Doris Afya Care

Doris Afya Care nawasaidia watu kutatua changamoto za afya kupitia bizaa za virutubisho lishe

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi yanayohusisha viungo vya uzazi vya mwanamke, k**a vile mji wa mimba (ute...
31/10/2024

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi yanayohusisha viungo vya uzazi vya mwanamke, k**a vile mji wa mimba (uterus), mirija ya fallopian, na ovari. Mara nyingi husababishwa na maambukizi ya bakteria yanayosambaa kutoka kwenye uke hadi kwenye viungo vya uzazi.

Dalili mbaya za PID ni pamoja na:

1. Maumivu makali ya tumbo: Maumivu haya hasa huonekana kwenye sehemu ya chini ya tumbo na yanaweza kuwa ya muda mrefu.

2. Kutokwa na uchafu usio wa kawaida: Uchafu wa ukeni wenye rangi au harufu mbaya.

3. Homa na joto la mwili kuongezeka: PID inaweza kusababisha homa kali kutokana na maambukizi.

4. Kichefuchefu na kutapika: Hii hutokea hasa maambukizi yanapokuwa makali.

5. Kushindwa kufanya tendo la ndoa: Maumivu yanaweza kuwa makali wakati wa kujamiiana, na kufanya tendo hilo kuwa gumu au lisilowezekana.

6. Maumivu wakati wa kukojoa: Hii ni dalili nyingine ya PID, ambayo pia huashiria kuwa maambukizi yanaweza kuwa kwenye mfumo wa mkojo.

7. Kutokwa na damu bila mpangilio: Inaweza kusababisha damu kutoka nje ya siku za kawaida za hedhi.

Madhara ya PID yasipotibiwa ni pamoja na utasa, maumivu ya muda mrefu kwenye nyonga, na hatari kubwa ya kuwa na mimba zinazotunga nje ya mji wa mimba (ectopic pregnancy). Ni muhimu kutafuta matibabu ya haraka ikiwa unapata dalili hizi.
0627308334

31/10/2024

Dalili za hatari ya ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni k**a ifuatavyo:

1. Maumivu ya chini ya tumbo: Huu ni dalili kuu ya PID, ambapo mgonjwa hupata maumivu makali au ya wastani katika eneo la chini ya tumbo.

2. Maumivu wakati wa kujamiana: Wanawake wenye PID wanaweza kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.

3. Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni: Mara nyingi, wanawake wenye PID hukutana na uchafu wa rangi ya kijivu au njano na wenye harufu mbaya kutoka ukeni.

4. Homa: Watu wanaweza kupata homa au kuhisi joto la mwili kuongezeka.

5. Maumivu wakati wa kukojoa: PID inaweza kusababisha maumivu au hisia ya kuchoma wakati wa kukojoa.

6. Kutokwa na damu isiyo ya kawaida: Inaweza kusababisha damu kutoka isiyo ya kawaida, hasa kati ya vipindi vya hedhi.

PID ni ugonjwa unaoweza kuwa hatari endapo hautatibiwa kwa wakati kwani unaweza kusababisha matatizo k**a utasa au maambukizi ya kudumu katika mfumo wa uzazi. Ni muhimu kutafuta msaada wa matibabu haraka endapo una dalili hizi.

Nicheki 0627308334 Madam Dorice

nawasaidia watu kutatua changamoto za afya kupitia bizaa za virutubisho lishe

 .!   Femicare ndio tiba pekee inayokufaa, ukitumia Femicare inakupa uhakika wa kutibu kabisa;👉Fangasi sugu inayojirudia...
31/10/2024

.!
Femicare ndio tiba pekee inayokufaa, ukitumia Femicare inakupa uhakika wa kutibu kabisa;

👉Fangasi sugu inayojirudia
👉Kutibu U.T.I sugu inayojirudia
👉Kuondoa miwasho ukeni
👉Kuondoa maji maji machafu yenye harufu mbaya k**a shombo la samaki
👉Kuondoa bacteria wabaya ukeni na kuzalisha bacteria walinzi ukeni hivyo kuzuia ile hali ya kupata maambukizi ya mara kwa mara
👉Kusaidia kupata ute wa uzazi
👉Kuondoa ukavu ukeni
👉Kuondoa hali ya kupata maumivu wakati wa tendo
👉Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
â– Ni ya asili 100% haina kemikali hata asiye na changamoto anaruhusiwa kutumia.

●■□●■Habari njema ni kwamba Femicare inapatikana kwangu kwa bei ya ofa yani shilingi 38,000 tu, na hii ni ofa ya siku tatu, baada ya ofa itakuwa 65,000.
Wasiliana nami sasa hivi uwe wa kwanza kunufaika na ofa

Nipigie +255 627 308 334 au Bofya whtasap button hapo

    ■>Umechoshwa na Changamoto hizi kila siku??👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya👉Kuwasha sana ukeni👉Uke kutoa maji m...
29/07/2024


â– >Umechoshwa na Changamoto hizi kila siku??

👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya
👉Kuwasha sana ukeni
👉Uke kutoa maji maji machafu yenye harufu mbaya
👉Maumivu wakati wa tendo
👉Uke kuwa mkavu
👉Maumivu ya kiuno na mgongo
👉Maumivu makali chini ya kitovu
👉U.T.I sugu na fangasi sugu
👉Mimba kuharibika mara kwa mara
👉Hedhi kuvurugika
👉Mirija ya uzazi kuziba
👉Uvimbe kwenye kizazi
👉Kukosa ute wa uzazi
👉Mayai kushindwa kurutubishwa
👉Kupata maumivu wakati wa hedhi

●■□●■Pole kwa changamoto hizi ndugu yangu ila nikupe tumaini jipya Kwani nina package maalumu ya uzazi ambayo ukitumia itaenda kusaidia kutibu changamoto zote hizo na kurejea kwenye hali yako ya kawaida

Haijalishi umeteseka kiasi gani wasiliana nami leo
+255 627 308 334 MADAM Dorice uweze kuanza dozi yako, waweza nipigia au kutuma ujumbe au kuja whatsap moja kwa moja

TEZI DUME NA SARATANI YA TEZI DUME 685 474 527 Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaa...
18/07/2024

TEZI DUME NA SARATANI YA TEZI DUME 685 474 527

Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaani inapopanuka, hasa kwa wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka arobaini, hutatiza kukojoa.Ugonjwa huu unazidi kuongezeka duniani kwani watu wanaishi maisha marefu zaidi siku hizi.

Tezi dume ni nini na kazi yake ni nini?

Tezi dumeni kiungo kidogo na ni sehemu moja ya uzazi wa wanaume.Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo cha njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.Tezi dume ndiyo hutoa maji yabebayo mbegu (manii)ya mwanaume.

Tezi dume kupanuka

Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Huwa ni jambo la kawaida kwa karibu kila mwanaume mzee.Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .

Dalili za kupanuka kwa tezi dume

Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:

>Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
>Kupungua nguvu za kiume/uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
>Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
>Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
>Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
>Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
>Kibofu hakiishi mkojo.

Matatizo ya tezi dume iliyotanuka

Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:

>Mkojo kukosa kutoka kabisa
Wagonjwa wenye tatizo hili lazima wawekewe katheta ili kumimina mkojo.
>Madhara kwenye kibofu na figo
Kwa sababu ya kibofu kuwa na mkojo wakati wote, ukuta na misuli yake hupanuka na mwishowe hudhoofika hivi kwamba haiwezi kuzuia mkojo.
>Kwa sababu ya kibofu kujaa
mkojo hurudi kwenye figo na mwishowe huharibu figo.
>Ugonjwa wa tezi dume husababisha mkojo kutiririka polepole na mtu kukojoa mara nyingi hasa usiku.
>Maambukizi na mawe
Kwa sababu kibofu hakimimini mkojo wote kuna hatari kubwa ya maambukizi kwenye njia ya mkojo nakuwa na mawe kwenye kibofu.

Kumbuka
Kutanuka kwa tezi dume hakusababishi ugonjwa wa saratani.

Utambuzi wa kupanuka kwa tezi dume
Historia na dalili zikiashiria uwepo wa hali hii, basi uchunguzi ufuatao hufanywe.

Uchunguzi wa ukubwa wa tezi.

Uchunguzi huu hufanywa kwa kuingiza kidole chenye glavu nyuma hadi kwenye tezi dume. Daktari huweza kujua ukubwa na hali yake. Iwapo mtu ana ugonjwa huu tezi dume ni kubwa kuliko kawaida, laini na gumu yote pamoja. Iwapo tezi lina vifundo basi inaweza kuwa na kansa (saratani)au inaweza kuwa na kalsium.

Vipimo vya picha ya ultrasound na kiasi cha mkojo kwenye kibofu

Picha za ultrasound zinaweza kutathmini ukubwa wa tezi dume na kutambua shida zingine k**a kudhoofika kwa tezi,kupanuka kwa njia ya mkojo na kibofu au usaha.Picha hizi pia hutumika kutathmini kiwango cha mkojo unaobaki baada ya kukojoa. Ikiwa kiasi cha mkojo ni chini ya mililita hamsini,basi inaonyesha mkojo wa kutosha unatoka , mililita mia moja hadi mbili au zaidi huonyesha kuna kasoro na basi uchunguzi hufanywe.Kumbuka kipimo cha kidole nyuma na sonografia ni vipimo viwili muhimu kwa utambuzi wa kukua kwa tezi dume.

Kipimo cha nambari ya dalili
(Prostate Symptoms Score or index)
Kipimo hiki chenye chanzo chake Marekani huwezesha kutambua ugonjwa wa kibofu.Maswali yanayohusiana na ugonjwa huu huulizwa ili kutathmini matatizo yaliyopo. Hivyo kiasi cha shida iliyopo hujulikana kwa kuhesabu dalili zilizopo.

Dalili za tezi lililopanuka na saratani hufanana.Lazima uchunguzi wa kina ufanywe ili kujua ni ugonjwa upi mgonjwa anaugua kati ya haya mawili.
Matibabu ya tezi dume

KWA TIBA NA USHAURI
PIGA 0685474527

TEZI DUME NA SARATANI YA TEZI DUME685 474 527 Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaan...
18/07/2024

TEZI DUME NA SARATANI YA TEZI DUME
685 474 527

Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaani inapopanuka, hasa kwa wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka arobaini, hutatiza kukojoa.Ugonjwa huu unazidi kuongezeka duniani kwani watu wanaishi maisha marefu zaidi siku hizi.

Tezi dume ni nini na kazi yake ni nini?

Tezi dumeni kiungo kidogo na ni sehemu moja ya uzazi wa wanaume.Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo cha njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.Tezi dume ndiyo hutoa maji yabebayo mbegu (manii)ya mwanaume.

Tezi dume kupanuka

Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Huwa ni jambo la kawaida kwa karibu kila mwanaume mzee.Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .

Dalili za kupanuka kwa tezi dume

Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:

>Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
>Kupungua nguvu za kiume/uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
>Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
>Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
>Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
>Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
>Kibofu hakiishi mkojo.

Matatizo ya tezi dume iliyotanuka

Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:

>Mkojo kukosa kutoka kabisa
Wagonjwa wenye tatizo hili lazima wawekewe katheta ili kumimina mkojo.
>Madhara kwenye kibofu na figo
Kwa sababu ya kibofu kuwa na mkojo wakati wote, ukuta na misuli yake hupanuka na mwishowe hudhoofika hivi kwamba haiwezi kuzuia mkojo.
>Kwa sababu ya kibofu kujaa
mkojo hurudi kwenye figo na mwishowe huharibu figo.
>Ugonjwa wa tezi dume husababisha mkojo kutiririka polepole na mtu kukojoa mara nyingi hasa usiku.
>Maambukizi na mawe
Kwa sababu kibofu hakimimini mkojo wote kuna hatari kubwa ya maambukizi kwenye njia ya mkojo nakuwa na mawe kwenye kibofu.

Kumbuka
Kutanuka kwa tezi dume hakusababishi ugonjwa wa saratani.

Utambuzi wa kupanuka kwa tezi dume
Historia na dalili zikiashiria uwepo wa hali hii, basi uchunguzi ufuatao hufanywe.

Uchunguzi wa ukubwa wa tezi.

Uchunguzi huu hufanywa kwa kuingiza kidole chenye glavu nyuma hadi kwenye tezi dume. Daktari huweza kujua ukubwa na hali yake. Iwapo mtu ana ugonjwa huu tezi dume ni kubwa kuliko kawaida, laini na gumu yote pamoja. Iwapo tezi lina vifundo basi inaweza kuwa na kansa (saratani)au inaweza kuwa na kalsium.

Vipimo vya picha ya ultrasound na kiasi cha mkojo kwenye kibofu

Picha za ultrasound zinaweza kutathmini ukubwa wa tezi dume na kutambua shida zingine k**a kudhoofika kwa tezi,kupanuka kwa njia ya mkojo na kibofu au usaha.Picha hizi pia hutumika kutathmini kiwango cha mkojo unaobaki baada ya kukojoa. Ikiwa kiasi cha mkojo ni chini ya mililita hamsini,basi inaonyesha mkojo wa kutosha unatoka , mililita mia moja hadi mbili au zaidi huonyesha kuna kasoro na basi uchunguzi hufanywe.Kumbuka kipimo cha kidole nyuma na sonografia ni vipimo viwili muhimu kwa utambuzi wa kukua kwa tezi dume.

Kipimo cha nambari ya dalili
(Prostate Symptoms Score or index)
Kipimo hiki chenye chanzo chake Marekani huwezesha kutambua ugonjwa wa kibofu.Maswali yanayohusiana na ugonjwa huu huulizwa ili kutathmini matatizo yaliyopo. Hivyo kiasi cha shida iliyopo hujulikana kwa kuhesabu dalili zilizopo.

Dalili za tezi lililopanuka na saratani hufanana.Lazima uchunguzi wa kina ufanywe ili kujua ni ugonjwa upi mgonjwa anaugua kati ya haya mawili.
Matibabu ya tezi dume

KWA TIBA NA USHAURI
PIGA 0685474527

  DUME BILA UPASUAJI >>>>HII NDIO TIBA YAKEâ– Husaidia kutibu tezi dume bila upasuaji. â– Huondoa maumivu makali wakati wa k...
16/07/2024

DUME
BILA UPASUAJI
>>>>HII NDIO TIBA YAKE

â– Husaidia kutibu tezi dume bila upasuaji.
â– Huondoa maumivu makali wakati wa kukojoa
â– Huondoa ile hali ya kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
â– Huondoa uvimbe wa tezi dume bila upasuaji.
â– Hutibu tatizo la U.T.I sugu kwa wanaume
â– Huongeza nguvu za kiume
â– Husaidia uzalishwaji wa mbegu bora za kiume.

HAIJALISHI UKO WAPI KWA SASA NIPIGIE UWEZE KUIPATA LEO- +255 627 308 334

Na hii ipo kwenye ofa kwa 78,600 utapata chupa moja ya prostaterelax, baada ya hii ofa kuisha chupa moja utaipata kwa 98,000, hivyo ukinufaika kwenye hii ofa utakuwa umeweza kuokoa pesa nyingi sana zaidi ya 19,400
Kumbuka ofa ni siku 3 tu,
Nipigie sasa hiv uweze kupata dozi yako- +255 627 308 334
Au bofya whatsap button hapo

 .!   Femicare ndio tiba pekee inayokufaa, ukitumia Femicare inakupa uhakika wa kutibu kabisa;👉Fangasi sugu inayojirudia...
11/07/2024

.!
Femicare ndio tiba pekee inayokufaa, ukitumia Femicare inakupa uhakika wa kutibu kabisa;

👉Fangasi sugu inayojirudia
👉Kutibu U.T.I sugu inayojirudia
👉Kuondoa miwasho ukeni
👉Kuondoa maji maji machafu yenye harufu mbaya k**a shombo la samaki
👉Kuondoa bacteria wabaya ukeni na kuzalisha bacteria walinzi ukeni hivyo kuzuia ile hali ya kupata maambukizi ya mara kwa mara
👉Kusaidia kupata ute wa uzazi
👉Kuondoa ukavu ukeni
👉Kuondoa hali ya kupata maumivu wakati wa tendo
👉Kuongeza hamu ya tendo la ndoa
â– Ni ya asili 100% haina kemikali hata asiye na changamoto anaruhusiwa kutumia.

●■□●■Habari njema ni kwamba Femicare inapatikana kwangu kwa bei ya ofa yani shilingi 41,500 tu, na hii ni ofa ya siku tatu, baada ya ofa itakuwa 65,000.
Wasiliana nami sasa hivi uwe wa kwanza kunufaika na ofa

Nipigie +255 627 308 334 au Bofya whtasap button hapo

  DUME BILA UPASUAJI >>>>HII NDIO TIBA YAKEâ– Husaidia kutibu tezi dume bila upasuaji. â– Huondoa maumivu makali wakati wa k...
07/07/2024

DUME
BILA UPASUAJI
>>>>HII NDIO TIBA YAKE

â– Husaidia kutibu tezi dume bila upasuaji.
â– Huondoa maumivu makali wakati wa kukojoa
â– Huondoa ile hali ya kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
â– Huondoa uvimbe wa tezi dume bila upasuaji.
â– Hutibu tatizo la U.T.I sugu kwa wanaume
â– Huongeza nguvu za kiume
â– Husaidia uzalishwaji wa mbegu bora za kiume.

HAIJALISHI UKO WAPI KWA SASA NIPIGIE UWEZE KUIPATA LEO- +255 625 588 670

Na hii ipo kwenye ofa kwa 78,600 utapata chupa moja ya prostaterelax, baada ya hii ofa kuisha chupa moja utaipata kwa 98,000, hivyo ukinufaika kwenye hii ofa utakuwa umeweza kuokoa pesa nyingi sana zaidi ya 19,400,
Kumbuka ofa ni siku 3 tu,
Nipigie sasa hiv uweze kupata dozi yako- +255 625 588 670
Au bofya whatsap button hapo

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
123

Telephone

+255627308334

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Doris Afya Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram