ELIMU YA AFYA BORA

ELIMU YA AFYA BORA karibun kujua kuhusu afya kma utakuwa n changamoto yoyote kuhusu afya uliza hapa au piga simu +255748730726

18/04/2025

Wewe mwanamke ambaye umechoka
Kudharauliwa na kusemwa
Kisa haujabahatika kubeba ujauzito
Leo nimekuletea suluhisho la tatizo lako
Hili suluhisho limesaidia wengi k**a wewe
Waliokua na changamoto ya Hormonal Imballance
Ambao hawapati hedhi
Wenye P.I.D Sugu
Kutopevusha mayai
Uke mkavu, n.k
Nipigie simu kwa namba: 0748739726
Au nitumie ujumbe what's app kwa kubonyeza link hiyo hapo chini
Watu wanapona hiyo shida yako na wanatimiza ndoto zao
Usikubali kuchekwa na kusemwa kila siku
Nipigie simu nikuaidie
Napatikana Mwenge, Tanzanite-Tower, Dar es Salaam

03/04/2025
11/02/2025

Call 0748739726

Kuna kulia kwa aina MBILI.1. Kulia kwasababu ya matatizo au changamoto2. Kulia kwasababu ya FURAHA🫃🫃🫃 Nakuombea kwa Mung...
11/02/2025

Kuna kulia kwa aina MBILI.

1. Kulia kwasababu ya matatizo au changamoto
2. Kulia kwasababu ya FURAHA🫃🫃🫃

Nakuombea kwa Mungu wewe ambaye umekuwa na kilio Cha uchungu.

Mwaka huu kabla haujaisha ulie kwasababu ya furaha ya kuwa mama kija🫃🫃 na hatimaye Unyonyeshe mtoto wako👩‍🍼👩‍🍼👩‍🍼👩‍🍼

Tuwasiliane leo

25/11/2024
SIFA ZA MWANAMKE MWENYE UWEZO WA KUBEBA MIMBA NA KUJIFUNGUA SALAMA✍️ Hii ni baada ya kupokea Changamoto na malalamishi m...
05/11/2024

SIFA ZA MWANAMKE MWENYE UWEZO WA KUBEBA MIMBA NA KUJIFUNGUA SALAMA

✍️ Hii ni baada ya kupokea Changamoto na malalamishi mengi kutoka kwa akina mama hasa wanaotafuta watoto.
Zipo sifa kadhaa zitakazokufanya wewe mwanamke uweze kubeba mimba na kujifungua salama...

👉 Mji wa mimba uwe salama.
Tunapozungumzia usalama wa mji wa mimba tugusa maeneo ya nje na ndani ya mji wa mimba. Ikiwemo kutokua na Changamoto k**a UVIMBE nje na ndani ya mfuko wa mimba.

👉 Uwiano sawa wa hormones (projesterone & Oestrogen).
Hormones zikiwa katika uwiano sawa inakua ni rahisi zaidi kuweza kubeba mimba na kulea mimba hadi kujifungua.
Kutokua sawa kwa hormones kunapelekea kukosa hedhi ukiwa bado katika wakati wa kuzaa. Pia inaweza pelekea kupata damu nyingi na kwamda mrefu wakati wa hedhi

👉 Usalama wa mirija ya uzazi(fallopian tube).

Wanawake wengi wamekua wakikubwa na hii Changamoto ya mirija kuwa na Changamoto ikiwepo
‼️kuziba kwa mirija.
‼️ Mirija kujaa maji.
Uwezo wa mwanamke kubeba mimba unahitaji usalama wa mimba wasiliana nasi kwa namba #0748739726

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255748739726

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ELIMU YA AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to ELIMU YA AFYA BORA:

Share