Thebridgegulio

Thebridgegulio Tupo DSM Sinza Mori, mtaa wa nyuma ya Delina Apartment . Agiza kutoka China/Nunua dukani DSM: WhatsApp : +255715316614
Tufollow Insta

Tayari zipo dukani (InkJet CODE PRINTER), Mashine maalum za kuprint tarehe, expire date, batch number n.k. Bei ni 750,00...
31/12/2025

Tayari zipo dukani (InkJet CODE PRINTER), Mashine maalum za kuprint tarehe, expire date, batch number n.k. Bei ni 750,000/=

Hizi ni zile imara na madhubuti,LIPIA UONDOKE NA MASHINE. tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Simu/Whatsapp 0715 316 614.

batchnumber tuagize tuagizeltd thebridgetz thebridgegulio

Sukuma kushoto kuona maumbo mbalimbali ya cake, sabuni n.k Material ni silicone ngumu,  bei ni 15,000/= tu kwa umbo moja...
31/12/2025

Sukuma kushoto kuona maumbo mbalimbali ya cake, sabuni n.k Material ni silicone ngumu, bei ni 15,000/= tu kwa umbo moja. Mzigo tayari upo ofisini kwetu Sinza Mori.

Simu/Whatsapp: 0715 316 614 tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment.

Tunazo neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku,...
30/12/2025

Tunazo neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku, njiwa, ndege, kunguru n.k kwa wale wanaoandaa vitu vya uji na kuanika, wale wanaoanika dagaa, samaki.k

SIZE TULIZONAZO:-
Ngazi 3 (50*50*65cm) 28,000/=
Ngazi 5 (50*50*100cm) 35,000/=

Ukinunua unapata na hook yake ya kutundikia, tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya Simu/Whatsapp: 0715 316 614.Popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

Wale wanaoanika chini na kupata changamoto ya unyevu nyevu suluhisho ni hizi hanging net.

fooddryer kuagiza tuagize Tuagizeltd

30/12/2025

Zimekuja tena neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku, njiwa, ndege, kunguru n.k kwa wale wanaoandaa vitu vya uji na kuanika, wale wanaoanika dagaa, samaki.k

SIZE TULIZONAZO:-
Ngazi 3 (50*50*65cm) 28,000/=
Ngazi 5 (50*50*100cm) 35,000/=

Ukinunua unapata na hook yake ya kutundikia, tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya Simu/Whatsapp: 0715 316 614.Popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

Wale wanaoanika chini na kupata changamoto ya unyevu nyevu suluhisho ni hizi hanging net.

fooddryer kuagiza tuagize Tuagizeltd

Sukuma kushoto kuona vyakula aina mbalimbali zilizokaushwa vizuri kwa njia ya mvuke tu kwa kutumia mashine hizi tulizona...
30/12/2025

Sukuma kushoto kuona vyakula aina mbalimbali zilizokaushwa vizuri kwa njia ya mvuke tu kwa kutumia mashine hizi tulizonazo maalum kwa kukausha vyakula.

Tunazo dukani Sinza Mori mashine za kukausha vyakula mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk.
Dukani tunazo za tray zifuatazo:-

Tray 24 bei 1,850,000/=
Tray 16 bei 1,650,000/=

Ni nzuri MNO, hutajuta kuwa nayo. BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani! Ni ya kuagiza kutoka China.

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
1.5kg 360,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/= (inatumia umeme). Inazalisha 120-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Heat gun 58,000/=

6. Viti vya chooni vya wazee na wagonjwa
A.155,000/=
B.289,000/=

7. Mashine za kusaga peanut butter kubwa 15kg/saa 799,000/= na zipo za 1,100,000/= (Kilo 30)

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=
C.Petroli 1,490,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/= ndogo zake 990,000/=(5kg/h)

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Heat gun 58,000/=

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
40cm: 115,000/=

14. Mashine za kupima pressure 59,000/=

15. Dryer za nywele 45,000/=(SETI KUBWA YA VITU VINGI)

16. Hand mixer 25,000/=

17.Raba za mlangoni kuzuia wadudu 10,000/=

Tupo Sinza Mori, jirani na Delina Apartment,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.

30/12/2025

Tunazo dukani Sinza Mori mashine za kukausha vyakula mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk.
Dukani tunazo za tray zifuatazo:-

Tray 24 bei 1,850,000/=
Tray 16 bei 1,650,000/=

Ni nzuri MNO, hutajuta kuwa nayo. BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani! Ni ya kuagiza kutoka China.

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
1.5kg 360,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/= (inatumia umeme). Inazalisha 120-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Heat gun 58,000/=

6. Viti vya chooni vya wazee na wagonjwa
A.155,000/=
B.289,000/=

7. Mashine za kusaga peanut butter kubwa 15kg/saa 799,000/= na zipo za 1,100,000/= (Kilo 30)

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=
C.Petroli 1,490,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/= ndogo zake 990,000/=(5kg/h)

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Heat gun 58,000/=

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
40cm: 115,000/=

14. Mashine za kupima pressure 59,000/=

15. Dryer za nywele 45,000/=(SETI KUBWA YA VITU VINGI)

16. Hand mixer 25,000/=

17.Raba za mlangoni kuzuia wadudu 10,000/=

Tupo Sinza Mori, jirani na Delina Apartment,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.

Tunazo dukani Sinza Mori mashine za kukausha vyakula mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, ...
30/12/2025

Tunazo dukani Sinza Mori mashine za kukausha vyakula mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk.
Dukani tunazo za tray zifuatazo:-

Tray 24 bei 1,850,000/=
Tray 16 bei 1,650,000/=
Tray 6 bei 690,000/=

Ni nzuri MNO, hutajuta kuwa nayo. BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani! Ni ya kuagiza kutoka China.

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
1.5kg 360,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/= (inatumia umeme). Inazalisha 120-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Heat gun 58,000/=

6. Viti vya chooni vya wazee na wagonjwa
A.155,000/=
B.289,000/=

7. Mashine za kusaga peanut butter kubwa 15kg/saa 799,000/= na zipo za 1,100,000/= (Kilo 30)

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=
C.Petroli 1,490,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/= ndogo zake 990,000/=(5kg/h)

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Heat gun 58,000/=

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
40cm: 115,000/=

14. Mashine za kupima pressure 59,000/=

15. Dryer za nywele 45,000/=(SETI KUBWA YA VITU VINGI)

16. Hand mixer 25,000/=

17.Raba za mlangoni kuzuia wadudu 10,000/=

Tupo Sinza Mori, jirani na Delina Apartment,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.

Tumewaletea aina hii mpya ya viti vya wagonjwa,  aina hii vyenyewe unaweza kutumia k**a poti,  k**a kiti cha kawaida lak...
29/12/2025

Tumewaletea aina hii mpya ya viti vya wagonjwa, aina hii vyenyewe unaweza kutumia k**a poti, k**a kiti cha kawaida lakini pia ni zaidi ya wheelchair, na matairi yake yanaweza kumsaidia mgonjwa hata kujisaidia kumove mwenyewe kutoka sehemu moja kwenda nyingine bila kutegemea msaada wa mtu.

Bei yake ni 289,000/= tayari mzigo upo ofisini Sinza Mori. Tupo Sinza Mori jirani na Delina Appartment, simu/Whatsapp 0715316614. Viti pia vinakuwa na pot yake ambayo unaweza kuiweka na kuitoa.

29/12/2025

Tumewaletea aina hii mpya ya viti vya wagonjwa, aina hii vyenyewe unaweza kutumia k**a poti, k**a kiti cha kawaida lakini pia ni zaidi ya wheelchair, na matairi yake yanaweza kumsaidia mgonjwa hata kujisaidia kumove mwenyewe kutoka sehemu moja kwenda nyingine bila kutegemea msaada wa mtu.

Bei yake ni 289,000/= tayari mzigo upo ofisini Sinza Mori. Tupo Sinza Mori jirani na Delina Appartment, simu/Whatsapp 0715316614. Viti pia vinakuwa na pot yake ambayo unaweza kuiweka na kuitoa.

Wapendwa wateja tumewaletea viti vya wagonjwa,  tayari vipo ofisini bei ni 155,000/=, vinakuwa na pot lake lakini pia un...
29/12/2025

Wapendwa wateja tumewaletea viti vya wagonjwa, tayari vipo ofisini bei ni 155,000/=, vinakuwa na pot lake lakini pia unaweza kutumia bila poti kwa kukiweka moja kwa moja kwenye sink.

Bei ni 155,000/= tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Simu: 0715 316 614.

toilet toiletchair

PRE-ORDER:Maumbo  ya Ice cream za lambalamba(Chostick).Tundu 40 kwa 299,000/= tu, hizi ni za kudumu,sio za plastiki k**a...
27/12/2025

PRE-ORDER:Maumbo ya Ice cream za lambalamba(Chostick).Tundu 40 kwa 299,000/= tu, hizi ni za kudumu,sio za plastiki k**a mnavyoziona ni stainless steel.

Pia sio lazima kwamba kutumia hizi lazima uwe na mashine ya lamba lamba,hapana,unaweza usiwe na mashine ya lamba lamba ila ukatumia haya maumbo kwa kujaza mchanganyiko wako na ukaweka kugandisha kwenye friza lako ukapata shape nzuri ya Ice cream(lambalamba).

Tunaleta kwa oda,unaanza kulipa 70% ya bei na 30% utamalizia mzigo ukifika. Tupo China na Dar es Salaam SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS. Tupigie/WhatsApp 0715316614

icecream

27/12/2025

Tunaleta kwa ODA Mashine maalum za kutengeneza ice cream za Vijiti (rambaramba) bei ni 3,399,000/=.Zinatoa rambaramba 3,000 kwa siku.

Ukiwa na mashine hii utakuwa na kiwanda cha kukutosha kabisa tena uzuri zaidi unaweza kuwa na kiwanda hata nyumbani kwako tu.Ice cream 3,000 ni nyingi mno na uwezo wa kuziuza kwa siku moja kikubwa kabla ya kununua Mashine hii uwe tayari umeshajua jinsi ya kuzisambaza ice cream zako.

Mfano:
Uwe na baiskeli 10 uwape vijana wakusambazie kila kijana mpatie ice cream 300 azisambaze mitaani na mashuleni.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment ,namba ya dukani ni 0715 316 614.ODA unaanza kulipia 70% na 30% utamalizia mzigo ukifika.

thebridgetz tuagizeltd ujasiriamali ujasiriamalitanzania tanzaniampya viwanda viwandavidogovidogo

Address

Dar Es Salaam

Telephone

0715316614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thebridgegulio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram