Muhimbili National Hospital

Muhimbili National Hospital MNH is National Referral Hospital and University Teaching Hospital
(278)

17/11/2014

Ujumbe wa leo: Ugonjwa wa Kisukari

Tunasisitizwa sana kufanya mazoezi kwa takriban nusu saa kwa siku na ambayo mtu anatoa jasho na moyo kumwenda mbio. Hiyo ni kwa ajili ya kusaidia misuli ya miguu, tumbo, kifua, mgongo na mikono kutumia kiasi cha sukari kinachozalishwa mwilini. Kadhalika, wataalamu wanasisitiza sana kula vyakula visivyokobolewa, ikiwamo kula dona badala ya sembe, ulezi, mtama na matunda. Watu wapunguze na ikiwezekana kuacha kunywa vimiminika vyenye sukari, ikiwamo juice, soda, pombe na vinginevyo. Na hiyo ni kwasababu vinywaji hivyo havikai tumboni na badala yake huenda moja kwa moja kwenye utumbo mwembamba na kulazimisha kongosho linalozalisha kemikali ya insulin kufanya kazi kwa kiwango cha juu kuliko ilivyo kawaida. Vyakula visivyokobolewa vina faida sana kwani vinachukua muda wa kutosha kutoka kwenye tumbo na kwenda kwenye utumbo mwembamba hatimaye kuvunjwavunjwa kwa ajili ya kutumika mwilini.
Kadhalika makapi yatokanayo na hivyo vyakula hutuzuia kupata kansa ya utumbo. La ajabu wametoa takwimu za kutisha kwani ulaya kwasababu wanakula vyakula vilivyokobolewa wanapata kansa ya utumbo kuliko nchi au bara la afrika, na kansa hiyo ni ya nne kwa kusababisha vifo barani ulaya na amerika.
Tafadhalini, tujihadhari kwa afya zetu; mazoezi ni muhimu, vyakula viwe na uasilia wake, mtu aliye na mwenza wake afanye tendo la ndoa kwa kadiri inavyowezekana kwani ni sehemu ya mazoezi, tubadili mifumo ya maisha yetu na kukaa tu bila kujishughulisha mili yetu.

Tunawatakia wiki njema na afya njema.

14/11/2014

Today's Message: Children Malnutrition

To avoid malnutrition for your new born baby consider the following tips; Exclusive breastfeeding for the first 6 months, timely complementation that means feeding the baby with food that contains other nutrients for the first 6 months of age while continuing with breastfeeding for 2 years or more,you are encouraged to visit the hospital often for improvement of services for growth monitoring and vaccinations as well as to prevent/early treatment of illnesses such as diarrhoea, pneumonia, etc and last but not least to the mother-Eat a healthy balanced diet.

Sincerely,
Moderator.

8th March 2014
14/11/2014

8th March 2014

14/11/2014
14/11/2014
14/11/2014
14/11/2014
14/11/2014
14/11/2014
14/11/2014
Foreign Liason
14/11/2014

Foreign Liason

14/11/2014

Address

Muhimbili
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Muhimbili National Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Muhimbili National Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram