Jenga Afya yako

Jenga Afya yako FURAHIA KUJENGA🥦 NA KULINDA🌽 AFYA YAKO KWA KUTUMIA PRODUCT ZENYE VIRUTUBISHO CYA ASILI 🥕🥕

15/05/2025
TUNASHAURIWA KUTUMIA , matunda, mbogamboga na vyakula visivyo na kemikali kwa sababu vina mchango mkubwa sana kwenye afy...
12/05/2025

TUNASHAURIWA KUTUMIA , matunda, mbogamboga na vyakula visivyo na kemikali kwa sababu vina mchango mkubwa sana kwenye afya yetu ya uzazi na mwili kwa ujumla. Hebu tuchambue kwa undani kwa mifano halisia:

1. Kulinda afya ya uzazi (Wanaume & Wanawake)

Matunda k**a parachichi 🥑, nanasi 🍍, na mboga k**a spinachi 🥬 husaidia kuongeza virutubisho k**a folic acid, zinki na vitamini E vinavyoboresha uwezo wa uzazi.

Mfano halisi:
Mama mwenye PID au mvurugiko wa homoni anapoongeza mboga na matunda kwenye mlo wake kwa wingi, huona mabadiliko k**a kurekebika kwa mzunguko wa hedhi na kupungua kwa maumivu ya tumbo la uzazi.

2. Kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi ya UTI, fangasi na PID

Mboga za majani k**a brokoli, hoho 🫑, na tangawizi 🫚 zina antioxidants na antibacteria asilia zinazosaidia kupunguza maambukizi na uvimbe katika via vya uzazi.

Mfano halisi:
Mwanamke aliyekuwa anapata UTI kila mwezi alianza kula mboga zenye virutubisho vyenye alkali na akaacha vyakula vyenye sukari nyingi—leo hana tena maumivu ya kujisaidia kila mara.

3. Kuepuka madhara ya kemikali kwenye homoni

Vyakula vyenye kemikali (k**a soda, vyakula vya mikrowevu, nyama zilizojaa viungo vya viwandani) huathiri vibaya homoni na huweza kusababisha mvurugiko wa hedhi, fibroids na hata ugumba.

Mfano
Msichana anayekula vyakula vya viwandani sana anaweza kupata hedhi isiyoeleweka—baada ya kurekebisha mlo na kutumia vyakula vya asili, hali yake huanznza kuimarika.

4. Kufanikisha ujauzito na ukuaji bora wa mimba

Vyakula asilia husaidia mimba kustawi bila changamoto

UNAJUA TOFAUTI YA MBOGA NA VIRUTUBISHO?🥦🍓 vs 💊🧴Wengi huuliza: Kwa nini nile mboga na matunda, si nitumie tu vidonge vya ...
12/05/2025

UNAJUA TOFAUTI YA MBOGA NA VIRUTUBISHO?
🥦🍓 vs 💊🧴

Wengi huuliza: Kwa nini nile mboga na matunda, si nitumie tu vidonge vya virutubisho?
Twende pamoja kidogo...

1. VYANZO VYAKE

Mboga na matunda ni vyakula vya asili vinavyotoka shambani au porini. Mfano: mchicha, hoho, parachichi.

Virutubisho ni vidonge au maji yanayotengenezwa kwa kuchuja virutubisho kutoka mimea au vyakula.

2. NGUVU YAKE

Mboga zina virutubisho kidogo kidogo, kwa afya ya kila siku.

Virutubisho vina virutubisho vingi kwa mpigo—vinafanya kazi haraka kwenye tatizo.

3. MATOKEO YAKE

Mboga na matunda huchukua muda lakini huimarisha mwili kwa muda mrefu.

Virutubisho husaidia mwili kupona haraka, hasa ukiwa na changamoto fulani.

4. MATUMIZI YAKE

Mboga ni chakula cha kila siku.

Virutubisho ni msaada maalum unapokuwa na changamoto k**a PID, UTI, au homoni kuvurugika.

Mfano halisi:
Mama mwenye PID au UTI sugu atatakiwa:
✅ Kula mboga za kijani
✅ Kunywa juisi ya beetroot au karoti
✅ Na kutumia virutubisho vya Zinc, Garlic, na Vitamin C

USHAURI WA LEO:
Usibague—vyote vinahitajika!
Mboga ni msingi wa afya yako, virutubisho ni msaada unapohitaji nguvu ya haraka.

Afya bora huanza na mlo sahihi!
Afya_na_uzazi_salama

💆Ni changamoto gani kubwa ya afya unayopitia kwa sasa?”A: Ngozi (acne / madoa)B: Uzito (kupungua / kuongezeka)C: Energy ...
10/05/2025

💆Ni changamoto gani kubwa ya afya unayopitia kwa sasa?”

A: Ngozi (acne / madoa)

B: Uzito (kupungua / kuongezeka)

C: Energy (uchovu)

D: PID

E: UTI sugu

F: Fangasi sugu

G: Uchafu ukeni

H: Mvurugiko wa homoni

I: Changamoto za uzazi

✍️ Tuma herufi ya changamoto yako kwenye DM yangu (WhatsApp/Instagram)
Nitakushauri moja kwa moja

🌿Nimeandaa suluhisho salama kwa kila tatizo ulilotaja.”
Tuma neno “AFYA” kwenye WhatsApp yangu ili nikusaidie binafsi.”
Usisubiri hali iwe mbaya… Anza leo.”
whatsap lin👇👇
[https://chat.whatsapp.com/EjNMHbvSoFwEwpxzQ0j7wU

HEALTH BOOST STARTER PACKKutoka 186,000/= hadi 90,000/= tu!(Punguzo la 96,000/= Kwa Siku 2 Tu!)Je, unahitaji kuimarisha ...
09/05/2025

HEALTH BOOST STARTER PACK
Kutoka 186,000/= hadi 90,000/= tu!
(Punguzo la 96,000/= Kwa Siku 2 Tu!)

Je, unahitaji kuimarisha afya yako kwa njia salama na ya asili?
Tunayo ofa maalum ya siku 2 tu! Health Boost Starter Pack imebeba virutubisho lishe vinavyosaidia:

Kuongeza kinga ya mwili

Kuondoa uchovu na kusafisha mwili (detox)

Kuimarisha afya ya mmeng’enyo wa chakula

Kuleta nguvu mpya na uhai kila siku

Kifurushi hiki kinajumuisha:

Full Motion / Omega-3 Salmon Oil Plus

Tre-en-en / Vita Guard

Vitamin C / Aloe Vera Plus (kutegemeana na mahitaji yako ya kiafya)

Bei ya kawaida: 186,000/=
Sasa: 90,000/= tu kwa siku 2 tu!

Nunua sasa kabla ofa haijaisha!
Lipia kupitia:

M-Pesa: 0750 575 246

Tigo Pesa: 0714 573 041

Airtel Money: 0783 378 652

09/05/2025

 , Tupo Kwa ajili yako wewe mwenye PID,UTI,Fangas,MVURUGIKO WA homoni n.k derivery zinandelea Kam unavyoona mikoa yote t...
01/04/2025

,
Tupo Kwa ajili yako wewe mwenye PID,UTI,Fangas,MVURUGIKO WA homoni n.k derivery zinandelea Kam unavyoona mikoa yote tunatuma

Imagine huyu  dada alikuwa anasumbuliwa na PId sugu lkni leoo HII karudisha tabadamu lake💯🥰💃❤️ Jnaonyesha njiani gani vi...
30/03/2025

Imagine huyu dada alikuwa anasumbuliwa na PId sugu lkni leoo HII karudisha tabadamu lake💯🥰💃❤️
Jnaonyesha njiani gani virutubisho vinashughulika na changamoto yako hadi matokeo

Address

Neemawilsoni19@gmail.com
Dar Es Salaam

Telephone

+255750575246

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jenga Afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jenga Afya yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram