ya uzazi.

GROUP HILI THAMANI YAKE YA KUJIUNGA NI Tsh. 10,000/- Ila Kwa leo Watu kumi wa kwanza watapata OFA KWA Tsh. 5,000/- TU.

TUMA NENO "MAMA KIJACHO" kwenda.
wa.me/255757298270
wa.me/255757298270

11/01/2026
SEHEMU GANI ULIWAHI KUUZIWA MIHOGO BEI KUBWA MPAKA LEO HUTAMANI KUPASIKIA NA ILIKUWA BEI GANI....😂😂😂
11/01/2026

SEHEMU GANI ULIWAHI KUUZIWA MIHOGO BEI KUBWA MPAKA LEO HUTAMANI KUPASIKIA NA ILIKUWA BEI GANI....😂😂😂

Kuitwa MWANAUME sio jambo dogo, siku hizi ndoa nyingi zimekuwa hazitulii kwa sababu hakuna mafunzo maalum yanayotolewa k...
10/01/2026

Kuitwa MWANAUME sio jambo dogo, siku hizi ndoa nyingi zimekuwa hazitulii kwa sababu hakuna mafunzo maalum yanayotolewa kwa ajili ya watoto wa kiume pindi wanapojiandaa kuingia kwenye ndoa .

Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa mafunzo mengi yanatolewa upande wa wanawake tu na wanaume tumekuwa tukiachwa k**a vile tunajua kila kitu . Na wakati sisi ndio tulipaswa tuwe na mafunzo ya kutosha kwa sababu ndio tunakwenda kuwa viongozi wa familia zetu.

Kiongozi lazima uwe na taarifa sahihi kuhusu wale unaokwenda kuwaongoza na jinsi unavyotakiwa kuongoza kwa weledi na uweze kupata matokeo bora kwenye uongozi wako.

Ili kuhakikisha wewe k**a mwanaume unakuwa bora katika majukumu yako na kuwa MWANAUME KAMILI. Elimu yote muhimu nimekuwekea ndani ya kitabu, kitabu hiki Gharama yake ni Tsh 10,000/- ila Leo Nitakupa kwa Ofa ya Tsh 4,000/- Tu OFA HII ITAISHA LEO SAA 12 :00 JIONI.
WASILIANA NASI KUPATA KITABU
wa.me/255676298270
wa.me/255676298270

USIACHE KUFANYA IBADA YA MAOMBI YA FUNGA KWA SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO TENA, TUMIA DAWA HII KUKOMESHA VIDONDA VYA TUMB...
09/01/2026

USIACHE KUFANYA IBADA YA MAOMBI YA FUNGA KWA SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO TENA, TUMIA DAWA HII KUKOMESHA VIDONDA VYA TUMBO.

1.Unga wa Manjano.
2. Asali.

Chukua maji ya vugu vugu kikombe kimoja cha chai kisha chukua kijiko kodogo cha chai cha unga wa majano weka kwenye maji hayo na ukoroge vizuri kisha weka kijiko kimoja kikubwa cha Asali kwenye mchanganyiko huo koroga tena na mgonjwa anywe kikombe kimoja kutwa mara tatu .tumia dawa hii kwa wiki tatu hadi mwezi kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu utakuwa umepona kabisa.

IKIWA UNASUMBULIWA NA VIDONDA KWA MUDA MREFU NA SEHEMU ULIPO HUWEZI PATA AU KUANDAA DAWA HIYO USISITE KUWASILIANA NASI KWA MSAADA ZAIDI.

Address

Ubungo
Dar Es Salaam
34599

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Topten posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Topten:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram