Afya yako kwanza

  • Home
  • Afya yako kwanza

Afya yako kwanza Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yako kwanza, Nutritionist, .

28/07/2025

Umuhimu upo mkubwa Sanaa. Miili yetu inapaswa kupokea virutubisho kila siku toka kwenye Vyakula tunavyotumia kila siku. Kuna uwezekano mkubwa wa wewe kukosa hivi virutubisho kulingana na sababu mbalimbali
1. Ulaji usio sahihi
2. Upotevu wa Virutubisho kuanzia shambani, sokoni, tunavyopika (jikoni)
3. Matumizi ya kilevi (pombe), sigara
4. Matumizi ya madawa makali
5. Ugonjwa wa muda mrefu n.k

Hivyo basi, virutubisho ni muhimu Sanaa ili kujaziliza pale ambapo mwili umeshindwa kupokea virutubisho kulingana na sababu za upotevu tajwa hapo juu.





Kuchangia ukuaji na maendeleo
ya mwili
Watoto wanapokuwa katika hatua za ukuaji, miili yao huhitaji virutubishi kwa kiwango kikubwa. Virutubisho husaidia kuhakikisha mtoto anapata madini na vitamini muhimu k**a:

Calcium na Vitamin D: kwa ukuaji wa mifupa na meno imara.

Iron: kwa kutengeneza damu na kuzuia upungufu wa damu (anemia).

Zinc: kwa ukuaji na kinga ya mwili.

2. Kuimarisha kinga ya mwili
Virutubisho k**a Vitamin C, A, E na Zinc husaidia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili, hivyo mtoto hupata kinga dhidi ya maradhi mbalimbali.

3. Kusaidia watoto wenye matatizo ya lishe
Kwa watoto wanaopata lishe duni, wana matatizo ya kula au wenye matatizo ya usagaji wa chakula, virutubisho vinaweza kusaidia kuzuia upungufu wa virutubishi muhimu.

4. Kuongeza nguvu na uwezo wa kujifunza
Virutubisho k**a Omega-3 fatty acids vinaweza kusaidia katika ukuaji wa ubongo, kumbukumbu, na uwezo wa kujifunza.

Kwa mawasiliano zaid tupige 0711448518

28/07/2025

K**a mtoto wako mwenye umri wa miaka 1 adi 5 anakosa hamu ya kula....
Na kila unapoenda kumpima uzito unakuta uzito auongezeki bado upo palepale au unapungua
Hio sio jambo dogo k**a udhaniavyo
Usipochukulia kwa ukubwa muda c mrefu utaharibu afya ya mwanao.. pamoja na ukuaji wake na ufanyaji kazi wa ubongo
Habari njema kwako kuna mambo hayo 3 ukiweza kufanya kila siku

Itamsaidia mwanao kuwa na hamu ya kula na kuongezeka uzito bila kutumia dawa za kemikali zenye madhara kwa mwanao

Mtoto wako hana hamu ya kula?
Anaonekana mchovu hata baada ya kula?

Start na DETOX – kwanza toa sumu mwilini, especially baada ya dawa au antibiotics.

Endelea na Appetite Booster – irudishe hamu ya kula kwa nguvu.

Kisha finalize na Omega-3 Salmon Oil – yenye familia zote 8 za omega, kwa ubongo makini na nguvu za mwili.

Formula kamili kutoka Toto Afya
Afya bora inaanza ndani ya mwili.






# totoafya

Kwa huduma Ya haraka zaidi piga /WhatsApp
+255 672 651 625

Ngozi Nzuri Inaanzia Ndani,Wakati Mtoto wako anaogea Organic Shower jelly yetu na kupaka Baby Lotion Hakikisha Anatumia ...
28/07/2025

Ngozi Nzuri Inaanzia Ndani,Wakati Mtoto wako anaogea Organic Shower jelly yetu na kupaka Baby Lotion Hakikisha Anatumia Salmon Pia 👌🏽🔥

☆Matumizi Ya Mafuta Sahihi Yasiyo na Kemikali Sumu,Ngozi za watoto ziko sensitive sana tuna baby lotion Rafiki wa Ngozi ya mtoto

☆EPUKA Sabuni kali na zenye Manukato makali tuna shower jelly organic

☆Mpe mtoto vyakula vyenye virutubisho Vyote Muhimu ,Lishe bora ni mojawapo ya sababu ya mtoto wako kuwa na Ngozi Nzuri !

Ngozi za watoto ziko very sensitive,hivyo n rahisi Kuathiriwa na kemikali sumu zilizopo kwenye Sabuni ama Mafuta....
Hivyo basi k**a hutaki mwanao apate changamoto yeyote ya ngozi ama mwanao ana changamoto yeyote ya ngozi iwe ni
-Pumu ya ngozi
-Allergies ama miwasho tumia hii Combo ya
▪︎Shower Gel,
▪︎Organic Hand and Body Lotion na
▪︎Omega 3 Salmon Oil
Nzuri zaidi mtu yeyote anaweza kutumia 📌```

_Jaribu leo Nakuhakikishia utarudi na FEEDBACK 💃💃💃💃💃_

HII NI KWA WATU WANAOKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA AFYA KWA WATOTO WAO...K**A MWANAO -Anakosa hamu ya kula -Ana uelewa mdogo ...
28/07/2025

HII NI KWA WATU WANAOKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA AFYA KWA WATOTO WAO...
K**A MWANAO
-Anakosa hamu ya kula
-Ana uelewa mdogo darasani
-Sio mchangamfu
-Kinga yake ya mwili ni Dhaifu hivyo anaumwa Mara kwa Mara
-Hatua zake za ukuaji zinachelewa
-Ana udumavu
-Mifupa na viungo vyake ni dhaifu
-Ana Allergies na Pumu ya Ngozi
-Uzito wake unapungua ama hauongezeki..

☆☆K**a hufurahishwi na hatua za ukuaji wa mwanao ie
Kuchelewa kutambaa,kutembea ama kuanza kuongea hebu MPATIE VIRUTUBISHO uone Maajabu .....
Suluhisho ni moja tu
VIRUTUBISHO vya

28/07/2025

K**a hufurahishwi na hatua za ukuaji wa mwanao ie
Kuchelewa kutambaa,kutembea ama kuanza kuongea hebu MPATIE VIRUTUBISHO uone Maajabu .....
Suluhisho ni moja tu
VIRUTUBISHO vya

27/07/2025
```ILI KUEPUKA CHANGAMOTO YEYOTE YA NGOZI KWA WATOTO ZINGATIA 1.Matumizi Ya Mafuta Sahihi Yasiyo na Kemikali Sumu,Ngozi ...
27/07/2025

```ILI KUEPUKA CHANGAMOTO YEYOTE YA NGOZI KWA WATOTO ZINGATIA
1.Matumizi Ya Mafuta Sahihi Yasiyo na Kemikali Sumu,Ngozi za watoto ziko sensitive sana huathirika kirahisi

2.EPUKA Sabuni kali na zenye Manukato makali

3.Mpe mtoto vyakula vyenye virutubisho Vyote Muhimu ,Lishe bora ni mojawapo ya sababu ya mtoto wako kuwa na Ngozi Nzuri !❤️❤️❤️
NB:Ngozi za watoto ziko very sensitive,hivyo n rahisi Kuathiriwa na kemikali sumu zilizopo kwenye Sabuni ama Mafuta....
Hivyo basi k**a hutaki mwanao apate changamoto yeyote ya ngozi ama k**a mwanao ana changamoto yeyote ya ngozi iwe ni
-Pumu ya ngozi
-Allergies ama miwasho tumia hii Combo ya
▪︎Shower Gel,
▪︎Organic Hand and Body Lotion na
▪︎Omega 3 Salmon Oil
Nzuri zaidi mtu yeyote anaweza kutumia iko na PH BALANCE ya ngozi hivyo ni rafiki kwa ngozi aina zote📌

_Jaribu leo Nakuhakikishia utarudi na FEEDBACK 💃💃💃💃💃_```

FAIDA ZA SALMON OIL (MAFUTA YA SAMAKI)  KWA MTOTO.🐟Omega-3 muhimu katika afya ya ubongo hvyo husaidia kupandisha IQ ya m...
25/07/2025

FAIDA ZA SALMON OIL (MAFUTA YA SAMAKI) KWA MTOTO.

🐟Omega-3 muhimu katika afya ya ubongo hvyo husaidia kupandisha IQ ya mtoto, huboresha kumbukumbu, na maendleo ya ubongo kwa ujumla.
🐟omega-3 ni muhimu kwa maono au kazi ya macho
🐟omega-3 inasaidia viungo kuwa na nguvu au huimarisha mifupa kuwa imara hivyo ni nzuri kwa watoto wenye matege( rickets)
🐟 Ni nzuri kwa watoto wenye changamoto ya ngozi ( Acne)
🐟 Omega-3 huimarisha moyo na kuepusha na maradhi.
🐟 Omega-3 husaidia mtoto kupata vitamin B na hvyo kumsaidia kupata hamu ya kula
🐟omega-3 husaidia kuondoa kuzuia mzio katika mwili wa mtoto
🐟omega-3 ni msaada kwenye ukuaji wa ubongo wa mtoto wakati mama akiwa mjamzito na baada.
🐟omega-3 inasaidia kuepusha na saratani.

Je mwanao anachangamoto hizi?
🔹 Kutoelewa darasani?
🔹Kukosa uwezo wa kuona vizuri
🔹Kutokuwa na kumbukumbu
🔹Mtoto anakosa hamu ya kula
🔹 Mtoto sio mchangamfu?
*Jibu ni 🐟🐟salmon oil🐟🐟

Inapatikana Kwangu Kwa Bei Ya Ofa
Sh 95,000 badala ya 110,000

Tunapatikana SKY CITY MALL OPPOSITE NA MLIMANI CITY Barabara ya Kuelekea Chuo cha Ardhi

Kwa Mawasiliano zaidi Piga/WhatsApp
+255 672 651 625

Haya Tufunge Ofa Yetu Turudi Kwenye Bei Elekezi Wahi Mapema...!!!!!

Ngozi Nzuri Inaanzia Ndani,Wakati Mtoto wako anaogea Organic Shower jelly yetu na kupaka Baby Lotion Hakikisha Anatumia ...
25/07/2025

Ngozi Nzuri Inaanzia Ndani,Wakati Mtoto wako anaogea Organic Shower jelly yetu na kupaka Baby Lotion Hakikisha Anatumia Salmon Pia 👌🏽🔥

☆Matumizi Ya Mafuta Sahihi Yasiyo na Kemikali Sumu,Ngozi za watoto ziko sensitive sana tuna baby lotion Rafiki wa Ngozi ya mtoto

☆EPUKA Sabuni kali na zenye Manukato makali tuna shower jelly organic

☆Mpe mtoto vyakula vyenye virutubisho Vyote Muhimu ,Lishe bora ni mojawapo ya sababu ya mtoto wako kuwa na Ngozi Nzuri !

Ngozi za watoto ziko very sensitive,hivyo n rahisi Kuathiriwa na kemikali sumu zilizopo kwenye Sabuni ama Mafuta....
Hivyo basi k**a hutaki mwanao apate changamoto yeyote ya ngozi ama mwanao ana changamoto yeyote ya ngozi iwe ni
-Pumu ya ngozi
-Allergies ama miwasho tumia hii Combo ya
▪︎Shower Gel,
▪︎Organic Hand and Body Lotion na
▪︎Omega 3 Salmon Oil
Nzuri zaidi mtu yeyote anaweza kutumia 📌```

_Jaribu leo Nakuhakikishia utarudi na FEEDBACK 💃💃💃💃💃_

Hivi bado kuna Mzazi  anahangaika na uzito wa mtoto wake kutokuongezeka..???-Ushampa dawa za kila namna ili ale na bado ...
25/07/2025

Hivi bado kuna Mzazi anahangaika na uzito wa mtoto wake kutokuongezeka..???
-Ushampa dawa za kila namna ili ale na bado haongezeki uzito na badala yake anazidi kupungua uzito..??
-Kuhusu Lishe ndo ushambadilishia lakini hakuna mabadiliko yeyote...!!!!

Basi Suluhuhisho ni Hii Shake pekee kutoka

☆Itamuongezea hamu ya kula na uzito kadhalika
ie:unampatia shake hii huku unampa chakula k**a kawaida
☆Itamuondolea Allergies zote haswa za Protein kwa maana shake hii ni Protein iliyojitosheleza haijaongezwa ladha wala rangi bandia!!

Shake hii ni kinywaji kitamu cha kutumia katika lishe ya kila siku,kikiupa mwili wako nguvu pamoja na protein bora,nyuzinyuzi,vitamin, madini ,vimeng'enya na viondoa sumu.
Protein hulisha seli zako na kuongeza nguvu,husaidia mwili wako kujenga na kukarabati tishu,kuupa nishati uundaji wa vimeng'enya,hormone na kinga mwili,kujenga mifupa,misuli,gegedu na damu kiafya...

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share