28/07/2025
Umuhimu upo mkubwa Sanaa. Miili yetu inapaswa kupokea virutubisho kila siku toka kwenye Vyakula tunavyotumia kila siku. Kuna uwezekano mkubwa wa wewe kukosa hivi virutubisho kulingana na sababu mbalimbali
1. Ulaji usio sahihi
2. Upotevu wa Virutubisho kuanzia shambani, sokoni, tunavyopika (jikoni)
3. Matumizi ya kilevi (pombe), sigara
4. Matumizi ya madawa makali
5. Ugonjwa wa muda mrefu n.k
Hivyo basi, virutubisho ni muhimu Sanaa ili kujaziliza pale ambapo mwili umeshindwa kupokea virutubisho kulingana na sababu za upotevu tajwa hapo juu.
Kuchangia ukuaji na maendeleo
ya mwili
Watoto wanapokuwa katika hatua za ukuaji, miili yao huhitaji virutubishi kwa kiwango kikubwa. Virutubisho husaidia kuhakikisha mtoto anapata madini na vitamini muhimu k**a:
Calcium na Vitamin D: kwa ukuaji wa mifupa na meno imara.
Iron: kwa kutengeneza damu na kuzuia upungufu wa damu (anemia).
Zinc: kwa ukuaji na kinga ya mwili.
2. Kuimarisha kinga ya mwili
Virutubisho k**a Vitamin C, A, E na Zinc husaidia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili, hivyo mtoto hupata kinga dhidi ya maradhi mbalimbali.
3. Kusaidia watoto wenye matatizo ya lishe
Kwa watoto wanaopata lishe duni, wana matatizo ya kula au wenye matatizo ya usagaji wa chakula, virutubisho vinaweza kusaidia kuzuia upungufu wa virutubishi muhimu.
4. Kuongeza nguvu na uwezo wa kujifunza
Virutubisho k**a Omega-3 fatty acids vinaweza kusaidia katika ukuaji wa ubongo, kumbukumbu, na uwezo wa kujifunza.
Kwa mawasiliano zaid tupige 0711448518