17/08/2024
PONYA NA UIMARISHE FIGO ZAKO
Figo ni chujio lenye muunganiko wa mamilioni ya vichujio vingi vidogo vidogo. Matatizo na magonjwa huanza pale figo zinaposhindwa kuchuja. Ukisafisha chujio zote za figo, magonjwa na matatizo yote yanaondoka mwilini mwako.
Ugonjwa wa figo ni biashara kubwa sana duniani, usitegemee tangazo kutoka kwenye vyombo husika kuhusu dawa ya kuponya figo.
SULUHISHO LA KUDUMU
Kwa yeyote yule mwenye matatizo ya figo na magonjwa mengine...tumekuandalia mpangilio wa vyakula (Meal Plan) na bidha za kukusaidia kuondokana na ugonjwa wa figo na maradhi mengine yaliyopo mwilini mwako. Bidha hizo ni mjumuiko wa mimea, vyakula na matunda, vyote kwa pamoja ni zaidi ya 78. Siyo chungu ni tamu, utamu wake umetokana na matunda.
Katika mpangilio wa vyakula, tumeorodhesha vyakula vyote unatakiwa kula kutokana na group lako la damu, kazi yako kubwa ni kwenda sokoni kuvinunua na kupika. Mungu aliuumba mwili wako na uwezo wa Kujikarabati, Kujiponya na Kujiimarisha. Unaumwa kwasababu uwezo huo umepungua. Unapona maradhi yote yaliyopo mwilini mwako kwa sababu uwezo huo umerejea. Uwezo huo unadhohofika au unarejea kutokana na vyakula, unavyokula kila siku.
Mpangilio wa vyakula ukiambatana na bidha hizo tulizotengeneza kwa kuzingatia ubora na usalama wa afya yako: zinaamsha na kurejesha uwezo wa mwili Kujikarabati, Kujiponya, Kujiimarisha na Kuondoa matatizo, maradhi na magonjwa yaliyopo mwilini mwako. Mwili wako unarejeshwa kwenye hali yake ya kawaida, na kuishi bila magonjwa. Inauwezesha mwili Kupunguza kasi ya Kuzeeka, Kufanya ngozi yako ionekane Safi, Maridadi na Changa zaidi. Unazeeka bila magonjwa. Unakaa kwenye utuuzima wako bila magonjwa, ukifurahia uumbaji wa Mungu.
Njia pekee sahihi ya kuondokana na magonjwa yote yasiyo ambukiza mwilini mwako, ni kula vyakula vinavyoendana na kundi lako la damu. Hiyo ndo tiba imara na suluhisho la kudumu dhidi ya magonjwa yote mwilini mwako.
LOCATION
Tunapatikana maeneo ya Mbezi Beach kwa Zena, karibu na Shoppers Plaza, Jengo letu ni Mbezi Beach Plaza, Ghorofa ya Pili. Kwa mawasiliano zaidi : 0686 766 154