Mahaba

Mahaba Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mahaba, Kaliakoo, Dar es Salaam.

Karibu kwenye Ukurasa wetu Hakikisha una Follow, like, share.Tunatangaza Biashara kwa njia ya Mtandao Tunadizaini Posters Mabango,Vitambulisho na Kusajili kampuni majina ya Biashara, Vikundi Vyama na Mashirika kwa njia ya mtandao Karibu piga 0625850656

28/12/2025

SIKIA HII JIFUNZE KITU

27/12/2025

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣

  KIMAMBI PLESHA ZIMEPANDA AKAUNTI ZAKE KUFUNGWA NA KESI JUU.
27/12/2025

KIMAMBI PLESHA ZIMEPANDA AKAUNTI ZAKE KUFUNGWA NA KESI JUU.

  NENO MOJA KWA HAYATI MAGUFULI
27/12/2025

NENO MOJA KWA HAYATI MAGUFULI

27/12/2025

SAMIA ANATAKA MAHUSIANO YA POLISI NA WANANCHI KULEJEA

  ELEKEZI YA SERIKALI KWA MBOLEA
26/12/2025

ELEKEZI YA SERIKALI KWA MBOLEA

26/12/2025

MHE: MBUNGE CANONI ATOA MKONO WA POLE HOSPITAL YA WILAYA KALAMBO

25/12/2025

: MBUNGE CANONI AKABIDHI MSAADA HOSPITAL YA WILAYA KALAMBO

 : CANONI ATOA MKONO WA POLE KWA WAGONJWA HOSPITALI YA WILAYA KALAMBOMhe: Edephons Joachim Canoni Mbunge wa jimbo la Kal...
25/12/2025

: CANONI ATOA MKONO WA POLE KWA WAGONJWA HOSPITALI YA WILAYA KALAMBO

Mhe: Edephons Joachim Canoni Mbunge wa jimbo la Kalambo leo tarehe 25/12/2025 siku ya Krismasi

Ametembelea hospitali ya wilaya ya Kalambo ili kutoa mkono wa pole kwa wagonjwa na madaktari walio kuwepo zamu,

Katika ziara hiyo Mhe: Mbunge ameweza kusikiliza kero na changamoto kutoka kwa wagonjwa na madaktari nae ameahidi kuzitafutia ufumbuzi.

Amewaomba wagonjwa na madaktari kuwa huru kumpigia au kufika ofisini kuwasilisha changamoto zao ili ziweze kutatuliwa.

Aidha katika mkono wa pole ameweza kutoa biskuti Miche ya sabuni mafuta ya kupakaa, juisi na jumla ya fedha laki mbili na na elfu ishilini TSh: 220,000/=

pamoja na kumlipia bili mgonjwa mmoja alie sema hajiwezi kifedha amefanyiwa opalesheni na kupatiwa matibabu hali ya afya inaendelea vizuri lakini hana fedha za kulipia huduma ya matibabu.

Wakati wa kuongea na madaktari wameweza kuomba Elimu itolewe kwa wananchi ili waweze kuwahi wakati wa kwenda kujifungua ili kuokoa maisha ya mama na mtoto,

Wamesema hali iliyopo kwa sasa ni hatari wakina mama wanacheweshwa kufika hospital wengine hujifungulia nje ya hospital

kabla ya kuingizwa leba jambo ambalo linawapa madaktari wakati mgumu wa kiutendaji na kuokoa maisha, jambo linalo weza kusababisha kifo cha mtoto au mama.

Mhe Mbunge Canoni amesema anatambua mchango wa madaktari kujitoa kuokoa wananchi ndio maana watu wengine wana sherekea sikukuu lakini wao wana endelea na matibabu.

Amewasihi kuendelea kuwa na moyo wa kujituma ili wananchi waendelee kupata huduma bora.

Hata jitahidi kuendelea kutoa Elimu kwenye mikutano ya hadhara ili wananchi wajue umuhimu wa kuwahi wakati wa kujifungua.

Imetolewa na
Musa Frackison Mzopola
Katibu wa Mbunge

  YA KRISMASI NA MWAKA MPYA Mhe: Edephons Joachim Canoni Mbunge Jimbo la Kalambo anawatakia Krismasi na mwaka mpya mwema...
25/12/2025

YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Mhe: Edephons Joachim Canoni Mbunge Jimbo la Kalambo anawatakia Krismasi na mwaka mpya mwema Msherekee kwa amani.

  WA MBUNGE KALAMBO ASHIRIKI MAAZIMISHO  YA NYOTA NJEMA FOOTBALL CLUB Ndugu Musa Frackison Mzopola Katibu wa Mbunge Jimb...
22/12/2025

WA MBUNGE KALAMBO ASHIRIKI MAAZIMISHO YA NYOTA NJEMA FOOTBALL CLUB

Ndugu Musa Frackison Mzopola Katibu wa Mbunge Jimbo la Kalambo Mhe: Edephons Joachim Canoni ameshiriki k**a mgeni Rasmi kwa niaba ya mhe Mbunge kwenye maazimisho ya siku ya Club ya Nyota Njema Queens na FC

Maadhimisho hayo yame fanyika tarehe 21/12/2025 kijiji cha Kateka kata ya Matai wilaya ya Kalambo.

Katika maadhimisho hayo yameweza kutolewa mafanikio ya Club ikiwa ni kusajili Club kwa namba *NSC 12340* kuwa na Timu ya kiume na k**e,kupata jezi na baadhi ya vifaa vya michezo

Kucheza mpira ngazi ya mkoa ligi daraja la pili, kushinda katika mashindano ya wilaya mwaka 2024, Kuongeza wigo wa Timu ya k**e katika wilaya ya Nkansi,
Kutoa baadhi ya wachezaji walio shiriki kuunda timu ya UMISSETA mkoa wa Rukwa kwenda kwenye mashindano ya Kitaifa.

Changamoto ni ukosefu wa mdhamini, Upungufu wa vifaa vya michezo, Wazazi kuto kuwaruhusu watoto wao wa k**e kushiriki michezo.

Kwaniaba ya Mbunge Mhe: Edephons Joachim Canoni, Katibu ameweza kutoa salamu za Mbunge na kumpongeza Meneja wa Club hiyo

Mwl Audiface Mwanakulya kwa jitihada zake za kuwaunganisha Vijana toka Mwaka 2018 Club ilipo anza mpaka sasa maana hakuna kundi gumu kuliongoza k**a kundi la vijana pia ameipongeza Club kwa mafanikio makubwa waliyo yapata

Amewakanya vijana kuto kujihusisha na makundi mabaya ya kuvuluga amani ya nchi yetu wanapaswa kutumia smartphone zao kupitia bando wanazo weka wazitumie kuingiza kipato

Wanapaswa kujikita kwenye utafutaji wa fedha na amewahakikishia kuwa Ofisi ya Mbunge ipo tayari kuwatafutia fursa za kujikwamua kiuchumi.

Ameishauri Club waweze kutanua wigo kiuchezaji badara ya kujenga afya pia wanapaswa watazame michezo k**a ajira

Amewashauri wasajili kikundi cha vijana ili kuweza kunufaika na mikopo ya 10% ya Halmashauri inayo tolewa bila riba

Mikopo hiyo itawasaidia kuendesha miradi ya ujasiriamali itakayo wasaidia kujikwamua kiuchumi na kutatua changamoto zinazo wakabili,

Amesema endapo watakuwa tayari kusajiri kikundi, wao watakaa na kujadiliana mambo muhimu yatakayo kuwepo kwenye katiba yao na kuyaleta kwenye Ofisi ya Mbunge

Ofisi ya Mbunge itawasaidia kuchapa katiba na kugharamia gharama za usajili na cheti baada ya usajili kukamilika

Kikundi kitaweza kuomba mkopo Halmshauri, Ofisi ya Mbunge itasimamia kuhakikisha mkopo huo unapatikana.

Aidha amesema changamoto ya mdhamini anaichukua ata iwasilisha Ofisini, Ofisi ya Mbunge ita shirikiana na wao kumtafuta mdhamini

kuhusiana na changamoto ya vifaa vya michezo ameelekeza wafanye tathimini ya gharama za kukamilisha vifaa hivyo waweze kuandika barua ya kuomba kwenye Ofisi ya Mbunge kupitia chama cha mpira wa miguu wilaya ya Kalambo Ofisi ya Mbunge ita saidia upatikanaji wa vifaa hivyo maana miongoni mwa majukumu ya Mbunge ni kutatua kero na changamoto za wananchi wake.

Changamoto ya wazazi kuto kuwaruhusu watoto wao wa k**e kushiriki kwenye michezo Ofisi ya Mbunge kushirikiana na chama cha mpira wa miguu wilaya

Wata endelea kutoa Elimu kwenye mikutano ya hadhara itakayo endelea kufanyika Ili kuwaondoa Wazazi wasiwasi waweze kutambua kuwa michezo ni afya pia ni ajira.

kwa kutambua umuhimu wa chama cha mpira wa miguu wilaya ya Kalambo akasema ame enda na Mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu wilaya Ndg: Caros Mbalazi ili nae abebe changamoto zinazo husu chama chake na kuzitafutia ufumbuzi.

Mwisho amewaomba wadau wa michezo na maendeleo wa wilaya ya Kalambo na Tanzania kwa ujumla waweze kujitokeza kusaidia na kudhamini Club hii ya vijana wa k**e na wa kiume wapatao 100 waweze kufikia ndoto zao.

MHE: CANONI AMALIZA ZIARA JIMBONI KALAMBO Mhe: Edephons Joachim Canoni Mbunge Jimbo la Kalambo amemaliza ziara ya kikazi...
21/12/2025

MHE: CANONI AMALIZA ZIARA JIMBONI KALAMBO

Mhe: Edephons Joachim Canoni Mbunge Jimbo la Kalambo amemaliza ziara ya kikazi katika jimbo lake la Kalambo

Ziara hiyo ilianza tarehe 12/12/2025 katika ziara hiyo aliweza kufanya vikao vya ndani na kuzungumza na wazee wa Tarafa zote za Jimbo la Kalambo

Aidha ameongea na jumuiya zote za chama cha Mapinduzi Jumuiya ya Uwt, Uvccm, Jumuiya ya wazazi, Kamati ya Siasa ya Wilaya na Halmshauri kuu ya wilaya.

Dhumuni ya ziara hiyo ni kushukuru kupata baraka na kupata kero na changamoto kwenye makundi yote ya kijamii ili kuweza kuzifanyia kazi.

Address

Kaliakoo
Dar Es Salaam
1000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mahaba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mahaba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram