Thebridgegulio

Thebridgegulio Tupo DSM Sinza Mori, mtaa wa nyuma ya Delina Apartment . Agiza kutoka China/Nunua dukani DSM: WhatsApp : +255715316614
Tufollow Insta

Hakuna haja ya kutumia chumba kikuuuubwaaaaa! Kwa ajili ya biashara ya kukoboa. Unaweza kupata mashine hizi za kisasa ze...
02/03/2026

Hakuna haja ya kutumia chumba kikuuuubwaaaaa! Kwa ajili ya biashara ya kukoboa. Unaweza kupata mashine hizi za kisasa zenye umbo dogo za kukoboa au kusaga mahindi,mpunga n.k.

Kwenye picha hii ni mashine ya kukoboa, inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 150 hadi 200 kwa saa. Bei ni 1,500,000/= . Hii ni ya kukoboa tu! Popote mzigo tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


Mashine za kisasa za kusaga vitu vyote vikavu unavyohitaji viwe unga mfano mahindi,mchele, wanaotengeneza unga lishe, vi...
02/03/2026

Mashine za kisasa za kusaga vitu vyote vikavu unavyohitaji viwe unga mfano mahindi,mchele, wanaotengeneza unga lishe, viungo na chochote kikavu unachohitaji kiwe unga. WATU WANAOPATA SHIDA KUSAGA MWANI, HII MASHINE NDIO KIBOKO YA MWANI.

Mashine inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 300 hadi 500 kwa saa. Bei ni 1,499,000/= Hii ni ya kusaga tu! Popote tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, namba ya simu/Whatsapp 0715 316 614.

Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusag...
02/03/2026

Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

02/03/2026

Tunazo mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

02/03/2026

Mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

28/02/2026

Zipo tayari mashine za kukamua juice ya miwa, za kusukuma tu kwa mkono bei ni 730,000/=.

Tunapatikana SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS, popote tunatuma, namba ya dukani ni 0715 316 614.

Zipo tayari mashine za kukamua juice ya miwa, za umeme bei ni 1,390,000/= na za kusukuma tu kwa mkono bei ni 730,000/=. ...
28/02/2026

Zipo tayari mashine za kukamua juice ya miwa, za umeme bei ni 1,390,000/= na za kusukuma tu kwa mkono bei ni 730,000/=. Pia tunazo za kutumia mafuta(Petroli) 1,490,000/=. ( Pichani ni mashine ya umeme 1,390,000/=)

Tunapatikana SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS, popote tunatuma, namba ya dukani ni 0715 316 614.

Tunazo ofisini mashine za kukamua juice ya miwa zinazotumia mafuta ya PETROL,  Bei 1,490,000/= na mashine tayari zipo of...
28/02/2026

Tunazo ofisini mashine za kukamua juice ya miwa zinazotumia mafuta ya PETROL, Bei 1,490,000/= na mashine tayari zipo ofisini kwetu.

Uzalishaji ni zaidi ya kilo 150 kwa saa, Engine (Petroli 7.5HP). Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Simu/Whatsapp 0715 316 614.

Mvua zikinyesha wale kumbikumbi wanaofuata taa barazani unawakuta sebuleni? Maji Je?Zipo dukani raba za kuzuia wadudu,vu...
27/02/2026

Mvua zikinyesha wale kumbikumbi wanaofuata taa barazani unawakuta sebuleni? Maji Je?Zipo dukani raba za kuzuia wadudu,vumbi, mchanga n.k kupita mlangoni, sasa bei ni 10,000/= tu! na size yake ni 93cm. Kwa uzoefu wetu kwa mlango wa nyuma raba moja tu inatosha, mlango wa mbele mara nyingi huwa ni raba moja na nusu hivyo uchukue mbili.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment na mawasiliano yetu utatupata kwa kawaida (kutupigia) au Whatsapp kwa namba 0715 316 614.

ODA (Pre-oder):Mashine ya kuosha na kumenya tu!Inaosha na kumenya viazi,tangawizi n.k Oda inachukua siku 45 hadi 60.👉🏽Be...
26/02/2026

ODA (Pre-oder):Mashine ya kuosha na kumenya tu!Inaosha na kumenya viazi,tangawizi n.k Oda inachukua siku 45 hadi 60.

👉🏽Bei:1,350,000/= (150-240kg/h) na 1,600,000/= (500-700kg/h) na unaanza kulipia mwanzoni 70% ya bei mzigo ukifika unamalizia 30%.

👉🏽Tulipo: China na DSM, Sinza Mori jirani na Delina Apartment.

👉🏽Mikoani: Mzigo ukifika utatumiwa ulipo, utalipia nauli.

👉🏽Maelezo zaidi:Piga Simu/Tuma ujumbe WhatsApp 0715316614

PREORDER:Mashine ya KUOSHA, KUMENYA, na KUKATA viazi vya chips na crips.Uwezo: 300kg/Saa. Inatumia umeme wa majumbani.Be...
26/02/2026

PREORDER:Mashine ya KUOSHA, KUMENYA, na KUKATA viazi vya chips na crips.Uwezo: 300kg/Saa. Inatumia umeme wa majumbani.

Bei Tsh 4,699,000. Tunaleta kwa oda kutoka China, mteja unaanza kulipia malipo ya awali 70% na 30% utamaliziamzigoukifika. Muda ni siku 45-60.

Tupo Sinza Mori jrani na Delina Apartment. Tupigie/WhatsApp 0715316614

Address

Dar Es Salaam

Telephone

0715316614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thebridgegulio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram