SBS Polycinic

SBS  Polycinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from SBS Polycinic, Medical and health, Gerezan, Dar es Salaam.

TATIZO LA MWANAMKE KUBLEED  KWA MDA MREFU.Tatizo hili la Mwanamke kubleed kwa muda mrefu limekuwa likiwasumbua wanawake ...
03/04/2024

TATIZO LA MWANAMKE KUBLEED KWA MDA MREFU.
Tatizo hili la Mwanamke kubleed kwa muda mrefu limekuwa likiwasumbua wanawake wengi sana kwa hivi sasa na huku wengine mbali na kubleed muda mrefu pia wanapata matatizo mengine k**a vile;
Kupata maumivu makali ya tumbo
mzunguko mzima wa hedhi kutokueleweka kabsa. Mfano; mara apitishe miezi miwili bila kuona siku zake, mara aone mara mbili ndani ya mwezi Mmoja N.k
Ni Muda gani tunasema Mwanamke ana tatizo la kubleed kwa muda mrefu
Tunasema mwanamke ana tatizo la kubleed kwa muda mrefu, hasa pale period inapotoka kwa zaidi ya Siku Saba Mfululizo. Hilo ni tatizo…
SABABU ZA MWANAMKE KUBLEED KWA MUDA MREFU NI PAMOJA NA;
1. Matumizi ya Njia mbali mbali za Uzazi wa mpango k**a Sindano au Vipandikizi, ambapo huchangia shida ya Mvurugiko wa Vichocheo vya mwili,ndipo mwanamke hupata matokeo mbali mbali k**a vile;
kwa Muda mrefu mfululizo,
period isiyoeleweka(Irregular menstrual period),
muda mrefu pasipo kuona siku zake, N.K
2. Tatizo la Damu kushindwa kuganda ambapo kwa kitaalam hujulikana k**a Coagulopathy,
Hali hii ya damu kushindwa kuganda husababisha damu kutoka Mfululizo bila kukata.
3. Kupatwa na shida ya Uvimbe ndani ya kizazi ambapo mbali na kupata dalili za kublid kwa Muda mrefu pia mwanamke huweza kupata bleed au kuona siku zake mara mbili ndani ya mwezi mmoja.
4. Mvurugiko wa vichocheo vya mwili ambao huchangiwa na Sababu mbali mbali k**a vile;
ya baadhi ya njia za uzazi mpango,
ya baadhi ya Dawa ambazo huhusisha kurekebisha vichocheo vya mwili au Hormones,N.K.
Shida hii ya Mwanamke kubleed kwa muda mrefu inatibika kabisa k**a ukipata tiba sahihi.
Je! Wewe ni muhanga wa TATIZO HILI???
Call/Whatsap no, 0658169506

KITUO CHA AFYA - Gcat health care internationaltuna madktari waliobobea na vifaa vya kisasa tunatoa huduma ya vipimo kwa...
26/03/2024

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
tuna madktari waliobobea na vifaa vya kisasa tunatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.20,000tu
Pia tunatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari
✅VVU
Tupo Dar es salaam, Mwanza,Arusha,Dodoma, Mbeya,tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba za simu:
0658169506

26/03/2024
SABABU 3 ZA TUMBO KUSHINDWA KURUDI BAADA YA KUJIFUNGUA . 🥼Leo wacha niwapumzishe na masomo yaa PID 😂 nigusie kidogo hili...
26/03/2024

SABABU 3 ZA TUMBO KUSHINDWA KURUDI BAADA YA KUJIFUNGUA . 🥼Leo wacha niwapumzishe na masomo yaa PID 😂 nigusie kidogo hili swala la Wakinamama wengi baada ya kujifungua huwa tumbo linashimdwa kurudi katika Hali yake ya kawaida. Kwa mantic hio Sasa nimekuwa nikipokea hi case kutoka kwa wateja wangu baada ya kuniletea vijomba vyangu kwamba baada ya kujifungua tumbo Linakuwa kubwa na linatepeta na wengine kugawanyika (Abdominal Separation) . NAKUPA SABABU 3 KUBWA ZA KWANINI INAKUWA IVO 🌱Sababu kubwa inayopeleka tumbo kutokurudi katika Hali ya kawaida na kuwa Flat ni Kutanuka na kulegea kwa misuli ya Tumbo na Ongezeko la Mafuta tumboni kwa Kasi sana. 🌱Tumbo likiwa na mafuta mengi yaani Belly Fatas na misuli inapolegea husababisha kitambi kuongezeka. 🌱Hata hivo kwa experience yangu nawakumbusha wakinamama waliojifungua wanashauriwa pia kuwa na Juhudi ya kunyonyesha mtoto kwasabababu Kuna uhusiano wa Moja kwa moja Kati ya kunyonyesha na mafuta kuchomwa kwa Kasi Tumboni. 🥼Sasa wapendwa wangu ili kukata kitambi na kurudisha tumbo katika Hali yake ya kawaida NIMEKUANDALIA PACKAGE special ya Virutubisho ambavyo vinaondoa mafuta tumboni na kukaza misuli ya Tumbo. 🥼 Package hii hata mama anayenyonyesha anatumia bila madhara yoyote kiafya na inakata kitambi kwa urahisi Sana. 🥼Ili kupata package hii nipigie tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Simu namba 0658169506

Tibu uvimbe bila Upasuaji 💧  ( / )👇👇👇👇♦️Kupata Hedhi Ya  (Heavy Period)♦️Hedhi Ya Mda Mrefu♦️Maumivu Ya  ♦️Maumivu Wakat...
11/03/2024

Tibu uvimbe bila Upasuaji 💧 ( / )
👇👇👇👇
♦️Kupata Hedhi Ya (Heavy Period)
♦️Hedhi Ya Mda Mrefu
♦️Maumivu Ya
♦️Maumivu Wakati Wa Mapenzi
♦️Maumivu Makali Ya Tumbo Hasa Upande Wa Uliopo Uvimbe
♦️Hedhi Isiyo Na
♦️Kutokwa Damu Ukeni Isiyo Husiana Na Hedhi

💧 ( )
✨Sababu Dalili Za Bado Hazieleweki,Ila Wataalamu Wa Wameainisha Baadhi Ya Sababu Kuwa Ni Pamoja Na...
♦️Sababu Za (Kurithi)
♦️Mabadililiko Ya
♦️Mazingira Hasa Vyakula
♦️Kuchelewa Kupata Kuzaa
♦️Kuanza Period Katika Umri Mdogo(Chini ya Miaka 10)

💧 ??
👇👇👇👇
♦️Mimba Kuharibika(Miscarriages)
♦️Ugumba
♦️Kukosa Choo(Constipation)
♦️Maumivu Wakati Wa Mapenzi
♦️Upungufu Wa Damu(Anemia)
♦️Kansa Ya Kizazi

💧
👇👇👇👇
✨Ni Muhimu Sana Kujua Namna Ya Kula Kwa Kufuata Mfumo Wa Asili Wa Mwili Na ii Itakupa Nafasi Ya Kujiking Na Maradhi Mengi Ikiwemo Uvimbe
✨Uvimbe Unatabia Ya Kujirudia Mara Baada Ya Kufanyiwa Upasuaji,Lakini Habari Njema Nikua sasa unatibika.
Tutakufanyia vipimo na kujua chanzoncha tatizo lako Kisha tutakupatia tiba sahihi

Utapona ndani ya siku 40 Hadi 60
✨ +255658169506

SABABU ZINAZOWEZA PELEKEA MWANAMKE KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NA KUSABABIDHA UCHELEWE KUNASA UJAUZITO Sababu kuchelewa k...
06/03/2024

SABABU ZINAZOWEZA PELEKEA MWANAMKE KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NA KUSABABIDHA UCHELEWE KUNASA UJAUZITO Sababu kuchelewa kunasa mimba kwa wakati 🌷Kuwa na Uvimbe ambao umeota kwenye mirija ya uzazi 🌷Kuwa na Ugonjwa wa maambukizi ya kizazi na Nyonga. 🌷 Kuwa na historia ya mimba kutunga nje ya kizazi. 🌷 Magonjwa ya zinaa na upasuaji wa tumbo au uvimbe kwenye ukuta wa uzazi. 🌷 Kuwa na maambukizi kwenye mirija yaliyo sababishwa na utoaji wa mimba, kupasuka kwa kidole tumbo. 🌷Uzazi wa mpango (Lupu/Kitanzi 🌱 Ajari iliyo husisha Tumbo. 🌱Mirija kujaa maji. Kwa ushauri na msaada zaidi wasiliana nami nipigie tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako Call me/whtsap ☎📞 0658169506 Polycinic

🛑BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI▶️kuwashwa sehemu za siri▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa▶️Kuhisi kuwaka moto ...
06/03/2024

🛑BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI

▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

⚠️Kama una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

🔴Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
🔴Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

🔴Kwa ushauri au kapata huduma zetu wasiliana nami kwa simu namba 0658169506

Address

Gerezan
Dar Es Salaam

Telephone

+255658169506

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SBS Polycinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram