uzazi bora kwa wanaume

uzazi bora  kwa wanaume Nawasaidia kutatua changamoto hizi kwa wanaume;
1.Saratani ya tezi dume
2.Magonjwa ya ini
3.Kisukari

WANAWAKE HAWANA SILI JAMANIBwana ee juzi hapa kuna ugomvi uulitokea ngumi za maana na matusi juu kati ya marafiki wawail...
20/09/2024

WANAWAKE HAWANA SILI JAMANI

Bwana ee juzi hapa kuna ugomvi uulitokea ngumi za maana na matusi juu kati ya marafiki wawaili wakike walizozana kwa muda mrefu sanaa wakajaza watu

Basi ikabidi watu waulize jmani ninyi si marafiki sanaa shida ni nini mpaka mnagombana kiasi hjiki maana hatujawai kusikia mna gombanamaana mnajiita ma BFF mmoja akadakia BFF gani anaweza kukuibia mwanaume yaani anathubutu kutembea na bwana aangu

Basi watu wakaanza kushaangaaa yule mwingine pia akajibu ndio nimetembea nae kwahiyo unasemaje na siwezi kumuacha wakaanza kupigana tena watu wakawatenganisha

Basi watu wakauliza wewe ilikuaje ùkachukua Bwana wa watu akasema shogaangu alikuaja akanitambia akanambia bwanaake huwa anampa shoo za maana wakiwa kitandani basi mm nikatamani kuwa nae

Nikaazima simu yake na lengo langu ilikua kuchukua namba ya banaake mim nikaongeanae nikamuweka kwenye mitego yangu akana sa sasa mm kosalangu nini mwanaume mwenyewe angekataa

Basi yule mwenye Bwana akawa analia tu sasa hajui nini afanye watu ndio kumwambia kunavitu vya kuwaambia watu yaani unawaonesha watu ng'ombe anaekupa maziwa ndio usha chululiwa sasa

Je kwamfano wewe ndio mwanaume mdada akakutongoza utakataa?

By the way k**a unachangamoto hizi hapa chini usisite kunitafuta

Unawahi kufika kileleni
Huna ham ya tendo

Uume unasimama legelege

Huwezi kuludia tendo

Nicheki kwa whatsapp namba 0753737167

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘• Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa Usiku• Kuhisi maumivu Wakati wa kukojoa• Kupoteza ...
12/09/2024

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘

• Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa Usiku
• Kuhisi maumivu Wakati wa kukojoa
• Kupoteza Nguvu za kiume kwa kasi na kupoteza hisia Kabisa kwa kasi.
• Mkojo hutoka kwa kasi ndogo sana na hauruki mbali.
• Baada ya kukojoa hujihisi mkojo umebaki kwenye kibofu.
• K**a tatizo la Tezi Dume limefika Stage kubwa mtu huyo huanza kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu.
• Maumivu kwenye kiuno/ nyonga.

𝗡𝗕 : Sio lazima uone dalili zote unaweza kuona baadhi ya dalili hasa k**a upo miaka 40+.

Tupigie kwa msaada zaidi na Suluhisho la kudumu upone bila Upasuaji.
𝗖𝗮𝗹𝗹/ 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗔𝗽𝗽
𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘

• Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa Usiku
• Kuhisi maumivu Wakati wa kukojoa
• Kupoteza Nguvu za kiume kwa kasi na kupoteza hisia Kabisa kwa kasi.
• Mkojo hutoka kwa kasi ndogo sana na hauruki mbali.
• Baada ya kukojoa hujihisi mkojo umebaki kwenye kibofu.
• K**a tatizo la Tezi Dume limefika Stage kubwa mtu huyo huanza kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu.
• Maumivu kwenye kiuno/ nyonga.

𝗡𝗕 : Sio lazima uone dalili zote unaweza kuona baadhi ya dalili hasa k**a upo miaka 40+.

Tupigie kwa msaada zaidi na Suluhisho la kudumu upone bila Upasuaji.
𝗖𝗮𝗹𝗹/ 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗔𝗽𝗽
+255753837167

TUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEUpungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufan...
05/09/2024

TUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu.
::
CHANZO CHA TATIZO
✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍️Kisukari
✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi
✍️Matumizi ya madawa mbalimbali ya kutuliza maumiv
✍️Umri hasa wazee
✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍️Kuwa na tatizo la kibofu
✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu
✍️Kutopata usingizi kamili
✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
::
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
✍️Kuwahi kufika kileleni
✍️Kukosa hamu ya mapenzi
✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
:::
DOZI ZETU ZITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
:::
NDIO MAANA TUMEWEKA BIDHAA ZINAZOGUSA KILA ENEO, KWANI LENGO LETU NI KUMALIZA CHIMBUKO AU MZIZI WA TATIZO.
Wasiliana nasi
0753737167

TUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEUpungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufan...
04/09/2024

TUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu.
CHANZO CHA TATIZO

✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍️Kisukari
✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi
✍️Matumizi ya madawa mbalimbali ya kutuliza maumiv
✍️Umri hasa wazee
✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍️Kuwa na tatizo la kibofu
✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu
✍️Kutopata usingizi kamili
✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

✍️Kuwahi kufika kileleni
✍️Kukosa hamu ya mapenzi
✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
DOZI ZETU ZITAKUSAIDIA;

👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
NDIO MAANA TUMEWEKA BIDHAA ZINAZOGUSA KILA ENEO, KWANI LENGO LETU NI KUMALIZA CHIMBUKO AU MZIZI WA TATIZO.
Wasiliana nasi
Simu/whatsapp: +255753737167

02/09/2024

*DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI*

*✍🏻Kukojoa mara kwa mara:*
Jee, umekuwa na tabia ya kwenda kupata haja ndogo mara kwa mara? K**a jibu ni ndiyo, basi figo zako sasa haziwezi kuirudisha glucose kwenye mfumo wa damu na badala yake zinachukua maji kutoka kwenye damu na kusababisha kibofu kijae mara kwa mara.

*✍🏻Kiu Isiyoisha:*
K**a unakojoa mara kwa mara, utapata kiu isoisha kwa sababu mwili unahitaji kurudisha maji uliyopoteza kwenye mkojo.

*✍🏻Njaa Kali:*
K**a isulin yako haifanyi kazi au k**a huna insulin, mwili wako unakosa glucose ya kuupa nguvu. Katika kutafuta njia nyingine ya kupata nguvu, mwili utakuwa na njaa ili uupatie chakula.

*✍🏻Kuongezeka kwa uzito (unene):*
Hii inatokana na dalili ya kusikia njaa kali, na kula kila saa au kula kupita kiasi.

*✍🏻Kupungua uzito kusiko kawaida:*
Hili huwatokea zaidi wagonjwa wa Type 1 Diabetes kwa sababu kwa kukosa insulin na seli kukosa chanzo cha kupata nguvu, mwili huanza kuvunjavunja misuli na kuyeyusha mafuta ya mwili ili upate nguvu hiyo, hali inayochangiwa zaihttps://www.uzaziborakwamwanaume.online au pg sm 07 53737167

*MADHARA YANAYOWEZA KUJITOKEZA KUFUATIA KUNYONYA UUME/UKE!!!* Kitendo hiki ni pale mwanamke anapoweka uume wa mwenza wak...
26/08/2024

*MADHARA YANAYOWEZA KUJITOKEZA KUFUATIA KUNYONYA UUME/UKE!!!*

Kitendo hiki ni pale mwanamke anapoweka uume wa mwenza wake mdomoni mwake na kuanza kunyonya k**a p**i au mwanaume kuingiza ulimi ukeni pamoja na kunyonya via vya mwanamke pindi wapenzi hawa wawapo faragha.

Kumekua na ongezeko la kitendo hiki kwa vijana na imekua k**a ni sehemu ya mahaba kwa wapenzi hata inafikia hatua mwanaume *ANAONA MKE/MPENZI WAKE Ni (Mshambaa) HAJUI MAHABA K**A HAJAMNYONYA UUME AU MWANAMKE KUONA HIVYO ASIPONYONYWA YEYE.VILE VILE KUNA WANAWAKE WANAONA KUFANYA MAPENZI BILA KUNYONYA NI USHAMBA.*

Vyumbani mambo mengi sana hutokea katika suala zima la mapenzi, nitaenda kusema kwa ufupi madhara ya kunyonya.

1.KISONONO CHA KOO.
K**a unafanya hiki kitendo halafu ukute mwanamke/mwanaume ana magonjwa ya zinaa k**a kisonono inakua rahisi kwa mnyonyaji kuambukizwa. Kumbukeni k**a mwanamke ana kisonono sio rahisi kumgundua k**a ilivyo kwa mwanaume.

*2.SARATANI YA KOO.*
Hii hasa huwapata* wanawake ambao hupenda kunyonya uume wanaume wengi na hivyo kuwaweka katika hatari ya kuambukiwa vimelea wanaosababisha saratani hiyo mfano HPV.

*3.KUBADILISHANA VIJIDUDU (BACTERIA )*
K**a wote tunavofahamu ya kwamba kwenye miili yetu kuna vijidudu (bacteria) Rafiki (normal flora); sasa hao bacteria wakiingia sehemu ambayo sio yake huleta madhara kwani wameingia eneo ambalo hawajazoea, wataingia sehemu mpya kwa kuwanyonya kutoka kwa mwanamke au mwanaume. Hii inaweza isilete madhara mapema lakini uendeleaji wa kunyonya nyonya wanaume au wanawake wengi mara kwa mara hupelekea kupata madhara mengi na mengine ni magumu kutibu.

4. Kupata madonda mdomoni.

5. Kujiweka katika hatari ya kupata saratani za mdomo, ulimi nk.

Kupitia hili pia ijulikane kwamba mwili una bacteria wa faida ambao kitaalamu hutambulika k**a Normal flora.

Normal flora hao wapo mdomoni, Ukeni (Wa ukeni husafisha uke na kuweka mazingira ya ukeni tofauti na sehemu zingine ), Puani, Na maeneokhttps://www.uzaziborakwamwanaume.online

23/08/2024
MADHARA YA UZITO MKUBWA AU KITAMBI.•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••Katika hali isiyo ya kawaida...
21/08/2024

MADHARA YA UZITO MKUBWA AU KITAMBI.
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Katika hali isiyo ya kawaida watu wengi wamekuwa wakihangaika na maradhi mbali mbali yasiyoisha kwa muda mrefu huku chanzo kikiwa ni uzito mkubwa. Tatizo la uzito limekuwa kero na tishio kwa watu wengi hasa waishio mijini.

Takwimu zinaonyesha kuwa ongezeko hilo limekuwa kubwa katika karne hii ya 21 kutokana na aina ya maisha tunayoishi yaani Vyakula, mifumo ya kazi,usafiri na kutokufanya mazoezi.

MADHARA YA UZITO MKUBWA.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Kitaalamu binadamu hutakiwa kuwa na uzito sahihi kulingana na umri, urefu na uzito wake hivyo basi k**a uzito utapishana kwa asilimia kadhaa kuna baadhi ya athari zinaweza kujitokeza k**a;

•Kuongezeka kwa shinikizo la damu hii ni kutokana na mishipa ya damu kubanwa na mafuta
•Kuongezeka kwa sukari au glucose kwenye damu hii ni kutokana na sukari kuanza kuganda katika mirija ya damu
•Miguu kuvimba na kuuma sababu ya presha ya mwili kuwa kubwa
•Maradhi ya moyo (coronary diseases)
•Kuvurugika kwa homoni
•Maradhi ya presha ya kupanda
•Kuathirika kwa mfumo wa uzazi hasa kwa wanaume
•kuchelewa kushika ujauzito sababu ya kuwa na mafuta katika fuko la uzazi
•Kuathirika kwa mfumo wa nerves hasa za uti wa mgongo

NINI CHA KUFANYA.
--------------------------------
Fanya yafuatayo ili kuepuka au kudhibiti uzito.
1. Kula kwa usahihi kwa kuzingatia kiwango, aina, muda wa kula
2. Fanya mazoezi ya viungo walau mara 3 hadi 4 kwa wiki hasa kukimbia, kuendesha baiskeli, kuogelea, push ups, sit ups n.k
3. Kunywa maji kulingana na BFR yako (Body Fluid Requirement)
4. Pata muda wa kutosha kupumzika hasa usiku
5.kuna package zishandaliwa unalipia unaanza kutumia kwa wanaohitaji ambao hawana muda wakufanya mazoezi Wala diet

Mwisho k**a umekuwa na changamoto ya uzito na hujui cha kufanya au umejaribu njia nyingi bila mafanikio usijali lipo suluhisho

Hata k**a sio wewe basi unae mtu/rafiki/ ndugu mwenye tatizo k**a hili msaidie kwa kumpa taarifa ili aweze kupata matibabu

KWA MATIBABU NA USHAURI Whatsap 0753737167

Tatizo la KIUNO na MGONGO.HUSABABISHWA na vyanzo mbalimbali ikiwemo.🍓KULIKA na KUSAGIKA Kwa baadhi ya  PINGILI  kwenye U...
15/08/2024

Tatizo la KIUNO na MGONGO.

HUSABABISHWA na vyanzo mbalimbali ikiwemo.

🍓KULIKA na KUSAGIKA Kwa baadhi ya PINGILI kwenye UTI wa mgongo

🍓Matumizi ya dawa za Muda mrefu K**a dawa za SUKARI ,TB na kufubaza virusi VYA ukimwi.

🍓Kupungua na kuisha Kwa madini na vitamini zinazoimarisha na kujenga mifupa

🍓 Aina ya KAZI mtu anayofanya ikiwemo kukaa ,kusimama Muda na kunyanyua mizigo mizito kupita kiasi.

🍓Kulalia godoro lenye mabonde au mkao MBAYA Kwa Muda mrefu.

🍓Kuisha Kwa Ute na KUSAGIKA Kwa gegedu kwenye maungio.

MADAHARA YA TATIZO.👌👌
👌 Kushindwa kushiriki tendo takatifu la ndoa😭😭.

👌Kushindwa kufanya KAZI za kawaida za Kila siku.

👌 Kushindwa kutembea Muda mrefu.

👌 Maumivu MAKALI na Kukosa usingizi.

👌Kupata Ganzi kwenye viungo ambayo Kwa muda mrefu kupotea Mawasiliano ya Baadhi ya viungo.

👌Kuweka usugu wa TATIZO.

👌 Kuathiri pingili zingine na kuhama Kwa PINGILI.

👌 Kupata mawazo hivyo hupelekea Kupata Magonjwa mengine K**a pressure na vidonda VYA Tumbo.

TIBA.
Pata sulu Sasa tumia Bidhaa za Virutubisho Lishe ni nzuri zaidi

Wasiliana nasi kwa
0753737167

*UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..*1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .2.Uume unas...
14/08/2024

*UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..*

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa baada au kabla ya tendo la ndoa

7.kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8.Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tubia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .

Kwa msaada zaidi:

Tuma neno AFYA kwenda WhatsApp number 0753737167 au Piga Simu 0753737167usaidiwe Mapema

*UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..*1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .2.Uume unas...
14/08/2024

*UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..*

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa baada au kabla ya tendo la ndoa

7.kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8.Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tubia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .

Kwa msaada zaidi:

Tuma neno AFYA kwenda WhatsApp number 0753737167au Piga Simu usaidiwe Mapema
Kwa namba 0753737167

Address

Dar-es-Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when uzazi bora kwa wanaume posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram