Afya yako kwanza

Afya yako kwanza Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yako kwanza, Nutritionist, Sky City Mall, Dar es Salaam.

07/03/2026

Bado haujampatia mwanao Salmon Oil na unafatiliia Page hii�

05/03/2026

Faida za mtoto kutumia Omega-3 (Salmon Oil) ni nyingi sana, hasa kwa ukuaji wa ubongo na afya ya jumla. Hapa ni faida muhimu kwa watoto:

� Ubongo & akili
Husaidia kumbukumbu, umakini na uwezo wa kujifunza
Hupunguza “over-activity” na kusaidia watoto kuwa watulivu na focused

� Macho
Husaidia maendeleo mazuri ya macho na kuona vizuri

� Kinga ya mwili
Huimarisha immune system, hivyo mtoto hapati magonjwa mara kwa mara

� Moyo & damu
Husaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu

� Inflammation & maumivu
Hupunguza uvimbe mwilini (inflammation) na maumivu madogo madogo ya mwili

� Ngozi & allergies
Husaidia ngozi kuwa laini, yenye afya, hupunguza ukavu na baadhi ya dalili za mzio

� Usingizi & utulivu
Husaidia mtoto kulala vizuri na kuwa mtulivu

kwa maelezo zaidi call/WhatsApp 0672 651625

MUONGOZO WA LISHE KWA WATOTO UNAHUSISHA ULAJI WA MAKUNDI YOTE YA CHAKULA NA KWA KIWANGO HUSIKA..●NAFAKA KAMILI Nafaka k*...
05/03/2026

MUONGOZO WA LISHE KWA WATOTO UNAHUSISHA ULAJI WA MAKUNDI YOTE YA CHAKULA NA KWA KIWANGO HUSIKA..
●NAFAKA KAMILI
Nafaka k**a mchele, ngano, mahindi, na mtama zinatoa nishati inayohitajika ili kutia nguvu mwilini kwa ukuaji wa mtoto
●MATUNDA NA MBOGAMBOGA
Mchanganyiko wa Matunda na mbogamboga ni muhimu husaidia kuongeza Kinga ya mwili dhidi ya magonjwa kwa kuwa na vitamins na madini
●PROTEIN
Vyakula vyenye wingi wa PROTEIN husaidia kujenga mwili na Protein inayohitajika sana mwilini ni ya Mimea na Nyama nyeupe
●MAFUTA NA SUKARI
Uhitaji wa mafuta na sukari mwilini ni kwa kiwango kidogo sana kwa ajili ya kupatia nishati mwilini
NB:Zingatia Unywaji wa Maji kwa Mtoto na matunda yenye wingi wa maji k**a Tikiti na nanasi na EPUKA vitu nyenye sukari nyingi kwa watoto

Je ni mara ngapi unampatia mtoto wako mafuta ya samaki? Zifahamu faida za mafuta ya samaki (omeg-3) kwa mtoto. • Huimari...
05/03/2026

Je ni mara ngapi unampatia mtoto wako mafuta ya samaki?

Zifahamu faida za mafuta ya samaki (omeg-3) kwa mtoto.

• Huimarisha afya ya ubongo wa mtoto
• Hufanya mtoto awe na ngozi nzuri
• Huimarisha afya ya viungo vya mtoto
• Husaidia mtoto asipoteze kumbukumbu
• Husaidia mtoto mwenye changamoto za allergy
• Husaidia kuzuia magonjwa ya kurithi kwa watoto.

Omega -3, zinaweza kutumika hata na mkubwa pia sio watoto pekee.

Kwa ushauri zaidi na mahitaji: 0672 651625

05/03/2026

```ILI KUEPUKA CHANGAMOTO YEYOTE YA NGOZI KWA WATOTO ZINGATIA
1.Matumizi Ya Mafuta Sahihi Yasiyo na Kemikali Sumu,Ngozi za watoto ziko sensitive sana huathirika kirahisi

2.EPUKA Sabuni kali na zenye Manukato makali

3.Mpe mtoto vyakula vyenye virutubisho Vyote Muhimu ,Lishe bora ni mojawapo ya sababu ya mtoto wako kuwa na Ngozi Nzuri !❤️❤️❤️
NB:Ngozi za watoto ziko very sensitive,hivyo n rahisi Kuathiriwa na kemikali sumu zilizopo kwenye Sabuni ama Mafuta....
Hivyo basi k**a hutaki mwanao apate changamoto yeyote ya ngozi ama k**a mwanao ana changamoto yeyote ya ngozi iwe ni
-Pumu ya ngozi
-Allergies ama miwasho tumia hii Combo ya
▪︎Shower Gel,
▪︎Organic Hand and Body Lotion na
▪︎Omega 3 Salmon Oil
Nzuri zaidi mtu yeyote anaweza kutumia iko na PH BALANCE ya ngozi hivyo ni rafiki kwa ngozi aina zote📌

_Jaribu leo Nakuhakikishia utarudi na FEEDBACK 💃💃💃💃💃_```

Vyakula vyenye **fibers (nyuzi lishe)** vina faida nyingi sana kwa watoto, hasa kwa ukuaji na afya ya mwili kwa ujumla. ...
05/03/2026

Vyakula vyenye **fibers (nyuzi lishe)** vina faida nyingi sana kwa watoto, hasa kwa ukuaji na afya ya mwili kwa ujumla. Hizi hapa faida kuu:

1. Husaidia mmeng’enyo wa chakula
Fibers husaidia chakula kusogea vizuri tumboni na kuzuia kufunga choo tatizo linalowapata watoto wengi.

2. Hujenga afya ya utumbo
Hulisha bakteria wazuri tumboni, jambo linaloimarisha kinga ya mwili na kupunguza magonjwa ya tumbo.

3. Hudhibiti uzito wa mwili
Vyakula vyenye fibers hushibisha kwa muda mrefu, hivyo mtoto hula kiasi kinachofaa na kupunguza hatari ya unene kupita kiasi

4. Husaidia kudhibiti sukari kwenye damu
Fibers hupunguza kasi ya kuingia kwa sukari mwilini, jambo muhimu kwa kuzuia matatizo ya kisukari baadaye.

5. Huimarisha afya ya moyo
Husaidia kupunguza mafuta mabaya mwilini, hivyo kulinda afya ya moyo tangu utotoni.

6. Husaidia mtoto kupata virutubisho vingine
Vyakula vingi vyenye fibers pia vina vitamini na madini muhimu kwa ukuaji wa mtoto.

Mifano ya vyakula vyenye fibers kwa watoto:
* Matunda: ndizi, chungwa, embe, papai, tofaa
* Mboga za majani: mchicha, sukuma wiki, kabichi
* Nafaka zisizokobolewa: mahindi ya dona, uwele, mtama, shayiri* Kunde na jamii zake: maharagwe, dengu, choroko, njegere

💡Ushauri: Ongeza vyakula vyenye fibers polepole na hakikisha mtoto anakunywa maji ya kutosha ili kuepuka maumivu ya tumbo.

05/03/2026

```Ngozi za watoto ziko very sensitive,hivyo n rahisi Kuathiriwa na kemikali sumu zilizopo kwenye Sabuni ama Mafuta....
Hivyo basi k**a hutaki mwanao apate changamoto yeyote ya ngozi ama mwanao ana changamoto yeyote ya ngozi iwe ni
-Pumu ya ngozi
-Allergies ama miwasho tumia hii Combo ya
�Shower Gel,
�Organic Hand and Body Lotion na �Omega 3 Salmon Oil
Nzuri zaidi mtu yeyote anaweza kutumia �```

_Jaribu leo Nakuhakikishia utarudi na FEEDBACK �����_

21/02/2026

👶🏽✨ Afya ya Mtoto Leo, ni Uwekezaji wa Kesho
K**a mzazi, kila mmoja wetu anatamani kumuona mtoto wake anakua mwenye afya njema, mwenye nguvu, akili timamu na asiyeumwa mara kwa mara 🤍
Lakini ukweli ni kwamba, si kila mtoto hupata virutubisho vyote muhimu kupitia chakula cha kila siku pekee.
🌱 Virutubisho sahihi kwa watoto husaidia:
✔️ Kuimarisha kinga ya mwili ili mtoto asiugue mara kwa mara
✔️ Kukuza ukuaji mzuri wa mifupa, meno na misuli
✔️ Kuongeza hamu ya kula kwa watoto wanaokataa chakula
✔️ Kuimarisha maendeleo ya ubongo, kumbukumbu na umakini
✔️ Kuzuia upungufu wa damu na udhaifu wa mwili
✔️ Kumfanya mtoto aonekane mwenye afya njema kwa ujumla

💡 Kumbuka:
Mtoto mwenye afya njema leo, ana nafasi kubwa ya kuwa kijana mwenye uwezo kesho.

Kwa ushauri zaidi;
WhatsApp/Call 0672 651625

06/02/2026

```ILI KUEPUKA CHANGAMOTO YEYOTE YA NGOZI KWA WATOTO ZINGATIA
1.Matumizi Ya Mafuta Sahihi Yasiyo na Kemikali Sumu,Ngozi za watoto ziko sensitive sana huathirika kirahisi

2.EPUKA Sabuni kali na zenye Manukato makali

3.Mpe mtoto vyakula vyenye virutubisho Vyote Muhimu ,Lishe bora ni mojawapo ya sababu ya mtoto wako kuwa na Ngozi Nzuri !���
NB:Ngozi za watoto ziko very sensitive,hivyo n rahisi Kuathiriwa na kemikali sumu zilizopo kwenye Sabuni ama Mafuta....
Hivyo basi k**a hutaki mwanao apate changamoto yeyote ya ngozi ama k**a mwanao ana changamoto yeyote ya ngozi iwe ni
-Pumu ya ngozi
-Allergies ama miwasho tumia hii Combo ya
�Shower Gel,
�Organic Hand and Body Lotion na
�Omega 3 Salmon Oil
Nzuri zaidi mtu yeyote anaweza kutumia iko na PH BALANCE ya ngozi hivyo ni rafiki kwa ngozi aina zote�

_Jaribu leo Nakuhakikishia utarudi na FEEDBACK �����_```

06/02/2026

�� LISHE BORA NA VIRUTUBISHO MUHIMU KWA WATOTO WETU! ���

Watoto wanahitaji mlo kamili kila siku ili wawe na afya bora, akili timamu na mwili wenye nguvu. Lakini je, chakula peke yake kinatosha? �

� Lishe bora inapaswa kuwa na:
� Mboga na matunda kwa vitamini na kinga
� Protini kwa ukuaji wa mwili
� Wanga kwa nishati
� Mafuta bora kwa ukuaji wa ubongo

Lakini mara nyingi watoto hawali mboga za kutosha au wanakuwa wachaguaji. Hapo ndipo virutubisho vya asili vinasaidia!

� VITA SQUARES – Ni mchanganyiko wa vitamini na madini tamu za kutafuna kwa watoto:
� Huongeza hamu ya kula kwa mtoto
�Huimarisha mfumo wa kinga
� Husaidia ukuaji wa mifupa na meno
� Inaboresha Mmeng'enyo wa chakula

�VITA GUARD - Ni mchanganyiko wa mbogamboga na matunda
�Huimarisha kinga ya mwili
�Huongeza Damu
� Inasaidia Kulainisha Choo

�OMEGA III SALMON OIL
�Huongeza kiwango cha Kumbukumbu na kukuza uelewa
�Huboresha afya ya moyo
�Huboresha afya ya Macho
�Husaidia kudhibiti Allergies na shida za ngozi
�Husaidia Kulainisha choo

� Kwa matokeo bora:
� Mpe mtoto mlo kamili kila siku
� Ongeza VITA SQUARES, VITA GUARD na OMEGA III SALMON OIL

� Afya ya mtoto wako ni uwekezaji bora kwa kesho.

� Wasiliana nasi kwa maelezo na ushauri zaidi na jinsi ya kupata virutubisho hivi,Waweza kupiga simu/ Whatsapp
+255 672 651 625





23/11/2025

```MIONGONI MWA SABABU ZINAZOSABABISHA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA
-Upungufu wa Vitamini na madini
-Maambukizi kwenye mfumo wa chakula
-Kuzoea chakula

Mtoto wako hana hamu ya kula?
Anaonekana mchovu hata baada ya kula?

Start na DETOX – kwanza toa sumu mwilini, especially baada ya dawa au antibiotics.

Endelea na Appetite Booster – yenye mchanganyiko wa Vitamini na madini itakayorudisha hamu ya kula kwa nguvu.

Kisha Mpatie Immunity Booster-yenye mchanganyiko wa mbogamboga na matunda itakayoimarisha kinga ya mwili ya mtoto dhidi ya magonjwa.
Finalize na Omega-3 Salmon Oil – yenye familia zote 8 za omega, kwa ubongo makini na nguvu za mwili.

Formula kamili ya
Afya bora inaanza ndani ya mwili.!```

Address

Sky City Mall
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category