AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NI MTAJI, Medical and health, Dar es Salaam.

PUMU YA NGOZIPUMU YA NGOZIslideshow_9Ni matumaini yangu humzima wa afya ndugu msomaji wa makala hii ya Afya.Kupitia maka...
03/05/2024

PUMU YA NGOZI
PUMU YA NGOZI

slideshow_9

Ni matumaini yangu humzima wa afya ndugu msomaji wa makala hii ya Afya.Kupitia makala hii acha tujikumbushe ugonjwa wa ngozi unaojulikana kwa jina la PUMU YA NGOZI…
Ugonjwa wa pumu ya ngozi au kwa kitaalamu unaitwa ATOPIC DERMATITIS au waengereza huuita ECZEMA huathiri asilimia 35% ya watoto. Ni miongoni mwa magonjwa ya kijenetiki (genetic disease) ambao mtu huruthi kutoka kwa wazee wake….ugonjwa huu huja na kuondoka na mara nyingi hupotea baada ya mtoto kukua japo mda mwengine huanzia ukubwani…

Ugonjwa wa pumu ya ngozi mara nyingi huambatana na magonjwa mengine matatu (atopy) ambayo ni pumu yenyewe (asthma), mafua na kutoka machozi (hay fever), na allergy…na hii ni kutoka na magonjwa yote haya yana share gene moja.

UNAIPATAJE PUMU YA NGOZI (ECZEMA)?

K**a nilvotangulia kusema kuwa ugonjwa huu ni wa kurithi ambao hutokana na mutation ktk PHELAGRIN GENES ambayo ni moja ya gene zinazohucka na utengezaji wa protein (hamirojo) inayohucka na ufanyikaji wa kereatinocyte n

HABARI MPYA ! HABARI MPYA ! HABARI MPYA ! 🌿💪 Boresha kinga ya mwili wako kwa kutumia bidhaa mpya ya Pure and Broken Gano...
03/05/2024

HABARI MPYA ! HABARI MPYA ! HABARI MPYA !

🌿💪 Boresha kinga ya mwili wako kwa kutumia bidhaa mpya ya Pure and Broken Ganoderma Spores Oil! 🌿✨. Bidhaa yenye asili ya mafuta iliyotegenezwa kwa viambata asili kwa ajili ya kuboresha kinga ya mwili wako. 🌿💪Bidhaa hii inafanya kazi zifuatazo:
✨ Husaidia Kuboresha Afya ya Ini
✨ Husaidia Kuondoa vimbe mbali mbali mwilini
✨ Husaidia Kuondoa sumu mwilini
✨ Husaidia Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
✨ Husaidia Kuondoa uchovu na kuboresha usingizi
✨ Husaidia kupunguza kasi ya ukuaji wa maradhi ya kansa
✨ Husaidia kuweka sawa kiasi cha mafuta mwilini
✨ Husaidia Juboresha mfumo wa mazunguuko wa Damu
✨ Husaidia kuboresha Afya ya Kongosho na kuweka sawa kiasi cha sukari Mwilini.
✨ Husaidia kuboresha Afya ya ngozi.
🌿

FAIDA YA TUNDA LA KIWI (KIWIFRUIT).Imeandaliwa na tito microbiotic0629489352WhatsApp/sms/call. Kiwi ni tunda lenye afya ...
11/04/2024

FAIDA YA TUNDA LA KIWI (KIWIFRUIT).

Imeandaliwa na tito microbiotic
0629489352
WhatsApp/sms/call.

Kiwi ni tunda lenye afya zaidi. Massa yake yana vitamini vya kikundi B (haswa mengi ya B6), A, B, D, E, asidi ya folic, flavonoids, antioxidants, asidi ya kikaboni, protini ya mboga (actinidin).
_ Matumizi ya kiwi mara kwa mara yanaweza kupunguza shinikizo la damu kwa sababu ya ulaji wa potasiamu mwilini.
_ Kusaidia kuboresha kiwango cha sukari mwilini kwa wagonjwa wa kisukari.
_ Nyuzinyuzi ZILIZOPO kwenye Ganda la tunda hili hufanya mmeng'enyo wa chakula kuwa imara.
_ Inasimamia shinikizo la damu na inaboresha afya ya moyo.
_ Huimarisha kinga na kuzuia magonjwa, Husaidia kutibu pumu.
_ Potasiamu ina athari ya faida kwenye kuta za mishipa ya damu, kuziimarisha na kupunguza hatari ya thrombosis na atherosclerosis, na magnesiamu iliyo katika kiwi ni muhimu sana kwa moyo.

Kwa elimu zaidi ya afya wasiliana na afya yako

18/02/2024
Ovarian cyst ni Uvimbe WA maji maji unaotokea kwenye yai la UZAZI kwa mwanamke ( O***y) pamoja na ukuta unaozunguka maen...
18/02/2024

Ovarian cyst ni Uvimbe WA maji maji unaotokea kwenye yai la UZAZI kwa mwanamke ( O***y) pamoja na ukuta unaozunguka maeneo ya yai. ☘️☘️ ZIFUATAZO NI BAADHI YA SABABU ZINAZOPELEKEA ( Ovarian cyst) 1️⃣Matumizi ya kukithiri ya Dawa ya kusaidia kuchavusha YAI .mfano dawa ya Clomiphene 2️⃣ MABADILIKO KATIKA VICHOCHEO ( HORMONAL CHANGES). 3️⃣ Kupotea Kwa uwiano sawa WA Vichocheo VINAVYOHUSIKA na uandaaji pamoja na kuratibu mwenendo wa UZAZI Kwa MWANAMKE ( HORMONAL IMBALANCE) 4️⃣MARADHI SUGU pamoja na MAAMBUKIZI YANAYOSHAMBULIA MFUMO WA UZAZI KWA MWANAMKE ( PID). 5️⃣ Historia ya ovarian cyst katika familia. 6️⃣MATUMIZI YA HOLELA YA P2, 7️⃣Kuziba Kwa MIRIJA ya UZAZI kutokana MAGONJWA ya ZINAA, UTOAJI Mimba HOLELA na nk 8️⃣Mtindo mbovu WA MAISHA, lishe DUNI, uzito ULIOKITHIRI, UTUMIAJI WA VILEVI, SIGARA na madawa

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255766305761

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram