Afya Tips Tanzania

Afya Tips Tanzania Karibu tukuhudume, kwa changamoto za afya tunatoa ushauri na tiba.

FAIDA ISHIRINI ZA KIAFYA ZA BAMIABamia ni mboga maarufu hapa Tanzania. Mbali na kuwa na ladha nzuri, lakini pia bamia in...
07/05/2025

FAIDA ISHIRINI ZA KIAFYA ZA BAMIA
Bamia ni mboga maarufu hapa Tanzania. Mbali na kuwa na ladha nzuri, lakini pia bamia ina faida mbalimbali za kiafya kwa mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo ni faida ishirini (20) za kiafya za mboga mboga aina ya bamia.
1. Inapunguza kolestrol.
2. Inasaidia kuondoa vimelea vya sumu kwenye ngozi.
3. Inasaidia katika kutibu magonjwa mbalimbali ya zinaa k**a vile kaswende, kisonono.
4. Vilevile inaponya tatizo la kwenda hedhi mara kwa mara na chango la k**e.
5. Inasaidia kutibu pumu (asthma).
6. Inaongeza kinga ya mwili.
7. Ina utajiri mkubwa wa virutubisho aina ya fibre.
8. Ina utajiri mkubwa wa virutubisho mwili aina ya protini (hamirojo).
9. Ina saidia kuimarisha afya ya nywele.
10. Inasaidia kupambana na tatizo la uchovu wa mwili, na msongo wa mawazo.
11. Inasaidia kutibu tatizo la kukosa choo.
12. Inawasaidia wanao sumbuliwa na tatizo la kisukari.
13. Inasaidia kusafisha damu.
14. Inasaidia kuponya mafua.
15. Inasaidia kuondoa sumu mwilini.
16. Inasaidia kutibu vidonda vya tumbo.
17. Inasaidia kukinga tatizo la anemia.
18. Ina kinga dhidi ya utapiamlo (unene uliopitiliza).
19. Inasaidia kuimarisha mifupa.
20. Inasaidia kuimarisha mfumo wa kuona.

*FEMICARE  NA REFINED YUNZHI KIPENZI CHA WANAWAKE             Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminikaUnasafishia ukeni us...
07/05/2025

*FEMICARE NA REFINED YUNZHI KIPENZI CHA WANAWAKE


Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja

*KAZI ZAKE*
๐Ÿ“ŒHutibu UTI sugu
๐Ÿ“ŒHutibu Fangasi sugu
๐Ÿ“ŒInaondoa Miwasho ukeni
๐Ÿ“ŒInaondoa Harufu mbaya ukeni
๐Ÿ“Œinaondoa Uchafu unatoka ukeni
๐Ÿ“Œinasafisha na kuzibua milija ya uzazi
๐Ÿ“Œinakurinda usipate UTI na Fangasi
๐Ÿ“Œinaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
๐Ÿ“Œinaongeza joto la uke
๐Ÿ“Œinabana Kuta za uke zilizo legea
๐Ÿ“Œinapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
๐Ÿ“Œinarudisha ute ute ukeni
๐Ÿ“Œinatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza
๐Ÿ‘‰ Inaondoa changamoto zote za hedhi
๐Ÿ‘‰ Kutoshika mimba
๐Ÿ‘‰ Hormone imbalance
๐Ÿ‘‰Inatibu uvimbe
๐Ÿ‘‰ Inazibua mirija yote ya uzazi
๐Ÿ“ŒKalibu kwa mawasiliano zaidi.

FAIDA ZA MATUMIZI YA UKWAJU ( TAMARIND)โ—พ. Inaboresha mmeng'enyo wa chakula ( Improves digestionโ—พ. Husaidia kupunguza uzi...
07/05/2025

FAIDA ZA MATUMIZI YA UKWAJU ( TAMARIND)

โ—พ. Inaboresha mmeng'enyo wa chakula ( Improves digestion

โ—พ. Husaidia kupunguza uzito(Aids in weight loss)

โ—พ. Huzuia uundaji wa vidonda vya tumbo ( Prevents formation of peptic ulcers)

โ—พ.Husaidia katika kutibu kikohozi, baridi na pumu ( Aids in treating cough,cold and asthma)

โ—พ. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari (Helps in managing diabetes)

โ—พ. Husaidia afya ya moyo (Promotes heart health)

โ—พ. Husaidia kuponya majeraha (Helps heal wounds)

โ—พ. Hupunguza lehemu ( lowers cholesterol)

โ—พ. Huondoa sumu mwilini ( detox your body)

โ—พ. Kwa ajili ya afya ya ini ( Great for liver health):-
- hulinda ini ( protects the liver)
-huondoa mafuta katika ini ( eliminates fat in the liver)

โ—พ. Matumizi ya ukwaju ya mara kwa mara Hutibu magonjwa yote yanayohusisha nyongo.

NAMNA YA KUANDAA
Njia Bora yakuweza kutumia ukwaju ni KUANDAA k**a juice
โ–ช๏ธChukua kiwango Cha ukwaju robo safisha Kisha weka kwenye Brenda
โ–ช๏ธChukua maji ya madafu nusu Rita / au maji ya kawaida kiwango Cha nusu Lita Kisha changanya kwenye mchanganyiko huo
โ–ช๏ธ Saga pamoja Kisha chuja

NJIA NYINGINE YA KUANDAA
โ–ช๏ธChukua kiwango Cha glass Moja ya maji ya uvuguvugu kicha chukua vipande vitatu vya ukwaju changanya kwenye ayo maji
โ–ช๏ธSubiri mda wa dakika 10 mpaka 15 tumia mchanganyiko huo jioni kabla ujaenda kulala

MATUMIZI
Tunashauri kutumiwa asubuhi baada ya kula na jioni unapoenda kulala
NOTE:- ukitumia kabla ujala Chochote inaweza kukusababishia kua na gas au tumbo kujaa ivyo bhas nivyema ukaelewa na kufuata misingi Bora

USIKUBALI KUTESEKA CHUKUA HATUA

*VYANZO VYA SUMU* Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;1. Matumizi ya dawa mara kwa mara2. Mat...
07/05/2025

*VYANZO VYA SUMU*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI.*

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk

*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU.*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
Call/text 07

Tunatoa sumu mwilini kwa sababu mwili wetu una mfumo wa asili wa kujisafisha na kutoa sumu zinazoweza kuharibu au kuingi...
07/05/2025

Tunatoa sumu mwilini kwa sababu mwili wetu una mfumo wa asili wa kujisafisha na kutoa sumu zinazoweza kuharibu au kuingilia kazi ya viungo vyetu au kusababisha madhara kwa afya yetu. Mwili hutumia njia mbalimbali kutoa sumu, ikiwa ni pamoja na mfumo wa limfu, figo, ini, mapafu, ngozi, na utumbo.

Hata hivyo, kuna hali ambapo mwili unaweza kukabiliwa na mzigo mkubwa wa sumu ambao mfumo wa kawaida wa kujisafisha hauwezi kushughulikia. Hali hizi zinaweza kusababishwa na kemikali hatari, dawa za sumu, miale ya sumu, au vyanzo vingine vya sumu ambavyo vinaweza kusababisha madhara kwa afya yetu.

Katika hali hizo, hatua za ziada zinaweza kuchukuliwa ili kusaidia kuondoa sumu hizo kutoka mwilini. Mbinu za detox zinaweza kutumika, ambazo zinajumuisha lishe maalum, kunywa maji mengi, kutumia virutubisho, kufanya mazoezi ya mwili, na matibabu mengine ya ziada.

Ni muhimu kutambua kuwa njia hizi za detox zinapaswa kufanywa chini ya usimamizi wa kitaalamu na kuzingatia mahitaji ya mtu binafsi. Na ni muhimu kupata ushauri wa wataalamu wa afya kabla ya kufuata njia yoyote ya detox ili kupata ushauri unaofaa na sahihi kwa hali yako maalum.

Kwa ujumla, tunatoa sumu mwilini ili kusaidia kuondoa sumu zisizohitajika ambazo zinaweza kuathiri afya yetu. Hata hivyo, ni muhimu kuwa na ufahamu wa kisayansi na kushauriana na wataalamu wa afya ili kupata habari sahihi na ushauri unaofaa kwa mahitaji ya afya ya mtu binafsi.

FAIDA YA KUFANYA TENDO LA NDOA KWA MJAMZITO (MIMBA).FAIDA ZAKE NI K**A ZIFUATAZO...................โ— Husaidia kuleta uch...
19/09/2024

FAIDA YA KUFANYA TENDO LA NDOA KWA MJAMZITO (MIMBA).
FAIDA ZAKE NI K**A ZIFUATAZO...................
โ— Husaidia kuleta uchungu, kuimarisha misuli wakati wa kujifungua.
โ— Kupunguza kitendo cha kukojoa mara kwa mara kutokana na mgandamizo wa mtoto.
โ— Kuzuia kupata uwezekano wa kifafa cha mimba.
โ— Husaidia kufika kileleni na kuwa na hisia zaidi maana kiwango cha homoni ya estrogen kuwa nyingi zaidi.
โ— Kuwa na uwezo mkubwa wa kujiamini na kuondokana na hofu, wasiwasi n.k
โ— Kuongeza homoni ya oxycontin ambayo huongeza upendo zaidi na furaha.
โ— Kuondoa tatizo la kukosa usingizi na uchovu.
โ— Kuondoa tatizo la pressure n.k.

Kwa elimu zaidi, ushauri pamoja na matibabu sahihi wasiliana nasi

Wewe mrembo karibu nikupe tiba SAHIHI โ˜Ž๏ธ 0621 080 997
28/08/2024

Wewe mrembo karibu nikupe tiba SAHIHI

โ˜Ž๏ธ 0621 080 997

28/08/2024
DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI
28/08/2024

DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI

" *Umuhimu wa Virutubisho: Kwa Nini Vyakula Pekee Havitoshi kwa Afya Bora na Uzazi"* Matumizi ya virutubisho (supplement...
29/07/2024

" *Umuhimu wa Virutubisho: Kwa Nini Vyakula Pekee Havitoshi kwa Afya Bora na Uzazi"*

Matumizi ya virutubisho (supplements) yanaweza kuwa muhimu kwa sababu kadhaa, ingawa chakula chenye lishe bora ni njia bora zaidi ya kupata virutubisho.

Hapa kuna sababu kuu za umuhimu wa kutumia virutubisho na kwanini watu wanatakiwa kutumia virutubisho pamoja na chakula:

1. **Upungufu wa Virutubisho*

Watu wengi hawapati virutubisho vya kutosha kutokana na mlo wao wa kila siku. Virutubisho vinaweza kusaidia kujaza mapengo haya, hasa kwa wale wenye upungufu wa vitamini na madini muhimu k**a vile vitamini D, B12, kalsiamu, na chuma.

2. **Mahitaji Maalum ya Kiafya**

Baadhi ya watu wana mahitaji maalum ya kiafya yanayohitaji kiwango kikubwa cha virutubisho fulani ambavyo ni vigumu kupata kwa kiasi cha kutosha kupitia chakula pekee. Hii ni pamoja na wanawake wajawazito, wazee, na watu wenye magonjwa sugu k**a vile ugonjwa wa kisukari au ugonjwa wa moyo, upungufu wa nguvu za kiume.

3. **Mazingira na Mtindo wa Maisha**

Mazingira na mtindo wa maisha wa kisasa unaweza kuathiri ubora wa chakula tunachokula. Hii ni pamoja na matumizi ya vyakula vilivyosindikwa, uchafuzi wa mazingira, na shinikizo la kazi, ambavyo vyote vinaweza kusababisha upungufu wa virutubisho muhimu.

4. **Matumizi ya Dawa**
Baadhi ya dawa zinaweza kuathiri jinsi mwili unavyoyeyusha na kutumia virutubisho fulani. Virutubisho vinaweza kusaidia kurudisha virutubisho vilivyopotea kutokana na matumizi ya dawa.

5. **Uboreshaji wa Afya Jumla**
Virutubisho vinaweza kusaidia kuboresha afya kwa ujumla, kuimarisha kinga ya mwili, kuongeza nishati, na kuboresha hali ya ngozi, nywele, na kucha.

*KWA NINI SI CHAKULA TU?*

Ingawa ni bora kupata virutubisho kutoka kwenye chakula, kuna sababu kadhaa za kwanini chakula peke yake kinaweza kusiwe cha kutosha:

- **Uchaguzi Duni wa Vyakula**: Si kila mtu anapata lishe bora kila wakati. Vyakula vingi vya kisasa vimesindikwa na havina virutubisho vya kutosha.

- **Ubora wa Udongo**: Udongo ambao mazao yanakuzwa unaweza kuwa na upungufu wa madini muhimu, hivyo kufanya chakula kuwa na virutubisho kidogo.

- **Matatizo ya Usagaji Chakula**: Baadhi ya watu wana matatizo ya usagaji chakula na hivyo hawawezi kufyonza virutubisho vizuri kutoka kwenye chakula.

- **Mahitaji Maalum**: Mahitaji maalum ya virutubisho yanaweza kuhitaji kiwango kikubwa zaidi ya kile kinachopatikana kwenye mlo wa kawaida.

Kwa hivyo, virutubisho vinaweza kuwa nyongeza muhimu kwa lishe bora, kusaidia kuhakikisha kwamba mwili unapata virutubisho vyote muhimu kwa ajili ya afya njema na uzazi bora.

Ni muhimu kutumia virutubisho kwa ushauri wa daktari ili kuhakikisha usalama na ufanisi wake.

*By the way k**a unahitaji kupata dozi ya virutubisho au ushauri kuhusu virutubisho karibu sana.*

๐Ÿ”ฅCHOO KIGUMU,KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara ChacheLakini Kwa S...
29/07/2024

๐Ÿ”ฅCHOO KIGUMU,KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)

Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka K**a Cha Mbuzi

Inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
Kwenye tumbo Na Utumbo kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunazovuta Pamoja na Mafuta tunayokula

โœ๏ธDALILI ZA TATIZO
โ—Kutopata Choo Kila Siku Wakati Unakula milo 3 au Zaidi Kwa siku
โ—Kupata Choo Kigumu Sana,K**a Cha Mbuzi
โ—Kutumia Muda Mrefu chooni, kutumia nguvu Sana
โ—Kupata Gesi,mingurumo tumboni Au Kujamba Na Harufu mbaya Sana inatoka
โ—kuhisi kijinyama,Kupata miwasho,maumivu sehemu ya haja kubwa
โ—Maumivu Ya Tumbo,miguu,mabega
โ—Kupungua Nguvu za Kiume,Kukosa Usingizi,
โ—Kukosa Hamu Ya Kula,Kupata Kiungulia,Harufu Mbaya Kinywani,

K**a Unashindwa kupata choo Angalau Mara moja baada ya Siku 2 Na Unakula Mara Tatu (3) Kwa Siku,Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Mengi mno

โœ…SULUHISHO
Tafadhali K**a Wewe ni Muathirika wa Tatizo lolote kati ya Dalili Ulizoziona hapo Usiache Kuwasiliana nasi Kwa Msaada na Utatuzi wa Tatizo lako.Tuna Tibalishe zilizothibitishwa ubora wake kwenye kutatua Changamoto hio
Tupigie simu zetu kwa tiba elimu na ushauri

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฉ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ€ Kukojoa Mara kwa mara.๐Ÿ€ Kubakiza mkojo kwenye kibofu.๐Ÿ€ Kukojoa sana hasa Nyakati za u...
29/07/2024

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฉ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜ ๐Ÿ‘‡
๐Ÿ€ Kukojoa Mara kwa mara.
๐Ÿ€ Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
๐Ÿ€ Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
๐Ÿ€ Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
๐Ÿ€ Kupungukiwa nguvu za kiume.
๐Ÿ€ UTI ya Mara kwa mara.
๐Ÿ€ Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
๐Ÿ€ Figo kujaa maji.
๐Ÿ€ Kupoteza fahamu.
๐Ÿ€ Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
๐Ÿ€ Uume kushindwa kusimama vizuri.
๐Ÿ€ Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

๐—”๐—ง๐—›๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ž๐—”๐— ๐—” ๐—›๐—”๐—œ๐—ง๐—”๐—ช๐—”๐—›๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐Ÿ‘‡
โœ๏ธ Kushindwa kabisa kukojoa.
โœ๏ธ Kupatwa na maambukizi ya UTI.
โœ๏ธ Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
โœ๏ธ Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
โœ๏ธ Figo inaweza kuharibika.
โœ๏ธ Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer)
โœ๏ธ Kifo ๐Ÿ˜ฅ

Address

Dar Es Salaam
1342

Telephone

+255621080997

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Tips Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Tips Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram