Afya ya Uzazi wa Mwanamke

Afya ya Uzazi wa Mwanamke Ninawasaidia wanawake kuondokana na changamoto za uzazi kama UTI,PID,FANGUS na miwasho ukeni.

0692645308JE UNAFAHAMU MADHARA YA PID...?Nataka nikufahamishe wewe ambaye umekuwa ukiacha kutibu PID ukidhani itakwisha....
31/07/2024

0692645308

JE UNAFAHAMU MADHARA YA PID...?

Nataka nikufahamishe wewe ambaye umekuwa ukiacha kutibu PID ukidhani itakwisha. Haya ndio madhara yake....... 👇👇👇

1. Hataari ya kupata Cancer ya KIZAZI.
2. Kuziba kwa mirija ya uzazi.
3. Mimba kuharibika.
4. Kutoshika ujauzito KABISA.
5. Siku zako kuvurugika.
6. Kutokwa na hedhi yenye mabonge mabonge mfano wa maini.

Hivyo ukikutana na DALILI ZIFUATAZO UZIPUUZE.
1. Miwasho ukeni.
2. Kutokwa uchafu ukeni.
3. Kichefuchefu
4. Maumivu ya kiuno.
5. Maumivu ya mgongo.
6. uchovu wa mwili.
7. kutokwa mapele usoni.
8. Kutoona siku zako kwa zaidi ya miezi miwili.
9. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
10. Maumivu unapokwenda haja ndogo.

UNAPOONA DALILI HIZI USIPUUZE MAANA TATIZO LIKISHAKUWA SUGU UTATIBU KWA GHARAMA KUBWA AU KUFANYIWA OPERATION KABISA.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya Uzazi wa Mwanamke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share