Leonard Afya Care

Leonard Afya Care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Leonard Afya Care, Medical and health, Dar es Salaam.

@""PROSTATE RELAX""'Kati ya wanaume 100 wenye miaka 40 na zaidi Wana tezi dume'     Prostate relax inatibu tezi dume bil...
13/11/2024

@""PROSTATE RELAX""
'Kati ya wanaume 100 wenye miaka 40 na zaidi Wana tezi dume'
Prostate relax inatibu tezi dume bila upasuaji,haijalishi umetumia Kila Tiba na bado tatizo linajirudia, "PROSTATE RELAX"hii ni kiboko👇

->Huondoa tezi dume bila upasuaji

->Huzuia kuvimba kwa tezi dume (prostate gland)

->Huzuia na kukinga changamoto ya mkojo kwa wanaume

->Husaidia na kuongeza uzalishwaji wa majimaji yanayolinda mbegu za kiume

->Huongeza hamu ya tendo la ndoa

->Huondoa matatizo ya njia ya mkojo,kushindwa kuzuia mkojo,kukojoa Mara kwa Mara.

""DALILI ZA TEZI DUME ""

*Kukojoa Mara kwa Mara hasa nyakati za usiku

*Udhaifu katika utoaji wa mkojo,mkojo hauishi

*Damu ndani ya mkojo

*Maumivu ya mifupa na nyonga

*Kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu(kimoja Chali)

Watsp/call.+255710194354.au bofya Whatsapp button Sasa kupata bidhaa hii na kupata ushauri zaidi....

Haijalishi uko sehemu gani,mikoani,nje ya nchi popote pale huduma itakufikia..0710194354.

 #0710194354JE? TEZI DUME NDIO SHIDA...Wanaume wenye umri kuanzia 40-60+ wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la TEZI DUME K...
10/11/2024

#0710194354
JE? TEZI DUME NDIO SHIDA...

Wanaume wenye umri kuanzia 40-60+ wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la TEZI DUME KWA kuona dalili k**a vile---

>Kupata hamu ya mkojo Mara kwa Mara.
>Mkojo kutoisha katika kibofu.
>Kushindwa kuanzisha mkojo mpaka kutumia nguvu.

>Kupata maumivu makali wakat wa kukojoa.

>Kupata matatizo katika njia ya mkojo.
>Kutanuka kwa TEZI DUME.
>Upungufu wa nguvu za kiume.

sana kwa tatizo hilo kwani....Wengi wao hufanyiwa upasuaji bila matokeo yoyote....

Sasa Jipatie bidhaa bora ambayo itawezesha wewe TEZI DUME BILA UPASUAJI KABISA....Jipatie bidhaa hii popote ulipo haijalishi uko wapi..0710194354.....

Bofya WhatsApp button sasa.......

  DUME INAPONABILA UPASUAJI KABISA...>>>>HII NDIO TIBA PEKEE. 0710194354.Ni miaka 5 sasa nimekuwa nikiwatibia mwanaume w...
06/11/2024

DUME INAPONA
BILA UPASUAJI KABISA...

>>>>HII NDIO TIBA PEKEE. 0710194354.Ni miaka 5 sasa nimekuwa nikiwatibia mwanaume wenye tatizo la Tezi dume na wengi wamekuwa wakipt matokeo chañya.

Bidhaa zetu HUSAIDIA.....

■Husaidia kutibu tezi dume bila upasuaji.
■Huondoa maumivu makali wakati wa kukojoa
■Huondoa ile hali ya kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
■Huondoa uvimbe wa tezi dume bila upasuaji.
■Hutibu tatizo la U.T.I sugu kwa wanaume
■Huongeza nguvu za kiume
■Husaidia uzalishwaji wa mbegu bora za kiume.

HAIJALISHI UKO WAPI KWA SASA NIPIGIE UWEZE KUIPATA 0710194354...

SASA bofya WhatsApp button ili kuweza kupata huduma hii kwa uharaka zaidi ili kuweza kutibia mapema bila kufanyiwa upasuaji......

Hii ndio njia rahisi ya kutibu changamoto ya tezi dume.kwa kutumia virutubisho lishe ambavyo ni asilia supplements yaani...
06/11/2024

Hii ndio njia rahisi ya kutibu changamoto ya tezi dume.kwa kutumia virutubisho lishe ambavyo ni asilia supplements yaani zisizo na kemikali...
Ndani ya virutubisho hivi Ina viambatanisho vya vitamini D.

Vitamin D ina faida kubwa kwa mgonjwa wa tezi dume (prostate). Baadhi ya faida zake ni pamoja na..

1. Kupunguza Ukuaji wa Saratani ya Tezi Dume.
Utafiti umeonyesha kwamba viwango vya kutosha vya vitamin D vinaweza kusaidia kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume na pia kupunguza ukuaji wa seli za saratani katika tezi dume.

2. Kuimarisha Kinga ya Mwili.
Vitamin D inasaidia kuimarisha kinga ya mwili, ambayo ni muhimu kwa kupambana na maambukizi na magonjwa mbalimbali, ikiwemo yale yanayoweza kuathiri tezi dume.

3. Kudhibiti Matatizo ya Kuvimba kwa Tezi Dume.
Vitamin D inaweza kusaidia kupunguza uvimbe kwenye tezi dume, hali ambayo inaweza kusababisha dalili za tezi dume kuongezeka.

📌Mgonjwa anaweza kupata vitamin D kutoka kwenye vyakula vifuatavyo

1. Samaki wenye Mafuta.
Samaki k**a vile salmon, mackerel, na sardines ni chanzo kizuri cha vitamin D.

2. Maini ya Ng'ombe.
Maini ni chanzo kizuri cha vitamin D pamoja na virutubisho vingine muhimu k**a vile chuma.

3. Mayai.
Kiini cha yai kina kiasi kizuri cha vitamin D.

4.Mafuta ya Samaki.
Mafuta ya ini la samaki k**a vile cod liver oil yana viwango vya juu vya vitamin D.

5. Vyakula Vilivyoongezwa Vitamin D.
Baadhi ya bidhaa za maziwa, juisi ya machungwa, na nafaka zilizoimarishwa pia zina vitamin D.

Mbali na vyakula, mwanga wa jua ni chanzo kikuu cha vitamin D. Hivyo, kuwa na muda wa kutosha kwenye jua, hasa asubuhi au jioni, inaweza kusaidia mwili kutengeneza vitamin D.
Call +255710194354.

X POWER COFFEEHii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;1. Fresh maca2. Ginseng powder3...
02/10/2024

X POWER COFFEE
Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za

KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU

Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
Kazi muhimu za Hii Kahawa;
💯1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.

2💯. Kuupa mwili Nguvu zaidi

3.💯 Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.

5.💯 Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.

6💯. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.

7💯. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume

8💯. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari

9.💯 Kusafisha mishipa ya damu

10.💯 Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi

11.💯 Haina kemikali ni ya asili kabisa 100%
EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.
PATA XPOWERMAN COFFEE.
Watsap 0710194354.

Kwako mwanaume unae sumbuliwa na tatizo la tezi dume,,ni wakati wako Sasa kuondokana na changamoto hio kwa kutumia virut...
25/09/2024

Kwako mwanaume unae sumbuliwa na tatizo la tezi dume,,ni wakati wako Sasa kuondokana na changamoto hio kwa kutumia virutubisho lishe asilia utatibu tezi dume bila upasuaji,, virutubisho hivi vina viambata vya vitamini D K**a ifuatavyo

•Vitamin D ina faida kubwa kwa mgonjwa wa tezi dume (prostate). Baadhi ya faida zake ni pamoja na..

1. Kupunguza Ukuaji wa Saratani ya Tezi Dume.
Utafiti umeonyesha kwamba viwango vya kutosha vya vitamin D vinaweza kusaidia kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume na pia kupunguza ukuaji wa seli za saratani katika tezi dume.

2. Kuimarisha Kinga ya Mwili.
Vitamin D inasaidia kuimarisha kinga ya mwili, ambayo ni muhimu kwa kupambana na maambukizi na magonjwa mbalimbali, ikiwemo yale yanayoweza kuathiri tezi dume.

3. Kudhibiti Matatizo ya Kuvimba kwa Tezi Dume.
Vitamin D inaweza kusaidia kupunguza uvimbe kwenye tezi dume, hali ambayo inaweza kusababisha dalili za tezi dume kuongezeka.

📌Mgonjwa anaweza kupata vitamin D kutoka kwenye vyakula vifuatavyo

1. Samaki wenye Mafuta.
Samaki k**a vile salmon, mackerel, na sardines ni chanzo kizuri cha vitamin D.

2. Maini ya Ng'ombe.
Maini ni chanzo kizuri cha vitamin D pamoja na virutubisho vingine muhimu k**a vile chuma.

3. Mayai.
Kiini cha yai kina kiasi kizuri cha vitamin D.

4.Mafuta ya Samaki.
Mafuta ya ini la samaki k**a vile cod liver oil yana viwango vya juu vya vitamin D.

5. Vyakula Vilivyoongezwa Vitamin D.
Baadhi ya bidhaa za maziwa, juisi ya machungwa, na nafaka zilizoimarishwa pia zina vitamin D.

Mbali na vyakula, mwanga wa jua ni chanzo kikuu cha vitamin D. Hivyo, kuwa na muda wa kutosha kwenye jua, hasa asubuhi au jioni, inaweza kusaidia mwili kutengeneza vitamin D.

*UCHAFU MWEUPE ULIOGANDA K**A MAZIWA*K**a unapata uchafu mwupe umekatika k**a maziwa mtindi na ni mzito na unapata muwas...
19/09/2024

*UCHAFU MWEUPE ULIOGANDA K**A MAZIWA*

K**a unapata uchafu mwupe umekatika k**a maziwa mtindi na ni mzito na unapata muwasho, basi hapo ujue una fungus.

Watu wenye fungus ukeni wanapata dalili zingine k**a

🛑muwasho kwenye mashavu ya uke

🛑kuvimba kwa mashavu ya uke

🛑maumivu wakati wa tendo

🛑maumivu na hali ya kuungua wakati wa kukojoa

🛑uke kuuma na kuvimba

K**a unaugua fungus ama umeanza kuona dalili, karubu tufanye matibabu

🙋‍♀️Ni jambo zuri kusitisha kufanya tendo wakati unatibiwa maambukizi yako ya fungus.
K**a umeshaugua fungus zaidi ya mara 4 katika mwaka, ni vyema ufike ofsini.

Unaweza kuwa na tatizo lililojificha ambalo linakufanya uugue fungus mara kwa mara.

🧏‍♀️Jinsi Ya Kuzuia Uchafu Mwingi Ukeni

K**a unapata uchafu mwingi kupita kiasi na usio wa kawaida, unaweza kuwa na maambukizi, na unahitaji tiba kupona tatizo.

*Uchafu mwingi kupita kiasi ni kiashiria cha*

☑️magonjwa ya zinaa

☑️maambukizi ya bakteria na

☑️fungus

☑️PID

*Lini Yatakiwa Kumwona Daktari?*

🧏🏽Ni muhimu kumwona daktari endapo uchafu unaotoka unanuka ama unaambatana na dalili hizi

🩸miwasho

🩸maumivu

🩸kutokwa damu

🩸kuvusha hedhi

🩸hali ya kuungua ukeni wakati wa tendo na kukojoa na

🩸vipele na malengelenge ukeni

🤷‍♂️Kumbuka kuepuka kuvuruga mazingira ya kwenye uke k**a kutumia sabuni, marashi na kusafisha uke mpaka ndani. Tumia maji pekee kujisafisha na safisha eneo la mwanzo tu la uke. Uke umeumbwa kujisafisha wenyewe kila siku, hihitajio kutumia kemikali kujisafisha.

Kwa ushauri zaidi na tiba tuandikie kwa whatsapp namba

JE,MWANAUME UNAPATA DALILI HIZI??👇👇•kukojoa Mara kwa Mara hasa nyakati za usiku•maumivu makali wakati wa kukojoa•Mkojo k...
18/08/2024

JE,MWANAUME UNAPATA DALILI HIZI??👇👇

•kukojoa Mara kwa Mara hasa nyakati za usiku

•maumivu makali wakati wa kukojoa

•Mkojo kutoisha ndani ya kibofu

•mkojo kutiririka kidogo kidogo

•mkojo kushindwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.

✍️ZINGATIA Dalili huonekana baada ya umri wa miaka 40.wanaume wengi wenye Umri kuanzia miaka40 na kuendelea huwa Wana tatizo hili la tezi dume..

Endapo unapata dalili K**a hizi unashauriwa kufanya matibabu Haraka iwezekanavyo ili kuepuka madhara makubwa yatakayo jitokeza baadae..

Tezi dume inatibika bila upasuaji kwa kutumia virutubisho lishe.

Faida ya virutubisho lishe 👇👇

Huondoa tezi dume bila upasuaji

Huzuia kuvimba kwa tezi dume

Huzuia na hukinga matatizo ya mkojo kwa wanaume

Husaidia na kuongeza uzalishwaji wa majimaji yanayolinda mbegu za kiume zisiharibiwe.

Piga/au tuma ujumbe kwa namba 0710194354.. upate suluhisho Sasa...

      Ukiona dalili hizi jua kabisa una P.I.D na unahitaji tiba ya haraka sana.●Kutokwa na uchafu mzito k**a mtindi weny...
26/06/2024


Ukiona dalili hizi jua kabisa una P.I.D na unahitaji tiba ya haraka sana.

●Kutokwa na uchafu mzito k**a mtindi wenye harufu mbaya
●Kupata maumivu makali wakati wa tendo
●Kupata maumivu makali chini ya kitovu
●Uke kuwa mkavu
●Kutokwa na maji maji machafu yenye harufu mbaya
●Kukosa hamu ya tendo
●Maumivu ya nyonga kiuno na mgongo.

■■Haijalishi umeteseka kiasi gani jenga imani na tumaini la kupona kabisa, kwani kwa mda mrefu zaidi ya miaka 5 nimeweze kuwasaidia wanawake wengi kupona kabisa Changamoto ya P.I.D bila kujirudia.

Nipigie sasa hivi +0710194354 uweze kupata dozi yako leo na upone kabisa.

Au bofya whatsap button

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Leonard Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram