
14/01/2024
π¨_| π¦ππ ππ ππ¨π¦ππ¨π¦ππ π¦π§π₯ππππ πͺπ π¦π.870 π ππππ’π‘π
βΉοΈ Zikisalia siku mbili kufungwa dirisha la usajili, Simba mezani kwao wana majina matatu ya washambuliaji tofauti lakini mmoja kati ya hao ndio anawaumiza kichwa.
βΉοΈ Mshambuliaji ambaye Simba wanamtaka anayetakiwa na kocha wao bajeti yake
inawaumiza vichwa vigogo hao na sasa imekabidhiwa kwa tajiri wao Mohamed Dewji MO.
βΉοΈ Taarifa kutoka vigogo wa juu wa Simba ni kwamba Benchikha amewakabidhi jina la
mshambuliaji huyo ambaye hawakutaka kumtaja jina anayehitaji Dola 350,000 (Sh875
milioni) huku mshahara wake uwe Dola 20,000 (Sh50 milioni kwa mwezi).
βΉοΈ Benchikha hakubaliani na viwango vya washambuliaji alionao ambapo kwa malengo
aliyopewa na uongozi wake amesisitiza mashine hiyo ya mabao ishushwe kwenye kikosi chake.
βΉοΈ Simba hadi sasa imesajili wachezaji watatu ambao ni wazawa Ladack Chasambi akitokea Mtibwa, Salehe Karabaka JKU na wa nje ni
Babacar Sarr.