
17/03/2024
𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜 - 𝗧𝗢𝗞𝗢𝗠𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟴:
Mishipa ya varicose, au varicosities veins.
Ni mishipa ya damu iliyovimba na kupinda pinda kwa Kawaida mishipa hii hutokea au kukaa kwenye miguu na wakati mwingine mishipa ya varicose huunda katika sehemu nyingine za mwili tofauti na miguuni k**a vile Vifundoni ikiwa na rangi ya Blue, Zambarau au nyekundu.
Vipuli hivi vya bluu au zambarau kawaida huonekana kwenye miguu, na vifundo vyako.
Inaweza kuambatana na maumivu au kuwasha.
𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐈𝐍𝐀𝐙𝐎 𝐖𝐄𝐙𝐀 𝐂𝐇𝐎𝐂𝐇𝐄𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐕𝐀𝐑𝐈𝐂𝐎𝐒𝐄 𝐕𝐄𝐈𝐍𝐒!.
Mtu yeyote anaweza kupata mishipa ya varicose. Sababu fulani huongeza uwezekano wako wa kupata mishipa ya varicose, ikiwa ni pamoja na:
[ 1 ] Umri: Kwa sababu ya mchakato wa kuzeeka, kuta za mshipa na vali hazifanyi kazi vizuri k**a zilivyofanya hapo awali. Mishipa hupoteza elasticity ya kuimarisha mishipa iyo.
[ 2 ] Jinsia: Homoni za k**e zinaweza kuruhusu kuta za mishipa ya miguuni kuanza kuonyesha varicose.
Watu ambao ni wajawazito, wanaotumia kidonge cha kudhibiti uzazi au kutumia njia za uzazi wa mpango au wanaopitia kipindi cha kukoma kwa hedhi wana hatari kubwa ya kupata mishipa ya varicose kwa sababu ya mabadiliko ya viwango vya homoni.
[ 3 ] Kujifungua kwa Oparesheni
[ 4 ] Kutumia njia za uzazi wa mpango
[ 5 ] Unene au mwili mkubwa
[ 6 ] Kuwa na damu nyingi
[ 7 ] Kuwa na damu Ya kuganda au nzito
[ 8 ] Kukoma kwa hedhi
[ 9 ] Historia ya Familia: Hali hii inaweza kurithiwa (huendeshwa katika familia) Genitics Factors.
[ 10 ] Mtindo wa maisha: Kusimama au kukaa kwa muda mrefu hupunguza mzunguko wa damu. Kuvaa nguo zinazobana, k**a vile mikanda au suruali yenye mikanda ya kiunoni kunaweza kupunguza mtiririko wa damu.
[ 11 ] Afya kwa ujumla: Hali fulani za kiafya, k**a vile kuvimbiwa sana au uvimbe fulani, huongeza shinikizo la damu kwenye mishipa.
[ 12 ] Matumizi ya tumbaku: Watu wanaotumia bidhaa za tumbaku wana uwezekano mkubwa wa kupata VARICOSE VEIN.
[ 13 ] Uzito: Uzito wa ziada huweka shinikizo kwenye mishipa ya damu.
𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗧𝗢𝗞𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗬𝗔 𝗩𝗔𝗥𝗜𝗖𝗢𝗦𝗘 𝗩𝗘𝗜𝗡𝗦 𝗜𝗦𝗜𝗣𝗢 𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗠𝗔:
[ 1 ] Maumivu ya mara kwa mara ya miguu na misuri kukaza
[ 2 ] Saratani au Kansa ya kudumu
[ 3 ] Hupelekea kushindwa kutembea kabisa pindi ugonjwa huu usipo tibiwa mapema.
𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗨𝗢𝗡𝗔 𝗗𝗔𝗞𝗧𝗔𝗥𝗜 𝗛𝗨𝗧𝗢𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗕𝗨𝗥𝗘.
Kwa mawasiliano zaidi na huduma usisite kuwasiliana nasi kwa kupiga simu au WhatsApp
0695 255 232
+255695255232
Thamani ya Dozi TZS 86, 000/=
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER :
𝐊𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐓𝐮𝐤𝐮𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐢𝐞 - 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐳𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐭𝐨𝐚 𝐔𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈 𝐍𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀.