25/06/2025
Zipo dukani Sinza Mori mashine hizi maalum za kutengeneza Peanut butter, tulizonazo ni za kusaga kilo 15 kwa saa (BEI: 799,000/=) ,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.
Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-
1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
800gram 198,000/=
1.5kg 360,000/=
2.5kg 480,000/=
4.5kg 750,000/=
2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=
3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/=.Pia tunazo za Kusaga, Kukoboa na Kupembua (Kupeta/Kutoa taka)BEI: 1,999,000/=.(inatumia umeme). Inazalisha 200-250kg/saa.
4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=
5. Mashine za kupandia mbegu k**a mahindi, maharage nk Heka 1-2 kwa siku 499,000/=
6. Mashine za kumenya vitunguu swaumu
Type A: 599,000/=
TYPE B: 699,000/=
7. Mashine za kukausha Matunda, mbogamboga , viungo, mazao, nyama, samaki nk.
6 Trays 690,000/=
16 Trays 1,650,000/=
24 Trays 1,850,000/=
8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=
9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=
10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/=
11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=
12.Tunayo pia magodoro ya upepo Futi 5 kwa 6 (250,000/=) na Futi 4 kwa 6 (195,000/=)
13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
30cm: 90,000/=
40cm: 115,000/=
14. Mashine za kupima pressure 59,000/=
Mashine zote tayari zipo dukani Sinza Mori, tupo jirani na Delina Apartment, popote mzigo tunatuma. Simu/Whatsapp: 0715 316 614.