Makarius wilfred muba

Makarius wilfred muba Official account Facebook me makarius Wilfred muba apdate all the time breaking news please follow me
(2)

Maneno ya zimbwe Ni kitambo sana, huku mimi nilifwata makombe na furaha๐Ÿ†๐Ÿฅ‡๐Ÿ…
14/01/2026

Maneno ya zimbwe Ni kitambo sana, huku mimi nilifwata makombe na furaha๐Ÿ†๐Ÿฅ‡๐Ÿ…

Wekundu wa Msimbazi Simba kazi wanayo!Esparance de Tunis wanasajili kwelikweli na wanajiboresha haswa.Wameenda Seria A y...
14/01/2026

Wekundu wa Msimbazi Simba kazi wanayo!

Esparance de Tunis wanasajili kwelikweli na wanajiboresha haswa.

Wameenda Seria A ya Italia wamemchukua kiungo mshambuliaji Hamza Rafia kutoka Lecce ya Italia.

Ameshacheza Juventus kuanzia ya vijana na kubwa.

Ameshashinda Copa Italia akiwa na Juventus. Alipita katika klabu ya Lyon ya Ufaransa na Pescara

Pia wamempa mkataba wa miaka minne na nusu Arar Ferenandez mwenye miaka 19 kutoka Strasbourg B

Simba mjipange kuvuna alama nyumbani na ugenini ligi ya mabingwa!

14/01/2026

Baada ya Iran kufunga mtandao kinachoendelea kwasasa nje ya Iran asilimia kubwa ni vita vya kipropaganda vyenye rengo maalumu

Vita vya propaganda vinavyoendelea vipo vya pande mbili

* 1 Upande wa serikali ya Iran ( timu Iran)

* 2 Upande unaotaka serikali ya Iran iondoke madarakani ( Timu Israel, Marekani na washirika wake)

* 1 Kwa upande wa serikali ya Iran na timu yake hasa walionje ya Iran wao muda wote taarifa wanazotoa ni

-Maandamano ya wananchi wanaoiunga mkono serikali
-Miji ipo kwenye amani hasa mji mkuu Tehran
- Maandamano yamepungua
- Iran imek**ata majasusi wanaondamana
- Iran na majaribio ya makombora yake

* 2 Upande unaotaka serikali ya Iran ianguke wao muda wote taarifa wanazotoa ni
- Iran imeua waandamanaji wengi
- Maandamano makubwa yanaendelea
- Serikali ya Iran imepoteza uthibiti na inaishiwa nguvu

Hizo ndizo pande mbili zinazotoa taarifa kuhusu yanayoendelea nchini Iran muda huu ambao Iran imefunga mtandao, Kila upande unafanya hivyo kwaajili ya kuaminisha dunia nini kinachoendelea Iran kwasasa, upande wa timu ya serikali ya Iran wao wanajitahidi sana kuonyesha kuwa Hali ya Iran kwasasa ni nzuri, maandamano ni ya amani yale ya vurugu yameisha, wanaondamana wengi ni majasusi sio raia wa Iran, muda wowote kuanzia sasa Hali itarudi k**a awali maana wananchi wengi wapo upande wa serikali, upande huu hautousikia ukitoa taarifa sahihi za vifo vya waandamanaji, fujo, kuk**atwa kwa kambi za kijeshi, Hawa kabla ya kuzimwa kwa mtandao walikuwa wanatoa taarifa za maandamano na fujo Hadi taarifa za vifo vya askari wao na madhara ya maandamano k**a vile uchomwaji wa moto misikiti, magari , Kambi na sehemu mbalimbali ila kwasasa taarifa zao kubwa hasa ni juu ya satellite za starlink

Upande unaotaka serikali ya Iran iondoke madarakani Timu (Israel Marekani) Hawa tangu kuzimwa kwa mtandao taarifa yao kubwa kabisa ni idadi ya vifo vya waandamanaji hii ndio taarifa yao pendwa muda wote wapo kufatilia vifo na kutoa taarifa ili dunia ufahamu kuwa serikali ya Iran inaua waandamanaji, mpaka sasa upande huu umetangaza kuwa vifo vipo 2000 na tutegemee kuona wakizidisha idadi Kila muda unavyodhidi kwenda , pia Hawa muda wote taarifa zao ni kuwa maandamano bado makubwa nchi nzima, hawa lengo lao kubwa ni Ile kauli ya raisi wa Marekani Donald Trump, Ile kauli ambayo admin hamesha aliisema hapa kipindi kile maandamano yanaanza na watu wengi hapa wakawa hawaamini k**a kuna maandamano kwa kuwa tu vyombo vingine vilikuwa bado havijaanza kuposti, k**a utakuwa unakumbuka nilisema kipindi cha mwanzo kabisa kuwa serikali ya Iran inaandaliwa mtego ifanywe k**a Libya ya Gaddafi, kuwa inaachwa iue waandamanaji kisha mataifa ya nje ya ingie nchini humo kijeshi kwa madai ya kuwalinda waandamanaji wasiuawe hicho ndicho nilichosema Ile siku ya pili baada ya maandamano kuanza , kauli iliyotimia baada ya Trump nae kuja kutangaza baadae sana kuwa Marekani itaingia Iran kijeshi ikiwa Iran itawaua waandamanaji. Hivyo timu hii ya pili inachochea usemi wa Trump wa kuingia nchini Iran kuwalinda waandamanaji ambao wao wanatangaza kuwa wanauawa sana na serikali ya Iran

Hizo ndizo timu mbili zinazotoa taarifa kuhusu yanayoendelea nchini Iran muda huu ambao kupata taarifa sahihi za Iran ambazo hazina upande ni ngumu kidogo kutokana na kuzimwa kwa mtandao, na ifahamike kuwa pande zote hizo wanaoitetea serikali na wale wanaotaka serikali ianguke wote hao wapo vizuri hata kwenye masuala ya edit, wanaedit picha, video na kusema ni za Iran
Mfano siku ya jana upande wa Iran ulitoa video na picha zikimuonyesha raisi Masoud Pezeshkian akiwa mtaani mjini Tehran, kitu ambacho sio kweli Ile ilikuwa ni picha na video za kutengenezwa, Kwa hali inayoendelea sasa hasa Tehran ni ngumu kwa raisi kutembezwa barabarani kiasi kile huku kukiwa shwari wakati nchi ipo kwenye machafuko na yeye ni miongoni mwa wanaolengwa,

Kwasasa taarifa sahihi zinatoka kwa waliondani ya Iran na zile ripoti za mashirika ya kijasusi, hao ndio wenye taarifa sahihi hasa mashirika ya kijasusi zile taarifa wanazotuma Kila siku hizo ndizo sahihi na ndizo ambazo kwasasa hamesha nitakuwa nacheza nazo

Ila Kwa wale wenye upande ukae ukijua taarifa nyingi unazoziona kwasasa kuhusu Iran zote ni za mashindano ya propaganda

14/01/2026

APA WAME PIGWA

14/01/2026

Toka dunia ianze ziliibuka himaya nyingi sana kubwa hapa duniani k**a Mongol Empire, Egypt Empire, Persian Empire, Babylon au Babel Empire, British Empire, Ottoman Empire na Hispania Empire .Ila kati ya zote hizo himaya iliyodumu hadi leo ni himaya moja tuu ya Roma au Roman Empire ambayo inawafuasi zaidi ya Billion 1.4 kwenye dunia ya leo ,Na wamefanikiwa kwenye hilo kwa sababu baada ya kuibuka Kaisari au Cesar Constantine karne ya 4 waliamua kutumia kivuli cha dini kuitawala dunia upya.Yani kutoka kwenye Pagan Rome hadi Holy Roman Empire na ndo hiyo tunayo hadi leo

Ni Nani atawin hii AFCON.. Unasupport team gani
14/01/2026

Ni Nani atawin hii AFCON.. Unasupport team gani

Babu yangu aliuawa mwaka 1991 wakati wa vita. Jioni moja hakurudi nyumbani, na watu wakatoka kumtafuta. Walimkuta amepig...
14/01/2026

Babu yangu aliuawa mwaka 1991 wakati wa vita. Jioni moja hakurudi nyumbani, na watu wakatoka kumtafuta. Walimkuta amepigwa risasi akiwa amekufa kwenye shamba kando ya barabara. Alikuwa na umri wa miaka 66 na hakuwahi kumkosea mtu yeyote. Nakumbuka mazishi, baba yangu aliponiinua hadi karibu na jeneza na kusema:

โ€œMwanangu, mbusu babu yako.โ€

Hadi leo, swali linaendelea kunisumbua: inawezekanaje mtu mwema, mwenye haki, auawe? Kwa nini?
Ninabeba jina lake kwa fahari. Alinifundisha mambo mengi โ€” jinsi ya kuondoa theluji, kupangilia nyasi, na kuchunga mifugo. Nilikulia miongoni mwa wanyama, nikivuta mikia ya mbuzi kwa mchezo, na nafikiri hapo ndipo nilipoanza kwanza kucheza mpira wa miguu.

Baada ya kifo chake, nyumba yake ilichomwa moto. Baadaye mabomu ya ardhini (mines) yaliondolewa kwenye ardhi inayozunguka, ingawa alama za onyo bado zipo. Leo, eneo hilo linamilikiwa na serikali โ€” magofu yaliyofunikwa na magugu โ€” na kuna mipango ya kuligeuza kuwa makumbusho. Lakini sitaki mtu mwingine aamue hatima yake. Nataka kuinunua kwa ajili ya babu yangu na kwa ajili yangu mwenyewe.

Haya ndiyo hasa yaliyomtokea babu yake Luka Modriฤ‡, ambaye aliuawa mwaka 1991 wakati wa Vita ya Uhuru ya Croatia, na nyumba yake ilichomwa moto. Miaka thelathini na minne baadaye, kiungo wa AC Milan alifichua nia yake ya kununua nyumba hiyo iliyoachwa.

Samuel Eto'o na Didier Drogba โ€“ wachezaji wawili wakubwa sana barani Afrika ๐ŸŒ๐ŸŒŸโœ…  2003 Mchezaji Bora Afrika: Samuel Eto'o...
14/01/2026

Samuel Eto'o na Didier Drogba โ€“ wachezaji wawili wakubwa sana barani Afrika ๐ŸŒ๐ŸŒŸ

โœ… 2003 Mchezaji Bora Afrika: Samuel Eto'o
โœ… 2004 Mchezaji Bora Afrika: Samuel Eto'o
โœ… 2005 Mchezaji Bora Afrika: Samuel Eto'o
โœ… 2006 Mchezaji Bora Afrika: Didier Drogba
โœ… 2009 Mchezaji Bora Afrika: Didier Drogba
โœ… 2010 Mchezaji Bora Afrika: Samuel Eto'o

โœ… Mfungaji bora wa muda wote wa Cameroon: Samuel Eto'o

โœ… Mfungaji bora wa muda wote wa Ivory Coast: Didier Drogba

โœ… Wote walishinda UEFA Champions League kwa kufunga mabao katika fainali

๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ Eto'o: Magoli 416 katika mechi 838
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Drogba: Magoli 365 katika mechi 792

NANI BORA KWA UPANDE WAKO?

Wasimbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
14/01/2026

Wasimbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mganga wa jadi aitwaye Bwana Sinayogo, ambaye aliahidi UBINGWA kwa timu ya taifa ya Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ katika mashindano ya AFCON b...
14/01/2026

Mganga wa jadi aitwaye Bwana Sinayogo, ambaye aliahidi UBINGWA kwa timu ya taifa ya Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ katika mashindano ya AFCON baada ya kulipwa euro 33,500 (zaidi ya milioni 90 za Kitanzania), amek**atwa. ๐Ÿ˜ฌ

Bwana Sinayogo, anayejulikana k**a mganga wa jadi (native doctor), aliahidi kusaidia Mali kushinda AFCON kwa kutumia nguvu za kijadi au kiimani. Baada ya kupokea kiasi hicho kikubwa cha pesa, aliwaahidi mafanikio makubwa kwenye mashindano hayo ya soka ya Afrika.

Hata hivyo, baada ya Mali kushindwa na kutolewa kwenye mashindano, mamlaka zilichukua hatua na kumk**ata kwa tuhuma za udanganyifu au kupokea fedha kwa ahadi isiyotekelezeka. Tukio hili limezua gumzo kubwa mitandaoni na miongoni mwa mashabiki wa soka, hasa kutokana na kiasi kikubwa cha fedha alicholipwa na matarajio makubwa ya wananchi.

Ibrahim Bacca anafanya madhambi ambayo ni hatarishi kwa Afya ya wachezaji wenzake jamaa anatakiwa kubadilika hii ni hata...
14/01/2026

Ibrahim Bacca anafanya madhambi ambayo ni hatarishi kwa Afya ya wachezaji wenzake jamaa anatakiwa kubadilika hii ni hatari .

๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Alex Iwobi in his last 4 games for Nigeria at AFCON 2025:โฑ๏ธ 360 minutes played๐ŸŽฏ 2 assists๐Ÿง  11 chances created๐Ÿ“ 87 pas...
14/01/2026

๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Alex Iwobi in his last 4 games for Nigeria at AFCON 2025:

โฑ๏ธ 360 minutes played
๐ŸŽฏ 2 assists
๐Ÿง  11 chances created
๐Ÿ“ 87 passes into the final third
๐ŸŽฏ 22 accurate long balls
๐Ÿ“Š 84% pass accuracy
๐Ÿ›ก๏ธ 29 recoveries
๐Ÿงฑ 3 tackles
๐Ÿšซ 3 interceptions
โญ๏ธ 7.6 average rating

Work rate. ๐Ÿ”ฅ

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makarius wilfred muba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Makarius wilfred muba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram