Mbochi Nutrition Life

Mbochi Nutrition Life HIV/AIDs treatment MHL Is the special researchers who make research of science and whole source of plant and to attack the common diseases
(2)

Mbochi Nutrition LIFE
Mkusanyiko wa wataalamu bingwa wa afya na tafiti za mimea tiba kwa ajili ya kuboresha afya yako

HUDUMA ZETU

Uzazi & Mwanamke | STDs | Afya ya Mwanaume | Kupunguza Uzito | Ovarian Health/Cyst | Tezi Dume | Saratani | Homoni Balansi

πŸ₯‘ PACKAGE COMBO – UZAZI, HOMONI BALANCE & KUPEVUSHA MAYAI! πŸ«„Unasumbuliwa na matatizo ya uzazi, homoni kutokuwa sawa, au ...
22/02/2025

πŸ₯‘ PACKAGE COMBO – UZAZI, HOMONI BALANCE & KUPEVUSHA MAYAI! πŸ«„

Unasumbuliwa na matatizo ya uzazi, homoni kutokuwa sawa, au kutopata mimba? PACKAGE COMBO kutoka Mbochi Herbal Life imeundwa mahsusi kusaidia afya ya uzazi kwa wanawake!

βœ… OVARIAN HEALTH – Huimarisha afya ya ovari na kusaidia kupevusha mayai
βœ… FERTILITY & PREGNANCY SUPPORT – Huweka mwili tayari kwa ujauzito na kusaidia homoni kuwa sawa
βœ… Hulenga vimbe, hedhi isiyo na mpangilio & uzazi wa shida
βœ… 100% mimea tiba – Salama & Asilia

πŸ’° BEI: Tsh 100,000 (Package kamili)
🚚 USAFIRISHAJI: Bure popote ulipo!

🌟 Anza safari yako ya kuwa mama leo kwa suluhisho la asili na lililothibitishwa!

πŸ“ž Piga simu sasa:
πŸ“² 0741 220 000 | 0757 349 219

🌿 PACKAGE COMBO – AFYA BORA YA UZAZI KWA WANAWAKE! Unatafuta njia asilia ya kuimarisha afya ya uzazi? PACKAGE COMBO kuto...
22/02/2025

🌿 PACKAGE COMBO – AFYA BORA YA UZAZI KWA WANAWAKE!

Unatafuta njia asilia ya kuimarisha afya ya uzazi? PACKAGE COMBO kutoka Mbochi Herbal Life ni suluhisho bora kwa wanawake wanaotaka kuboresha mzunguko wa hedhi na afya ya uzazi kwa ujumla.

βœ… OVARIAN HEALTH – Husaidia kulinda afya ya ovari na kudumisha uzazi
βœ… FERTILITY & PREGNANCY SUPPORT – Husaidia mwili kuwa na mzunguko wenye afya na utulivu wa homoni
βœ… Imeundwa kwa mimea tiba – Salama, asilia, na isiyo na madhara
βœ… Husaidia kudumisha afya ya mfumo wa uzazi kwa wanawake

πŸ’° BEI: Tsh 100,000 (Package kamili)
🚚 USAFIRISHAJI: Bure popote ulipo!

🌟 Chagua njia asilia kwa afya bora ya uzazi na mwili wenye nguvu!

πŸ“ž Piga simu sasa:
πŸ“² 0741 220 000 | 0757 349 219

πŸ₯‘ PACKAGE COMBO – AFYA BORA YA UZAZI KWA WANAWAKE! πŸ«„Unatafuta njia asilia ya kuimarisha afya ya uzazi? PACKAGE COMBO kut...
22/02/2025

πŸ₯‘ PACKAGE COMBO – AFYA BORA YA UZAZI KWA WANAWAKE! πŸ«„

Unatafuta njia asilia ya kuimarisha afya ya uzazi? PACKAGE COMBO kutoka Mbochi Herbal Life ni suluhisho bora kwa wanawake wanaotaka kuboresha mzunguko wa hedhi na afya ya uzazi kwa ujumla.

βœ… OVARIAN HEALTH – Husaidia kulinda afya ya ovari na kudumisha uzazi
βœ… FERTILITY & PREGNANCY SUPPORT – Husaidia mwili kuwa na mzunguko wenye afya na utulivu wa homoni
βœ… Imeundwa kwa mimea tiba – Salama, asilia, na isiyo na madhara
βœ… Husaidia kudumisha afya ya mfumo wa uzazi kwa wanawake

πŸ’° BEI: Tsh 100,000 (Package kamili)
🚚 USAFIRISHAJI: Bure popote ulipo!

🌟 Chagua njia asilia kwa afya bora ya uzazi na mwili wenye nguvu!

πŸ“ž Piga simu sasa:
πŸ“² 0741 220 000 | 0757349219

SUPERSLIM POWDER – Siri ya Mwili Mwembamba na Afya Bora! Unatafuta suluhisho la kupunguza uzito kwa njia asilia? SUPERSL...
20/02/2025

SUPERSLIM POWDER – Siri ya Mwili Mwembamba na Afya Bora!

Unatafuta suluhisho la kupunguza uzito kwa njia asilia? SUPERSLIM POWDER kutoka Mbochi Herbal Life ni jibu lako!

βœ… Punguza hadi KG 8 kwa siku 30
βœ… Siri ya tumbo flat & umbo zuri
βœ… Hulenga mafuta mwilini, mikono, na tumbo
βœ… 100% mimea tiba, salama na asilia

πŸ’° BEI: Tsh 50,000
🚚 USAFIRISHAJI: Bure popote ulipo!

🌟 Jiunge nasi leo na anza safari ya mwili mzuri na afya bora!

πŸ“ž Piga simu sasa:
0741 220 000 | 0757 349 219

SUPERSLIM POWDER – Siri ya Mwili Mwembamba na Afya Bora! Unatafuta suluhisho la kupunguza uzito kwa njia asilia? SUPERSL...
20/02/2025

SUPERSLIM POWDER – Siri ya Mwili Mwembamba na Afya Bora!

Unatafuta suluhisho la kupunguza uzito kwa njia asilia? SUPERSLIM POWDER kutoka Mbochi Herbal Life ni jibu lako!

βœ… Punguza hadi KG 8 kwa siku 30
βœ… Siri ya tumbo flat & umbo zuri
βœ… Hulenga mafuta mwilini, mikono, na tumbo
βœ… 100% mimea tiba, salama na asilia

πŸ’° BEI: Tsh 50,000
🚚 USAFIRISHAJI: Bure popote ulipo!

🌟 Jiunge nasi leo na anza safari ya mwili mzuri na afya bora!

πŸ“ž Piga simu sasa:
0741 220 000 | 0757 349 219

SUPERSLIM POWDER – Suluhisho la Kupunguza Uzito Kwa Njia Asili!

🌿 Superslim Powder ni mchanganyiko wa mimea asili yenye uwezo wa kusaidia kupunguza uzito kwa njia salama na yenye ufanisi. Imetengenezwa kwa viungo vya asili vinavyosaidia kuchoma mafuta mwilini, kuboresha mfumo wa usagaji chakula, na kupunguza hamu ya kula kupita kiasi.

Faida za Superslim Powder:

βœ… Husaidia kupunguza uzito kwa kuchoma mafuta mwilini
βœ… Hupunguza tumbo na mafuta ya mwili kwa njia asili
βœ… Inasaidia kuboresha usagaji wa chakula na kupunguza gesi
βœ… Huongeza nguvu na kuondoa uchovu wa mwili
βœ… Hupunguza hamu ya kula kupita kiasi, kusaidia kula kwa uwiano sahihi

Jinsi ya Kutumia:

πŸ”Έ Changanya kijiko kimoja cha Superslim Powder na maji ya uvuguvugu au juisi asili
πŸ”Έ Tumia mara 1-2 kwa siku kabla ya kula
πŸ”Έ Fuata lishe bora na kunywa maji ya kutosha kwa matokeo mazuri

πŸ“ Inapatikana kwa bei nafuu! Tunatuma popote Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
πŸ“© DM au WhatsApp kwa oda na ushauri 0757349219

19/02/2025

SUPERSLIM POWDER – Siri ya Mwili Mwembamba na Afya Bora!

Unatafuta suluhisho la kupunguza uzito kwa njia asilia? SUPERSLIM POWDER kutoka Mbochi Herbal Life ni jibu lako!

βœ… Punguza hadi KG 8 kwa siku 30
βœ… Siri ya tumbo flat & umbo zuri
βœ… Hulenga mafuta mwilini, mikono, na tumbo
βœ… 100% mimea tiba, salama na asilia

πŸ’° BEI: Tsh 50,000
🚚 USAFIRISHAJI: Bure popote ulipo!

🌟 Jiunge nasi leo na anza safari ya mwili mzuri na afya bora!

πŸ“ž Piga simu sasa:
0741 220 000 | 0757 349 219

πŸ”₯ NJIA YA ASILI KUONDOA KITAMBI NA KUSAIDIA AFYA YAKO! πŸ”₯Je, unataka kuondoa kitambi bila mazoezi na kurejesha mwili wako...
16/02/2025

πŸ”₯ NJIA YA ASILI KUONDOA KITAMBI NA KUSAIDIA AFYA YAKO! πŸ”₯

Je, unataka kuondoa kitambi bila mazoezi na kurejesha mwili wako katika hali ya kiafya? πŸ‹οΈβ€β™€οΈπŸ’ͺ Hii ni tiba ya asili ambayo imewasaidia wengi:

βœ… Viungo:

πŸ”Έ Vitunguu viwili
πŸ”Έ Limao moja
πŸ”Έ Pilipili manga kidogo
πŸ”Έ Tangawizi (ya kuongeza nguvu ya mwili)
πŸ”Έ Nusu lita ya maji

Faida za Kunywa Mchanganyiko Huu

βœ… Husaidia kuyeyusha mafuta mwilini, hasa kwenye eneo la tumbo. βœ… Husafisha mfumo wa usagaji chakula na kupunguza gesi tumboni. βœ… Husaidia kupunguza uvimbe wa mwili na kuondoa sumu. βœ… Huimarisha kinga ya mwili kutokana na vitamin C kwenye limao. βœ… Huchochea mmeng'enyo wa chakula kwa sababu ya pilipili manga.

Viambato vya Kuongeza kwa Matokeo Bora:

➑ Tangawizi – Huchochea mmeng'enyo wa chakula na kuongeza kasi ya mwili kuyeyusha mafuta. ➑ Asali – Husaidia kuboresha ladha na ina antioxidants zinazosaidia kupunguza mafuta. ➑ Mdalasini – Hupunguza hamu ya kula sukari na kusaidia mwili kutumia mafuta k**a nishati. ➑ Apple Cider Vinegar (s**i ya tufaha) – Husaidia kudhibiti sukari kwenye damu na kupunguza tumbo.

Jinsi ya Kutumia:

1. Weka vitunguu viwili vikubwa, limao moja, pili pili manga kidogo, na viambato vya ziada unavyopenda kwenye chupa.

2. Ongeza maji nusu lita na uache vilale usiku kucha.

3. Asubuhi, kunywa kikombe kimoja kabla ya kula chochote.

Jinsi ya Kuandaa:

πŸ‘‰ Katakata vitunguu na limao vipande vidogo
πŸ‘‰ Changanya na pilipili manga na tangawizi
πŸ‘‰ Weka kwenye chupa yenye maji na acha vilale usiku kucha
πŸ‘‰ Kunywa asubuhi kabla ya kula

🌿 Faida:
βœ”οΈ Huondoa mafuta mwilini
βœ”οΈ Husafisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
βœ”οΈ Hupunguza sumu mwilini
βœ”οΈ Husaidia kupunguza kitambi bila kufanya mazoezi

πŸ‘‰ Jaribu hii leo na upate matokeo ya ajabu!
πŸ“Œ Mbochi Herbal Life – Uhakika wa afya yako kwa tiba asilia!

πŸ”₯ CHAKAZA KIRUSI, MAGONJWA AMBUKIZI YANAFUTIKA! πŸ”₯πŸ’ͺ Imarisha Kinga ya Mwili kwa Asili! πŸ”Ή Vitamin C, D3 & ZincπŸ”Ή Elderberry...
09/02/2025

πŸ”₯ CHAKAZA KIRUSI, MAGONJWA AMBUKIZI YANAFUTIKA! πŸ”₯

πŸ’ͺ Imarisha Kinga ya Mwili kwa Asili!

πŸ”Ή Vitamin C, D3 & Zinc
πŸ”Ή Elderberry & Tangawizi
πŸ”Ή Kinga Imara dhidi ya Mafua, Virusi na Maambukizi Sugu.!

πŸ”Έ Kwa wanawake, wanaume na watu wazima wote!
πŸ”Έ Limeidhinishwa na wataalamu wa afya!

βœ… Lala bila hofu, mwili wako umejilinda! πŸ›‘οΈ

πŸ“© Wasiliana nasi sasa ili upate bidhaa yako!
www.mbochiherbalife.co.tz
mbochiherballife646@gmail.com
Mbochi Herbal LIFE
0757 349 219 Whatsapp πŸ‘ˆ

https://whatsapp.com/channel/0029VaiELxIC6ZvorjMutI3j/128

06/01/2024
Acha Tabia Ya Kubana Mkojo Kwa Muda Mrefu. UTI Inawapenda Watu Wenye Kiburi Cha Aina HiiWacha kiburi  -24
25/03/2023

Acha Tabia Ya Kubana Mkojo Kwa Muda Mrefu. UTI Inawapenda Watu Wenye Kiburi Cha Aina Hii

Wacha kiburi -24

JE UKE UNA JAMBA / KUJAA HEWA NA KUTOKWA NA UCHAFU ( HARUFU KALI / P.I.D )   FAIDA ZA TOP 8 STD CARE  MWILINIDawa hii ni...
13/03/2023

JE UKE UNA JAMBA / KUJAA HEWA NA KUTOKWA NA UCHAFU ( HARUFU KALI / P.I.D )

FAIDA ZA TOP 8 STD CARE MWILINI

Dawa hii ni tiba ya moja kwa moja kwa wale waliopata maradhi sugu ya zinaa na hawaponi

1. Huzuiya uchafu na kuondoa maumivu makali wakati wa kushiri tendo la ndoa

2. Huondoa kuwashwa na kujaa kwa uje ( Au kujamba kwa uke )

3. Hutibu maradhi ya Fangasi na Maumivu wakati wa Hedhi

4. Kuzibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kufungua hedhi iliyoziba

5. Kukaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight

6. Kuondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu (chango)

7. Maumivu makali baada ya kumaliza tendo la ndoa na kuisi kuchanika pale tu unapo fanya au kujisaidia haja ndogo

8. Huongeza kinga ya mwili na kushambulia virusi mwilini vya maradhi

" TOP 8 STD CARE" ni kiboko ya maradhi sugu STD na fangasi ukeni au via vya uzazi, ni nzuri kwa wenye kutokwa uchafu na kupata Vimbe au Warts, wenye P.I.D na maradhi sugu ya zinaa.

Piga simu /SMS/ Whatsapp +255 757 349 219
+255 657 474 325

Agiza, dawa unatumiwa popote ulipo, ndani na nje ya Dar lakini pia hata nje ya nchi unatumiwa

Daktari Homoni zangu ZIMEVURUGIKA nimeambiwa nina "HORMONAL IMBALANCE" nifanyeje Zikae sawa? Jibu:Kuvurugika kwa homoni ...
12/03/2023

Daktari Homoni zangu ZIMEVURUGIKA nimeambiwa nina "HORMONAL IMBALANCE" nifanyeje Zikae sawa?

Jibu:
Kuvurugika kwa homoni maana yake vichocheo vya k**e vinavyo endesha mzunguko wa hedhi salama kutokuwa ktk mhumili unao takiwa.
Homoni zipo nyingi mfano Estrogen inayo jenga ukuta wa kizazi,Progesterone Inayo shikilia ukuta usibomoke unapokuwa na mimba na inashuka kuruhusu uingie kwenye siku zako ukuta ubomoke.
Homoni nyingine ni Prolactin hukuza matiti na kukupatia maziwa kumnyonyesha mwanao. Huongezeka ukiwa una mimba na zaidi unapojifungua. Homoni nyingine ni Testosterone mnayo pia ila ipo chini sana.
Endapo ukuta wa mwezi huu usipobomoka, Ukajengwa na ukuta wa mwezi ujao hali hio unenepesha ukuta wa kizazi na Unaweza Pata Endometrial hypertrophy hii inaweza pelekea hata kansa ya kizazi. Ni vibaya sana kuona kizazi hakijisafishi kila mwezi na Hushtuki.
Pia Endapo kizazi kinajisafisha na maumivu makali sana. Hio ni ishara kwamba homoni haziko vizuri.
Endapo unatokewa na nywele sehemu ambazo mwanamke hutakiwi kuwa na nywele maana yake homoni ya kiume imeanza kupanda.
Hali hii pia Huleta maumivu makali ya tendo la ndoa k**a unakatwa kisu maana Estrogen inakuwa haikuandai vizuri kukutana na mwenza wako. Tendo linakuwa karaha badala ya raha.
Kitu kikubwa kabisa kinacho vuruga homoni ni SUKARI. Kwani Mwili unapopigana kushusha na kutumia hio sukari unayo weka. Humwaga homon ya INSULIN hii ni Master homoni. Ikiwa juu huenda kupandisha Prolactin na homon za kiume kwa mwanamke na kuvuruga homoni zote zingine.
Prolactin ikipanda huwezi kubeba mimba hata siku moja huenda kulaza ovari zisitengeneze mayai kabisa. Ni sawa na mama anaye nyonyesha huwezi kubeba mimba hata usipotumia kinga mwanzoni ndani ya siku 40 miezi 3 mpaka 6 kwa sababu Prolactin huwa ipo juu kwa sababu ya kunyonyesha kitalamu tunaita Lactation amenorrhea kikomo cha hedhi sbabu ya kunyonyesha lkn pia ovari husinzia.
Sukari husinzisha ovari zako k**a vile mtu ANATUMIA UZAZI WA MPANGO.
Hatua ya kwanza Kuamsha Ovari zako kutoka Usingizini zianze Kupevusha mayai ni KUACHA KUJIDUNGA SUKARI NA VINYWAJI VYA SUKARI.

CLEANSES NATURAL DETOXIFICATION FOR THE BODY Ni muhimu sana kwa AFYA ya mwanadamu toka utotoni hadi ukubwani, Maana usaf...
12/03/2023

CLEANSES NATURAL DETOXIFICATION FOR THE BODY Ni muhimu sana kwa AFYA ya mwanadamu toka utotoni hadi ukubwani, Maana usafisha Mwili aswa tumbo na kuondoa maradhi sugu na bacteria

FAIDA YAKE MWILINI

1. Hutibu Gauti na changamoto zote za mifupa
2. Hutibu wenye Change ya kupooza na kushindwa kutembea
3. Hutibu kabisa wenye shida Ya miguu kuwaka moto, Miguu kuvimba / Miguu kukosa nguvu pamoja na mwili kukosa Nguvu na kushindwa kusimama
4. Huponya wenye tatizo la kufeli kwa INI
5. HUZUIA KUZEEKA HARAKA ( Anti-age )
6. Hutibu kongosho
7. Hukinga FIGO dhidi ya sumu ( toxin )
8. Huongeza nguvu kwa wanaume wakati wa tendo la ndoa
9. Huongeza nguvu za mwili na kuondoa uchovu
10. HUIMARISHA KINGA YA MWILI KWA WENYE MARADHI YA KUAMBUKIZWA ( HIV )
11. Hupunguza uvimbe mwilini
12. Upambana na changamoto za kukosa choo kikubwa ( Chronic Constipation)
13. Husaidia wenye kisukari Aina 1&2
14. Hupambana na tatizo la CANCER
15. Huzibiti bacteria 🦠 kwenye FIGO & INI
16. Hutibu MARADHI sugu
17. Huzuiya MARADHI ya moyo pamoja na Presha ya kushuka na KUPANDA
18. Hutibu MARADHI ya mifupa na Nervous

WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA
0757 349 219
0657 474 325
DAWA YA CLEANSES Hupatikani kwa Tsh 30,000/=
CLEANSES NATURAL DETOXIFICATION FOR THE BODY
Ni detox yenye kuimarisha mfumo mzima wa mwili na husaidia wote wenye maumivu ya MOTO MWILI NA KUKOSA NGUVU YA KUTEMBEA

Pakua Apps ya mbochi herbal Life-24 kwa Elimu juu ya Tiba za nyumbani https://play.google.com/store/apps/details?id=appinventor.ai_mbochiherbalife24.Mbochi_herbal_life&pli=1

Daktari Homoni zangu ZIMEVURUGIKA nimeambiwa nina "HORMONAL IMBALANCE" nifanyeje Zikae sawa? Jibu:Kuvurugika kwa homoni ...
10/03/2023

Daktari Homoni zangu ZIMEVURUGIKA nimeambiwa nina "HORMONAL IMBALANCE" nifanyeje Zikae sawa?

Jibu:
Kuvurugika kwa homoni maana yake vichocheo vya k**e vinavyo endesha mzunguko wa hedhi salama kutokuwa ktk mhumili unao takiwa.
Homoni zipo nyingi mfano Estrogen inayo jenga ukuta wa kizazi,Progesterone Inayo shikilia ukuta usibomoke unapokuwa na mimba na inashuka kuruhusu uingie kwenye siku zako ukuta ubomoke.
Homoni nyingine ni Prolactin hukuza matiti na kukupatia maziwa kumnyonyesha mwanao. Huongezeka ukiwa una mimba na zaidi unapojifungua. Homoni nyingine ni Testosterone mnayo pia ila ipo chini sana.
Endapo ukuta wa mwezi huu usipobomoka, Ukajengwa na ukuta wa mwezi ujao hali hio unenepesha ukuta wa kizazi na Unaweza Pata Endometrial hypertrophy hii inaweza pelekea hata kansa ya kizazi. Ni vibaya sana kuona kizazi hakijisafishi kila mwezi na Hushtuki.
Pia Endapo kizazi kinajisafisha na maumivu makali sana. Hio ni ishara kwamba homoni haziko vizuri.
Endapo unatokewa na nywele sehemu ambazo mwanamke hutakiwi kuwa na nywele maana yake homoni ya kiume imeanza kupanda.
Hali hii pia Huleta maumivu makali ya tendo la ndoa k**a unakatwa kisu maana Estrogen inakuwa haikuandai vizuri kukutana na mwenza wako. Tendo linakuwa karaha badala ya raha.
Kitu kikubwa kabisa kinacho vuruga homoni ni SUKARI. Kwani Mwili unapopigana kushusha na kutumia hio sukari unayo weka. Humwaga homon ya INSULIN hii ni Master homoni. Ikiwa juu huenda kupandisha Prolactin na homon za kiume kwa mwanamke na kuvuruga homoni zote zingine.
Prolactin ikipanda huwezi kubeba mimba hata siku moja huenda kulaza ovari zisitengeneze mayai kabisa. Ni sawa na mama anaye nyonyesha huwezi kubeba mimba hata usipotumia kinga mwanzoni ndani ya siku 40 miezi 3 mpaka 6 kwa sababu Prolactin huwa ipo juu kwa sababu ya kunyonyesha kitalamu tunaita Lactation amenorrhea kikomo cha hedhi sbabu ya kunyonyesha lkn pia ovari husinzia.
Sukari husinzisha ovari zako k**a vile mtu ANATUMIA UZAZI WA MPANGO.
Hatua ya kwanza Kuamsha Ovari zako kutoka Usingizini zianze Kupevusha mayai ni KUACHA KUJIDUNGA SUKARI NA VINYWAJI VYA SUKARI.

https://play.google.com/store/apps/details?id=appinventor.ai_mbochiherbalife24.Mbochi_herbal_life&pli=1

KIVUMBASI au MALKIA wa mimea, NI mimea inayojulikana sana katika familia ya Lamiaceae. Ni asili ya Indiana Afrika na ina...
07/03/2023

KIVUMBASI au MALKIA wa mimea, NI mimea inayojulikana sana katika familia ya Lamiaceae. Ni asili ya Indiana Afrika na inalimwa sana katika Asia ya Kusini-mashariki.lakini APA afrika Ujiotea Sana Kwa wingi

KIVUMBASI imeonekana kuwa na ufanisi wa hali ya juu katika kulinda mwili wetu dhidi ya maambukizo na magonjwa mbalimbali ya ini, ngozi, figo, n.k. Ina vioksidishaji vikali vinavyoweza kusaidia kudhibiti viwango vyako vya shinikizo la damu na cholesterol, na kuifanya kuwa moja ya vyakula bora vya afya ya moyo . Pia ni nzuri kwa ugonjwa wa kisukari kwani ina mali ya hypoglycemic ambayo inajulikana kusaidia kupunguza viwango vya sukari ya damu. Inapendekezwa kujumuisha KIVUMBASI katika mpango wako wa lishe ya kisukari . Kwa sababu ya faida nyingi za kiafya, KIVUMBASI Kinaitwa kwa usahihi 'Malkia wa Mimea' .

KIVUMBASI ni mahali maalum katika Ayurveda na pia nyumba ya Wahindu nchini India. Inachukuliwa kuwa takatifu na Wahindu na kuabudiwa nao. Aina tatu kuu za Kivumbasi zinaonekana kukua nchini India:

FAIDA KATIKA MWILI

Thamani ya Lishe ya Kivumbasi
Manufaa yanayoungwa mkono na Utafiti wa Kivumbasi duniani kote ni:

1. Nyongeza Kinga Asilia CD4
2. Hupunguza Homa (antipyretic) & Maumivu(analgesic):
3. Hupunguza Baridi, Kikohozi na Matatizo Mengine ya Kupumua:
4. Hupunguza Msongo wa Mawazo na Shinikizo la Damu:
5. Sifa za kuzuia saratani:
6. Nzuri kwa Afya ya Moyo:
7. Nzuri kwa Wagonjwa wa Kisukari:
8. Muhimu kwa Vijiwe kwenye Figo & Gouty Arthritis:
9. Inatumika kwa Matatizo ya Utumbo:
10. Nzuri kwa Ngozi na Nywele:
11. Hufanya kazi k**a Kinga wadudu:
12. Kuumwa na Wadudu & Utakaso wa Damu:
13. Afya ya Kinywa na Meno:
14. Matibabu ya Eczema:
15. Hupunguza Msongo wa Mawazo na Uchovu:
16. Huzuiya kukojoa Kwa watoto kitandani
17. Hushusha Homa za watoto aswa usiku
18. Hutibu pumu
19. Humaisha mishipa ya mwili na kuondoa sumu kwenye FIGO
20. Hurekebisha Hedhi na Kufanya mwanamke kuwa na mpangalio mzuri. https://play.google.com/store/apps/details?id=appinventor.ai_mbochiherbalife24.Mbochi_herbal_life&pli=1.

Address

Magomeni Mapipa, Idrisa Street
Dar Es Salaam
14101

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbochi Nutrition Life posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mbochi Nutrition Life:

Share