19/11/2025
Afya inahusisha
-Lishe bora
-Kupumzika na
-kufanya Mazoezi ....
Lakini kwenye swala la lishe bora Virutubisho muhimu ambavyo mwili unahitaji vinapotea wakati wa uandaaji wa chakula ndo maana watoto wanaanza kubagua na kukosa hamu ya kula,Maradhi ya mara kwa mara kwa maana kinga ya mwili imeshuka na muda mwingine hatua za ukuaji zinachelewa...Hivyo basi hapo ndo tunashauri matumizi ya Virutubisho Kwa maana vina Vitamini na madini yote muhimu kwa ukuaji wa mwili na akili kwa watoto....
Virutubisho hivi Ni vidonge laini vya kutafuna vyenye virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili.
FAIDA ZAKE
👉Huimarisha kinga ya mwili
- Ina vitamini A, C, D, na zinki zinazosaidia mwili kupambana na magonjwa.
👉Huchangia ukuaji wa mwili na mifupa
- Vitamini D na madini k**a kalsiamu husaidia mifupa na meno kuwa imara.
👉Husaidia ukuaji wa ubongo na uwezo wa kujifunza
- Ina choline na omega-3 kwa ajili ya akili,kumbukumbu, na umakini wa mtoto.
👉Huongeza hamu ya kula
- Virutubisho vilivyomo husaidia mfumo wa mmeng’enyo kufanya kazi vizuri na kumsaidia mtoto kuwa na hamu ya kula.
👉Huongeza nguvu na kuondoa uchovu
- Hutoa vitamini B zinazosaidia uzalishaji wa nishati mwilini.
👉Huimarisha afya ya ngozi, macho na nywele
- Vitamini A, E, na B-complex huifanya ngozi ya mtoto kuwa safi na yenye afya.
👉Hulinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
- Ina antioxidants zinazolinda seli za mtoto dhidi ya sumu na mazingira hatarishi.
Hivi virutubisho Ni msaada bora wa lishe kwa watoto hasa wanaokosa vitamini kwenye mlo wa kila siku, au wenye udhaifu wa kinga.Ni salama, haina sukari nyingi wala kemikali hatari.