Afya yako

Afya yako tunatoa huduma za afya

Your *normal* day is someone’s dream ,so be thankful
10/01/2025

Your *normal* day is someone’s dream ,so be thankful

Kisukari ni hali ya kiafya inayotokea pale ambapo mwili hauwezi kudhibiti kiwango cha sukari (glucose) kwenye damu ipasa...
10/12/2024

Kisukari ni hali ya kiafya inayotokea pale ambapo mwili hauwezi kudhibiti kiwango cha sukari (glucose) kwenye damu ipasavyo. Hali hii hutokea kwa sababu ya upungufu wa insulini au mwili kushindwa kutumia insulini vizuri. Kisukari kimegawanyika katika aina kuu tatu:

1.Kisukari Aina ya kwanza

2.Kisukari Aina ya pili

3.Kisukari cha Mimba (Gestational Diabetes)

Dalili za Kisukari
- Kiu kali na kukauka midomo.
- Kukojoa mara kwa mara.
- Uchovu sugu Au Uchovu usio isha
- Kupungua uzito bila sababu.
- Vidonda vinavyochelewa kupona.
- Kupungua kwa uwezo wa kuona.



Kwa ushauri na matibabu piga 0692202979

Kukosa hedhi, kwa kitaalam huitwa AMENORRHEA kunaweza kuwa na madhara na athari mbalimbali kwa afya ya mwanamke, kutegem...
10/12/2024

Kukosa hedhi, kwa kitaalam huitwa AMENORRHEA kunaweza kuwa na madhara na athari mbalimbali kwa afya ya mwanamke, kutegemeana na kunaweza kuwa na madhara, Hapa kuna baadhi ya madhara ya kukosa hedhi:

1.Hatari kwa afya ya mifupa
- Kukosa hedhi kunaweza kuashiria viwango vya chini vya homoni ya ESTROGENI, ambayo ni muhimu kwa afya ya mifupa. Hii inaweza kusababisha hali k**a OSTEOPOROSIS au mifupa laini, ambayo huongeza hatari ya kuvunjika mifupa.

2.Matatizo ya uzazi
- Kukosa hedhi mara nyingi ni dalili ya matatizo ya mfumo wa uzazi, k**a vile ugonjwa wa ovari zilizoganda (PCOS) au matatizo ya homoni. Hali hizi zinaweza kusababisha ugumu wa kushika mimba.

3.Hatari ya magonjwa ya moyo
- Viwango vya chini vya estrogen vinavyohusiana na kukosa hedhi vinaweza kuongeza hatari ya magonjwa ya moyo na mishipa ya damu.

4.Mabadiliko ya kihisia na akili
- Kukosa hedhi, hasa kunakosababishwa na matatizo ya homoni, kunaweza kusababisha unyogovu, wasiwasi, au mabadiliko ya hisia.

5.Dalili za homoni zisizo sawa
- Unaweza kupata dalili k**a vile ngozi kavu, nywele kupungua, chunusi, au kuongezeka uzito isivyo kawaida.

7.Hatari ya saratani ya mfuko wa uzazi
- Ikiwa hedhi hukosekana kwa muda mrefu bila sababu maalum, kunaweza kuwa na hatari ya kuongezeka kwa saratani ya endometriamu (mfuko wa uzazi).

USISAHAU: Kukosa hedhi sio ugonjwa peke yake, bali ni dalili ya jambo jingine ambalo linaweza kuhitaji matibabu.

Je una changamoto ya mifupa na maungio na umekosa suluhisho Wahi sasa kwa ushauri na matibabu Tunapatikana dar es salaam...
10/12/2024

Je una changamoto ya mifupa na maungio na umekosa suluhisho

Wahi sasa kwa ushauri na matibabu

Tunapatikana dar es salaam kimara stopover

0692202979

Happy independence day      #0692202979
09/12/2024

Happy independence day

#0692202979

Good morning 🌅       #0692202979
03/12/2024

Good morning 🌅

#0692202979

Tunaendelea na huduma za kiafya hapa kimara stopover Nyote mnakaribishwa kwa ushauri na matibabu 0692202979       #06922...
28/11/2024

Tunaendelea na huduma za kiafya hapa kimara stopover

Nyote mnakaribishwa kwa ushauri na matibabu 0692202979

#0692202979

GOD IS GOOD      #0692202979
27/11/2024

GOD IS GOOD


#0692202979

Y
21/11/2024

Y

Watu wengi wamepoteza maisha kwa kuambiwa rudi baada ya miezi kadhaa Aza matibabu sahihi mapema  USHAURI na matibabu 069...
13/11/2024

Watu wengi wamepoteza maisha kwa kuambiwa rudi baada ya miezi kadhaa Aza matibabu sahihi mapema USHAURI na matibabu 0692202979

Happy sabbath
02/11/2024

Happy sabbath

Je Uko Tayari!?
31/10/2024

Je Uko Tayari!?

Address

Kimara
Dar Es Salaam
312

Telephone

+255692202979

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram