Afya Salama

Afya Salama Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

+255695255232

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜 - 𝗧𝗢𝗞𝗢𝗠𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴:Mishipa ya varico...
17/03/2024

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜 - 𝗧𝗢𝗞𝗢𝗠𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴:

Mishipa ya varicose, au varicosities veins.

Ni mishipa ya damu iliyovimba na kupinda pinda kwa Kawaida mishipa hii hutokea au kukaa kwenye miguu na wakati mwingine mishipa ya varicose huunda katika sehemu nyingine za mwili tofauti na miguuni k**a vile Vifundoni ikiwa na rangi ya Blue, Zambarau au nyekundu.

Vipuli hivi vya bluu au zambarau kawaida huonekana kwenye miguu, na vifundo vyako.
Inaweza kuambatana na maumivu au kuwasha.

𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐈𝐍𝐀𝐙𝐎 𝐖𝐄𝐙𝐀 𝐂𝐇𝐎𝐂𝐇𝐄𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐕𝐀𝐑𝐈𝐂𝐎𝐒𝐄 𝐕𝐄𝐈𝐍𝐒!.

Mtu yeyote anaweza kupata mishipa ya varicose. Sababu fulani huongeza uwezekano wako wa kupata mishipa ya varicose, ikiwa ni pamoja na:

[ 1 ] Umri: Kwa sababu ya mchakato wa kuzeeka, kuta za mshipa na vali hazifanyi kazi vizuri k**a zilivyofanya hapo awali. Mishipa hupoteza elasticity ya kuimarisha mishipa iyo.

[ 2 ] Jinsia: Homoni za k**e zinaweza kuruhusu kuta za mishipa ya miguuni kuanza kuonyesha varicose.

Watu ambao ni wajawazito, wanaotumia kidonge cha kudhibiti uzazi au kutumia njia za uzazi wa mpango au wanaopitia kipindi cha kukoma kwa hedhi wana hatari kubwa ya kupata mishipa ya varicose kwa sababu ya mabadiliko ya viwango vya homoni.

[ 3 ] Kujifungua kwa Oparesheni

[ 4 ] Kutumia njia za uzazi wa mpango

[ 5 ] Unene au mwili mkubwa

[ 6 ] Kuwa na damu nyingi

[ 7 ] Kuwa na damu Ya kuganda au nzito

[ 8 ] Kukoma kwa hedhi

[ 9 ] Historia ya Familia: Hali hii inaweza kurithiwa (huendeshwa katika familia) Genitics Factors.

[ 10 ] Mtindo wa maisha: Kusimama au kukaa kwa muda mrefu hupunguza mzunguko wa damu. Kuvaa nguo zinazobana, k**a vile mikanda au suruali yenye mikanda ya kiunoni kunaweza kupunguza mtiririko wa damu.

[ 11 ] Afya kwa ujumla: Hali fulani za kiafya, k**a vile kuvimbiwa sana au uvimbe fulani, huongeza shinikizo la damu kwenye mishipa.

[ 12 ] Matumizi ya tumbaku: Watu wanaotumia bidhaa za tumbaku wana uwezekano mkubwa wa kupata VARICOSE VEIN.

[ 13 ] Uzito: Uzito wa ziada huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu.

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗧𝗢𝗞𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗬𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗜𝗦𝗜𝗣𝗢 𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗠𝗔:

[ 1 ] Maumivu ya mara kwa mara ya miguu na misuri kukaza

[ 2 ] Saratani au Kansa ya kudumu

[ 3 ] Hupelekea kushindwa kutembea kabisa pindi ugonjwa huu usipo tibiwa mapema.

𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗨𝗢𝗡𝗔 𝗗𝗔𝗞𝗧𝗔𝗥𝗜 𝗛𝗨𝗧𝗢𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗕𝗨𝗥𝗘.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga simu au WhatsApp

0695 255 232

+255695255232

Thamani ya Dozi TZS 86, 000/=

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER :

𝐊𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐓𝐮𝐤𝐮𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐢𝐞 - 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐳𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐭𝐨𝐚 𝐔𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈 𝐍𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀.

SARATANI YA TEZI DUMETezi dume ni nini?      Tezi dumeNi tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya ku...
02/03/2024

SARATANI YA TEZI DUME

Tezi dume ni nini?

Tezi dume
Ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume.

Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo.

Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo.

Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume *(urethra)* na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini.. ?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..

Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi Dume.

✅ Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

✅ Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

✅ Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

✅ Unene uliokithiri

✅ Ukosefu wa mazoezi

✅ Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

✅ Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

Baadhi ya dalili zake ni zipi?

✅ Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.

✅ Kwenda kukojoa mara kwa mara.

✅ Damu ndani ya mkojo.
Kushindwa kukojoa.

✅ Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.

✅ Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.

✅ Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.

✅ Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

UCHUNGUZI:

Wanaume wote wanapaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50.

Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.

Uchunguzi unafanyika kwa njia zifuatazo:

✅ Uchunguzi kwa cancer marker kwa kuchunguza damu (PSA).

✅ Uchunguzi kwa njia ya kipimo cha njia ya haja kubwa (DRE)

Jinsi ya kutibu saratani ya tezi dume hutegemea na aina ya Tez dume:

✅ Ngazi na ukali wa ugonjwa.

Je, ugonjwa upo ndani ya tezi dume tu au umesambaa.

✅ Umri na afya ya mgonjwa.

✅ Magonjwa ambatanishi na saratani hiyo, shinikizo la damu, matatizo ya moyo na kisukari.

- KWA USHAURI NA TIBA -
Usisite kuwasiliana nasi

0695 255 232

+255695255232

Karibu Tukuhudumie -  kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA
02/03/2024

Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

Karibu Tukuhudumie - kwa changamoto za afya tunatoa USHAURI NA TIBA

+255695255232

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Salama posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram