tiba asilia na mimea

tiba asilia na mimea Tunatibu magonjwa ya uzazi pamoja na presha, bawasiri ,ngiri(hernia),kisukari na kadhalika karibuni mtatue changamoto zenu

Pid inatibika karibu utatue changamoto yako 0694267717Dr chilambo
09/03/2025

Pid inatibika karibu utatue changamoto yako 0694267717
Dr chilambo

Wewe unasumbuliwa na pid unapona kabisa
13/02/2025

Wewe unasumbuliwa na pid unapona kabisa

*PID NI UFUPISHO WA PELVIC INFLAMMATORY DISEASE*      *NI MAAMBUKIZI KATIKA NJIA ZA UZAZI WA MWANAMKE*  *🟤PID* : ni ugon...
10/11/2024

*PID NI UFUPISHO WA PELVIC INFLAMMATORY DISEASE*

*NI MAAMBUKIZI KATIKA NJIA ZA UZAZI WA MWANAMKE*

*🟤PID* : ni ugonjwa hatari sana ambao unaonekana kuwa tishio zaidi katika afya ya uzazi wa mwanamke kutokana na athari zake.tatizohili limewakumba wanawake wengi na baadhi yao hawajui njia gani zinapelekea kupata maambukizi haya
PID hushambulia na kuathiri nyama ya mfuko wa UZAZI (endometrium) .Hali hii kitaalamu hujulikana ENDOMETRITIS

🟤 *SABABU ZINAZOPELEKEA* *KUPATA* *PID*

🟤 *NGONO ISIYO SALAMA*
Hapa inakusudiwa kuwa na mahusiano ya kimapenz yasiyokuwa na uaminifu ambayo yanaweza kusababisha kuambukizwa vimelea vya PID
Mfano mwanamke ana mume wake akawa hajatulia basi huyu anaweza kubeba vimelea kutoka kwa mwanamke mwingine na kuvisambaza kwa mke wake
Pia mwanamke mwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya mmoja yupo katika hatari ya kupata vimelea hawa wa PID

🟤 *UTOAJI MIMBA KIHOLELA* (Abortion) NA KUHARIBIKA KWA MIMBA (miscarriage)
Hali hizi zote mbili zinapelekea mwanamke kupata maambukiz katika mfumo wa uzaz kwa urahisi kutokana na hali inayopatikana baada ya kutoka mimba na hasa asiposafishwa vizuri inakuwa rahisi bakteria kuingia na kuanza kukuathiri hivyo tunamshauri mwanamke ikitokea mimba kuharibika afanye jitihada kufika hospital ili asafishwe kwa haraka.

🟤 *MATUMIZI YA* *VIPANDIKIZI NDANI YA* *UTERUS (IUCD)*
Mwanamke anayetumia vipandikizi k**a njia ya uzazi wa mpango huyu pia yupo katika risk ya kupata vimelea vya PID kwa urahisi zaidi

🟤 *KUPITIA DAMU YENYE* *VIMELEA VYA PID*
Hapa hasa hasa katika nyakati za kujifungua (POSTPARTUM) PERIOD) ikiwa kuna kuchangia vifaa baada ya kujifungua Kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa vimelea vya PID

🟤 *KUKAA NA UTI & FANGASI* *KWA MUDA* *MREFU*
Hali hii inatokea kwa mwanamke ambaye amekaa na infections hizi za UTI au fangasi kwa muda mrefu anakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya pid kwa sababu fungus zinapelekea kuharibu na kuua bakteria wa ulinzi katika uke hivyo kupelekea kupata maambukizi kwa urahisi.

🟤 *DALILI ZA PID*

☑️Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa mtindi
Utoko huu mara nyingi huwa na harufu mbaya
☑️kupata miwasho ukeni
☑️maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
☑️maumivu ya mgongo/kiuno
☑️maumivu wakat wa kukojoa
☑️kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
☑️maumivu wakati wa tendo la ndoa
☑️kukosa hamu ya tendo la ndoa
☑️uke kuwa mkavu
☑️mimba kuharibika (miscarriage)
☑️wakati fulani kuhisi kichefuchefu na hata kutapika
☑️kupata homa

🟤 *MADHARA YA PID*

☑️Saratani ya shingo ya kizazi
☑️Mimba kuharibika
☑️Kutokushika ujauzito
☑️Kuvurugika kwa hormones
☑️Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa
☑️Kuziba mirija ya uzazi
☑️Kusababisha uvimbe

🟤 *NJIA ZA KUJIKINGA NA* *PID*

Epuka sababu zilizotajwa mwanzoni ambazo husababisha kupata maambukizi ya pid

🟤 *USHAURI*
Mwanamke uonapo dalili miongoni mwa dalili zilizotajwa wahi matibabu kuepuka madhara makubwa yanayotokana na ugonjwa huu hatari kwa afya yako ya uzazi

🟤 *MATIBABU*
*KARIBU UTUMIE PELVIC CARE
*DAWA YA ASILI YENYE* *MCHANGANYIKO WA MIMEA* *TIBA MBALIMBALI*

*DR CHILAMBO*
0694 267 717
AJAM HERBAL CLINIC
DAR ES SALAAM, TANDIKA

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)Gastroesophageal reflux disease (GERD).-Ni hali inayotok...
02/11/2024

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)
Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🔗 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🔗 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🔗 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🔗 Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🔗 Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🔗 Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🔗 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🔗 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🔗 Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🔗 Kupata kikokozi kisichoisha
11.🔗 Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🔗 Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🔗 Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🔗 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🔗 Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🔗 Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🔗 Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🔗 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🔗 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🔗 Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🔗 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🔗Kichefuchefu na kutapika.
23.🔗 Maumivu ya Masikio
24.🔗 Kupata ganzi kwenye vidole vya miguu au mkono.

BAADHI YA MADHARA YA ACID REFLUX

1.🔗 Saratani/Kansa ya koo
2.🔗 Kupungua kwa ukubwa wa koo/Kuziba kwa koo(EUSOPHAGEAL STRICTURE)
3.🔗 Wasiwasi/Khofu isiyokuwa na kikomo.
4.🔗 Kukosa amani ya kuishi duniani na kuona dunia nzima imekutenga
5.🔗 Kupata Bawasiri kutokana na kujisaidia choo Kigumu
6.🔗 Kupoteza kuwezo wa kushiriki tendo (Wanawake & wanaume)
7.🔗 Mwili kudhoofika na kukonda kupita kiasi. Hasa pale Acid reflux hupelekea kupotea hamu ya kula.
8.🔗 Kunenepa kupita kiasi. Hasa pale Acid hupelekea upate njaa mara kwa mara na kupelekea kula mara kwa mara.
9.🔗 Kupata Fangasi wa mdomoni na katika mfumo mzima wa chakula
10.🔗 Kupata ngiri ya Kifua /Hiatal hernia.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.🔗 Uvutaji wa sigara
2.🔗 Unywaji wa pombe
3.🔗 Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🔗 Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🔗 Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🔗 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🔗 Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Hiatal hernia)
8.🔗 Kuwa Mjamzito
9.🔗 Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🔗 Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

TANDIKA SOKONI
DAR ES SALAAM
Dr Chilambo
📞 0694267717

*PID NI UFUPISHO WA PELVIC INFLAMMATORY DISEASE*      *NI MAAMBUKIZI KATIKA NJIA ZA UZAZI WA MWANAMKE*  *🟤PID* : ni ugon...
03/10/2024

*PID NI UFUPISHO WA PELVIC INFLAMMATORY DISEASE*

*NI MAAMBUKIZI KATIKA NJIA ZA UZAZI WA MWANAMKE*

*🟤PID* : ni ugonjwa hatari sana ambao unaonekana kuwa tishio zaidi katika afya ya uzazi wa mwanamke kutokana na athari zake.tatizohili limewakumba wanawake wengi na baadhi yao hawajui njia gani zinapelekea kupata maambukizi haya
PID hushambulia na kuathiri nyama ya mfuko wa UZAZI (endometrium) .Hali hii kitaalamu hujulikana ENDOMETRITIS

pia PID huathiri shingo ya kizazi (cervix) .hali hii kitaalamu hujulikana k**a CERVICITIS

Pia huathiri mirija ya mayai (Fallopian tubes) hali hii kitaalamu hujulikana k**a SALPINGITTIS

🟤 *BAKTERIA* *WANAOSABABISHA PID*
pamoja na kuwa kuna vimelea wengi wanaosababisha PID lakini wapo ambao ndio maarufu zaidi duniani wanaoongoza kwa kusababisha ugonjwa wa PID.bakteriahao ni
>NEISSERIA GONORRHOEA
>CLAMYDIA TRACHOMATIS

Bakteria hawa huingia katika mfumo wa uzaz kupitia uke

🟤 *SABABU ZINAZOPELEKEA* *KUPATA* *PID*

🟤 *NGONO ISIYO SALAMA*
Hapa inakusudiwa kuwa na mahusiano ya kimapenz yasiyokuwa na uaminifu ambayo yanaweza kusababisha kuambukizwa vimelea vya PID
Mfano mwanamke ana mume wake akawa hajatulia basi huyu anaweza kubeba vimelea kutoka kwa mwanamke mwingine na kuvisambaza kwa mke wake
Pia mwanamke mwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya mmoja yupo katika hatari ya kupata vimelea hawa wa PID

🟤 *UTOAJI MIMBA KIHOLELA* (Abortion) NA KUHARIBIKA KWA MIMBA (miscarriage)
Hali hizi zote mbili zinapelekea mwanamke kupata maambukizi katika mfumo wa uzaz kwa urahisi kutokana na hali inayopatikana baada ya kutoka mimba na hasa asiposafishwa vizuri inakuwa rahisi bakteria kuingia na kuanza kukuathiri hivyo tunamshauri mwanamke ikitokea mimba kuharibika afanye jitihada kufika hospital ili asafishwe kwa haraka.

🟤 *MATUMIZI YA* *VIPANDIKIZI NDANI YA* *UTERUS (IUCD)*
Mwanamke anayetumia vipandikizi k**a njia ya uzazi wa mpango huyu pia yupo katika risk ya kupata vimelea vya PID kwa urahisi zaidi

🟤 *KUPITIA DAMU YENYE* *VIMELEA VYA PID*
Hapa hasa hasa katika nyakati za kujifungua (POSTPARTUM) PERIOD) ikiwa kuna kuchangia vifaa baada ya kujifungua Kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa vimelea vya PID

🟤 *KUKAA NA UTI & FANGASI* *KWA MUDA* *MREFU*
Hali hii inatokea kwa mwanamke ambaye amekaa na infections hizi za UTI au fangasi kwa muda mrefu anakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya pid kwa sababu fungus zinapelekea kuharibu na kuua bakteria wa ulinzi katika uke hivyo kupelekea kupata maambukizi kwa urahisi.

🟤 *DALILI ZA PID*

☑️Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa mtindi
Utoko huu mara nyingi huwa na harufu mbaya
☑️kupata miwasho ukeni
☑️maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
☑️maumivu ya mgongo/kiuno
☑️maumivu wakat wa kukojoa
☑️kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
☑️maumivu wakati wa tendo la ndoa
☑️kukosa hamu ya tendo la ndoa
☑️uke kuwa mkavu
☑️mimba kuharibika (miscarriage)
☑️wakati fulani kuhisi kichefuchefu na hata kutapika
☑️kupata homa

🟤 *MADHARA YA PID*

☑️Saratani ya shingo ya kizazi
☑️Mimba kuharibika
☑️Kutokushika ujauzito
☑️Kuvurugika kwa hormones
☑️Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa
☑️Kuziba mirija ya uzazi
☑️Kusababisha uvimbe

🟤 *NJIA ZA KUJIKINGA NA* *PID*

Epuka sababu zilizotajwa mwanzoni ambazo husababisha kupata maambukizi ya pid

🟤 *USHAURI*
Mwanamke uonapo dalili miongoni mwa dalili zilizotajwa wahi matibabu kuepuka madhara makubwa yanayotokana na ugonjwa huu hatari kwa afya yako ya uzazi

🟤 *MATIBABU*
*KARIBU UTUMIE PELVIC CARE
*DAWA YA ASILI YENYE* *MCHANGANYIKO WA MIMEA* *TIBA MBALIMBALI*

*DR CHILAMBO*
0694 267 717
AJAM HERBAL CLINIC
DAR ES SALAAM, TANDIKA

*TATIZO LA  HORMONE IMBALANCE AU MVURUGIKO WA VICHOCHEO VYA MWILI*   Hili ni tatizo  linalohusu kubadilika kwa hormones ...
17/05/2024

*TATIZO LA HORMONE IMBALANCE AU MVURUGIKO WA VICHOCHEO VYA MWILI*

Hili ni tatizo linalohusu kubadilika kwa hormones au vichocheo vyako vya mwili , ambapo mabadiliko hayo huhusiha kuongezeka au kupungua kwa vichocheo vya mwili wa mtu.

*DALILI ZAKE NI K**A ZIFUATAVYO*
⤵️⤵️⤵️

1. ☑️Kutokwa na damu nyingi kwa muda mrefu wakati wa hedhi.

2. ☑️Kuingia hedhi kwa muda mrefu kuliko kawaida

3. ☑️Kupita mwezi bila kupata hedhi

4. ☑️Hedhi kubadilika badilika tarehe Kushindwa kubeba ujauzito.

5. ☑️Kusikia maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi

6. ☑️Kublidi mara mbili au Zaidi ndani ya mwezi mmoja

7. ☑️Kubeba mimba na kutoka zenyewe

8. ☑️Kutokwa na maziwa kwenye chuchu wakati wewe sio mjamzito wala hunyonyeshi

9.☑️ Kupata chunusi sana usoni

10. ☑️Kutokuona siku zako kwa muda mrefu

11.☑️ Kuota ndevu wakati wewe ni mwanamke

12.☑️kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo , Kukosa hamu ya tendo la ndoa

13.☑️kutokupata ute wa UZAZI
Mwanamke mwenye tatizo hormones imbalance haoni ute wa uzazi anapokuwa katika siku za hatari

14.☑️kutokushika Ujauzito kwa muda mrefu

15.☑️Kupata dalili za mimba wakati wewe sio mjamzito Hali hii inawakuta wanawake wengi saivi na kujikuta wanapima ujauzito kwa kutumia kipimo cha mkojo maarufu k**a UPT ( URINARY PREGNANCY TEST ) kila dakika lakini wanakuta hawana ujauzito Hivyo basi huchanganyikiwa kwa kuwa wanapata dalili zote za ujauzito lakini wakipima hawana.

Moja ya sababu kubwa ya kupelekea hii hormone Imbalance au Mvurugiko wa vichocheo vya mwilini , Ambapo ikitokea hii hali uleta mabadiliko mengi mwilini ikiwemo Kuwa na dalili za mimba wakati mimba hunaMaziwa kutoka yenyewe wakati wewe sio mjamzito wala hunyonyeshi

*CHANZO CHA MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI*
⤵️⤵️⤵️

1. ☑️Kutumia dawa zenye vichocheo ndani yake ni pamoja na dawa za uzazi wa mpango k**a vile VIDONGE( COC’S), P2 n.k

2. ☑️Tatizo la PCOS kwa wanawakeMwanamke kufikia kipindi cha ukomo wa hedhi yaani Menopause.

3. ☑️Ujauzito wenyewe.

4. ☑️Tatizo la msongo wa mawazo au stress

5.☑️ Matumizi ya baadhi ya dawa kwa lengo la kutoa ujauzito

6. ☑️Matatizo k**a vile uvimbe wa kizazi, uvimbe kwenye vifuko vya mayai

7. ☑️Matibabu ya kansa k**a vile ( CHERMOTHERAPY )

8.pelvic inflammatory disease (PID) pamoja na njia za family planning,P2 n.k

9. ☑️Kuwepo sumu nyingi mwilini zitokanazo na vyakula vinywaji pamoja na madawa

Matibabu yake
Wasiliana nasi kwa mawasiliano
⤵️⤵️⤵️⤵️

*DR CHILAMBO*
*AJAM HERBAL CLINIC*
*TANDIKA SOKONI*
*DAR ES SALAAM*
📞 *0694267717*

⚫ *DALILI ZA MTU MWEMYE* *NGIRI*  Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache t...
29/04/2024

⚫ *DALILI ZA MTU MWEMYE* *NGIRI*

Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
⤵⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️

1.🧷Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2.🧷Kupiga mingurumo tumboni.

3.🧷Kujaa gesi tumboni.

4.🧷Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5.🧷Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.

6.🧷Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7.🧷Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8.🧷Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9.🧷Nuru ya macho hupotea taratibu.

10.🧷Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.

11.🧷Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12.🧷Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.

13.🧷Maumivu makali ya mgongo au kiuno

14.🧷Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto

15 .🧷Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi

16.🧷Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17.🧷Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.

18.🧷Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19.🧷Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)DALILI ZA MTU MWENYE MSHIPA WA NGIRI/HERNIA & UHUSIANO ULIOPO KATI YA NGIRI (HERNIA) NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA

_______________________________________________
Dalili za ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵

1📎Kubana tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu/vyakula vya baridi.
2📎Kupiga miungurumo tumboni.
3📎Kujaa gesi tumboni.
4📎Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5📎Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6📎Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7📎Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8📎Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9📎Nuru ya macho hupotea taratibu.
10📎Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11📎Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12📎Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13📎Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14📎Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto

15 📎Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi

16📎 Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17📎 Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.

18📎 Ukila vyakula vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19📎 Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
______________________________________________
UHUSIANO ULIOPO KATI YA NGIRI (HERNIA) NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
______________________________________________
⚫ Hernia (Ngiri) ni miongoni mwa matatizo makubwa sana ambayo hupelekea upungufu wa nguvu za kiume kwa haraka sana.

⚫ Mwanaume anapopata Hernia (Ngiri),maeneo ambapo ngiri hutokea mara nyingi huwa na muunganiko na miriji ya damu pamoja na Neva ambazo hufanyakazi ya kutoa na kupeleka taarifa kwenye korodani na uume (p***s) pia kupeleka damu kwenye uume ili kuruhusu uume kusimama Imara(STRONG ER****ON)

⚫ Inapotokea Ngiri,usafirishaji wa damu kwenda kwenye uume pamoja na taarifa hushindwa kufanyika kwa weledi,matokea yake uume husimama legelege (ERECTILE DYSFUNCTION),hali hii husababisha Mwanaume kuwahi kufika kileleni(pre-mature ej*******on) pamoja na kukosa hisia za mapenzi na kushindwa kurejea tendo la ndoa kwa wakati.

⚫ Lakini pia Ngiri huathiri mpaka mirija ya kusafirisha Manii (Vas defens) hivyo husababisha kiwango kidogo cha mbegu kuzalishwa (Low s***m count) na matokeo yake mwaume kushindwa kumpa mimba mwanamke

Kwa mawasiliano na ushauri⤵️⤵️:
______________________

Dr. Chilambo
0694267717
AJAM HERBAL CLINIC
DAR ES SALAAM , TANDIKA
MTAA WA UNGWENO MKABALA NA HOSPITAL YA ARAFA

Uvimbe kwenye kizazi ni uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus).Tatizo la uvimbe...
07/04/2024

Uvimbe kwenye kizazi ni uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus).

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hujulikana kwa kitaalamu k**a uterine fibroids/leiomyoma/uterine myoma.

Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa umbo na ukubwa wa kizazi. Mara nyingi Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na tatizo hili. Wakati mwingine mwanamke anaweza kupata tatizo hili akiwa kwenye ujauzito, hali hii inaweza kusababisha shida wakati wa kujifungua na kupelekea mwanamke kujifungua kwa upasuaji.

Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrojeni. Kuvuja damu na maumivu ya tumbo pia huweza kutokea kutokana na uvimbe kupoteza damu yake. Kwahiyo madaktari wa wanawake hupendekeza mgonjwa kufanyiwa ultrasound mara kwa mara ili kufatilia maendeleo ya uvimbe.

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana. Inakadiriwa kwamba 75% ya wanawake hupata tatizo hili katika kipindi fulani cha maisha yao. Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili.

Aina Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Kuna aina kuu nne (4) za uvimbe kwenye kizazi kulingana na sehemu unapotokea kwenye mfuko wa uzazi ambao ni pamoja na;

1) Intramural Fibroids.
Hii ni aina ya uvimbe ambayo uwapata sana wanawake. Aina hii ya uvimbe hukua na kumea kwenye misuli ya ukuta wa mfuko wa mimba (uterus). Kadri uvimbe huu unavokua basi husababisha kupanuka au kuvutika kwa kizazi na kusababisha dalili k**a hedhi.

2) Subserosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua nje ya ukuta wa mfuko wa mimba, wakati mwingine kuelekea kwenye kibofu cha mkojo. Aina hii ya uvimbe huweza kusababisha maumivu ya chini ya mgongo kutokana na kwamba uvimbe huu unasukuma neva za uti wa mgongo na kusababisha presha kubwa kwenye eneo la chini ya mgongo.

3) Submucosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua karibu na ukuta wa kizazi. Hii inaweza kusababisha kutokwa na damu kwa muda mrefu wakati wa hedhi na shida kwenye kushika ujauzito.

4) Cervical Fibroids.
Huu uvimbe hukua kwenye tishu za mlango wa kizazi ambao huitwa cervix. Uvimbe hutokea mara chache sana ukilinganisha na aina zingine za uvimbe kwenye kizazi.

Uvimbe Kwenye Kizazi Husababishwa Na Nini?
Uvimbe kwenye kizazi husababishwa na wingi wa vichocheo mwilini, homoni ya estrojeni ambayo hupelekea mwanamke kupata hedhi, ambapo matumizi ya njia za uzazi wa mpango pia ni vichocheo ambavyo huchangia kuongezeka kwa homoni ya estrojeni.

Sababu Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Mambo yafuatayo yanaongeza uwezekano kwa mwanamke kupata uvimbe kwenye kizazi;

1) Kurithi.
k**a mama au dada yako aliwahi kuugua tatizo la uvimbe kwenye kizazi basi wewe pia utakuwa kwenye hatari zaidi ya kupata uvimbe huu.

2) Umri.
Wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 wapo katika hatari ya kupata tatizo hili.

3) Lishe.
Lishe isiyo na afya yenye kiwango cha juu cha nyama nyekundu na mafuta, na kiwango cha chini cha matunda na mboga mboga, inaweza kuongeza hatari ya kupata tatizo hili.

4) Uzito Mkubwa Na Kitambi.
Wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

5) Matumizi Ya Njia Za Kupanga Uzazi.
Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrojeni kwa wingi.

6) Kubalehe Mapema.
Wanawake wanaobalehe mapema na kuanza kupata hedhi chini ya miaka 10 wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

7) Mabadiliko Katika Kiwango Cha Homoni Ya estrojeni.
Mabadiliko katika kiwango cha homoni ya estrojeni inaweza kuchangia katika ukuaji wa fibroids.

Wanawake wenye kiwango cha juu cha homoni ya estrojeni (hyperestrogenic state) mara nyingi wanaweza kuwa na hatari kubwa ya kupata tatizo hili.

8) Wanawake Wenye Shinikizo Kubwa La Damu.

Dalili Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Zifuatazo ni dalili zinazojitokeza kwa wanawake wengi zaidi wenye uvimbe kwenye kizazi;

1) Kupata hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia siku 7 na zaidi (Prolonged menstrual bleeding).

2) Kupata hedhi nzito (Heavy menstrual bleeding).

3) Kujiskia umeshiba muda mwingi (Abdominal fullness).

4) Maumivu ya nyonga.

5) Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.

6) Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.

7) Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

8) Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.

9) Madhara mbalimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.

Dr chilambo
0694267717

Hemo powder na hemo solution ni dawa bora ya bawasiri. Kwa matumizi unatumia dawa zote kuna ya kunywa na kupaka. Ajam he...
05/04/2024

Hemo powder na hemo solution ni dawa bora ya bawasiri. Kwa matumizi unatumia dawa zote kuna ya kunywa na kupaka. Ajam herbal clinic tunatibu kwa tiba asilia na mimea dr chilambo 0694267717 dar es salaam tandika sokoni

*Bawasiri ni nini?*-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupel...
20/03/2024

*Bawasiri ni nini?*
-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama/uvimbe ambao ndio huitwa Bawasiri.

▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu.

AINA ZA BAWASIRI⤵️
-Kuna aina 2 za Bawasiri k**a ifuatavyo⤵️⤵️⤵️⤵️

1⃣. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2️⃣.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya ndan ina hatua NNE ambazo ni:⤵️⤵️⤵️⤵️

1. *HATUA YA KWANZA*
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekan wakati wa kujisaidia.

2. *HATUA YA PILI*
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

3. *HATUA YA TATU*
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurud yenyewe baada ya muda

4. *HATUA YA NNE*
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia
*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*

1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.🧷kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.🧷kupata kinyesi chenye damu
4.🧷kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
5.🧷 Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

*AJAM HERBAL CLINIC*
-------------------------------------------------------
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI_*

1.🧷 Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.🧷 Ujauzito
3.🧷 Unywaji pombe
4.🧷 Kukaa sana sehemu ngumu
5.🧷 Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
6.🧷Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
-Kuzid kwa Acid tumbon(Acid reflux)
7.🧷 Kula sana nyama nyekundu
8.🧷 Presha ya kupanda
9.🧷Kula sana pilipili
10.🧷 Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)
11.🧷 Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa
12.🧷 Kuharisha kupita kiasi.
13.🧷 Kufanyakaz ngumu/kunyanyua vitu vizito

*AJAM HERBAL CLINIC*
Dr chilambo
0694267717
DAR ES SALAAM, TANDIKA
MTAA WA UNGWENO
-----------------------------------------------------------

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when tiba asilia na mimea posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to tiba asilia na mimea:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram