Thebridgegulio

Thebridgegulio Tupo DSM Sinza Mori, mtaa wa nyuma ya Delina Apartment . Agiza kutoka China/Nunua dukani DSM: WhatsApp : +255715316614
Tufollow Insta

Mashine ya kumenya karanga zilizokaangwa/kavu,uwezo wake ni kumenya kilo 200 kwa saa.Tunaleta kwa ODA baada ya mteja kua...
17/11/2025

Mashine ya kumenya karanga zilizokaangwa/kavu,uwezo wake ni kumenya kilo 200 kwa saa.Tunaleta kwa ODA baada ya mteja kuanza kulipia 70% ya bei na mzigo ukifika dukani utamalizia 30% na kuchukua au kutumiwa ulipo.

Usafiri ni siku 45 hadi 60.Bei ya mashine ni 3,499,000/=.Duka lipo Kinondoni Mkwajuni tunatazamana na kituo cha Mwendokasi Kinondoni Mkwajuni.Namba ya dukani ni 0715 316 614.

Mashine ya kubangua karanga,uwezo wake ni kubangua kilo 400 hadi 600 kwa saa.Tunaleta kwa ODA baada ya mteja kuanza kuli...
17/11/2025

Mashine ya kubangua karanga,uwezo wake ni kubangua kilo 400 hadi 600 kwa saa.Tunaleta kwa ODA baada ya mteja kuanza kulipia 70% ya bei na mzigo ukifika dukani utamalizia 30% na kuchukua au kutumiwa ulipo.

Usafiri ni siku 45 hadi 60.Bei ya mashine ni 5,499,000/=.Tupo Sinza Mori jirani na Delina Appartment. Simu ni 0715 316 614.

Zimefika ofisini mashine za kukoboa tu! Hizi ni za kukoboa mahindi,mpunga n.k. Mashine inatumia umeme wa kawaida tu, na ...
13/11/2025

Zimefika ofisini mashine za kukoboa tu! Hizi ni za kukoboa mahindi,mpunga n.k.

Mashine inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 150 hadi 200 kwa saa. Bei ni 1,500,000/= . Hii ni ya kukoboa tu! Popote mzigo tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


13/11/2025

Mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

🇹🇿

13/11/2025

Zipo ofisini kwetu Sinza Mori mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1),Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

🇹🇿

Mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha ...
13/11/2025

Mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

🇹🇿

12/11/2025

Tunazo ofisini kwetu neti hizi maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku, njiwa, ndege, kunguru n.k kwa wale wanaoandaa vitu vya uji na kuanika, wale wanaoanika dagaa, samaki.k

SIZE TULIZONAZO:-
Ngazi 3 (50*50*65cm) 28,000/=
Ngazi 5 (50*50*100cm) 35,000/=

Ukinunua unapata na hook yake ya kutundikia, tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya Simu/Whatsapp: 0715 316 614.Popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

Wale wanaoanika chini na kupata changamoto ya unyevu nyevu suluhisho ni hizi hanging net.

Zimekuja tena neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu...
12/11/2025

Zimekuja tena neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku, njiwa, ndege, kunguru n.k kwa wale wanaoandaa vitu vya uji na kuanika, wale wanaoanika dagaa, samaki.k

SIZE TULIZONAZO:-
Ngazi 3 (50*50*65cm) 28,000/=
Ngazi 5 (50*50*100cm) 35,000/=

Ukinunua unapata na hook yake ya kutundikia, tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya Simu/Whatsapp: 0715 316 614.Popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

Wale wanaoanika chini na kupata changamoto ya unyevu nyevu suluhisho ni hizi hanging net.

45,000/= (SETI YOTE). Wapendwa wateja, tunazo dukani tayari, dryer za nywele set yote ya vitu k**a vinavyoonekana kwenye...
12/11/2025

45,000/= (SETI YOTE). Wapendwa wateja, tunazo dukani tayari, dryer za nywele set yote ya vitu k**a vinavyoonekana kwenye picha, bei ni 45,000/= tu.

Unapata hair dryer yenyewe, pasi yake ya umeme, kifaa cha kutengenezea mawimbi,vitana vyake tofauti vya kuchania pamoja na seti ya kutengeneza kucha.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Tupigie simu/Whatsapp 0715 316 614.

10/11/2025

Mashine zipo ofisini kwetu zina uwezo wa kukamua mafuta ya mbegu/nafaka aina 24 (Nazi,karanga,alizeti n k). Tupo Sinza Mori na bei yake ni 999,000/= tu!

Unataka kukamua mafuta ya n**i? unataka kupata tui zito la n**i (coconut milk), unataka kukamua mafuta ya karanga, alizeti, n**i na mafuta ya mbegu mbalimbali? Mashine ni hizi zipo dukani kwetu.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Tupigie/Whatsapp 0715316614 popote tunatuma kwa gharama za mteja.

**i **i

Mashine zipo ofisini kwetu zina uwezo wa kukamua mafuta ya mbegu/nafaka aina 24 (Nazi,karanga,alizeti n k). Tupo Sinza M...
10/11/2025

Mashine zipo ofisini kwetu zina uwezo wa kukamua mafuta ya mbegu/nafaka aina 24 (Nazi,karanga,alizeti n k). Tupo Sinza Mori na bei yake ni 999,000/= tu!

Unataka kukamua mafuta ya n**i? unataka kupata tui zito la n**i (coconut milk), unataka kukamua mafuta ya karanga, alizeti, n**i na mafuta ya mbegu mbalimbali? Mashine ni hizi zipo dukani kwetu.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Tupigie/Whatsapp 0715316614 popote tunatuma kwa gharama za mteja.

**i **i

Tunazo ofisini tayari mashine za kukamua mafuta aina mbalimbali,  tunazo TYPE A: 30Kg/SAA (BEI: 3,499,000/=). Mashine hi...
10/11/2025

Tunazo ofisini tayari mashine za kukamua mafuta aina mbalimbali, tunazo TYPE A: 30Kg/SAA (BEI: 3,499,000/=). Mashine hizi kubwa za kukamua mafuta mbalimbali k**a alizeti, Parachichi,n**i, karanga *mnyonyo pia* Mashine hizi zina uwezo mkubwa zaidi na ni highly recommend kwako mteja unaehitaji mashine ya kukamua mafuta.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614. Mzigo tunatuma popote ulipo kwa wale wa mikoani au wanaohitaji huduma ya delivery.






**i






Address

Dar Es Salaam

Telephone

0715316614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thebridgegulio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram