Afya yako kwanza

Afya yako kwanza Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yako kwanza, Nutritionist, Mwenge, Dar es Salaam.

19/11/2025

---

🤔 Kwa nini watoto wanahitaji Multivitamins?

Watoto wanakuwa haraka, lakini mara nyingi hawali vyakula vya kutosha au hawapati virutubisho vyote muhimu kupitia chakula. Multivitamins hujaza pengo la lishe na kusaidia mwili kukua vizuri.

---

🌟 Faida za Multivitamins kwa Watoto

🛡️ Huimarisha kinga ya mwili → mtoto hasumbuliwi na mafua na homa mara kwa mara

🍽️ Huongeza hamu ya kula → kwa watoto wanaokataa kula

💪 Huongeza nguvu na ukuaji wa mwili

🧠 Huboresha kumbukumbu na umakini → mtoto awe makini darasani

🦴 Huimarisha mifupa na meno

👀 Hulinda macho na ngozi

Multivitamins husaidia mtoto kukua akiwa na afya njema, nguvu na kinga imara. 🌱✨

19/11/2025

Umejaribu kila kitu lakini mtoto wako bado hapati uzito unaofaa?

Kukosa uzito unaostahili kunaweza kuathiri ukuaji wake wa kimwili na kiakili, na pia kumfanya awe rahisi kupata magonjwa. Lakini usikate tamaa.

Kuna njia za kumsaidia mtoto wako kupata uzito unaofaa kwa njia salama na ya asili. Jua kwamba suluhisho linaweza kuwa katika kuboresha lishe yake ya kila siku na kuhakikisha anapata virutubisho vyote muhimu anavyohitaji.

Shake hii ni Protein iliyojitosheleza haijaongezwa ladha wala rangi bandia hivyo husaidia kujenga mwili na kutia nguvu kadhalika..!!!!
Mpatie shake hii pamoja na Mlo wake wa kila siku..!!!!

Tupe maoni yako. Ni changamoto gani unazokumbana nazo na uzito wa mtoto wako?

19/11/2025

```MIONGONI MWA SABABU ZINAZOSABABISHA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA
-Upungufu wa Vitamini na madini
-Maambukizi kwenye mfumo wa chakula
-Kuzoea chakula

Mtoto wako hana hamu ya kula?
Anaonekana mchovu hata baada ya kula?

Start na DETOX – kwanza toa sumu mwilini, especially baada ya dawa au antibiotics.

Endelea na Appetite Booster – yenye mchanganyiko wa Vitamini na madini itakayorudisha hamu ya kula kwa nguvu.

Kisha Mpatie Immunity Booster-yenye mchanganyiko wa mbogamboga na matunda itakayoongeza kinga ya mwili na kupambana na magonjwa

Finalize na Omega-3 Salmon Oil – yenye familia zote 8 za omega, kwa ubongo makini na nguvu za mwili.

Formula kamili ya
Afya bora inaanza ndani ya mwili.!```

MPE MWANAO LEO✔️

19/11/2025

Sabuni na mafuta ya kujipaka yanaweza kuwa na madhara kwa ngozi ya mtoto hasa k**a siyo maalum kwa ajili ya watoto au yana viambato vyenye kemikali kali. Hapa kuna madhara yanayoweza kutokea:

1. Irritation (Muwasho wa ngozi)

Sabuni zenye harufu kali, rangi au viambato vya kemikali vinaweza kusababisha ngozi ya mtoto kuwa nyekundu, kuwasha, au kutoa vipele.

2. Kukausha ngozi

Sabuni nyingi hutoa mafuta ya asili kwenye ngozi, na kwa watoto walio na ngozi laini na nyembamba, hii inaweza kupelekea ukavu wa ngozi na kuleta matatizo k**a ngozi kupasuka au kuwasha.

3. Allergies (Mzio)

Mafuta au sabuni zilizo na harufu au viambato k**a parabens, sulfates, au alcohol zinaweza kusababisha mzio – kuvimba, vipele au upele mwekundu.

4. Kukwamisha kupumua kwa ngozi

Baadhi ya mafuta mazito (k**a petroleum jelly ya kawaida) yanapowekwa mara kwa mara, yanaweza kuziba matundu ya ngozi na kusababisha vipele au upele wa joto (heat rash).

5. Kuathiri pH ya ngozi

Ngozi ya mtoto ina pH ya asili inayolinda dhidi ya vijidudu. Sabuni zenye kemikali kali huweza kuvuruga usawa huu na kuathiri kinga ya asili ya ngozi.

Hebu njoo nikupe sabuni na mafuta salama kwa mtoto.Nipigie 0672 651625

19/11/2025

💐Omega3 Salmon Oil Plus Ni mafuta ya samaki yenye familia 8 za fatty acids,Yametengenezwa kwa ufanisi mkubwa sanaa…NA NI MUHIMU KILA MTU KUTUMIA..!!

1.👉Afya ya moyo
- Husaidia kupunguza mafuta mabaya (LDL) na kuongeza mafuta mazuri (HDL).
- Hupunguza shinikizo la damu na hatari ya magonjwa ya moyo.

2. 👉Ubongo na akili
- Huimarisha kumbukumbu, uwezo wa kufikiri,na kupunguza hatari ya magonjwa k**a Alzheimer.
- Hupunguza msongo wa mawazo na wasiwasi.

3. 👉Kupunguza uchochezi (inflammation)
- Husaidia wenye magonjwa ya viungo (arthritis) kwa kupunguza maumivu na uvimbe.

4.👉Afya ya macho
- DHA ni muhimu kwa retina,Husaidia kuepusha matatizo ya macho yanayosababishwa na uzee.

5.👉Afya ya Ngozi na Nywele
- Husaidia ngozi kuwa laini,yenye unyevunyevu na kuzuia uzee wa ngozi wa mapema.

6.👉Kingamwili (immune system)
- Huimarisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi mbalimbali.

7.👉Kwa Wajawazito na Watoto
- Huongeza ukuaji wa ubongo wa mtoto na afya ya mimba kwa ujumla.

NOTE👉From
Unapotumia Salmon Oil Plus Hakikisha ni ya ubora mzuri (imechujwa vizuri – purified) ili kuepuka metali nzito k**a mercury.

👉WhatsApp/Call 0672 651625

19/11/2025

🧒🏾👧🏽 LISHE BORA NA VIRUTUBISHO MUHIMU KWA WATOTO WETU! 🍽️🍓🧠

Watoto wanahitaji mlo kamili kila siku ili wawe na afya bora, akili timamu na mwili wenye nguvu. Lakini je, chakula peke yake kinatosha? 🤔

✅ Lishe bora inapaswa kuwa na:
🥦 Mboga na matunda kwa vitamini na kinga
🍗 Protini kwa ukuaji wa mwili
🍚 Wanga kwa nishati
🥜 Mafuta bora kwa ukuaji wa ubongo

Lakini mara nyingi watoto hawali mboga za kutosha au wanakuwa wachaguaji. Hapo ndipo virutubisho vya asili vinasaidia!

🌟 VITA SQUARES – Ni mchanganyiko wa vitamini na madini tamu za kutafuna kwa watoto:
👉 Huongeza hamu ya kula kwa mtoto
👉Huimarisha mfumo wa kinga
👉 Husaidia ukuaji wa mifupa na meno
👉 Inaboresha Mmeng'enyo wa chakula

🌟VITA GUARD - Ni mchanganyiko wa mbogamboga na matunda
👉Huimarisha kinga ya mwili
👉Huongeza Damu
👉 Inasaidia Kulainisha Choo

🌟OMEGA III SALMON OIL
👉Huongeza kiwango cha Kumbukumbu na kukuza uelewa
👉Huboresha afya ya moyo
👉Huboresha afya ya Macho
👉Husaidia kudhibiti Allergies na shida za ngozi
👉Husaidia Kulainisha choo

💡 Kwa matokeo bora:
➡️ Mpe mtoto mlo kamili kila siku
➡️ Ongeza VITA SQUARES, VITA GUARD na OMEGA III SALMON OIL

💚 Afya ya mtoto wako ni uwekezaji bora kwa kesho.

📞 Wasiliana nasi kwa maelezo na ushauri zaidi na jinsi ya kupata virutubisho hivi,Waweza kupiga simu/ Whatsapp
+255 672 651 625





19/11/2025

Afya inahusisha
-Lishe bora
-Kupumzika na
-kufanya Mazoezi ....
Lakini kwenye swala la lishe bora Virutubisho muhimu ambavyo mwili unahitaji vinapotea wakati wa uandaaji wa chakula ndo maana watoto wanaanza kubagua na kukosa hamu ya kula,Maradhi ya mara kwa mara kwa maana kinga ya mwili imeshuka na muda mwingine hatua za ukuaji zinachelewa...Hivyo basi hapo ndo tunashauri matumizi ya Virutubisho Kwa maana vina Vitamini na madini yote muhimu kwa ukuaji wa mwili na akili kwa watoto....

Virutubisho hivi Ni vidonge laini vya kutafuna vyenye virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili.

FAIDA ZAKE

👉Huimarisha kinga ya mwili
- Ina vitamini A, C, D, na zinki zinazosaidia mwili kupambana na magonjwa.

👉Huchangia ukuaji wa mwili na mifupa
- Vitamini D na madini k**a kalsiamu husaidia mifupa na meno kuwa imara.

👉Husaidia ukuaji wa ubongo na uwezo wa kujifunza
- Ina choline na omega-3 kwa ajili ya akili,kumbukumbu, na umakini wa mtoto.

👉Huongeza hamu ya kula
- Virutubisho vilivyomo husaidia mfumo wa mmeng’enyo kufanya kazi vizuri na kumsaidia mtoto kuwa na hamu ya kula.

👉Huongeza nguvu na kuondoa uchovu
- Hutoa vitamini B zinazosaidia uzalishaji wa nishati mwilini.

👉Huimarisha afya ya ngozi, macho na nywele
- Vitamini A, E, na B-complex huifanya ngozi ya mtoto kuwa safi na yenye afya.

👉Hulinda seli za mwili dhidi ya uharibifu
- Ina antioxidants zinazolinda seli za mtoto dhidi ya sumu na mazingira hatarishi.
Hivi virutubisho Ni msaada bora wa lishe kwa watoto hasa wanaokosa vitamini kwenye mlo wa kila siku, au wenye udhaifu wa kinga.Ni salama, haina sukari nyingi wala kemikali hatari.

19/11/2025

Miongoni mwa Faida za Kumpatia mtoto wako Virutubisho ni uchangamfu wako wa mwili na akili hivyo basi MZAZI ,AFYA YA MWANAO NDO KIPAUMBELE CHAKO...MPATIE VIRUTUBISHO HIVI NA Vitamuongezea hamu ya kula
•Vitamuondolea maradhi ya mara kwa mara
•Vitamuongezea kinga ya mwili
•Vitaondoa changamoto za usonji
•Vitaondoa Nyama za pua
•Vitaondoa Allergies zote
•Vitaondoa changamoto yyt ya ngozi
•Vitamuongezea Uelewa na kumbukumbu Darasan
•Vitasaidia kuondoa changamoto za Sickle cell

Jipatie Virutubisho vya mtoto wako kwa kupiga simu/WhatsApp 0672 651625
Tunapatikana SKY CITY MALL OPPOSITE NA MLIMANI CITY Barabara ya Kuelekea Chuo cha Ardhi na UDSM

19/11/2025

Weka mwisho kwa nywele kavu, ngumu na zisizo na uhai!
Enriching Conditioner ni suluhisho la kitaalamu kwa ajili ya kurejesha unyevu, uimara na mng’ao wa nywele zako — bila kutumia kemikali kali.

✅ Hulainisha nywele na kuzuia kuchanganyika (detangles)
✅ Hurejesha unyevu uliopotea kutokana na jua, dawa au mitindo ya nywele
✅ Huongeza mng’ao wa asili na kuifanya nywele kuwa laini na rahisi kusuka
✅ Husaidia kulinda ngozi ya kichwa dhidi ya ukavu na muwasho
✅ Inafaa kwa kila aina ya nywele – hata nywele za watoto

🌿 Imetengenezwa kwa viambato asilia, haina sulfates, parabens wala dyes – salama kwa matumizi ya kila siku.

🧴 JINSI YA KUITUMIA:
1. Osha nywele zako kwa shampoo (k**a Mild Revitalizing Shampoo)
2. Paka Enriching Conditioner kwenye nywele zenye unyevunyevu kuanzia katikati hadi kwenye ncha
3. Acha ikae kwa dakika 3–5
4. Suuza vizuri kwa maji ya uvuguvugu
👉 Kwa matokeo bora, tumia angalau mara 2 kwa wiki

💰BEI: 40,000 TZS
🚛 Tunafanya delivery pia
📞 Wasiliana nasi kwa oda au ushauri:
+255 672 651 625






Nywele zako ni taji lako.
Chagua Enriching Conditioner kwa nywele laini, zenye afya na mvuto wa asili siku zote 👑💚

19/11/2025

Mtoto wako anaogea sabuni gani?
Mtoto anapaka mafuta gani?
Hiyo sabuni inasaidia ngozi iliyopata vipele vya joto?
Sabuni anayoogea mwanao inampa mafua?

Haya changamka sasa upate Sabuni na Mafuta mazuri na salama kwa ngozi ya mtoto wa kuanzia siku moja..
SHOWER GEL SPECIAL!
Imetengenezwa mahsusi kwa ngozi nyeti — haina kemikali kali!
Inafaa kwa wenye:
• Allergy ya ngozi
• Pumu ya ngozi (eczema)
• Miwasho sugu na changamoto zingine za ngozi.

Ni pH balanced - Salama kwa kila aina ya ngozi!

Agiza sasa upokee package yako kwa kupiga simu/WhatsApp +255 672 651 625

Address

Mwenge
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category