22/04/2024
HABARI MPENDWA?!.
Je Unafahamu Wapo Watu Wanaoendelea Kutibu Maradhi Ya Mifupa Lakini Hawaponi?
Wengi hawafahamu Kwanini Hawaponi Wakati Kuna Watu Wanatumia Dawa/Bidhaa Hizo Hizo na Wanapona,
Jibu Moja Kati ya Mengi Ni Kuwa Kuna Baadhi ya Hitilafu Za Organs Nyingine zinazopelekea Maumivu ya Mifupa Na Wakati Mwingine Kuathiri kabisa Mifupa na Maungio. Baadhi ya Hitilafu Hizo
✓Matatizo Katika Mfumo Wa Nerves
✓Matatizo Ya Sukari
✓Matatizo Ya Pressure
✓Sumu Nyingi
📌📌 Tuzungumzie Matatizo Katika Mfumo Wa Nerves.
Hili Ni Tatizo Linalotokana Na Sababu Mbali Mbali Mfano, Ajali, Umri, Mzunguko Mbovu wa Damu, Labour Complications (Matatizo baada ya Kujifungua) Nk.
Huweza Kupelekea Madhara K**a
Kupoteza Uwezo Wa Kusikia, Uwezo Wa Kuona, Kuumwa Sana Kichwa na Maumivu ya Maungio Haswa
✓Mabega
✓Viwiko
✓Miguu Nk
Tiba Inayoweza Kuzalisha Seli Mpya Mwilini, Kuboresha Utendaji Kazi Wa Organs na Hivyo Kutibu Dalili, Ugonjwa na Madhara Yanayotokana Na Hitilafu katika Mfumo Wa Nerves
Tiba Hii Pia, Huondoa dalili zote zinazoambatana na MAGONJWA ya mifupa.
📌📌MFANO WA DALILI HIZO NI PAMOJA NA
¶ Ganzi na misuli kukak**aa
¶ Maungio/Mifupa kuawaka moto
¶ Maumivu Makali ya Nyonga, Mgongo, Magoti, na Kiquno
¶ Kushindwa kutembea, Kusimama au kuchuchumaa kwa mida mrefu
¶ Kusikia hali ya mifupa kuvunjika.
¶ Nyonga kukaza
📌📌PIA HUTIBU MARADHI YA MIFUPA YAFUATAYO
¶ Kukosa Ute Ute Kwa Muda Mrefu
¶ Discs kupishana au Kubandana
¶ Mifupa kusagika
¶ Hip Joint
¶ Gauti
¶ Stroke
¶ Osteoporosis
¶ Vimbe za Kwenye Mifupa
¶ Matatizo Ya Mgongo (Hata waliotoka Kujifungua)
Tiba Hii Ni Kwa Kutumia phytocell Ambayo Ni Product Ya Stem Cells.
StemCells Hushughulika Na Ukarabati Wa Seli Zote Mwilini. Huyu Ndio Mratibu Wa Uzalishwaji Wa Seli Na Utengenezwaji Wa Organs Nyingine Mwilini Zikiwepo Mifupa Na Mfumo Wa Nerves.
Kwa taarifa Zaidi
Call/WhatsApp +0753737167