Thebridgegulio

Thebridgegulio Tupo DSM Sinza Mori, mtaa wa nyuma ya Delina Apartment . Agiza kutoka China/Nunua dukani DSM: WhatsApp : +255715316614
Tufollow Insta

Tunazo dukani mashine hizi zenye kazi nyingi sana na uimara mkubwa mno!!! Mashine zinasaga vitu vyote vikavu kuwa unga l...
24/07/2025

Tunazo dukani mashine hizi zenye kazi nyingi sana na uimara mkubwa mno!!! Mashine zinasaga vitu vyote vikavu kuwa unga laini kabisa na pia unaweza kusaga kwa size ya unga unayoitaka wewe.

Mashine hizi pia zina uwezo wa kusaga peanut butter, garlic paste na hata rojo ya tangawizi. Namba ya simu/Whatsapp: 0715 316 614.

Tulizonazo dukani ni za 1.5kg (Kilo 1 na nusu) BEI: 360,000/= , 2.5Kg (Kilo 2 na Nusu) BEI: 480,000/= na 4.5Kg (Kilo 4 na Nusu) BEI: 750,000/=

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. LIPIA ondoka na Mashine yako na popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

NB: Tunaposema mfano mashine ya kilo 2 na nusu tunamaana mashine ina uwezo wa kusaga hiyo kilo 2 na nusu kwa msago mmoja, utarudia rudia kulingana na uhitaji wako ila kwa mara moja inasaga kiasi husika tulichokisema cha uwezo wa mashine.

Mashine za kupandia miche ya Mpunga na Vitunguu,Bei ni 1,299,000/=. Tunaleta kwa ODA kutoka China baada ya mteja kuanza ...
26/06/2025

Mashine za kupandia miche ya Mpunga na Vitunguu,Bei ni 1,299,000/=. Tunaleta kwa ODA kutoka China baada ya mteja kuanza kulipia 70% ya bei.

Duka lipo SINZA MORI jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715316614

Tunaleta kwa oda mashine ya kupandia mbegu ndogo ndogo k**a za ufuta, mbogamboga k**a mchicha n.k.ODA tunaleta baada ya ...
26/06/2025

Tunaleta kwa oda mashine ya kupandia mbegu ndogo ndogo k**a za ufuta, mbogamboga k**a mchicha n.k.ODA tunaleta baada ya mteja kuanza kulipia 70% ya bei,na 30% utamalizia mzigo ukifika.

Bei ya kupanda kwa mara moja mstari mmoja 530,000/= , mistari miwili 620,000/= na mistari mitatu 780,000/=. Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment,namba ya dukani ni 0715 316 614

Tujiandae na msimu ujao wakulima wenzangu, Mashine ya kupanda mbegu, kuweka mbolea, kulima na kupalilia. Tunaleta Kutoka...
26/06/2025

Tujiandae na msimu ujao wakulima wenzangu, Mashine ya kupanda mbegu, kuweka mbolea, kulima na kupalilia. Tunaleta Kutoka China
👉BEI: Angalia kwenye picha zinatofautiana kutegemea na uhitaji wako.
👉Kuweka oda: Lipa 70% mwanzoni na mzigo ukifika unamalizia 30% na ODA ni siku 45 hadi 60.

👉🏽Tulipo: Sinza Mori jirani na Delina Apartment.
👉🏽Mikoani: Mzigo ukifika utatumiwa ulipo.
👉🏽Maelezo:Simu/WhatsApp 0715316614

Tunawakumbusha wateja wetu wakulima🤗 tafadhali msimalize hela zote za mavuno jamani 😄, katika maandalizi ya msimu ujao t...
26/06/2025

Tunawakumbusha wateja wetu wakulima🤗 tafadhali msimalize hela zote za mavuno jamani 😄, katika maandalizi ya msimu ujao tunazo dukani mashine za kupandia mbegu k**a mahindi, maharage, karanga n.k .

Makadirio ni kupanda heka 10 kwa siku (SAA 1 - HEKA 1) . BEI: 499,000/=. Mashine hizi ni za kusukuma kwa mkono . Mtu mmoja anaweza kupanda hadi masaa matatu, ukipata mtu wa kupokezana ndio utapanda heka nyingi zaidi kwa siku.

Mashine zipo dukani Sinza Mori popote tunatuma, Simu/Whatsapp 0715 316 614.

Zipo dukani Sinza Mori mashine hizi maalum za kutengeneza Peanut butter, tulizonazo ni za kusaga kilo 15 kwa saa (BEI: 7...
25/06/2025

Zipo dukani Sinza Mori mashine hizi maalum za kutengeneza Peanut butter, tulizonazo ni za kusaga kilo 15 kwa saa (BEI: 799,000/=) ,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
800gram 198,000/=
1.5kg 360,000/=
2.5kg 480,000/=
4.5kg 750,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/=.Pia tunazo za Kusaga, Kukoboa na Kupembua (Kupeta/Kutoa taka)BEI: 1,999,000/=.(inatumia umeme). Inazalisha 200-250kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Mashine za kupandia mbegu k**a mahindi, maharage nk Heka 1-2 kwa siku 499,000/=

6. Mashine za kumenya vitunguu swaumu
Type A: 599,000/=
TYPE B: 699,000/=

7. Mashine za kukausha Matunda, mbogamboga , viungo, mazao, nyama, samaki nk.
6 Trays 690,000/=
16 Trays 1,650,000/=
24 Trays 1,850,000/=

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/=

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Tunayo pia magodoro ya upepo Futi 5 kwa 6 (250,000/=) na Futi 4 kwa 6 (195,000/=)

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
30cm: 90,000/=
40cm: 115,000/=

14. Mashine za kupima pressure 59,000/=

Mashine zote tayari zipo dukani Sinza Mori, tupo jirani na Delina Apartment, popote mzigo tunatuma. Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


Wenye mashine za rambaramba wanatumia haya maumbo kugandishia zile ice cream (Mashine inakuja na hizi mould).K**a hauna ...
21/06/2025

Wenye mashine za rambaramba wanatumia haya maumbo kugandishia zile ice cream (Mashine inakuja na hizi mould).

K**a hauna mashine basi unaweza nunua hizi moulds ukagandisha ice cream zako na kupata shape sawa tu na mwenye mashine.Tofauti tu itakuwa mwenye mashine atagandisha idadi kubwa kulinganisha na wewe unaegandisha kwenye friza.

Sio mbaya unaweza kuanza na ulichonacho.Mould moja yenye tundu 40 tutakuletea kwa ODA kwa bei ya 280,000/= tu. Hizi ni stainless steel,imara sana,hakuna kutu na zinadumu.Na unaweza chagua shape unayotaka kwenye hizo choices

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment .Namba ya dukani ni 0715 316 614.

PREORDER: Tunaleta kwa ODA Mashine maalum za kutengeneza ice cream za Vijiti (rambaramba) bei ni 3,399,000/=.Zinatoa ram...
21/06/2025

PREORDER: Tunaleta kwa ODA Mashine maalum za kutengeneza ice cream za Vijiti (rambaramba) bei ni 3,399,000/=.Zinatoa rambaramba 3,000 kwa siku.

Ice cream 3,000 ni nyingi mno(kiwanda kidogo) na uwezo wa kuziuza kwa siku moja upo kikubwa na muhimu sana kwa wateja tunawashauri kabla ya kununua Mashine hii uwe tayari umeshajua jinsi ya kuzisambaza ice cream zako.

Mfano:
Uwe na baiskeli 10 uwape vijana wakusambazie kila kijana mpatie ice cream 300 azisambaze mitaani na mashuleni.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, namba ya dukani ni 0715 316 614.ODA unaanza kulipia 70% na 30% utamalizia mzigo ukifika.

Sukuma kuona vyakula vilivyokaushwa na dehydrator, vyakula k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viung...
19/06/2025

Sukuma kuona vyakula vilivyokaushwa na dehydrator, vyakula k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk. Tunazo dukani za tray 16 bei yake 1,650,000/= na za tray 6 bei ni 690,000/=

Ni nzuri MNO, BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani!

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
800gram 198,000/=
1.5kg 360,000/=
2.5kg 480,000/=
4.5kg 750,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/=.Pia tunazo za Kusaga, Kukoboa na Kupembua (Kupeta/Kutoa taka)BEI: 1,999,000/=.(inatumia umeme). Inazalisha 150-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Mashine za kupandia mbegu k**a mahindi, maharage nk Heka 1-2 kwa siku 499,000/=

6. Mashine za kumenya vitunguu swaumu
Type A: 590,000/=
TYPE B: 695,000/=

7. Mashine za Peanut butter, tulizonazo ni za kusaga kilo 15 kwa saa BEI: 799,000/=

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/=

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Tunayo pia magodoro ya upepo Futi 5 kwa 6 (250,000/=) na Futi 4 kwa 6 (195,000/=)

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
30cm: 90,000/=
40cm: 115,000/=

Mashine zote tayari zipo dukani Sinza Mori, tupo jirani na Delina Apartment, popote mzigo tunatuma. Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


#

Dukani tunazo mashine za kukausha vyakula aina mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo...
19/06/2025

Dukani tunazo mashine za kukausha vyakula aina mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk. Tunazo za tray 16 bei yake 1,650,000/= na za tray 6 bei ni 690,000/=

Ni nzuri MNO, BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani!

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
800gram 198,000/=
1.5kg 360,000/=
2.5kg 480,000/=
4.5kg 750,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/=.Pia tunazo za Kusaga, Kukoboa na Kupembua (Kupeta/Kutoa taka)BEI: 1,999,000/=.(inatumia umeme). Inazalisha 150-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Mashine za kupandia mbegu k**a mahindi, maharage nk Heka 1-2 kwa siku 499,000/=

6. Mashine za kumenya vitunguu swaumu
Type A: 590,000/=
TYPE B: 695,000/=

7. Mashine za Peanut butter, tulizonazo ni za kusaga kilo 15 kwa saa BEI: 799,000/=

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/=

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Tunayo pia magodoro ya upepo Futi 5 kwa 6 (250,000/=) na Futi 4 kwa 6 (195,000/=)

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
30cm: 90,000/=
40cm: 115,000/=

Mashine zote tayari zipo dukani Sinza Mori, tupo jirani na Delina Apartment, popote mzigo tunatuma. Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


#

Zipo dukani SINZA MORI mashine nzuri za kufulia nguo.Bei: Tsh999,000/=Brand: RochSteam wash, 15 minutes Quick wash. 8kg ...
18/06/2025

Zipo dukani SINZA MORI mashine nzuri za kufulia nguo.Bei: Tsh999,000/=
Brand: Roch
Steam wash,
15 minutes Quick wash. 8kg ,
Front load.
Inafua, inasuuza, inakamua, inakausha

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, simu/Whatsapp 0715 316 614.


Tumeleta dukani hizi mizani za jikoni, zinapima kuanzia 1 gram hadi gram 5,000 (5kg), tunauza 23,000/= tu popote tunatum...
16/06/2025

Tumeleta dukani hizi mizani za jikoni, zinapima kuanzia 1 gram hadi gram 5,000 (5kg), tunauza 23,000/= tu popote tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, simu/Whatsapp 0715 316 614

Address

Dar Es Salaam

Telephone

0715316614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thebridgegulio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share