Dr Hance

Dr Hance tunatoa huduma za afya

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—”  ๐— ๐—œ๐—™๐—จ๐—ฃ๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—ข๐—ฆ๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—ฌ๐—”ยฐ ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ก๐—š๐—”ยฐ ๐—ž๐—œ๐—จ๐—ก๐—ขยฐ ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—š๐—ข ๐—ก๐—” ยฐ ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข (๐—๐—ข๐—œ๐—ก๐—ง๐—ฆ)๐Œ๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ: ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ...
03/01/2025

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—œ๐—™๐—จ๐—ฃ๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—ข๐—ฆ๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—ฌ๐—”
ยฐ ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ก๐—š๐—”
ยฐ ๐—ž๐—œ๐—จ๐—ก๐—ข
ยฐ ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—š๐—ข ๐—ก๐—”
ยฐ ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข (๐—๐—ข๐—œ๐—ก๐—ง๐—ฆ)

๐Œ๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ:

๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข๐—ฃ๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ž๐—˜๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐—จ๐—ก๐—ข ๐—ก๐—” ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ก๐—š๐—” (๐— ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐—ท๐˜‚๐—บ๐—น๐—ฎ) ๐Ÿ‘‡
โœ๏ธ Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
โœ๏ธ Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
โœ๏ธ Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
โœ๏ธ Mawazo (stress).
โœ๏ธ Kulala kwa muda mrefu
โœ๏ธ Matumizi mabaya ya mto.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—›๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—”๐— ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—™๐—จ๐—”๐—ง๐—”๐—ฌ๐—ข ๐Ÿ‘‡
โ˜˜๏ธ Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
โ˜˜๏ธ Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
โ˜˜๏ธ Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
โ˜˜๏ธ Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
โ˜˜๏ธ Inaweza kusababisha mtu kupata Kansa ya Mifupa na kusababisha kifo k**a Tatizo halijaondolewa mapema.

Wasiliana Nasi Kupitia ๐Ÿ‘‡
+25512782282

IJUE TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI  Tezi dume ni moja ya tezi ya uzazi ya kiume ambayo kil...
31/12/2024

IJUE TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI

Tezi dume ni moja ya tezi ya uzazi ya kiume ambayo kila mwanaume anayo, tezi hii lipo chini ya kibofu cha mkojo na inazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

*NOTE:Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nayo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au Saratani.*

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
โ€ขMaambukizi ya Bakteria (Prostatitis).

โ€ขKukua kwa tezi dume ambayo sio Saratani (Benign Prostatic
Hypertrophy-BPH).

โ€ขSaratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME

โ€ขKutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

SARATANI YA TEZI DUME

Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani.

Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 40 na kuendelea.

VISABABISHI VYA SARATANI YA TEZI DUME

Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;

1.Umri, Wanaume wenye umri kuanzia
miaka 40 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.

2.Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.

3.Historia ya tatizo hili kwenye familia

4.Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume Isiyokuwa Saratani
Dalili hizo ni pamoja na;

1.Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.

2.Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa

3.Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.

4.Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.

5.Kutoa mkojo au manii
yaliyochanganyika na damu.

6.Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a Saratani imesambaa.

7.Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.
*TIBA YA UVIMBE TEZI DUME NJIA YA ASILI BILA UPASUAJI :
Kwa tiba na Ushauri wasiliana nasi 0712782282

HOMA YA INI (HEPATITIS)(UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI )HOMA YA INI NI NINI?Homa ya Ini ni maradhi ya ini yanayoambatana n...
20/12/2024

HOMA YA INI (HEPATITIS)
(UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI )
HOMA YA INI NI NINI?

Homa ya Ini ni maradhi ya ini yanayoambatana na ini kuvimba. Ikumbukwe kuwa INI ni ogani muhimu sana mwilini, hutoa mchango mkubwa sana katika mmeng'enyo wa chakula na uondoshaji wa sumu au taka mwilini. Hivyo INI haliwezi likashambuliwa mtu akabaki mwenye afya njema.
HOMA YA INI HUSABABISHWA NA NINI?
Homa ya Ini kwa sehemu kubwa husababishwa na kirusi (hepatitis virus). Kunywa pombe kupindukia kunaweza kupelekea aina fulani ya Homa ya Ini.

AINA ZA HOMA YA INI
Kuna aina mbalimbali za Homa ya Ini, inategemea homa yenyewe imesababishwa na nini. Kuna Hepatitis A, Hepatitis B, Hepatitis C, Hepatitis D, Hepatitis E na Homa ya Ini inayosababishwa na pombe ama hitilafu katika mfumo wa kinga ya mwili.
HEPATITIS B ndiyo homa hatari zaidi na ndiyo inayoshambulia watu wengi duniani.

INAAMBUKIZWAJE?
Hepatitis B huambukizwa kupitia damu, kwa mfano kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (tumboni). Damu ya mtu mwenye Hepatitis B (mfano mgonjwa anayefanyiwa upasuaji) ikitua kwenye jeraha la mtu asiye na homa (mfano muuguzi au daktari) kunaweza kukatokea maambukizi. Wakati mwingine homa hii inaweza kuenea kupitia tendo la ndoa k**a vile HIV kirusi kinachosababisha UKIMWI. Kushiriki matumizi ya vifaa vyenye ncha kali kunaweza pia kueneza homa ya ini.

DALILI ZA HOMA YA INI
-maumivu ya misuli na maungio (joint)
-homa kali kufikia nyuzi joto 38 (C)
-kuuguaugua na kutojisikia vizuri
-uchovu usio na kikomo
-kupoteza hamu ya kula
-maumivu ya tumbo
-mkojo kubadilika na kuwa mweusi
-kupata choo chenye rangi ya kijivu
-maumivu/miwasho ya ngozi
-homa ya manjano (macho na ngozi kupata rangi ya njano)
-kupata choo chenye damu na kutapika damu
-kuvimba miguu

ATHARI ZA HOMA YA INI
-ini kudhoofika
-ini kufeli
-saratani ya ini
-kifo

Kwa tiba na Ushauri wasiliana nasi Kwa namba
0712782282

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}**BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya...
04/12/2024

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*

โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*CHANZO CHA BAWASIRI**

โž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva

โž– Tatizo sugu la kuharisha

โž– Ujauzito

โž– Uzito wa mwili kupita kiasi

โž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)

โž– Kupata haja kubwa ngumu

โž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni

โž– Kunywa pombe

โž– Kula sana nyama nyekundu

โž– Vidonda vya tumbo

โž– Ngiri(Chango/Hernia

โž– Kula sana pilipili

โž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI**

โž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

โž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa

โž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

โž– Kupata kinyesi chenye damu

โž– Kupata maumivu makali wakati wa

kujisaidia haja kubwa

โž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa

โž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa

โž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda

โž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)



*MADHARA YA BAWASIRI*

โž– Upungufu wa damu mwilini

โž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

โž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

โž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)

โž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu

โž– Kupata tatizo la kisaikolojia Kutopata ujauzito

โž– Mimba kuharibika

Tunatoa Tiba Kwa Kutumia Bidhaa Za Virutubisho lishe visivyo na Kemikali vyenye Uwezo wa kuondoa Bawasili bila Upasuajii

0712782282

Follow Dr Hance

SEHEMU 2:Maana ya Ugonjwa wa Figo Ugonjwa wa figo, unajulikana kitaalamu k**a nephropathy. Ugonjwa wa figo kwa kawaida h...
02/12/2024

SEHEMU 2:Maana ya Ugonjwa wa Figo

Ugonjwa wa figo, unajulikana kitaalamu k**a nephropathy.

Ugonjwa wa figo kwa kawaida husababisha upotevu wa utendaji wa figo kwa kiwango fulani au unaweza kusababisha figo kushindwa kufanya kazi kabisa.

Figo kushindwa kufanya kazi zake vizuri husababisha mrundikano wa taka na maji maji mwilini.

Ugonjwa wa figo umegawanywa katika hatua (stages) tano kulingana na kiasi cha uharibifu wa figo na jinsi figo zinavyofanya kazi.

Pia ugonjwa wa figo umegawanywa katika makundi mawili

1. Acute kidney disease ( Ugonjwa wa figo wa ghafla).
2. Chronic kidney disease.( Ugonjwa Sugu wa figo).

Ugonjwa wa ghafla wa figo (Acute kidney disease ) na ugonjwa sugu wa figo ( Chronic kidney disease ) hutofautiana katika jinsi utendaji wa figo unavyopungua haraka, sababu zake, dalili na matibabu:

Kitendo cha figo kushindwa kufanya kazi zake ghafla au kwa haraka huitwa Acute kidney failure.
Kwa kawaida hutokana na matukio k**a vile upungufu wa maji mwilini, kupoteza damu au kuziba kwa njia ya mkojo.

Kitendo cha figo kupoteza uwezo wake wa kufanya kazi taratibu hujulikana k**a Chronic kidney disease.
kwa kawaida husababishwa na matatizo ya muda mrefu k**a vile kisukari(diabetes) au shinikizo la damu( blood pressure).

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—ง๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข๐Ÿ‘‡Tuna furaha kubwa kutangaza kuwa bidhaa za afya kwa watoto sasa zinapatikana Tanzania nzima! ๐ŸŒŸ ...
29/11/2024

๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—ง๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ช๐—”๐—ž๐—ข๐Ÿ‘‡
Tuna furaha kubwa kutangaza kuwa bidhaa za afya kwa watoto sasa zinapatikana Tanzania nzima! ๐ŸŒŸ Hii ni hatua kubwa katika kuhakikisha watoto wetu wanapata afya bora na ukuaji wa uhakika.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—จ๐—–๐—›๐—”๐—š๐—จ๐—˜ ๐—•๐—œ๐——๐—›๐—”๐—” ๐—ญ๐—˜๐—ง๐—จ?
โœ… Zenye ubora wa hali ya juu
โœ… Salama kwa watoto wa rika zote
โœ… Zimeidhinishwa na wataalam wa afya kupitia Mamlaka mbalimbali kimataifa
โœ… Zimebuniwa kwa ajili ya ukuaji na kinga bora ya mwili
โœ… Hazina Madhara na zimetengenezwa na Viambata Asilia 100%

Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima Au wasiliana nasi moja kwa moja kwa maelezo zaidi. Karibu tuwajali watoto wetu pamoja!

๐Ÿ“ž Kwa mawasiliano: Whatsapp+255712782282
FM FM

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE.         Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamil...
27/10/2024

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE.

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha vizuri uume.

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

1) Kuwahi kufika kileleni
2) Kukosa hamu ya tendo la ndoa
3) Kushindwa kurudia tendo la ndoa zaid ya mara moja.
4) Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
5) Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;
6) Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7) Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
8) Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
MADHARA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Migogoro katika mahusiano
2)Msongo wa mawazo
3)kushindwa kujiamini kwa mwanaume
4)Matatizo ya uzazi

TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME INAPATIKANA.

KWA MAHITAJI
Tupigie/WhatsApp 0712782282

17/09/2024

Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi Kwa namba 0712782282

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini  .. Aina ya magonjwa...
16/09/2024

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini ..

Aina ya magonjwa ya ngozi huwashambulia watu wengi wanaposhindwa kubaini chanzo cha tatizo
tujipende ni muhimu kubaini chanzo cha tatizo kisha suluhisho la kudumu.

Usipuuze dalili, karibu WhatsApp kupata usaidizi. 0712782282

07/09/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Da Chii, Adam Mwalim

Address

Kimara

129

Telephone

+255712782282

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Hance posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Hance:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram