AfyaInspire

AfyaInspire Karibu AfyaInspire kwa huduma ya semina,chunguzi na ushauri wa kibingwa kuhusu Kisukari,Saratani, n.k

JITAHIDI UFANYE UCHUNGUZI WA UGONJWA WA KISUKARI ENDAPO UPO KATIKA MOJA YA MAKUNDI YAFUATAYO, SOMA ZAIDI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
28/01/2024

JITAHIDI UFANYE UCHUNGUZI WA UGONJWA WA KISUKARI ENDAPO UPO KATIKA MOJA YA MAKUNDI YAFUATAYO, SOMA ZAIDI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Ugonjwa wa kisukari unatarajia kuathiri takribani ya watu milioni 33 kwa mwaka 2030 na watu milioni 55 kwa mwaka 2045. Na takribani asilimia 90 (90%) ya watu ambao hawajijua kuwa na shida ya kisukari wanaishi katika nchi ya uchumi ya chini na kati ikiwemo Tanzania. Tanzania ina wagonjwa wa kisuka

UGONJWA WA SIKOSELI NI K**A MAGONJWA MENGINE, TUEPUKE DHANA HIZI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ POTOFU KATIKA JAMII
22/01/2024

UGONJWA WA SIKOSELI NI K**A MAGONJWA MENGINE, TUEPUKE DHANA HIZI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ POTOFU KATIKA JAMII


Mbali na kuimarika kwa huduma za afya kiasi cha kupelekea watu wengi wenye ugonjwa wa siko seli kugundulika na kupata tiba sahihi bado watu mbalimbali wamekuwa na mitazamo ambayo si sahihi kuhusu ugonjwa huu. Hali hii imechangikwa na watu wengi kutokuwa na ufahamu pamoja na maarifa kuhusu ugonjwa hu

   #MAZOEZI NI KINGA NA DAWA YA MAGONJWA MENGI YASIYOAMBUKIZA ZINGATIA HAYA MAZOEZI πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
19/01/2024

#

MAZOEZI NI KINGA NA DAWA YA MAGONJWA MENGI YASIYOAMBUKIZA

ZINGATIA HAYA MAZOEZI πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ

Watu wengi wamejikuta wakibobea zaidi upande mmoja wa aina ya mazoezi aidha kutokana na kutokujua aina zingine za mazoezi ambazo ni muhimu au kushindwa namna ya kufanya aina hizo za mazoezi. Ni vyema kufanya aina zote za mazoezi ili kuupatia mwili matokeo mazuri (kujiweka fiti zaidi) huku ukizingat

UNENE AU UZITO ULIOPITILIZA NI TATIZO KUBWA LA KIAFYA KIPINDI HIKI, SOMA ZAIDIπŸ‘‡πŸΎ
17/01/2024

UNENE AU UZITO ULIOPITILIZA NI TATIZO KUBWA LA KIAFYA KIPINDI HIKI, SOMA ZAIDIπŸ‘‡πŸΎ

Unene ni tatizo sugu hivi karibuni ambalo linaongezeka kwa kasi sana miongoni mwa watu. Limekuwa tatizo kutokana na athari katika afya kwa watu mwengi, likiathiri wakubwa kwa wadogo. Tatizo hili limetokana na kukosekana kwa uwiano wa nguvu ya chakula inayoingia ndani (kwa kula vyakula mbalimbali

Chukua HatuaπŸ©ΊπŸ’‰πŸ’Š
25/10/2023

Chukua HatuaπŸ©ΊπŸ’‰πŸ’Š

HAPOVIPI?
17/09/2023

HAPOVIPI?

Mara ya mwisho kupima presha yako ya damu ulipata kiwango gani? Comment chini hapo kwa ushauri zaidiπŸ‘‡πŸΎ
17/09/2023

Mara ya mwisho kupima presha yako ya damu ulipata kiwango gani?
Comment chini hapo kwa ushauri zaidiπŸ‘‡πŸΎ

Address

P. O Box 105809
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaInspire posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaInspire:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram