Terephael Urio

Terephael Urio tiba za asili

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! George Edward, Cleopa Daniel, Fatael Mbesses, Elifasi Mtui
25/09/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! George Edward, Cleopa Daniel, Fatael Mbesses, Elifasi Mtui

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! George Edward, Cleopa Daniel, Fatael Mbesses, Elifasi Mtui πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“
25/09/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! George Edward, Cleopa Daniel, Fatael Mbesses, Elifasi Mtui πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“

terefaelurio@gmail.comDEREVA, KONDAKTA NA ABIRIA WAKAMATWA KWA KUMPIGA TRAFIKI WAKATI WA UKAGUZI..Na VENANCE  JOHNWatu 1...
20/09/2024

terefaelurio@gmail.com

DEREVA, KONDAKTA NA ABIRIA WAKAMATWA KWA KUMPIGA TRAFIKI WAKATI WA UKAGUZI..

Na VENANCE JOHN

Watu 18 ambao ni abiria 16, dereva na kondakta wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mara kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda.

Tukio hilo lilitokea siku ya Jumatano Septemba 18, 2024, saa 12 jioni.

Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo amesema askari huyo alikumbwa na kipigo baada ya kuamuru abiria waliosimama kushuka kwenye gari.

Butusyo Mwambelo amesemea, kondakta wa gari hilo alifunga mlango baada ya askari huyo kuingia ndani ya gari na wote waliokuwa ndani ya gari, akiwamo dereva, kondakta na abiria, walianza kumshambulia askari huyo.

β€œAskari wetu alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuwataka abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari washuke, lakini ghafla walimzonga kwa maneno ya kebehi, na kondakta akafunga mlango wa gari. Ndipo dereva, kondakta na abiria wao wakaanza kumpiga askari akiwa ndani ya gari. Je, kweli tumefika hatua hiyo k**a Watanzania?” amesema Mwambelo.

Mwambelo amesema hayo wakati wa operesheni ya ukaguzi wa magari iliyofanyika Septemba 19, 2024, katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Geita na kusisitiza kuwa tukio hilo ni la kusikitisha na halitavumiliwa na kwamba jeshi la polisi limechukua hatua za haraka kuhakikisha wote waliohusika katika tukio hilo watawajibishwa kisheria.
Terephael Urio

20/09/2024

Habari ndugu zangu

Chombo iki hapa sasa mnasema je.
07/09/2024

Chombo iki hapa sasa mnasema je.

Baada ya klabu ya Azam kufungwa nchini Rwanda ,vyombo vya Habari vya Rwanda kupitia watangazaji na waandishi wa Habari n...
28/08/2024

Baada ya klabu ya Azam kufungwa nchini Rwanda ,vyombo vya Habari vya Rwanda kupitia watangazaji na waandishi wa Habari nchini humo wameitaja Simba k**a klabu bora ukanda wa Africa mashariki na kati.

Pia wamesema Simba ndio klabu yenye mafanikio kwenye mechi za kimataifa na pengine APR wangekutana na Simba wangepata shida kusonga mbele kwenye ligi ya mabingwa Africa.

NATAMANI MKE WANGU AFE KABISA .  Najua utashangaa kwanini natamani lakini Kaka nimechoka haya maisha yamateso ,nakuona S...
20/08/2024

NATAMANI MKE WANGU AFE KABISA .
Najua utashangaa kwanini natamani lakini Kaka nimechoka haya maisha yamateso ,nakuona Sana katika post zako umekua ukiwaegemea Sana wanawake lakini nao niwabovu nahisi ata hayo mafundisho yako wanaenda kuyafanya kwa michepuko maaana huku ndani nikero tu Kaka.

Mimi nikijana wa miaka 35 nilioa nna mke na watoto wake 4wak**e mmoja na wakiume watatu . Mimi nilikua nafanya kazi katika shirika flani lisilo lakiserikali.

Kusema kweli mkewangu tumekutana tukiwa hatuna kitu nanimwanamke ambae alinichanganya Sana kwa jinsi alivyokua kaumbika yaaani sikutaka kuambiwa kitu namtu kabisaa kuhusu huyu Mwanamke .

Nilikua nikipenda Sana kuongozana nae kokote kila mtu amuone huomshape wake wa asili na alikua sio mtu wamapoda poda uzuri wake waasili kabisaa.

Kaka mkewangu kila aliemtazama alitamani kua nae ,yaani nilijitaidi kumtuza asipungue mie nilikua nafurahia huo mzigo TU unavyozunguka .

Tatizo lilianza baada ya kujenga nikamfungulia bishara yake nikamnunulia na gari lakutembela , nilikuja kupewa kesi kua naiba Mali ya kampuni hivyo nikapelekwa mahak**ani nikatakiwa kulipa faini ya Tsh 10 milioni au nifungwe jela miaka mitano.

Sikua na hizo hela hivyo nilimshirikisha mkewangu ikiwezekana tuuze nyumba moja yakupanga nilipe faini.

Mkewangu alinigomea nikaenda jela mwaka wa kwanza nikiwa jela ,alikuja kijana mmoja ambae nilimtafutia kazi kwenye kampuni nyingine na alikuja akafanya mpango nikatoka jela.

Kaka nilirudi nyumbani mkewangu hakufurahia ujio wangu K**a nilivyotarajia kua atafurahia KUNIONA matokeo yake nilipofika getini tu ,akaingia ndani K**a vile hakutaka anione kabisaa.

Nilijua niuchungu au aibu lakini aliendelea kuninyanyasa Sina kazi ,Sina mbele Wala nyuma niliwekeza kwenye ujenzi na miradi midogo midogo lakini nikitaka kuchukuaa kiasi kidogo Cha pesa nikajichanganye mjini hataki.

Sehem mbaya zaidi nikwamba hataki kabisaa kushiriki tendo la ndoa na Mimi Wala hataki nimguse ,najiuliza nakosea wapi hanipi majibu.

Au pengine hakua chaguo langu nashindwa kumuelewa .

Ananiambia hayupo sawa na Hana hisia kabisa ZAKUFANYA mapenzi na Mimi , nilimchunguza kwa makini nikagundua kua anatoka na kijana mdogo mdogo hivi machinga mjini anachukuaga vitu kwake ndio huyo kijana anatoka nae.

Nilijaribu kumuelezea huwezi Amini mkewangu alinikusanya na kunipiga makofi mawili ,nilitamani kumrudishia nikaona hapana niache TU.

Natamani kumuacha naofia watoto wangu na Mali staki tugawe.

Natamani afe tu lakini sio Mimi nimuue .

Nawaza vingi najua wanaume wanapitia vingi Seema hawasemi K**a wanawake wanavyojua kulia Lia.

NAOMBA USHAURI WAKO NDUGU YANGU .

MWISHO

MAMBO YATAKAYO KUSHANGAZA KUHUSU MWANAMKE. K**a wewe ni mwanaume na unasumbuka kumjua MWANAMKE basi elewa kua sio jambo ...
02/08/2024

MAMBO YATAKAYO KUSHANGAZA KUHUSU MWANAMKE.

K**a wewe ni mwanaume na unasumbuka kumjua MWANAMKE basi elewa kua sio jambo jepesi na pengine hutomaliza kumjua.

1. MWANAMKE anavutiwa saana na mwanaume ambaye ama ameoa, yuko kwenye mahusiano, ama wanawake wengine wanampenda (wanamtaka)

2. Mara nyingi MWANAMKE hapendi mwanaume aliye single πŸ˜„
Yaani unajitambulisha "naitwa Fabian, nipo single mwaka wa 7 sasa " hiyo tu inatosha yeye kukuona wewe muongo πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ’”

3. Pale mwanaume ambapo hataki mapenzi au mahusiano yaendelee, mwanamke ndio hua anataka yaendelee

4. Mwanamke haoni hatari kumpotezea muda mwanaume ambaye hajielewi.
Ameshaonesha ishara zoote kua hakutaki, hakupendi, lkn wewe bado unatuma vocha, unatuma hela ukiombwa, unampigia simu na bado unajipa matumaini huku siku zinaenda??πŸ«£πŸ€”

5. Mwanamke humuadhibu kikatili mwanaume ambaye ni mwema (nice guy)
Anapenda saana na anajali kupita kiasi.

6. Mwanamke hua anataka mwanaume mwenye sifa ambazo hata yeye mwenyewe hana.

7. Mwanamke yuko tyr kumsamehe mwanaume ambaye hajali, mhuni tu, lofa hana kitu (bad boy) lkn atamuumiza kikatili a nice guy πŸ‘¦

8. Mwanamke hana masharti wala visingizio ama dharura kwa mwanaume anaye mpenda.
K**a hakupendi siku hiyo ndio bibi yake atakufa ili tu asije kuonana na wewe πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

9. Mwanamke hana kifua cha kupokea kukataliwa na ndio maana style yao ya kutongoza ni tofaut na wanaume.
Et mwambie achana na mimi, niko kwenye mahusiano mengine hahaha πŸ˜† weeee anaweza kukuroga, hii hua inamuuma mno.

10. Mwanamke hawezi msahau mwanaume aliyempenda halafu akamfanya akalia😭😭 wengine woote atasahau ila sio huyu.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ™†

Awa majamaa vp πŸ‘‡πŸ™†
02/08/2024

Awa majamaa vp πŸ‘‡πŸ™†

⚠️😳πŸ₯° Kinadada hao ni mtu na mke mwenzie, huyo tayari amejifungua mtoto wa k**e siku chache zilizopita. Wote waliolewa 20...
08/06/2024

⚠️😳πŸ₯° Kinadada hao ni mtu na mke mwenzie, huyo tayari amejifungua mtoto wa k**e siku chache zilizopita. Wote waliolewa 2023 siku moja na mume wao huyo kwa jina la Michael ambaye ni socialite na mfanyabiashara wa nchini Ghana.

Mume wao akisafiri hata nje ya nchi anaenda nao wote hata zawadi ikiwemo magari huwanunulia wote kwa pamoja

Wanaishi nyumba moja na wanalala chumba kimoja watatu japo nyumba ni kubwa. Usiku mume wao akiwa busy na kazi zake wao wanajitosa katika chumba kingine kufanya maombi kwa ajili ya mume wao huyo mambo yake yazidi kumnyookea

Hata hivyo, changamoto imeibuka kinadada wengine wa nchini Ghana na nchi nyinginezo wamekuwa na wakituma maombi waongezwe kuwa mke wa 3 wa jamaa ila yeye anaonekana bado hayupo tayari kuongeza mke wa tatu kwasasa

Kwenye comments section kuona picha zaidi ikiwemo mtoto wao mwingine ambaye mama yake ni huyo mke mwingine asiye na mimba pichani

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255716681204

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Terephael Urio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share