Aunt Emmie's Health

Aunt Emmie's Health 🌱AFYA YA UZAZI, UZITO NA HEDHI SALAMA🌱
📞CALL/ WHATSAPP: 0747966360 (+255)
📍POSTA MPYA, DAR ES SALAAM, TZ🇹🇿
🌍TUNAKULETEA HUDUMA POPOTE ULIPO✈️

NINI HASA KINASABABISHA UJAUZITO KUHARIBIKA NA KUTOKA KABLA YA WAKATI?Wakati wa ujauzito, mwili hupeleka virutubisho na ...
31/07/2024

NINI HASA KINASABABISHA UJAUZITO KUHARIBIKA NA KUTOKA KABLA YA WAKATI?

Wakati wa ujauzito, mwili hupeleka virutubisho na homoni kwenye kiumbe kinachokua. Hivi vyote husaidia kiumbe kuwa na afya njema na kukua vizuri. Ujauzito unapoharibika ndani ya miezi mitatu ya kwanza, mara nyingi ni kutokana na kiumbe kudumaa.

Baadhi ya sababu ambazo hupelekea ujauzito kuharibika au kutoka ni k**a vile:

VINASABA.

Karibu 50% ya wanawake wajawazito wanapatwa na tatizo kuharibika kwa ujauzito kwasababu ya makosa kwenye vinasaba. Makosa yanaweza kufanyika pale seli za kiumbe zinapogawanyika au inaweza tokana na majeraha kwenye mbegu ya kiumbe au yai la mwanamke.y

MATATIZO YA KIAFYA.

Matatizo ya kiafya pamoja na mtindo wa maisha unaweza kupelekea ujauzito kuharibika, hasa kipindi cha miezi mitatu ya pili (second trimester).

MAZINGIRA YAFUATAYO YANAWEZA KUHATARISHA UJAUZITO WAKO:

~ Lishe mbaya iliyokosa virutubisho vya kutosha
~ Matumizi ya pombe, madawa na sigara
~ Matatizo kwenye tezi ya thairodi ambayo hayajatibiwa
~ Maambukizi kwenye njia ya uzazi
~ Msongo wa mawazo
~ Uzito mkubwa wa kitambi
~ Matatizo kwenye mlango wa kizazi (Cervical incompetence)
~ Kulegea kwa mfuko wa uzazi
~ Shinikizo la damu kuwa juu sana
~ Kutumia vyakula vyenye sumu
~ Matumizi ya dawa pasiio ushauri kutoka kwa mtaalamu wa afya n.k

K**A UNA TATIZO LA KUPATA MISCARRIAGE, WAHI MAPEMA UPATE TIBA.

📞+255 747 966 360

KARIBUNI SANA.

Ute wako ni msafi na wa kutosha?
28/07/2024

Ute wako ni msafi na wa kutosha?

TAFADHALI SOMA NA ZINGATIA, TUNAKUPENDA, TUNAIPENDA AFYA YAKO👏📞0747 966 360Karibuni sana.
24/07/2024

TAFADHALI SOMA NA ZINGATIA, TUNAKUPENDA, TUNAIPENDA AFYA YAKO👏

📞0747 966 360

Karibuni sana.

Huu ni uchafu umetoka kwenye uke wa mwanamke, jamani hili sio jambo la kufumbia macho kwani madhara yake ni makubwa!Mwan...
24/07/2024

Huu ni uchafu umetoka kwenye uke wa mwanamke, jamani hili sio jambo la kufumbia macho kwani madhara yake ni makubwa!

Mwanamke jipende👌 Njoo uchukue tiba na ushauri wa namna ya kujiweka salama na kujikinga dhidi ya matatizo k**a haya!

Tupigie au tutumie ujumbe/ whatsApp: 📞 0747 966 360

Karibuni sana.

Tuchat na Aunt Emmie👌Tumejiandaa kukupa suluhisho la tatizo lako! Tuwasiliane sasa 📞0747 966 360Karibuni sana.
20/07/2024

Tuchat na Aunt Emmie👌

Tumejiandaa kukupa suluhisho la tatizo lako! Tuwasiliane sasa 📞0747 966 360

Karibuni sana.

Karibuni sana  tunatatua changamoto ya ugumba kwa wanawake, yaani, kutokushika mimba kutokana na matatizo mbalimbali ya ...
18/07/2024

Karibuni sana tunatatua changamoto ya ugumba kwa wanawake, yaani, kutokushika mimba kutokana na matatizo mbalimbali ya kiafya k**a vile:

📌Kuvurugika kwa homoni za uzazi (hormonal imbalance)
📌Uvimbe kwenye mfuko wa mayai (ovarian cyst)
📌Uvimbe kwenye mfuko wa mimba (fibroids)
📌Kulegea kwa kizazi
📌kuchelewa kupevuka kwa mayai na uzalishaji hafifu wa mayai ya uzazi

Hakikisha umefanya vipimo hospitalini ili kujua chanzo cha kutoshika ujauzito, kisha tutafute ili tukupatie tiba kulingana na tatizo lako.

NOTE: Tunashauri wenza wote, yaani, mke na mume kufanya vipimo maana wote wanaweza kuwa na matatizo ya kiafya.

Baada ya zoezi la upimaji, tupigie simu au tuandikie ujumbe wa kawaida au whatsApp kupitia namba 0747966360 (+255) ili tukupatie dozi yako na uanze kutumia haraka iwezekanavyo.

Naamini nawe unapenda kufikia malengo yako mazuri ya kupata mtoto/ watoto k**a wagonjwa wengine ambao tumefanikiwa kuwasaidia kupitia tiba zetu za virutubisho asilia zisizo na madhara yeyote yale na wameweza kupata watoto.

Karibuni sana.

Je, unatokwa uchafu k**a huu ukeni, wenye harufu mbaya k**a shombo? Njoo tukusaidie👌📞0747 966 360
18/07/2024

Je, unatokwa uchafu k**a huu ukeni, wenye harufu mbaya k**a shombo? Njoo tukusaidie👌

📞0747 966 360

Pelvic Inflammatory Disease (PID) hutokea kipindi viungo vya uzazi vya mwanamke vimepata maambukizi. Viungo vya uzazi vi...
18/07/2024

Pelvic Inflammatory Disease (PID) hutokea kipindi viungo vya uzazi vya mwanamke vimepata maambukizi. Viungo vya uzazi vinavyoathiriwa na PID ni uterusi, ovari na mirija ya falopio.

Upo kwenye hatari kubwa ya kupata PID k**a :

* Una maambukizi yaenezwayo kwa ngono (STIs), hasa gonorrhea au chlamydia.
* Una wapenzi wengi, au una mpenzi mwenye wapenzi wengi.
* Ulishawahi kuwa na PID siku za nyuma.
* Unafanya mapenzi kiholela na una umri chini ya miaka 25.
* Unatoa mimba mara kwa mara.

Dalili za PID ni zipi?

* Maumivu kwenye tumbo au chini ya kitovu, dalili kubwa na maarufu.
* Kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida ukeni, mara nyingi huwa na rangi ya manjano au kijani yakiambatana na harufu isiyopendeza.
* Homa
* Kichefuchefu na Kutapika
* Maumivu kipindi cha kujamiiana.
* Maumivu wakati wa kukojoa
* Mpangilio wa hedhi kuvurugika, kutokwa na damu kidogo sana au kupata maumivu ya hedhi mwezi mzima.
* Maumivu upande wa juu kulia wa tumbo (right upper abdomen), si mara nyingi.
* Maumivu ya mgongo.

Ni muhimu kuitibu PID haraka iwezekanavyo, yaani pale tu unapojihisi una dalili zozote za PID, tafuta matibabu haraka iwezekanavyo sababu PID isipotibiwa, husababisha matatizo makubwa k**a vile:

* Mimba kutungwa nje ya mirija ya uzazi (Ectopic Pregnancy)
* Ugumba
* Maumivu sugu ya nyonga
* Tubo Ovarian Abscess (Kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi

Madhara ya PID kwa mjamzito:

* Kujifungua kabla ya wakati au ujauzito kuharibika
* Kujifungua mtoto mwenye maambukizi na wakati mwingine, mtoto hufariki muda mchache baada ya Kujifungua au kujifungua mtoto mfu
* Kuziba kwa mirija ya uzazi

Jinsi ya kuzuia ugonjwa wa PID:

* Kuwahi kuwaona wataalamu wa afya mara dalili za ugonjwa zinapoanza kujitokeza
* Kufanya vipimo mara kwa mara hasa vipimo vya uzazi na vipimo vya STIs
* Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua
* Kuacha ngono zembe na kufanya ngono salama.
* Kutotoa mimba kiholela

Kwa kawaida, PID hutibiwa kwa food supplements na kuisha kabisa. Ikiwa una historia ya PID, ni muhimu kupata dozi ya mfumo mzima wa uzazi mara moja!

Usisite kuwasiliana nasi kwa ushauri zaidi, matibabu na maelekezo mengine.

☎️0747966360 (+255)

FAIDA ZA MATUMIZI YA TENDE KWA MJAMZITO:🤰HUPUNGUZA MUDA WA UCHUNGU🤰HUZUIA UPOTEVU WA DAMU BAADA YA KUJIFUNGUA AU MIMBA K...
12/07/2024

FAIDA ZA MATUMIZI YA TENDE KWA MJAMZITO:

🤰HUPUNGUZA MUDA WA UCHUNGU

🤰HUZUIA UPOTEVU WA DAMU BAADA YA KUJIFUNGUA AU MIMBA KUHARIBIKA

🤰HUONGEZA DAMU KWA MJAMZITO NA KUZUIA MGONGO WAZI KWA MTOTO

🤰HUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA PRESHA YA UJAUZITO

🤰HUPUNGUZA CHOO KIGUMU (FUNGA CHOO)

🤰HUMUONGEZEA NGUVU MJAMZITO

HASARA ZA MATUMIZI MAKUBWA YA TENDE KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO:

🤰KUONGEZEKA UZITO KUPITA KIASI

🤰KUONGEZEKA KWA HATARI YA KUPATA UGONJWA WA KISUKARI

🤰KUOZA KWA MENO K**A UNATUMIA TENDE BILA KUWA NA USAFI MZURI WA KINYWA KWA SABABU TENDE HUWA NA SUKARI NYINGI

KUMBUKA: TUMIA TENDE KWA KIWANGO STAHIKI AMBACHO NI SAWA NA MATUNDA 6 KWA SIKU AU 60MG HADI 80MG KILA SIKU HUSUSANI UJAUZITO UNAPOFIKISHA WIKI 36 MPAKA 40 AU MWEZI MMOJA WA MWISHONI MWA UJAUZITO WAKO.

📞WASILIANA NASI KUPITIA 0747 966 360 KWA USHAURI NA MSAADA ZAIDI.

Mungu akujalie baraka ya kuwa na watoto wengi kwa kadiri unavyotamani❤️
08/07/2024

Mungu akujalie baraka ya kuwa na watoto wengi kwa kadiri unavyotamani❤️

Mama mjamzito unapaswa kukumbuka kuwa kitu chochote unachokula kina athari kwa mtoto wako aliye tumboni! Kula vyakyula b...
08/07/2024

Mama mjamzito unapaswa kukumbuka kuwa kitu chochote unachokula kina athari kwa mtoto wako aliye tumboni! Kula vyakyula bora kwaajili ya afya bora kwako na kwa mtoto.

Zingatia ewe mama mjamzito🤰📞0747 966 360
04/07/2024

Zingatia ewe mama mjamzito🤰

📞0747 966 360

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Aunt Emmie's Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share