Dr Cr Afya Kwanza

Dr Cr Afya Kwanza ●VIPIMO VYA KISASA.
●MATIBABU BORA.
●DAWA ASILIA.

24/03/2025

K**a unahitaji kuondokana na changamoto za uzazi hauna budi kufuata utaratibu sahihi wa matibabu kwa ajili ya kuhakikisha unakua na afya njema ya uzazi.

Changamoto za uzazi kwa wanawake na wanaume zinahitaji uangalizi na matibabu sahihi ili kuhakikisha afya ya uzazi inakua salama, bora na yenye afya wakati wote.

Mimi ni Dr.Andrew mtaalamu wa lishe na afya ninaesaidia wanawake na wanaume kuondokana na changamoto za uzazi zinazowakabili k**a vile;

✅ Mvurugiko wa siku za hedhi kwa wanawake.

✅ Uume kulegea na kukosa nguvu kwa wanaume.

✅ Uvimbe kwenye kizazi kwa wanawake.

✅ Kuwa na mbegu nyepesi zisizoweza kumpa mwanamke mimba kwa wanaume.

✅ P.I.D kwa wanawake.

✅ Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa wanawake na wanaume.

✅ Changamoto ya TEZI DUME.

✅ Maumivu makali wakati wa hedhi.

✅ UGUMBA.

✅ Uume kulegea na kushindwa kuendelea na tendo kwa wanaume.

✅ Maumivu kwenye korodani.

✅ Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.

Wasiliana na mimi zaidi hapa chini 👇👇0759294372
https://chat.whatsapp.com/DaGs9nqvvSw7GUHhdCONm2

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international tuna madktari waliobobea na vifaa vya kisasa tunatoa huduma ya vipimo kw...
16/03/2025

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
tuna madktari waliobobea na vifaa vya kisasa tunatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.30,000tu
Pia tunatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa
✅Presha
✅Sukari
✅VVU
Tupo Dar es salaam na mikoa yote
Wasiliana nasi kwa namba za cm 0683069946

KITUO CHA AFYA - Gcat health care internationalNi taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vif...
16/03/2025

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
Ni taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.30,000tu
Pia wanatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari
✅VVU
Tupo Dar es salaam, na mikoa mingine yote Tanzania tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba za simu:
0759294372

MIRIJA KUZIBAMirija ya mayai ni Mirija miwili myembamba inayokuwa katika tumbo la uzaz,mmoja upande wa kulia na mwingt u...
16/03/2025

MIRIJA KUZIBA
Mirija ya mayai ni Mirija miwili myembamba inayokuwa katika tumbo la uzaz,mmoja upande wa kulia na mwingt upande wa kushoto,ambayo ulisaidia yai lililopevuka liweze kusafiri kutoka katika mfuko wa yai mpaka kwenye kifuko cha uzaz...

Hivyo kitu chochote kinachojitokeza na kuzuia yai lisiweze kusafiri mpaka kufika kwenye kifuko cha uzaz (uterus)umfanya mwanamke awe na hali ya kuziba kwa mirija /mirija ya mayai.Tatzo hili lisipotibiwa mapema umfanya mwanat awe mgumba.

👇👇👇👇
SABABU ZA KUZIBA MIRIJA

👉 Maambikizi ya Magonjwa ya zinaa/k**a vile kisonono/kaswende na pangusa(chlamydia)

👉Utoaji mimba
👉 Magonjwa ya maambukizi k**a vile U.t.i
👉Utumiaji wa njia za uzaz wa mpango upelekea viuvimbe kwenye kizaz.
Inaweza kutokea sehemu za mirija na Kusababisha isibe.

DALILI ZA MIRIJA KUZIBA

👉Kutokwa uchafu wenye usaha ukeni
👉kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
👉Kubeba mimba nje ya kizaz
👉 Maumivu ya nyonga
👉 Maumivu ya kiuno hata tumbo la Chini
👉 Maumivu ya tumbo la chini upande wa kulia hama kushoto
👉Hedhi ya Kubadlika badlika

Kuziba kwa mirija usababisha mirija kuwa mikubwa na kujaa maji kwaiyo hayo maji ulizuia yai lisipate mbengu za kulirutubisha ivyo umfanya mwanamke asipate Mimba.

Vile vile kuziba kwa mirija kwaweza Kusababisha matatzo mengine k**a vile PID, Maumivu makali wakati wa hedhi hama wakati wa tendo la ndoa.

MADHARA YA KUZIBA MIRIJA

👉Mimba kutoka
👉Kutobeba ujauzito
👉Mimba kutunga nje ya kizaz
👉Tarehe/siku za hedhi kuvurugika
👉Kuharibika kwa mayai
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Kizaz kuharibika

K**a una changamoto hizo nipgie nikuhudumie

0759294372

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗘𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 (𝗔𝘁𝗵𝗲𝗿𝗼𝘀𝗰𝗹𝗲𝗿𝗼𝘀𝗶𝘀)👇𝟭. 𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗜𝗦𝗜𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗔𝗙𝗬𝗔:Kula vyakula vyenye mafuta mengi, sukari...
24/01/2025

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗘𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 (𝗔𝘁𝗵𝗲𝗿𝗼𝘀𝗰𝗹𝗲𝗿𝗼𝘀𝗶𝘀)👇
𝟭. 𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗜𝗦𝗜𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗔𝗙𝗬𝗔:
Kula vyakula vyenye mafuta mengi, sukari, na chumvi kunaweza kuongeza hatari ya moyo kujaa mafuta.

𝟮. 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗢𝗘𝗭𝗜:
Maisha yasiyo na shughuli za mwili yanaweza kuchangia kuongezeka kwa mafuta mwilini na kusababisha matatizo ya moyo.

𝟯. 𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗧𝗜𝗟𝗜𝗭𝗔 (𝗢𝗕𝗘𝗦𝗜𝗧𝗬):
Kuwa na uzito uliozidi au kunona kunaweza kuongeza shinikizo kwenye moyo na kusababisha kujaa kwa mafuta.

𝟰. 𝗨𝗩𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗚𝗔𝗥𝗔:
Sigara ina kemikali zinazoweza kusababisha madhara kwa mishipa ya damu na kuchangia kujaa kwa mafuta kwenye moyo.

𝟱. 𝗨𝗟𝗘𝗩𝗜:
Matumizi mabaya ya pombe yanaweza kuathiri afya ya moyo na kusababisha ongezeko la mafuta mwilini.

𝟲. 𝗦𝗛𝗜𝗡𝗜𝗞𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨:
Shinikizo la damu lililo juu linaweza kusababisha madhara kwa mishipa ya damu, likiwa ni mojawapo ya sababu za kujaa kwa mafuta kwenye moyo.

𝟳. 𝗨𝗥𝗜𝗧𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗙𝗔𝗠𝗜𝗟𝗜𝗔:
Historia ya familia yenye matatizo ya moyo inaweza kuongeza hatari ya kujaa kwa mafuta kwenye moyo.

𝟴. 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜:
Watu wenye ugonjwa wa kisukari wako katika hatari kubwa ya kujaa mafuta kwenye moyo.

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 (𝗔𝘁𝗵𝗲𝗿𝗼𝘀𝗰𝗹𝗲𝗿𝗼𝘀𝗶𝘀)👇
Madhara ya moyo kujaa mafuta, au atherosclerosis, ni pamoja na:

𝟭. 𝗞𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗧𝗜𝗥𝗜𝗥𝗜𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨: Mafuta na plaketi zinaweza kujenga ukuta ndani ya mishipa ya damu, ikipunguza mtiririko wa damu na kusababisha matatizo ya mzunguko.

𝟮. 𝗠𝗔𝗧𝗨𝗞𝗜𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢:
Mafuta yanaweza kusababisha kuziba kwa mishipa ya moyo, kusababisha matukio ya moyo k**a vile mshtuko wa moyo.

𝟯. 𝗠𝗔𝗧𝗨𝗞𝗜𝗢 𝗬𝗔 𝗨𝗕𝗢𝗡𝗚𝗢:
K**a mafuta yanavyoweza kusababisha kuziba kwa mishipa ya moyo, hivyo pia yanaweza kusababisha kuziba kwa mishipa ya ubongo, na hivyo kusababisha kiharusi.

𝟰. 𝗦𝗛𝗜𝗡𝗜𝗞𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨:
Atherosclerosis inaweza kusababisha shinikizo la damu kuongezeka, ikiongeza hatari ya matatizo ya moyo na figo.

𝟱. 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗙𝗨𝗔:
Upungufu wa mtiririko wa damu kwenye moyo unaweza kusababisha maumivu ya kifua (angina) au hata mshtuko wa moyo.

𝟲. 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢:
Kuziba kwa mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye figo kunaweza kusababisha matatizo ya figo.

𝟳. 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗚𝗨𝗨:
Upungufu wa mtiririko wa damu unaweza kusababisha matatizo ya miguu, ikiwa ni pamoja na maumivu ya miguu wakati wa kutembea.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima

Mungu akupe haja ya moyo wako wewe unayetafuta uzao. Hakutakua na tasa wala mwenye kuharibu mimba.! 🙏
01/11/2024

Mungu akupe haja ya moyo wako wewe unayetafuta uzao. Hakutakua na tasa wala mwenye kuharibu mimba.! 🙏

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international tuna madktari waliobobea na vifaa vya kisasa tunatoa huduma ya vipimo kw...
01/11/2024

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
tuna madktari waliobobea na vifaa vya kisasa tunatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.30,000tu
Pia tunatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa
✅Presha
✅Sukari
✅VVU
Tupo Dar es salaam na mikoa yote
Wasiliana nasi kwa namba za cm 0683069946

EPUKA KUTAZAMA VIDEO ZA NGONOSasa hivi technology imekua sana kila mtu anamiliki smart phone (simu janja) So kuangalia n...
01/11/2024

EPUKA KUTAZAMA VIDEO ZA NGONO

Sasa hivi technology imekua sana kila mtu anamiliki smart phone (simu janja) So kuangalia na kupata habari ni rahisi sana.Hizi video na picha za ngono ni rahisi kuzitazama kwa gharama kidogo sana hii inapelekea wengi kuathirika na utazamaji wa video hizo chafu
Wanawake na wanaume hili janga ni kubwa so epuka kutazama hizi video 🧯📵

Punyeto au Kujichua

Ni kitendo kinachowaingiza wengi katika shida kubwa sana bila wao kujua. Wanapokuja kush*tuka wanakuwa tayari wameshakuwa waraibu (addicted) na madhara makubwa wanakuwa wamepata.

Punyeto sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako huru kulizungumzia au kukili kuwa wakizidiwa huwa wanajisaidia kwa nyia hio

Wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja hasa k**a umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu

MADHARA YA KUJICHUA KWA WANAWAKE.

🌷Inaweza kupelekea mwanamke kutanuka uke au kulegea na nyama kujitokeza nje kuliko kawaida.

🌷Kukosa hisia au Utamu kabisa Wakati wa tendo la ndoa na hivyo hawezi kuridhishwa na mume wake na hata ukishiriki tendo la ndoa hupati raha k**a unayopata ukijichua hivyo utachukia wanaume.

🌷Unaweza kupata maambukizi kwenye Via vya uzazi PID maana unatia vidole huko na PID ikikomaa unaanza kutokwa na Uchafu

Mambo yote haya yanaweza kusababishwa na tabia hii. Kwa kuwa yamesababishwa na tabia mbaya basi yanaweza pia kwa sehemu kubwa kutatuliwa kwa tabia njema.

Wewe ni mwanamke unapitia changamoto hi njo dm tuongee nikushauri vizuri zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako K**a umeathirika zaidi kiasi Cha kuanza kuona kwamba hauko Normal kiafya

Call me/Whatsapp

☎️📞 0683069946

Mungu akupe haja ya moyo wako wewe unayetafuta uzao. Hakutakua na tasa wala mwenye kuharibu mimba.! 🙏 0683069946
01/11/2024

Mungu akupe haja ya moyo wako wewe unayetafuta uzao. Hakutakua na tasa wala mwenye kuharibu mimba.! 🙏 0683069946

JE UMESUMBUKA NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MUDA MREFU? GCAT HEALTH itakupatia huduma kwa punguzo la Gharama kwa asilimia 4...
29/10/2024

JE UMESUMBUKA NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MUDA MREFU?
GCAT HEALTH itakupatia huduma kwa punguzo la Gharama kwa asilimia 40% kwa kila huduma ikiwemo vipimo, matibabu pamoja na Dawa.

🌊 PID, UTI,hedhi
⏺️ Fangasi, Uvimbe
⏺️Ukavu ukeni
⏺️ Mimba kutoka
⏺️ Nguvu za kiume
⏺️Mirija ya uzazi no
⏺️ Saratani ya uzazi
⏺️ Kutoshika mimba
⏺️ Mvurugiko wa homoni
⏺️Hamu ya watoto kula
⏺️ Madhara ya punyeto
⏺️Kushindwa kuludia tendo la ndoa

Ofa hii ni mwezi huu tu!

Tunapatikana Dar es Salaam na mikoani. Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe au WhatsApp au Piga simu namba 0767520944 /0759294372

16/10/2024

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
Ni taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.30,000tu
Pia wanatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari
Tupo banana Dar es salaam, Mwanza,Arusha,Dodoma, Mbeya,tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba za simu: 0767520944
0759294372

Address

Majumba Sita
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Cr Afya Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share