02/03/2026
Hakuna haja ya kutumia chumba kikuuuubwaaaaa! Kwa ajili ya biashara ya kukoboa. Unaweza kupata mashine hizi za kisasa zenye umbo dogo za kukoboa au kusaga mahindi,mpunga n.k.
Kwenye picha hii ni mashine ya kukoboa, inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 150 hadi 200 kwa saa. Bei ni 1,500,000/= . Hii ni ya kukoboa tu! Popote mzigo tunatuma.
Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614.