22/10/2025
MWAMBIE MUMEO AACHEE KUTUMIA DAWA ZA VI**RA NA VUMBI LA CONGO.
IMEANDALIWA NA Dr khalifa rahbi
Katika karne hii ya 21 matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume yameongezeka kwa kasi kubwa si kwa vijana tu Bali hata kwa wazee.
Kutokana na hili wengi hutumia vidonge kwa ajili ya kuridhisha wapenzi wao,Baadhi ya dawa hizo ni MAARUFU SANA Mfano Vi**ra huleta athari ambazo siyo nzuri kiafya.
JINSI ZINAVYOFANYA KAZI.
Dawa hizi husababishwa mishipa ya damu kutanuka na kupelekea damu kupita kirahisi na pia kuongeza mzunguko wa damu kwenda katika sehemu za siri za mwanaume kupelekea uume kusimama kwa mda mrefu zaidi.
MADHARA YA DAWA HIZI NI.
🍎mapigo ya moyo kwenda kasi.
🍎maumivu ya kifua na mgongo.
🍎maumivu katika sehemu za siri pale uume unaposimama mda mrefu.
🍎kusikia kizunguzungu na maumivu ya kichwa.
🍎kutoona vizuri au kupoteza uwezo wa kuona.
NJIA MBADALA ZA KUPAMBANA NA TATIZO HILI.
👉🏽 punguza mawazo na kuwa katika hali ya utulivu wakati wa kushiriki na mwenza wako.
👉🏽fanya mazoezi pamoja na kupunguza uzito ili kupunguza mafuta mwilini ambayo mda mwingi huzuia damu kusambaa vizuri.
👉🏽Tafuna vitunguu swaumu pamoja na tangawizi au kunywa maji yake asbuh,mchana na jioni kwa wiki 2 mfululizo.
👉🏽kunywa maji ya kutosha.
👉🏽Tumia matunda k**a tango,tikiti,ndizi,parachichi,Karoti na karanga.
👉🏽epuka pombe kupita kiasi.
👉🏽Tibu magonjwa yakusumbuwayo yanayopelekea tatizo hili k**a BAWASIRI,KISUKARI,VIDONDA VYA TUMBO,MATATIZO YA MOYO,UZITO MKUBWA,ACHA PUNYETO,NA UDHAIFU WA MFUMO WA CHAKULA.n.k
N.B Nguvu za kiume ni suala mtambuka sana kwa hiyo dawa pekee ni kujijali diet na matunda elekezi utapona kabisa na utakuwa sawa na utasave ela yako,Na k**a utakuwa NA manii chache zisizo na uwezo wa kutungisha mimba tumia matunda niliyoelekeza na mafuta ya samaki,mhogo mibichi,karanga mbichi na mbegu za maboga. au tumia MFALME PLUS na coffee za asili kabisa upone juu ya ttz lako
NIKUACHE NA MASWALI MACHACHE LEO
🤔Je punyeto ina madhara?
🤔Tangu uanze punyeto mpaka sasa kuna mabadiliko au madhara yoyote?
🤔Je umejaribu Mara ngapi kuacha punyeto lakini unarufia pale pale?
Kwa majibu juu ya maswali hayo wasiliana nasi kwa maelezo zaidi
📞💬 0748 739 726