Afya Tips Tanzania

Afya Tips Tanzania Karibu tukuhudume, kwa changamoto za afya tunatoa ushauri na tiba.

FAIDA ISHIRINI ZA KIAFYA ZA BAMIABamia ni mboga maarufu hapa Tanzania. Mbali na kuwa na ladha nzuri, lakini pia bamia in...
07/05/2025

FAIDA ISHIRINI ZA KIAFYA ZA BAMIA
Bamia ni mboga maarufu hapa Tanzania. Mbali na kuwa na ladha nzuri, lakini pia bamia ina faida mbalimbali za kiafya kwa mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo ni faida ishirini (20) za kiafya za mboga mboga aina ya bamia.
1. Inapunguza kolestrol.
2. Inasaidia kuondoa vimelea vya sumu kwenye ngozi.
3. Inasaidia katika kutibu magonjwa mbalimbali ya zinaa k**a vile kaswende, kisonono.
4. Vilevile inaponya tatizo la kwenda hedhi mara kwa mara na chango la k**e.
5. Inasaidia kutibu pumu (asthma).
6. Inaongeza kinga ya mwili.
7. Ina utajiri mkubwa wa virutubisho aina ya fibre.
8. Ina utajiri mkubwa wa virutubisho mwili aina ya protini (hamirojo).
9. Ina saidia kuimarisha afya ya nywele.
10. Inasaidia kupambana na tatizo la uchovu wa mwili, na msongo wa mawazo.
11. Inasaidia kutibu tatizo la kukosa choo.
12. Inawasaidia wanao sumbuliwa na tatizo la kisukari.
13. Inasaidia kusafisha damu.
14. Inasaidia kuponya mafua.
15. Inasaidia kuondoa sumu mwilini.
16. Inasaidia kutibu vidonda vya tumbo.
17. Inasaidia kukinga tatizo la anemia.
18. Ina kinga dhidi ya utapiamlo (unene uliopitiliza).
19. Inasaidia kuimarisha mifupa.
20. Inasaidia kuimarisha mfumo wa kuona.

*FEMICARE  NA REFINED YUNZHI KIPENZI CHA WANAWAKE             Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminikaUnasafishia ukeni us...
07/05/2025

*FEMICARE NA REFINED YUNZHI KIPENZI CHA WANAWAKE


Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja

*KAZI ZAKE*
📌Hutibu UTI sugu
📌Hutibu Fangasi sugu
📌Inaondoa Miwasho ukeni
📌Inaondoa Harufu mbaya ukeni
📌inaondoa Uchafu unatoka ukeni
📌inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
📌inakurinda usipate UTI na Fangasi
📌inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
📌inaongeza joto la uke
📌inabana Kuta za uke zilizo legea
📌inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
📌inarudisha ute ute ukeni
📌inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza
👉 Inaondoa changamoto zote za hedhi
👉 Kutoshika mimba
👉 Hormone imbalance
👉Inatibu uvimbe
👉 Inazibua mirija yote ya uzazi
📌Kalibu kwa mawasiliano zaidi.

FAIDA ZA MATUMIZI YA UKWAJU ( TAMARIND)◾. Inaboresha mmeng'enyo wa chakula ( Improves digestion◾. Husaidia kupunguza uzi...
07/05/2025

FAIDA ZA MATUMIZI YA UKWAJU ( TAMARIND)

◾. Inaboresha mmeng'enyo wa chakula ( Improves digestion

◾. Husaidia kupunguza uzito(Aids in weight loss)

◾. Huzuia uundaji wa vidonda vya tumbo ( Prevents formation of peptic ulcers)

◾.Husaidia katika kutibu kikohozi, baridi na pumu ( Aids in treating cough,cold and asthma)

◾. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari (Helps in managing diabetes)

◾. Husaidia afya ya moyo (Promotes heart health)

◾. Husaidia kuponya majeraha (Helps heal wounds)

◾. Hupunguza lehemu ( lowers cholesterol)

◾. Huondoa sumu mwilini ( detox your body)

◾. Kwa ajili ya afya ya ini ( Great for liver health):-
- hulinda ini ( protects the liver)
-huondoa mafuta katika ini ( eliminates fat in the liver)

◾. Matumizi ya ukwaju ya mara kwa mara Hutibu magonjwa yote yanayohusisha nyongo.

NAMNA YA KUANDAA
Njia Bora yakuweza kutumia ukwaju ni KUANDAA k**a juice
▪️Chukua kiwango Cha ukwaju robo safisha Kisha weka kwenye Brenda
▪️Chukua maji ya madafu nusu Rita / au maji ya kawaida kiwango Cha nusu Lita Kisha changanya kwenye mchanganyiko huo
▪️ Saga pamoja Kisha chuja

NJIA NYINGINE YA KUANDAA
▪️Chukua kiwango Cha glass Moja ya maji ya uvuguvugu kicha chukua vipande vitatu vya ukwaju changanya kwenye ayo maji
▪️Subiri mda wa dakika 10 mpaka 15 tumia mchanganyiko huo jioni kabla ujaenda kulala

MATUMIZI
Tunashauri kutumiwa asubuhi baada ya kula na jioni unapoenda kulala
NOTE:- ukitumia kabla ujala Chochote inaweza kukusababishia kua na gas au tumbo kujaa ivyo bhas nivyema ukaelewa na kufuata misingi Bora

USIKUBALI KUTESEKA CHUKUA HATUA

*VYANZO VYA SUMU* Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;1. Matumizi ya dawa mara kwa mara2. Mat...
07/05/2025

*VYANZO VYA SUMU*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI.*

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk

*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU.*
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
Call/text 07

Tunatoa sumu mwilini kwa sababu mwili wetu una mfumo wa asili wa kujisafisha na kutoa sumu zinazoweza kuharibu au kuingi...
07/05/2025

Tunatoa sumu mwilini kwa sababu mwili wetu una mfumo wa asili wa kujisafisha na kutoa sumu zinazoweza kuharibu au kuingilia kazi ya viungo vyetu au kusababisha madhara kwa afya yetu. Mwili hutumia njia mbalimbali kutoa sumu, ikiwa ni pamoja na mfumo wa limfu, figo, ini, mapafu, ngozi, na utumbo.

Hata hivyo, kuna hali ambapo mwili unaweza kukabiliwa na mzigo mkubwa wa sumu ambao mfumo wa kawaida wa kujisafisha hauwezi kushughulikia. Hali hizi zinaweza kusababishwa na kemikali hatari, dawa za sumu, miale ya sumu, au vyanzo vingine vya sumu ambavyo vinaweza kusababisha madhara kwa afya yetu.

Katika hali hizo, hatua za ziada zinaweza kuchukuliwa ili kusaidia kuondoa sumu hizo kutoka mwilini. Mbinu za detox zinaweza kutumika, ambazo zinajumuisha lishe maalum, kunywa maji mengi, kutumia virutubisho, kufanya mazoezi ya mwili, na matibabu mengine ya ziada.

Ni muhimu kutambua kuwa njia hizi za detox zinapaswa kufanywa chini ya usimamizi wa kitaalamu na kuzingatia mahitaji ya mtu binafsi. Na ni muhimu kupata ushauri wa wataalamu wa afya kabla ya kufuata njia yoyote ya detox ili kupata ushauri unaofaa na sahihi kwa hali yako maalum.

Kwa ujumla, tunatoa sumu mwilini ili kusaidia kuondoa sumu zisizohitajika ambazo zinaweza kuathiri afya yetu. Hata hivyo, ni muhimu kuwa na ufahamu wa kisayansi na kushauriana na wataalamu wa afya ili kupata habari sahihi na ushauri unaofaa kwa mahitaji ya afya ya mtu binafsi.

Address

Dar Es Salaam
1342

Telephone

+255621080997

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Tips Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Tips Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram