Afya bora Hub

Afya bora Hub Nawasaidia Watu Wenye Changamoto za Kiafya Kupata Matokeo Wanayoyataka Kupitia Virutubisho Na Matunda

06/04/2025
Je,Unakosa Amani Kwa Maumivu Ya Tumbo Yasiyoisha
04/04/2025

Je,Unakosa Amani Kwa Maumivu Ya Tumbo Yasiyoisha

FAIDA YA BAMIA KIAFYA >Chukua bamia mbichi ukawa unatafuna pamoja na mdimu kila siku asubuhi k**a ulikuwa na kinyama kwe...
02/06/2024

FAIDA YA BAMIA KIAFYA

>Chukua bamia mbichi ukawa unatafuna pamoja na mdimu kila siku asubuhi k**a ulikuwa na kinyama kwenye mlango wa choo(Anus/Puru) kalichotokana na ugonjwa wa Bawasiri kanaweza kukauka chenyewe.

>K**a una ujauzito na unapanga siku ya kujifungua usipate shida ya mtoto kupita, kula sana mlenda wa bamia kila siku. Itakusaidia kujifungua salama na kwa urahisi.

>Ikiwa wewe ni mwanaume na mbegu zako ni nyepesi mfano wa maji maji hazina uwezo, basi jitahidi kula bamia pamoja na karanga (au korosho) wiki tatu zaweza kuwa nyingi sana utaona matokeo chanya ambapo zikiingia popote zinatungisha mimba.

>K**a wewe ni mtu mwenye vidonda au hauna vidonda vya tumbo na unataka usije kuvipata, kula kwa wingi bamia, ule mlenda wake unazuia pia Saratani ya tumbo.

>K**a wewe ni mwanamke na uke wako ni mkavu sana, hivyo kwenye tendo la ndoa unachubuka na kuumia kula bamia.

>K**a ulikuwa hujui bamia pia inasaidia kuongeza Cd4 na zingine Cd8, k**a alikuwa hujui Cd8 ni kinga za Saratani ndiyo maana ukila kwa wingi bamia hasa wanawake huwezi kuugua saratani (cancer) ya t**i au uzazi (Breast Cancer and Cervical Cancer).

>Kwa wagonjwa wa Kisukari ambao wao wakila bamia kwa kufululiza huwapa ahueni kubwa kwani hutuliza sukari vyema kwenye mwili kwa ufanisi mkubwa.

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .2.Uume unasin...
01/06/2024

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa baada au kabla ya tendo la ndoa

7.kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8.Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tubia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .

Kwa msaada zaidi:

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa baada au kabla ya tendo la ndoa

7.kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8.Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tu tumia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .k**a Utakua Na changamoto hii Tuwasiliane +255 682 340 978

TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBOVidonda vya tumbo ni matokeo ya kuharibika na kulika kwa kuta za mfumo wa mmeng'enyo wa chaku...
31/05/2024

TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo ni matokeo ya kuharibika na kulika kwa kuta za mfumo wa
mmeng'enyo wa chakula. Kuta ambazo hushambuliwa na vidonda ni
1. kuta za tumbo
2. kuta za sehemu ya chini ya koo la chakula.
3. kuta za sehemu ya kwanza ya utumbo mwembamba.

DALILI
Dalili za vidonda vya tumbo ni pamoja na;
1. Maumivu ya tumbo toka maeneo ya chini ya tumbo mpaka kifuani.
2. Kinyesi kinakuwa na rangi nyeusi au kijivu.
3. Kutapika damu
4. Kupungua uzito.
5. Kichefuchefu na kutapika.
6. Kupoteza hamu ya kula.
7. Kiungulia.
K**a vidonda vya tumbo havitatibiwa kwa wakati huweza kusababisha madhara
makubwa ambayo tiba yake itahitaji uangalizi mkubwa na unaweza kuwa na gharama
kubwa sana. k**a utaona dalili hizi basi ni vyema kumuona daktari kwa maana dalili
hizi huashiria tatizo limekuwa kubwa zaidi, sababu hizo ni;
1. Kizunguzungu
2. maumivu makali ya kichwa
3. kinyesi cheusi ambacho kinaweza ambatana na damu.

ZINGATIA

Kuna wakati unapojaribu kutibu vidonda vya tumbo inashindikana, huwa inatokea na hii
husababishwa na sababu kuu zifuatazo, yawezekana una maambukizi ya bakteria zaidi
ya mmoja. Yawezekana una ugonjwa mwingine katika mfumo wa mmeng'enyo wa
chakula.
Hivyo basi k**a una tatizo la vidonda vya tumbo tuwasiliane
0682340978

VYAKULA 8 VINAVYSAIDIA KUSHIKA MIMBA HARAKA Ikiwa Unatamani Kushika Mimba Haraka Basi Anza Sasa Kutumia Kwa Wingi Vyakul...
03/04/2024

VYAKULA 8 VINAVYSAIDIA KUSHIKA MIMBA HARAKA

Ikiwa Unatamani Kushika Mimba Haraka Basi Anza Sasa Kutumia Kwa Wingi Vyakula Vifuatavyo:-

1.✅Ndizi Mbivu.
2.✅Kabeji.
3.✅Machungwa Na Matunda Mengine Ya Jamii Hii.
4.✅Mananasi.
5.✅Viazi Mviringo.
6.✅Viazi Vitamu.
7.✅Samaki Wabichi.
8.✅Mboga Za Majani.
9.✅Parachichi.

K**a Utajitahidi Kula Vyakula Hivyo Kwa Wingi Uwezekano Wa Kushika Mimba Unakuwa Ni Mkubwa Sana.Lakini Pia Unapaswa Kuepuka Kutumia Vitu Vifuatavyo.

1.❌Pombe.
2.❌Sigara.
3.❌Bidhaa Za Viwandani.
4.❌Madawa Ya kuzuia Usingizi.
5.❌Kahawa.
6.❌Sukari.
7.❌Vyakula Vilivyokobolewa.
9.❌Maziwa.

ZINGATIA
Swala La Kutafuta Watoto Ni Jambo La Pande Mbili Mr And Mrs Sasa Mshirikishe Mr Au Mrs Muweze Kutimiza Uzazi Wenu.

AFYA BORA NDIO FURAHA YETU.
Tuendelee Kuboresha Afya Zetu Bila Kukata Tamaa tafadhali eeeh .....

ATHARI ZA MWANAMKE KUTOKUFIKA KILELENI. Tatizo hili la mwanamke kutofikishwa kileleni wakati wa kujamiiana huitwa ‘Femal...
23/03/2024

ATHARI ZA MWANAMKE KUTOKUFIKA KILELENI.

Tatizo hili la mwanamke kutofikishwa kileleni wakati wa kujamiiana huitwa ‘Female Or****ic Disorders’ kufika kileleni tunaita ‘orgasm’ au ‘climax’. Kila mwanamke ni lazima afike kileleni wakati wa tendo hili. Hii ni hali ya kimaumbile ambayo imeumbwa na Mungu.

Mwanamke hufika kileleni pale anapokuwa amesisimka kwa kiwango cha hali ya juu. Hali ya msisimko kwa mwanamke tunaita ‘sexual arousal’ na huanzaia pale mwanamke anapokuwa na hamu ya tendo hili la kujamiiana yaani ‘sixual desire’.Kwa kawaida msisimko hukolezwa wakati wa maandalizi ya tendo au ‘romance’ kwa kutumia milango mitano ya fahamu.
Kila mwanamke ana jinsi yake ya kusisimka wakati huu wa maandalizi kutegemea na aina ya mlango wa fahamu unaomsukuma, mfano kuona, kusikia, kugusa, kuonja na kunusa. Wapo wanawake wanaosisimka na mlango mmoja, wengine miwili au zaidi.

MAANA YA KUFIKA KILELENI.

Tunaposema mwanamke au mwanaume amefika kileleni katika tendo ni pale amefika kiwango cha juu cha msisimko na raha katika tendo hilo. Mwanaume huanza kusisimka katika sehemu ya mbele ya dhakari na mwanamke huwa na sehemu maalumu.

Msisimko hubebwa na mishipa ya fahamu ya kiuno, uti wa mgongo hadi katika ubongo ambapo kiwango cha juu hufikiwa na mwanaume hutoa manii na mwanamke hutoa majimaji sehemu ya siri. Mwanamke hufikia mwisho wa tendo kwa muda huo lakini kutokana na hali ya kimaumbile mwanamke anaweza kuendelea na akafikia tena na tena kileleni.

Mwanamke ana sehemu maalumu ukeni ambazo zinapopata mguso na msuguano humwezesha afike kileleni. Sehemu hizi kitaalamu zinaitwa ‘Grafenberg Spot’ au G. spot. Sehemu hii inapatikana ukeni kwa ndani. Iligunduliwa miaka ya nyuma na daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama wa Ujerumani aitwaye Ernest Grafenberg.

Sehemu hii inamletea mwanamke msisimko wa nguvu na kumfanya amalizie raha yake ya kujamiiana kwa kishindo kikubwa ‘ Powerful Orgasm’ na kutoa majimaji ukeni ‘Female ejaculation’. Majimaji haya yanapomtoka mwanamke bado haijajulikana hasa yanatoka sehemu gani katika eneo hilo ingawa baadhi wanasema ni mkojo unatoka mara moja kwa kishindo, wengine wanasema yanatoka katika vitezi vidogo nyuma ya njia ya mkojo ‘Paraurethral ducts’.
Vitezi hivi pia baadhi ya wataalamu huvifananisha na tezi dume kwa mwanaume, kwani kazi ya tezi dume ni kutoa majimaji au manii wakati wa kufikia mshindo au kilele. Ili kuamsha G spot mwanamke afike kileleni inatakkiwa uume uwe na nguvu za kutosha vinginevyo ni vigumu kufikia hapo. Sio lazima uume uwe mkubwa au mrefu ila unatakiwa uwe na uwezo na nguvu za kutosha kuhakikisha kua mwanamke anafikia kileleni. Na SIO RAHISI KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI WAKATI HUWEZI KUHIMILI TENDO KWA MUDA HATA WA DAKIKA 5. Kwa wanaume wanaomwaga mapema hawawezi kabisa kuwafikisha wake/wapenzi wao kileleni.

ATHARI ZA TATIZO.

Mwanamke ambaye hafiki kileleni wakati wa tendo la ndoa, yupo hatarini kupoteza hamu ya tendo la ndoa hivyo basi kukosa msisimko wa tendo na
ieleweke kwamba, mwanamke ambaye hafiki kileleni hupata hamu k**a kawaida pale tatizo linapoanza , pia hupata msisimko ambao haufiki mshindo kutokana na kukatizwa na mumewe endapo mumewe anawahi kumaliza tendo, au na hali ya mazingira na kisaikolojia. Hali hii inapoendelea mara kwa mara mwishowe mwanamke huyu hupoteza kabisa uwezo wa kumaliza tendo kwa mshindo au kufikia kileleni yaani ‘climax’.
Tatizo linapoendelea husababisha mwanamke awe anapata maumivu wakati wa tendo la ndoa. Maumivu haya hutokana na woga au wasiwasi hivyo kusababisha uke uwe mkavu na misuli yake hubana hivyo hata uume unashindwa kupenya.

Mbali na hayo pia anapata matatizo ya maambukizi katika mfumo wa mkojo (U.T.I) mara kwa mara ambayo mara nyingi hata yakitibiwa yanajirudia tena na tena.
Hali hii inawaharibu kisaikolojia na kuwafanya wapate Msongo wa mawazo jambo ambalo linaweza kupelekea kudhoofika(kukonda), kupungua kinga ya mwili na hata kupata vidonda vya tumbo (kutokana na kuongezeka kwa kiwango cha tindikali tumboni na kuunguza kuta za tumbo).

Kupata maambukizi ya mara kwa mara kwenyw mfumo wa uzazi k**a vile Fangas za ukeni,PID n.k.

SULUHISHO.

Ni vyema wanaume wakawaandaa wake/wapenzi wao vyema kabla ya kuwaingilia ili waweze kufikia kileleni kwa urahisi. Na kwa wanaume wenye matatizo ya kumwaga/kufika mshindo mapema ni lazima wajiimarishe kwa kufanya mazoezi maalum,kula chakula sahihi,maji na matunda yanayoendana na makundi ya damu ili waweze kua na nguvu na uwezo wa kuhimili tendo kwa muda mrefu jambo ambalo litapelekea kuwatosheleza na kuwaridhisha wenza wao na kuwafikisha kileleni k**a inavyotakiwa ili kufurahia mahusiano yao hasa wanapokua faragha.

"AFYA BORA KWAKO NDIO KITU MUHIMU KWETU, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA"

Kuna raha kuitwa Mama, kuitwa Mama nindoto ya Kila mwanamke, watu wanapitia changamoto mbali mbali ambazo zinawafanya wa...
20/03/2024

Kuna raha kuitwa Mama, kuitwa Mama nindoto ya Kila mwanamke, watu wanapitia changamoto mbali mbali ambazo zinawafanya wasipate watoto.

Kuna Matatizo mbali mbali. Nakushauri k**a uko kwenye ndoa una zaidi ya mwaka unatafuta mtoto basi jitahidi ukafanye vipimo wewe na mumeo.

Labda ushafanya vipimo na umegundulika unatatizo la uzazi na unajitahidi kutafuta suluhisho ila Bado hujapata, usikate tamaa,
Njoo tuwe sehemu ya Msaada kwako.

HIZI NI SIKU ZA KUPATA MIMBA KULINGANA NA MZUNGUKO WAKO.

Siku za Yai kushuka kulingana na mizunguko ya hedhi.

Mzunguko Siku 21 siku ya Yai kushuka ni siku ya 7.

Mzunguko wa siku 22 siku ya Yai kushuka ni ya 8.

Mzunguko wa siku 25 siku ya Yai kushuka ni siku ya 11.

Mzunguko wa siku 26, Yai linashuka siku ya 12.

Mzunguko wa siku 28: Yai linatoka siku ya 14.

Mzunguko wa siku 30. Yai linatoka siku ya 16.

Mzunguko wa siku 32 Yai linachomoza siku ya 18.

Mzunguko wa siku 33, Yai linashuka siku ya 19.

Mzunguko wa siku 35, Yai linashuka siku ya 21.

Note: hizi ni siku za kupata mtoto wakiume tu, kwamaana hiyo k**a utashiriki tendo landoa siku ya Yai kushuka utapata mtoto wa kiume, Ukitaka kupata mtoto wakike shiriki siku tatu kabla ya siku ya Yai kushuka..

Kupata dawa za kuondoa matatizo ya Uzazi, Kuweka hedhi sawa, n.k
-

Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke na mwanaume nicheki Kwa mawasiliano hapo Chini👇👇

"AFYA BORA KWAKO NDIO KITU MUHIMU KWETU, ELIMIKA NA CHUKUA HATUA"

MADHARA YA VIZUIA MIMBA|sindano| vidonge| vipandikizi|Leo tuangalie madhara yawapatayo Baadhi ya Akina Mama watumiapo vi...
12/03/2024

MADHARA YA VIZUIA MIMBA

|sindano| vidonge| vipandikizi|

Leo tuangalie madhara yawapatayo Baadhi ya Akina Mama watumiapo vizuia Mimba.

A. MADHARA YA SINDANO YA KUZUIA MIMBA.

1. Usumbufu wa Hedhi.
2. Kichwa kuuma Mara kwa Mara.
3. Kupata kizunguzungu.
4. Kupata kichefu chefu?
5. Kuongezeka uzito usiokuwa na Faida.
6. Kupata hedhi yenye mabonge mabonge ya damu.
7. kutokwa damu nyingi zaidi ya siku 4 wakati wa hedhi.

B. MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA.

1. Huathiri mfumo wa uzazi kwa ndani.
2. Huongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga.
3. Kuumwa kichwa mara kwa mara.
4. Kupata kichefu chefu.
5. Kutopata hedhi kwa Baadhi ya Wanawake.
6. Kubadilika kwa Mwenendo wa Damu(Hedhi)
7. Huathiri ini kidogo kidogo.
8. Kupata kisukari.
9. Kupata ugonjwa wa Moyo.
10. Kupooza upande mmoja.
11. Kupata hedhi yenye mabonge mabonge.
12. Kutokwa Damu nyingi wakati wa hedhi kwa zaidi ya siku 3.

C. MADHARA YA KITANZI CHA KUZUIA MIMBA.
1. Utokaji ovyo wa Damu.
2. Kutoboka mfuko wa uzazi.
3. Kuongezeka upana wa uke na kufungua lupa na kufunga kwa uzazi.
4. Kutoka hedhi yenye mabonge mabonge ya damu.
5. Kutokwa Damu nyingi wakati wa hedhi kwa zaidi ya siku 3.

D. MADHARA YA KIJITI.
1. Husababisha kansa.
2. Kuchanganyikiwa kwa akili.
3. kupata shinikizo la Damu (Presha)
4. Kupata maumivu makali wakati wa kujaamiana.
5. Kutoka hedhi yenye mabonge mabonge ya Damu.
6. Kutokwa Damu nyingi wakati wa hedhi kwa zaidi ya siku 3.

N.B

Kwa Wale Wote Ambao Tayari Wameshaathirika na matumizi haya

• Yawezekana nzunguko wako umebadilika

• Unapata maumivu chini ya Kitovu

• Unapata maumivu wakati wa tendo nakutokwa na damu wakati wa kusex

• Unapata hedhi ndefu na uke kulegea mtepeto

• Haupati kabisaa na hauna mimba

Kwanini Hutokwa na damu nyingi au damu yenye mabonge mabonge?kwa sababu mimba inapotungwa uharibiwa na vizuia mimba.

Na dalili nyingine k**a hizo,

SOLUHISHO
Ipo njia ya kukusaidia kuweza kutibu madhara hayo hapo juu kwa njia ya virutubisho lishe ya vyakula na mboga mboga (SYO DAWA WALA MITISHAMBA) na kurudi katka ubora wako wa kawaida k**a wewe ni mmoja wa watumiaji.

Hata k**a sio wewe basi unae mtu/rafiki/ ndugu mwenye tatizo k**a hili msaidie kwa kumpa taarifa ili aweze kupata matibabu

MFALME PENDELEA KULA;-Tikiti-Korosho -Almonds-Avocado-Kitunguu Saumu-Zabibu nyekundu -Mbegu za maboga1️⃣ KUEPUKA PREMATU...
12/03/2024

MFALME PENDELEA KULA;

-Tikiti
-Korosho
-Almonds
-Avocado
-Kitunguu Saumu
-Zabibu nyekundu
-Mbegu za maboga

1️⃣ KUEPUKA PREMATURE EJ*******ON (DK 30)~Super Vi**ra

-Tikiti robo
-Limao 1
-Tangawizi 1 kubwa
-Glass 1 ya maji

Saga kisha chuja, kunywa nusu saa kabla ya mchezo.

2️⃣ AVOID PREMATURE EJ*******ON (dk 40)

- Parachichi 1
- Ndizi 3
-Tende 3
-Tango ½
-Tikiti robo

3️⃣ VYAKULA KINGA DHIDI YA SEKUNDE 3

- Chocolate Nyeusi 4
- Ndizi 2
- Parachichi 1
- Karoti

4️⃣ ONGEZA NGUVU ZA KIUME

- Ndizi 3
- Karanga/korosho
- Asali Mbichi vijiko 4
- Maziwa (Glass 1)

Saga, kunywa mara moja kwa siku kwa muda wa wiki 3.

Maziwa tumia kwa muda kisha acha.

5️⃣Wiki Moja
1.Karanga
2.Korosho
3.Mbegu za Maboga
4. Ndizi
5. Parachichi
6. Maziwa
Mbegu za Maboga nusu kikombe wiki 1

MAUMIVU YA KOOO (DALILI ZA SARATANI)Maumivu ya koo ni dalili ya hisia za kuhisi maumivu, ukavu au kukwanguliwa kwa koo. ...
10/02/2024

MAUMIVU YA KOOO (DALILI ZA SARATANI)

Maumivu ya koo ni dalili ya hisia za kuhisi maumivu, ukavu au kukwanguliwa kwa koo. Tatizo hili huwapata watu wengi duniani.

Mara nyingi maumivu ya koo husababishwa na maambukizi ya virusi na hewa kavu kwenye mazingira na mara nyingi dalili hii hupotea yenyewe bila matibabu.

Dalili ya maumivu ya koo pia inaweza kuelezewa na watu wengine k**a, koo kuwaka moto, koo kuchomachoma, koo kukwaruza na koo kukaba

Aina

Kuna aina tatu za maumivu ya koo zinatokana na sehemu ya koo iliyoathiriwa, aina hizo ni;

Maumivu kutoka kwenye uvimbe wa koromeo (pharynx)

Maumivu kutoka kwenye uvimbe wa findo ( tonsils)

Maumivu kutoka kwenye uvimbe wa zoloto (larynx)

Vishiria

Viashiria vya maumivu ya koo ni pamoja na;

Hisia za kukwanguliwa koo

Hisia za kuungua koo

Kukauka kwa koo

Kukereketa kwa koo

Maumivu ya koo likishikwa

Kuonekana kwa usaha au mabaka meupe kwenye koo

Dalili zinazo ambatana na maumivu ya koo

Dalili zingine zinazoweza ambatana na maumivu ya koo ni pamoja na;

Homa na kutetemeka

Kikohozi

Kubadilika kwa sauti

Kuchuruzika kwa k**asi

Kujaa kwa k**asi puani

Kupiga chafya

Kupoteza hamu ya kula

Kushindwa kumeza au maumivu wakati unameza chakula

Kuvimba kwa mitoki shingoni

Maumivu ya kichwa

Dalili

Endapo una maumivu ya koo yanayoambatana na dalili zifuatazo, wasiliana na daktari wako haraka kwa uchunguzi na tiba;

Kukak**a kwa shingo

Kukohoa damu au kutoa mate yeye damu

Kushindwa kufungua kinywa

Kushindwa kumeza chakula

Kushindwa kupumua vema au maumivu ukiwa una pumua

Kuwa na homa nyuzi joto zaidi ya 38

Maumivu makali ya koo

Maumivu ya koo yaliyodumu zaidi ya wiki moja

Maumivu ya mungio ya mwili

Maumivu ya shingo

Maumivu ya sikio

Visababishi

Kuna hali na magonjwa mbalimbali yanayoweza kusababisha maumivu ya koo ambayo yameorodheshwa hapa chini, kusoma zaidi nenda katika Makala husika ndani ya tovuti hii ya JASMO Afyatips Google. Visababishi hivi vimeorodheshwa kutegemea kipi kinasababisha kwa asilimia kubwa

Maambukizi ya virusi kwenye koo k**a kirusi cha influenza, mononucleosis, measle na chickenpox

Maambukizi ya bakteria kooni k**a bakteria Streptococcus, gonorrhea na chlamydia

Mzio kwenye poleni, vumbi la ndani ya nyumba. Kemikali kwenye mzingira au dawa mbalimbali za kunywa na kuua wadudu

Hewa kavu kwenye mazingira

Uvutaji wa sigara au tumbaku na matumizi ya kemikali mbalimbali zinazochokoza koo

Majeraha kwenye koo

Ugonjwa wa Kucheua tindikali huu husababisha kuungua kwa koo

Saratani ya koo

Vipimo

Mara nyingi maumivu ya koo huchunguzwa kwa historia ya ugonjwa na dalili kabla ya kupewa dawa. Endapo kuna uhaja wa vipimo, vipimo muhimu kufanyika ni;

Kipimo cha kuotesha vimelea kutoka kwenye sampuli inayochukuliwa kooni- malengo yakiwa kutambua bakteria wanaosababisha maumivu ya koo, majibu ya kipimo hiki huchukua masaa 24 hadi 48 kutoka. Kipimo hiki hufahamika kitiba k**a ‘throat culture’

Kipimo cha cha antigeni, kipimo hiki majibu yake hupatikana hapo hapo

Kipimo cha kutambua moja kwa moja kimelea streptococcus

Matibabu

Matibabu ya maumivu ya koo hulenga kwenye tiba ya kisababishi k**a vilivyoorodheshwa hapo juu, ni vema ukawasiliana na daktari wako ili kufahamu ni dawa gani inafaa kwako. Baadhi ya tiba huhusisha;

Matibabu ya dawa za kuondoa maumivu k**a acetaminophen(panado), ibuprofen au aspirin(haifai kwa watoto na vijana wadogo). Kumbuka dawa hizi haziondoi tatizo bali zinapunguza maumivu tu

Dawa za kuzuia kikohozi, phenol na methanol - hizi hazitibu tatizo bali hupunguza dalili tu. Dawa hizi huwa na kemikali zinazoleta ganzi kwenye koo hivyo utapoteza hisia za maumivu lakini tatizo litaendelea kuwa pale pale

Dawa za kuzuia uzalishaji wa tindikali, kwa wagonjwa wa kucheua tindikali. Dawa hizo ni k**a vile omeprazole, pantoprazole, cimetidine, famontidine n.k

Dozi ya dawa jamii ya corticosteroid

Dawa za antibiotic, kupambana na maambukizi ya bakteria kwenye koo au au za antiviral ili kupambana na maambukizi ya virusi endapo ndo kisababishi.

Madhara ya maumivu ya koo kutokana na maambukizi ya bakteria

Maambukizi ya koo kwa watoto huweza kupelekea bakteria kuingia kwenye damu na kufika kwenye moyo na mapafu. Bakteria wanapofika kwenye moyo, hujizalia kwa wingi kwenye milango ya moyo na hivyo kusababisha homa ya moyo (rheumatic fever) na nimonia. Endapo magonjwa haya hayatatibiwa ipasavyo mtoto anaweza kupata madhara makubwa zaidi k**a vile ugonjwa wa rheumatism ya moyo

Kinga

Kujikinga na maumivu ya koo unaweza fanya mambo yafuatayo

Kaa mbali na mtu anayeumwa koo kutokana na maambukizi ya bakteria au virusi

Nawa mikono mara kwa mara unaposhika vitu kabla ya kula au kuweka vidole kinywani

Jizuie na vyakula vyenye viungo na pilipili kwa wingi

Acha kutumia na kaa mbali na kemikali mbalimbali zinazochokoza koo pamoja na moshi wa sigara

Kwa wale wanaofanya ngono inayohusisha kulamba au kunyonya uke au ume, ni vema kuepuka kwa kuwa maeneo haya huwa na bakteria na virusi wanaoweza kuleta shida kwenye koo lako

UGONJWA HUU UKIKAA KWA MUDA MREFU BILA MATIBABU YA HARAKA HUDANABISHA SARATANI YA KOO (CANCER) NA KANSA HAINA TIBA UTAPIGWA MIONZI KUONGEZA SIKU ZA KUISHI KUSUBILIA KUFA.

NINI KINAFANYA MWANAUME ASHINDWE KUITWA BABA?Ugumba au utasa kwa mwanaume unaweza kusababishwa na uzalishaji mdogo wa mb...
04/02/2024

NINI KINAFANYA MWANAUME ASHINDWE KUITWA BABA?

Ugumba au utasa kwa mwanaume unaweza kusababishwa na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, ufanyaji kazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa mirija ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume.

Magonjwa, majeraha, matatizo sugu ya kiafya, uchaguzi mbaya wa mtindo wa maisha na mambo mengine yanaweza kuchangia utasa kwa mwanaume.

Kutoweza kupata mtoto kunaweza kuwa mfadhaiko mkubwa sana katika maisha yako lakini matibabu kadhaa yanapatikana kwa ajili ya kuomdoa kabisa tatizo la ugumba au utasa kwa mwanaume.

Je, Dalili Za Mwanaume Mgumba Zinakuwaje?

Ishara kuu ya ugumba kwa mwanaume ni kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto. Kunaweza kuwa hakuna dalili nyingine dhahiri au kusiwepo Dalili kabisa.

Hata hivyo, katika baadhi ya matukio, tatizo la msingi k**a vile ugonjwa wa kurithi, kutofautiana kwa homoni, mishipa iliyopanuka kwenye korodani au hali inayozuia mnegu kupita husababisha dalili au ishara. Ishara ambazo unaweza kugundua ni pamoja na:
Kushindwa kumwaga mbegu au kutoa mbegu nyepesi,
Kuhisi maumivu kwenye korodani Korodani kuvimba Maambukizi ya kifua yanayojirudia mara kwa mara
Kutokuwa na uwezo wa kunusa kitu
Mat**i kuwa makubwa k**a ya mwanamke Nywele kunyonyoka Mbegu kuwa nyepesi

Je, Nini Kitakufanya Ufike Hospitali?

Utafika hospitali kumuona daktari ikiwa hujaweza kupata mtoto baada ya mwaka wa kujamiiana bila kinga au mapema zaidi ikiwa una mojawapo ya yafuatayo:
Kushindwa kudindisha Kukosa hamu ya tendo la ndoa Unapohisi chango au maumivu kwenye korodani Unapokuwa na mwenza mwenye umri wa miaka 35

Je, Nini Husababisha Hali Hii?

Uwezo wa mwanaume kuzaa ni mchakato mgumu. Ili kumpa mpenzi wako mimba, yafuatayo lazima yafanyike:
Lazima utoe mbegu zenye afya Mbegu lazima zibebwe na manii Mbegu lazima ziwe na uwezo wa kufanya kazi pia na kusafiri kwa mwendo kasi.

Je, Madhara Yake Ni Nini?

Mwanaume anaposhindwa kuwa na uwezo wa kumpa mwanamke mimba, Madhara yanayofuata huwa ni pamoja na:
Msongo wa mawazo Mahusiano kuharibika Kupatwa na magonjwa k**a vile saratani ya utumbo mpana, nk.

Address

Mwananchi
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255682340978

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya bora Hub posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram