AfyaInspire

AfyaInspire Karibu AfyaInspire kwa huduma ya semina,chunguzi na ushauri wa kibingwa kuhusu Kisukari,Saratani, n.k

JITAHIDI UFANYE UCHUNGUZI WA UGONJWA WA KISUKARI ENDAPO UPO KATIKA MOJA YA MAKUNDI YAFUATAYO, SOMA ZAIDI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
28/01/2024

JITAHIDI UFANYE UCHUNGUZI WA UGONJWA WA KISUKARI ENDAPO UPO KATIKA MOJA YA MAKUNDI YAFUATAYO, SOMA ZAIDI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Ugonjwa wa kisukari unatarajia kuathiri takribani ya watu milioni 33 kwa mwaka 2030 na watu milioni 55 kwa mwaka 2045. Na takribani asilimia 90 (90%) ya watu ambao hawajijua kuwa na shida ya kisukari wanaishi katika nchi ya uchumi ya chini na kati ikiwemo Tanzania. Tanzania ina wagonjwa wa kisuka

UGONJWA WA SIKOSELI NI K**A MAGONJWA MENGINE, TUEPUKE DHANA HIZI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ POTOFU KATIKA JAMII
22/01/2024

UGONJWA WA SIKOSELI NI K**A MAGONJWA MENGINE, TUEPUKE DHANA HIZI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ POTOFU KATIKA JAMII


Mbali na kuimarika kwa huduma za afya kiasi cha kupelekea watu wengi wenye ugonjwa wa siko seli kugundulika na kupata tiba sahihi bado watu mbalimbali wamekuwa na mitazamo ambayo si sahihi kuhusu ugonjwa huu. Hali hii imechangikwa na watu wengi kutokuwa na ufahamu pamoja na maarifa kuhusu ugonjwa hu

   #MAZOEZI NI KINGA NA DAWA YA MAGONJWA MENGI YASIYOAMBUKIZA ZINGATIA HAYA MAZOEZI πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ
19/01/2024

#

MAZOEZI NI KINGA NA DAWA YA MAGONJWA MENGI YASIYOAMBUKIZA

ZINGATIA HAYA MAZOEZI πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ

Watu wengi wamejikuta wakibobea zaidi upande mmoja wa aina ya mazoezi aidha kutokana na kutokujua aina zingine za mazoezi ambazo ni muhimu au kushindwa namna ya kufanya aina hizo za mazoezi. Ni vyema kufanya aina zote za mazoezi ili kuupatia mwili matokeo mazuri (kujiweka fiti zaidi) huku ukizingat

UNENE AU UZITO ULIOPITILIZA NI TATIZO KUBWA LA KIAFYA KIPINDI HIKI, SOMA ZAIDIπŸ‘‡πŸΎ
17/01/2024

UNENE AU UZITO ULIOPITILIZA NI TATIZO KUBWA LA KIAFYA KIPINDI HIKI, SOMA ZAIDIπŸ‘‡πŸΎ

Unene ni tatizo sugu hivi karibuni ambalo linaongezeka kwa kasi sana miongoni mwa watu. Limekuwa tatizo kutokana na athari katika afya kwa watu mwengi, likiathiri wakubwa kwa wadogo. Tatizo hili limetokana na kukosekana kwa uwiano wa nguvu ya chakula inayoingia ndani (kwa kula vyakula mbalimbali

SOMA HII UFANYE MAAMUZI SAHIHI
15/01/2024

SOMA HII UFANYE MAAMUZI SAHIHI


Kiwango cha mafuta kilichopitiliza ni hatari kwa afya yako kwani ni chanzo kikubwa cha magonjwa ya kisukari, mishipa ya moyo, saratani na shinikizo la juu la damu (presha). Kumbuka kuwa mwili wa binadamu umeundwa na seli, viungo(misuli, mifupa, n.k), tishu na mifumo mbalimbali ambayo inafanya kaz

 πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ USIACHE KUSOMA HII K**A UNATUMIA BIA, MVINYO AU POMBE KALI
12/01/2024


πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ USIACHE KUSOMA HII K**A UNATUMIA BIA, MVINYO AU POMBE KALI

Unywaji wa pombe umekuwa ukiongezeka katika miaka ya hivi karibuni huku takwimu zikionesha kati ya watu wa tatu (3) kuna mtu mmoja (1) anatumia pombe na zaidi ya watu milioni 3 hufa kwa kila mwaka dunia kutokana na unywaji wa pombe. Kutokana na madhara makubwa yanayotokana na unywaji wa pombe ikiwem

10/01/2024



Historia ya zoezi hili inaanzia mwaka 1948 ambapo Daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama na uzazi kutoka Marekani aitwaye Arnold Kegel alipogundua kifaa ambacho kilikuwa na uwezo wa kupima sahihi utendaji kazi wa misuli ya sakafu ya nyonga wakati alipokuwa anawafanyia matibabu wanawake wenye ku

AFYA YAKO YA AKILI NI MUHIMU, SOMA MAKALA HII UELEWE SHIDA YA SONONA (DEPRESSION) INAANZIA WAPI https://afyainspire.co.t...
08/01/2024

AFYA YAKO YA AKILI NI MUHIMU,
SOMA MAKALA HII UELEWE SHIDA YA SONONA (DEPRESSION) INAANZIA WAPI

https://afyainspire.co.tz/index.php/2024/01/06/1591/?fbclid=IwAR3QAJW70yvHHk8Nb4QIpt1jk9V5r2TuMcyECtBe8QwYDiro0E-NvxyNaWQ

Sonona ni ugonjwa wa akili ambao hujidhihirisha kwa dalili mbalimbali hasa ikiwemo ya kupatwa na hali ya huzuni iliyopitiliza au kukosa hamu/shauku kwenye vitu au mambo ambayo ulikuwa unayafurahia au kupenda kuyafanya kipindi cha nyuma. Dalili hizi huwepo muda mwingi katika siku kwa angalau wiki mb

https://afyainspire.co.tz/index.php/2024/01/06/1562/
06/01/2024

https://afyainspire.co.tz/index.php/2024/01/06/1562/

Saratani ni ugonjwa ambao hutokana na hitilafu katika seli za mwili ambapo hupoteza uwezo wao kwa kugawanyika, kujizalisha na kuongezeka bila kikomo na hivyo hupelekea sehemu husika kupata mabadiliko yasiyo ya kawaida. Seli hizi zenye hitilafu zinaweza kusambaa kutoka sehemu ya chanzo na kwenda

Address

P. O Box 105809
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaInspire posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaInspire:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram