Afya /uchumi

Afya /uchumi Medical treatment and canceling ⁢

π…π€π‡π€πŒπ” πƒπ€π‹πˆπ‹πˆ 𝐍𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐀 π”π†πŽππ‰π–π€ 𝐖𝐀 ππ€π–π€π’πˆπ‹πˆBawasili au hemorrhoids ni ugonjwa ambao unatokea pale ambapo mishipa ya d...
17/07/2024

π…π€π‡π€πŒπ” πƒπ€π‹πˆπ‹πˆ 𝐍𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐀 π”π†πŽππ‰π–π€ 𝐖𝐀 ππ€π–π€π’πˆπ‹πˆ
Bawasili au hemorrhoids ni ugonjwa ambao unatokea pale ambapo mishipa ya damu( veins) inapotanuka na kujaa damu na kufanya mtu kuota vinyama kwenye sehemu ya haja kubwa.

Bawasili ipo ya aina mbili: kuna bawasili ya ndani na bawasili ya nje. Bawasili ya ndani vinyama huota kwa sehemu ya ndani ya haja kubwa na kwa bawasili ya nje vinyama huwa vinaota kwenye sehemu ya nje ya njia ya haja kubwa.

SABABU ZA BAWASILI :
1. Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu
2. Kunyanyua vitu vizito
3. Kukaa kwa muda mrefu
4. Kuharisha sana
5. Uzito mkubwa kupita kiasi
6. Umri mkubwa
7. Ujauzito

DALILI ZA BAWASILI:
1. Kutoka damu sehemu ya haja kubwa
2. Kupata maumivu sehemu ya haja kubwa
3. Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
4. Kupata muwasho sehemu ya haja kubwa.

Usihofu nimekuandalia suluhisho la uhakika na unapona kabisa huu ugonjwa.

Piga/whatsup.
0754096679
0687096671

Je, bawasili imekuwa changamoto kwako kwa muda mrefu?
17/07/2024

Je, bawasili imekuwa changamoto kwako kwa muda mrefu?

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π—©π—œπ——π—’π—‘π——π—” 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗒 (π—¨π—Ÿπ—–π—˜π—₯𝗦)πŸ‘‡ ✍️Kuchoka sana bila sababu maalum.✍️Kuumwa mgongo/Kiuno.✍️Kupungukiwa au kupoteza ...
17/07/2024

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 π—©π—œπ——π—’π—‘π——π—” 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗒 (π—¨π—Ÿπ—–π—˜π—₯𝗦)πŸ‘‡
✍️Kuchoka sana bila sababu maalum.
✍️Kuumwa mgongo/Kiuno.
✍️Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kiume (Wanaume)
✍️Kizunguzungu
✍️Kukosa usingizi
✍️Maumivu makali sehemu ya mwili
✍️Maumivu ya Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali.
✍️Kichefuchefu/Kiungulia
✍️Tumbo kujaa gesi
✍️Tumbo kuwaka moto
✍️Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
✍️Kukosa choo au kupata choo kwa shida (Constipation)
✍️Kutapika nyongo
✍️Kutapika damu au kuharisha
✍️Sehemu za mwili kupata ganzi
✍️Kukosa hamu ya kula
✍️Kula kupita kiasi
✍️Kusahahu sahau Mara kwa Mara
✍️Hasira bila sababu.
✍️Kuwa na Tatizo la Bawasiri

0754096679

Vidonda Vya Tumbo VINATIBIKA Soma kwa makini  dalili hizi za vidonda vya tumbo kabla madhara yake hayajawa makubwa kwa s...
17/07/2024

Vidonda Vya Tumbo VINATIBIKA

Soma kwa makini dalili hizi za vidonda vya tumbo kabla madhara yake hayajawa makubwa kwa sababu ya kuchelewesha matibabu

Dalili za vidonda vya Tumbo.

1.Maumivu ya sehemu ya juu ya tumbo.

2.Kiungulia

3.Kubeua

4.Tumbo kujaa gesi na
kichefuchefu.
PIGA SIMU kwa Msaada wa Haraka

0754096678

17/07/2024

π…π€π‡π€πŒπ” πƒπ€π‹πˆπ‹πˆ 𝐍𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐀 π”π†πŽππ‰π–π€ 𝐖𝐀 ππ€π–π€π’πˆπ‹πˆ
Bawasili au hemorrhoids ni ugonjwa ambao unatokea pale ambapo mishipa ya damu( veins) inapotanuka na kujaa damu na kufanya mtu kuota vinyama kwenye sehemu ya haja kubwa.

Bawasili ipo ya aina mbili: kuna bawasili ya ndani na bawasili ya nje. Bawasili ya ndani vinyama huota kwa sehemu ya ndani ya haja kubwa na kwa bawasili ya nje vinyama huwa vinaota kwenye sehemu ya nje ya njia ya haja kubwa.

SABABU ZA BAWASILI :
1. Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu
2. Kunyanyua vitu vizito
3. Kukaa kwa muda mrefu
4. Kuharisha sana
5. Uzito mkubwa kupita kiasi
6. Umri mkubwa
7. Ujauzito

DALILI ZA BAWASILI:
1. Kutoka damu sehemu ya haja kubwa
2. Kupata maumivu sehemu ya haja kubwa
3. Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
4. Kupata muwasho sehemu ya haja kubwa.

Usihofu nimekuandalia suluhisho la uhakika na unapona kabisa huu ugonjwa.

Piga/whatsup.
0754096679
0687096671

Medical treatment and canceling ⁢

Je, umekuwa ukiteswa na bawasili kwa muda mrefu?
17/07/2024

Je, umekuwa ukiteswa na bawasili kwa muda mrefu?

MADHARA 10 YA VIDONDA VYA TUMBO.1. Kuvuja Damu Ndani Ya Mwili (Internal Bleeding And Serious Blood Loss)2. Upungufu Wa D...
17/07/2024

MADHARA 10 YA VIDONDA VYA TUMBO.
1. Kuvuja Damu Ndani Ya Mwili (Internal Bleeding And Serious Blood Loss)

2. Upungufu Wa Damu (Anemia)

3. Kutapika Damu

4. Kupata Kinyesi Cheusi K**a Cha Mbuzi

5. Kuvurugika Kwa Mfumo Wa Mmeng’enyo Wa Chakula (Obstructed Digestion)

6. Shida Katika Kupumua

7. Saratani Ya Tumbo (Stomach Cancer)

8. Msongo Wa Mawazo (Stress)

9. Kupungua Kwa Nguvu Za Kiume

10. Harufu Mbaya Ya Kinywa

Tunaweza Kukusaidia Kuondokana Na Changamoto Hii.

Mawasiliano:
0754096679
Karibu Nikuhudumie!

VIDONDA VYA TUMBO:MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO.Kunaweza kusiwe na DALILI za moja kwa moja za UGONJWA wa VIDONDA vya TUMB...
17/07/2024

VIDONDA VYA TUMBO:

MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO.

Kunaweza kusiwe na DALILI za moja kwa moja za UGONJWA wa VIDONDA vya TUMBO lakini Mara nyingi ishara zifuatazo zimekuwa zikijitokeza ,hivyo ni vema kumuona MTAALAM wa masuala ya AFYA ikiwa ni pamoja na kufanyiwa VIPIMO ili kubaini TATIZO - Maumivu makali nyakati hujapata chakula - Kutapika Mara kwa Mara
- Uchovu wa mwili
- Kukosa hamu ya chakula
- Kupungua uzito
- Mwili kukosa nguvu - Tumbo kujaa gesi
- Kutapika damu
- Magonjwa ya Ngozi
- Chronic Constipation

MADHARA YAKE
- Kufanyika kwa upasuaji mkubwa wa tumbo ili kuondoa eneo lote lililoathirika - Kushindwa Tendo la ndoa kwa jinsia zote hususani kwa wanaume kupungua kwa uwezo wa kufanya kazi . - Kulika kwa utumbo na hii hupelekea kuvuja damu kwa ndani - Kuharibu uti wa mgongo - Msongo wa mawazo .
- Kukosa au kupata choo kubwa ngumu na kidogo,kidogo mithiri ya mavi ya Mbuzi.
- Bila kuchukua hatua thabiti,Kifo hutokea

EDMARK SPLINA LIQUID CHLOROPHYLL NI SULUHISHO LA :-
Vidonda vya tumbo,
Kisukari,
Kuungua Moto,
Kujikata,
Ajali
Malengelenge n.k

EDMARK SPILINA Liquid Chlorophyll imetengenezwa kwa CHANIKIWITI itokanayo Na MMEA wa FURUSADI NYEUPE ( White mulberry ) wenye zaidi ya 20% ya UBORA ukilinganisha na Alfalfa

CHANIKIWITI hii ina MADINI zaidi ya 15 yanayoifanya SPLINA iwe na UBORA na UWEZO MKUBWA wa KUTIBU VIDONDA

BAADHI YA MADINI YANAYOPATIKANA KATIKA EDMARK SPLINA NI :- 1. ZINC
Haya hufanya kazi ya kuongeza kinga ya mwili.
Husaidia ujengwaji , na mgawanyiko wa SELI
Na kuongeza kasi ya kidonda kupona
2. VITAMIN C

Husaidia ufyonzwaji wa madini chuma mwilini ambayo husaidia tishu kushikamana hivyo kidonda kupona kwa haraka.Pia
Huzuia kansa na kuongeza kinga ya mwili
3. IRON

Husaidia kusambaza hewa ya oxygen mwilini
Hivyo kuzuia bakteria kuzalishwa, na kuziongezea nguvu cell dhaifu
4. CALCIUM
Husaidia utendaji kazi wa mwili mzima ikiwemo mifupa na mzunguko wa damu.
Mbali na madini hayo
SPLINA hupunguza na kuondoa ASIDI mwilini na kuongeza ALKALI, ili kuzuia mazalia ya bakteria mwilini
Bakteria wengi huishi katika mwili wenye ASIDI nyingi

Piga 0754096679
WhatsApp 0687096671

Address

Pobox
Dar Es Salaam
5545

Telephone

+255687096671

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya /uchumi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share