Afya Salama

Afya Salama Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

+255695255232

𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 - 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗜𝗡𝗙𝗟𝗔𝗠𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗖𝗔𝗡𝗖𝗘𝗥 𝗔𝗡𝗗 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗔𝗜𝗟𝗨𝗥𝗘):Homa ya ini ni hali y...
30/06/2025

𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 - 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗜𝗡𝗙𝗟𝗔𝗠𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗖𝗔𝗡𝗖𝗘𝗥 𝗔𝗡𝗗 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗔𝗜𝗟𝗨𝗥𝗘):

Homa ya ini ni hali ya kuvimba kwa ini ambayo mara nyingi husababishwa na maambukizi ya virusi vya hepatitis pindi visipotibiwa husababisha ini kuvima, kansa ya ini na kushindwa kufanya kazi na mgonjwa kupoteza maisha.

Homa hii inaweza kuwa ya muda mfupi yani (acute) isiyo hitaji matibabu ambayo hudumu kwa muda wa siku 30 hadi miezi 6 kisha hupotea yenyewe bila dawa yoyote lakini pia homa ya ini inaweza kuwa ya muda mrefu (chronic) yenye kuhitaji matibabu ya mapema katika kutokomeza maambukizi.

𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗜𝗡𝗔𝗩𝗬𝗢 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗔𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜:

Fahamu aina kuu tano (5) ya virus vya homa ya ini hatari pindi visipo patiwa matibabu na kudhibitiwa

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗔 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗔)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis A (HAV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia chakula au maji machafu

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Haiwi sugu, huponesha yenyewe bila tiba maalum

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗕 𝗬𝗔𝗡𝗜 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗕)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis B (HBV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia manii, mate, jasho na damu iliyoambukizwa

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Mara nyingi Hepatitis B isipo tibiwa mapema husababisha ini kuvimba, kutengeneza saratani, kupelekea ini kusinyaa na kuacha kufanya kazi na kusababisha kifo kwa mgonjwa.

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗖 𝗬𝗔𝗡𝗜 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗖)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis C (HCV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia damu iliyoambukizwa

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Mara nyingi huwa sugu yenye kuhitaji matibabu ya haraka, na pindi isipo tibiwa inaweza kuleta kansa ya ini na kusababisha kifo

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗗 (𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗗)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis D (HDV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Huweza kuambukiza tu ikiwa mtu ana Hepatitis B

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Huongeza madhara ya Hepatitis B

𝗦𝗜𝗙𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗠𝗕𝗨𝗞𝗜𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗘:

Njia za kuambukiza, sababu, matibabu na vipimo

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis E (HEV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia chakula au maji machafu

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Hupona bila tiba, lakini inaweza kuwa hatari kwa wajawazito

𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗬𝗔 𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗢𝗬𝗢𝗧𝗘):

✅ Miwasho sugu ya ngozi hasa k**a hujaanza kutumia dawa za kutibu tatizo

✅ Tumbo kuhisi kujaa gesi kukosa hamu ya kula na hata kutapika

✅ Kuhisi kichefuchefu na kupoteza hamu ya kula

✅ Maumivu ya tumbo, hasa upande wa juu kulia chini ya mbavu.

✅ Tumbo kujaa maji na miguu kuvimba (Ascites)

✅ Macho na ngozi kuwa na rangi ya njano (jaundice)

✅ Mkojo kuwa wa rangi ya njano iliyo kolea, kahawia au giza.

✅ Kinyesi kuwa chepesi

✅ Uchovu mwingi

✅ Homa kali na za mara kwa mara

𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗣𝗜𝗠𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗖𝗛𝗨𝗡𝗚𝗨𝗭𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜:

✅ Kipimo cha damu cha Hepatitis B Surface Antigen (HBsAg)

✅ Vipimo vya damu (liver function test – LFTs)

✅ Kipimo cha kupima wingi wa virusi vya Hepatitis k**a vile Viral load ya (HAV, HBV, HCV, nk.)

✅ Kipimo cha Ultrasound ya ini

✅ Kipimo cha Liver biopsy (wakati mwingine)

✅ Kipimo cha damu cha Hepatitis b antibody.

𝗛𝗨𝗗𝗨𝗠𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜:

Matibabu ya homa ya ini haswa iliyo sababishwa na virusi vya homa ya ini yani Hepatitis, matibabu hutegemea na hatua ya ugonjwa ulipo fikia na afya ya mgonjwa kwa wakati uwo:

✅ 𝗠𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝗿𝘂𝘀 𝗔 𝗻𝗮 𝗘 𝘆𝗮𝗻𝗶 𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗔 & 𝗘:

Mara nyingi maambukizi ya virus A na E hupona yenyewe, bila usaidizi wa dawa. Mgonjwa tu anapaswa kunywa maji ya kutosha ili kuzuiya (hydration upotevu wa maji mwilini, kula chakula bora na salama kwa afya)

✅ 𝗠𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝗿𝘂𝘀 𝘃𝘆𝗮 𝗵𝗼𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗶𝗻𝗶 𝗕 𝗻𝗮 𝗖 𝘆𝗮𝗻𝗶 𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗕 & 𝗖:

Matibabu yanapaswa kuzingatiwa hasa ugonjwa ukiwa bado hatua za awali, Dawa sahihi na maalum k**a antivirals (kwa matibabu ya maambukizi ya muda mlefu ya hepatitis)

✅ 𝗞𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗵𝗼𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗶𝗻𝗶 𝗗 𝘆𝗮𝗻𝗶 𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗗:

Hakuna tiba madhubuti, kwasababu ni maambukizi yanayo sababishwa na maambukizi ya virus vya Hepatitis B, kwaiyo matibabu ya Hepatitis D ni kupona kwa maambukizi ya Hepatitis B.

𝗡𝗝𝗜𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗜𝗞𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜:

✅ Baada ya vipimo ukabainika kwamba hauna maambukizi au umepona basi inahitajika uanze dozi ya chanjo (hasa kwa Hepatitis A na B)

✅ Kula chakula safi na rafiki kwa afya ya ini na mwili kwa ujumla lakini pia tumia vinywaji safi k**a vile maji safi na juice za matunda.

✅ Epuka kushiriki vitu vyenye damu (nyembe, sindano, kuchangia damu)

✅ Tumia kinga wakati wa ngono japo sio salama kwa 100% lakini inaweza kusaidia kupunguza hatari ya maambukizi.

✅ Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi, ulaji wa nyama nyekundu, sigala, vinywaji vya kusindikwa k**a soda na vyakula vya super market.

𝗞𝗨𝗠𝗕𝗨𝗞𝗔:- Ni muhimu kufuatilia afya yako kwa kufanya vipimo vya mara kwa mara na kuyafikia matibabu ya mapema pale tatizo linapo bainika, kwani kila sekunde ni muhimu katika kuokoa maisha na kuepuka madhara ya kudumu.

𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗧𝗨𝗟𝗜𝗣𝗢: Hospitali, tunapatikana Dar es salaam Mbezi luis jirani na stendi kuu.

𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗺𝘂𝗼𝗻𝗮 𝗗𝗮𝗸𝘁𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝘂𝘀𝗵𝗮𝘂𝗿𝗶 𝗵𝘂𝘁𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗯𝘂𝗿𝗲𝗲.

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp: 0695 255 232 +255746484873

𝗞𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝘁𝘂𝗸𝘂𝗵𝘂𝗱𝘂𝗺𝗶𝗲 𝗸𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗺𝗼𝘁𝗼 𝘇𝗮 𝗮𝗳𝘆𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝗼𝗮 𝗵𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗩𝗜𝗣𝗜𝗠𝗢, 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗕𝗔𝗕𝗨, 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗝𝗢 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜:

𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 - 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗜𝗡𝗙𝗟𝗔𝗠𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗖𝗔𝗡𝗖𝗘𝗥 𝗔𝗡𝗗 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗔𝗜𝗟𝗨𝗥𝗘):Homa ya ini ni hali y...
30/06/2025

𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 - 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗜𝗡𝗙𝗟𝗔𝗠𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗜𝗕𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦, 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗖𝗔𝗡𝗖𝗘𝗥 𝗔𝗡𝗗 𝗟𝗜𝗩𝗘𝗥 𝗙𝗔𝗜𝗟𝗨𝗥𝗘):

Homa ya ini ni hali ya kuvimba kwa ini ambayo mara nyingi husababishwa na maambukizi ya virusi vya hepatitis pindi visipotibiwa husababisha ini kuvima, kansa ya ini na kushindwa kufanya kazi na mgonjwa kupoteza maisha.

Homa hii inaweza kuwa ya muda mfupi yani (acute) isiyo hitaji matibabu ambayo hudumu kwa muda wa siku 30 hadi miezi 6 kisha hupotea yenyewe bila dawa yoyote lakini pia homa ya ini inaweza kuwa ya muda mrefu (chronic) yenye kuhitaji matibabu ya mapema katika kutokomeza maambukizi.

𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗜𝗡𝗔𝗩𝗬𝗢 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗔𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜:

Fahamu aina kuu tano (5) ya virus vya homa ya ini hatari pindi visipo patiwa matibabu na kudhibitiwa

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗔 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗔)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis A (HAV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia chakula au maji machafu

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Haiwi sugu, huponesha yenyewe bila tiba maalum

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗕 𝗬𝗔𝗡𝗜 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗕)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis B (HBV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia manii, mate, jasho na damu iliyoambukizwa

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Mara nyingi Hepatitis B isipo tibiwa mapema husababisha ini kuvimba, kutengeneza saratani, kupelekea ini kusinyaa na kuacha kufanya kazi na kusababisha kifo kwa mgonjwa.

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗖 𝗬𝗔𝗡𝗜 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗖)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis C (HCV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia damu iliyoambukizwa

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Mara nyingi huwa sugu yenye kuhitaji matibabu ya haraka, na pindi isipo tibiwa inaweza kuleta kansa ya ini na kusababisha kifo

𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗗 (𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗗)

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis D (HDV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Huweza kuambukiza tu ikiwa mtu ana Hepatitis B

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Huongeza madhara ya Hepatitis B

𝗦𝗜𝗙𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗠𝗕𝗨𝗞𝗜𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗘:

Njia za kuambukiza, sababu, matibabu na vipimo

✅ 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂: Virusi vya Hepatitis E (HEV)

✅ 𝗠𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶: Kupitia chakula au maji machafu

✅ 𝗦𝗶𝗳𝗮: Hupona bila tiba, lakini inaweza kuwa hatari kwa wajawazito

𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 (𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦 𝗬𝗔 𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗢𝗬𝗢𝗧𝗘):

✅ Miwasho sugu ya ngozi hasa k**a hujaanza kutumia dawa za kutibu tatizo

✅ Tumbo kuhisi kujaa gesi kukosa hamu ya kula na hata kutapika

✅ Kuhisi kichefuchefu na kupoteza hamu ya kula

✅ Maumivu ya tumbo, hasa upande wa juu kulia chini ya mbavu.

✅ Tumbo kujaa maji na miguu kuvimba (Ascites)

✅ Macho na ngozi kuwa na rangi ya njano (jaundice)

✅ Mkojo kuwa wa rangi ya njano iliyo kolea, kahawia au giza.

✅ Kinyesi kuwa chepesi

✅ Uchovu mwingi

✅ Homa kali na za mara kwa mara

𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗣𝗜𝗠𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗖𝗛𝗨𝗡𝗚𝗨𝗭𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜:

✅ Kipimo cha damu cha Hepatitis B Surface Antigen (HBsAg)

✅ Vipimo vya damu (liver function test – LFTs)

✅ Kipimo cha kupima wingi wa virusi vya Hepatitis k**a vile Viral load ya (HAV, HBV, HCV, nk.)

✅ Kipimo cha Ultrasound ya ini

✅ Kipimo cha Liver biopsy (wakati mwingine)

✅ Kipimo cha damu cha Hepatitis b antibody.

𝗛𝗨𝗗𝗨𝗠𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜:

Matibabu ya homa ya ini haswa iliyo sababishwa na virusi vya homa ya ini yani Hepatitis, matibabu hutegemea na hatua ya ugonjwa ulipo fikia na afya ya mgonjwa kwa wakati uwo:

✅ 𝗠𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗮𝗺𝗯𝘂𝗸𝗶𝘇𝗶 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝗿𝘂𝘀 𝗔 𝗻𝗮 𝗘 𝘆𝗮𝗻𝗶 𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗔 & 𝗘:

Mara nyingi maambukizi ya virus A na E hupona yenyewe, bila usaidizi wa dawa. Mgonjwa tu anapaswa kunywa maji ya kutosha ili kuzuiya (hydration upotevu wa maji mwilini, kula chakula bora na salama kwa afya)

✅ 𝗠𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝗿𝘂𝘀 𝘃𝘆𝗮 𝗵𝗼𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗶𝗻𝗶 𝗕 𝗻𝗮 𝗖 𝘆𝗮𝗻𝗶 𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗕 & 𝗖:

Matibabu yanapaswa kuzingatiwa hasa ugonjwa ukiwa bado hatua za awali, Dawa sahihi na maalum k**a antivirals (kwa matibabu ya maambukizi ya muda mlefu ya hepatitis)

✅ 𝗞𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘁𝗶𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗵𝗼𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗶𝗻𝗶 𝗗 𝘆𝗮𝗻𝗶 𝗛𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀 𝗗:

Hakuna tiba madhubuti, kwasababu ni maambukizi yanayo sababishwa na maambukizi ya virus vya Hepatitis B, kwaiyo matibabu ya Hepatitis D ni kupona kwa maambukizi ya Hepatitis B.

𝗡𝗝𝗜𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗜𝗞𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜:

✅ Baada ya vipimo ukabainika kwamba hauna maambukizi au umepona basi inahitajika uanze dozi ya chanjo (hasa kwa Hepatitis A na B)

✅ Kula chakula safi na rafiki kwa afya ya ini na mwili kwa ujumla lakini pia tumia vinywaji safi k**a vile maji safi na juice za matunda.

✅ Epuka kushiriki vitu vyenye damu (nyembe, sindano, kuchangia damu)

✅ Tumia kinga wakati wa ngono japo sio salama kwa 100% lakini inaweza kusaidia kupunguza hatari ya maambukizi.

✅ Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi, ulaji wa nyama nyekundu, sigala, vinywaji vya kusindikwa k**a soda na vyakula vya super market.

𝗞𝗨𝗠𝗕𝗨𝗞𝗔:- Ni muhimu kufuatilia afya yako kwa kufanya vipimo vya mara kwa mara na kuyafikia matibabu ya mapema pale tatizo linapo bainika, kwani kila sekunde ni muhimu katika kuokoa maisha na kuepuka madhara ya kudumu.

𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗧𝗨𝗟𝗜𝗣𝗢: Hospitali, tunapatikana Dar es salaam Mbezi luis jirani na stendi kuu.

𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗺𝘂𝗼𝗻𝗮 𝗗𝗮𝗸𝘁𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝘂𝘀𝗵𝗮𝘂𝗿𝗶 𝗵𝘂𝘁𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗯𝘂𝗿𝗲𝗲.

Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kupitia WhatsApp: 0695 255 232 +255746484873

𝗞𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝘁𝘂𝗸𝘂𝗵𝘂𝗱𝘂𝗺𝗶𝗲 𝗸𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗺𝗼𝘁𝗼 𝘇𝗮 𝗮𝗳𝘆𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝗼𝗮 𝗵𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗩𝗜𝗣𝗜𝗠𝗢, 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗕𝗔𝗕𝗨, 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗝𝗢 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜:

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜 - 𝗧𝗢𝗞𝗢𝗠𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴:Mishipa ya varico...
17/03/2024

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜 - 𝗧𝗢𝗞𝗢𝗠𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴:

Mishipa ya varicose, au varicosities veins.

Ni mishipa ya damu iliyovimba na kupinda pinda kwa Kawaida mishipa hii hutokea au kukaa kwenye miguu na wakati mwingine mishipa ya varicose huunda katika sehemu nyingine za mwili tofauti na miguuni k**a vile Vifundoni ikiwa na rangi ya Blue, Zambarau au nyekundu.

Vipuli hivi vya bluu au zambarau kawaida huonekana kwenye miguu, na vifundo vyako.
Inaweza kuambatana na maumivu au kuwasha.

𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐈𝐍𝐀𝐙𝐎 𝐖𝐄𝐙𝐀 𝐂𝐇𝐎𝐂𝐇𝐄𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐕𝐀𝐑𝐈𝐂𝐎𝐒𝐄 𝐕𝐄𝐈𝐍𝐒!.

Mtu yeyote anaweza kupata mishipa ya varicose. Sababu fulani huongeza uwezekano wako wa kupata mishipa ya varicose, ikiwa ni pamoja na:

[ 1 ] Umri: Kwa sababu ya mchakato wa kuzeeka, kuta za mshipa na vali hazifanyi kazi vizuri k**a zilivyofanya hapo awali. Mishipa hupoteza elasticity ya kuimarisha mishipa iyo.

[ 2 ] Jinsia: Homoni za k**e zinaweza kuruhusu kuta za mishipa ya miguuni kuanza kuonyesha varicose.

Watu ambao ni wajawazito, wanaotumia kidonge cha kudhibiti uzazi au kutumia njia za uzazi wa mpango au wanaopitia kipindi cha kukoma kwa hedhi wana hatari kubwa ya kupata mishipa ya varicose kwa sababu ya mabadiliko ya viwango vya homoni.

[ 3 ] Kujifungua kwa Oparesheni

[ 4 ] Kutumia njia za uzazi wa mpango

[ 5 ] Unene au mwili mkubwa

[ 6 ] Kuwa na damu nyingi

[ 7 ] Kuwa na damu Ya kuganda au nzito

[ 8 ] Kukoma kwa hedhi

[ 9 ] Historia ya Familia: Hali hii inaweza kurithiwa (huendeshwa katika familia) Genitics Factors.

[ 10 ] Mtindo wa maisha: Kusimama au kukaa kwa muda mrefu hupunguza mzunguko wa damu. Kuvaa nguo zinazobana, k**a vile mikanda au suruali yenye mikanda ya kiunoni kunaweza kupunguza mtiririko wa damu.

[ 11 ] Afya kwa ujumla: Hali fulani za kiafya, k**a vile kuvimbiwa sana au uvimbe fulani, huongeza shinikizo la damu kwenye mishipa.

[ 12 ] Matumizi ya tumbaku: Watu wanaotumia bidhaa za tumbaku wana uwezekano mkubwa wa kupata VARICOSE VEIN.

[ 13 ] Uzito: Uzito wa ziada huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu.

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗧𝗢𝗞𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗬𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗜𝗦𝗜𝗣𝗢 𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗠𝗔:

[ 1 ] Maumivu ya mara kwa mara ya miguu na misuri kukaza

[ 2 ] Saratani au Kansa ya kudumu

[ 3 ] Hupelekea kushindwa kutembea kabisa pindi ugonjwa huu usipo tibiwa mapema.

𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗨𝗢𝗡𝗔 𝗗𝗔𝗞𝗧𝗔𝗥𝗜 𝗛𝗨𝗧𝗢𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗕𝗨𝗥𝗘.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga simu au WhatsApp

0695 255 232

+255695255232

Thamani ya Dozi TZS 86, 000/=

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER :

𝐊𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐓𝐮𝐤𝐮𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐢𝐞 - 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐳𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐭𝐨𝐚 𝐔𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈 𝐍𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀.

SARATANI YA TEZI DUMETezi dume ni nini?      Tezi dumeNi tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya ku...
02/03/2024

SARATANI YA TEZI DUME

Tezi dume ni nini?

Tezi dume
Ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume.

Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo.

Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo.

Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume *(urethra)* na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini.. ?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..

Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi Dume.

✅ Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

✅ Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

✅ Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

✅ Unene uliokithiri

✅ Ukosefu wa mazoezi

✅ Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

✅ Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

Baadhi ya dalili zake ni zipi?

✅ Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.

✅ Kwenda kukojoa mara kwa mara.

✅ Damu ndani ya mkojo.
Kushindwa kukojoa.

✅ Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.

✅ Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.

✅ Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.

✅ Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

UCHUNGUZI:

Wanaume wote wanapaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50.

Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.

Uchunguzi unafanyika kwa njia zifuatazo:

✅ Uchunguzi kwa cancer marker kwa kuchunguza damu (PSA).

✅ Uchunguzi kwa njia ya kipimo cha njia ya haja kubwa (DRE)

Jinsi ya kutibu saratani ya tezi dume hutegemea na aina ya Tez dume:

✅ Ngazi na ukali wa ugonjwa.

Je, ugonjwa upo ndani ya tezi dume tu au umesambaa.

✅ Umri na afya ya mgonjwa.

✅ Magonjwa ambatanishi na saratani hiyo, shinikizo la damu, matatizo ya moyo na kisukari.

- KWA USHAURI NA TIBA -
Usisite kuwasiliana nasi

0695 255 232

+255695255232

Karibu Tukuhudumie -  kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA
02/03/2024

Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

+255695255232

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Salama posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram