Health for people

  • Home
  • Health for people

Health for people Nawasaidia watu kijikinga na maradhi na kutibu magonjwa mbalimbali kwa kutumia dawa za asili/tiba mba

30/10/2022
30/10/2022

KITU GANI HASA KINAKUFANYA UNAKOSA AMANI KABISA?? Nipigie tuzungumze 0757694373

MKOMBOZI WA MWANAMKE.. Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya nane na ni maalumu kwa kutibu na kumaliza m...
25/10/2022

MKOMBOZI WA MWANAMKE..
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya nane na ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya mfumo wa uzazi kwa asilimia 100%. K**a ifuatavyo.
1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu

3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D sugu

4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.

8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango).

9⃣ inaondoa michubuko ukeni,..NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA.

Epuka aibu sasa fika ofisin kwetu Wasiliana nami kwa WhatsApp. https://wa.me/message/VSMNO3UAIXXMG1

Na shuhuda zinazidi kuongezeka kila kukicha

14/10/2022

MADHARA YA PID, FUNGUS NA UTI KWA MWANAMKE

1/kukosa hamu ya tendo
2/Mirija kuziba ya uzazi
3/kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
4/Uke kulegea kutokan na shambulio linalo endelea
5/kupata vimelea vya KANSER
6/Kuwashwa ndan ya tundu la uke ,na mashavu ya uke
7/kupata UVIMBE kweny mashav ya uke shambulio linapokua kubwa
8/Kupata period chafu (damu yenye kunuka vibaya)
9/Maumivu makali ya mgongo, kichwa, na tumbo chini ya kitovu muda mwingin maumiv wakat wa tendo (usisingizie umewekwa stly mbaya)
10/Kukosa Mimba/kutoshika ujauzoto kwa wakati muafaka

Usisahau ku-follow page kwa mafunzo zaidi ya kiafya

Kuondoa tatizo wasiliana nami kwa mawasiliano
WhatsApp call sms
0757694373

Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (o***y), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya ma...
11/10/2022

Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (o***y), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke.

Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana k**a OVARIAN CYST.

Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito.

Lakini kwanza hebu tuelezee juu ya mayai ya mwanamke. Kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto kwake.

Mayai haya hupatikana pembezoni mwa mfuko wa uzazi (uterus). Tukiangalia tunaona kuwa wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo hili mara kwa mara. Hata hivyo aina ya uvimbe huu hasa ule ambao tayari umeshapasuka unaweza kusababisha dalili mbaya zaidi. Napenda kuwashauri wapendwa kinamama, ili kuidhibiti afya yako, yafaa ukawa unapata vipimo kila mara na kutambua dalili ambazo zinaweza kuonyesha ishara ya tatizo hili.

KWA USHAURI NA TIBA TUPIGIE 0757694373 ILI KUPATA HUDUMA KWA HARAKA ZAIDI.

SWIPE KUONA ZAIDI. HAKIKISHA OFA HII HAIKUPITI NJOO DM AU NIPIGIE 0757694373 TUWASILIANE
10/10/2022

SWIPE KUONA ZAIDI. HAKIKISHA OFA HII HAIKUPITI NJOO DM AU NIPIGIE 0757694373 TUWASILIANE

*UKAVU UKENI*Kwa kawaida uke wa mwanamke unapaswa uwe au ute ambao huongezeka wakati wa tendo la ndoa lakini kwa baadhi ...
10/10/2022

*UKAVU UKENI*

Kwa kawaida uke wa mwanamke unapaswa uwe au ute ambao huongezeka wakati wa tendo la ndoa lakini kwa baadhi ya wanawake wamekua wakikosa raha wakati wa tendo la ndoa kutokana na uke kuwa mkavu. Sababu kubwa ya ukavu ukeni ni kushuka kwa kiwango cha homoni ya k**e ya ostrojeni ambayo ndio ina kazi ya kufanya uke uwe na ute na laini wakati wote.

*SABABU ZA UKE KUWA MKAVU:*
• Ukomo wa hedhi.
Hii ndio sababu kuu ya uke kukosa unyevu nyevu kutokana na kushuka kwa kiwango cha homoni ya ostrojeni mwilini. Wengi hudhani tatizo litaisha baada ya mda lakini ukweli ni kwamba tatizo huongezeka siku zinavyozidi kwenda k**a halijatafutiwa ufumbuzi.

• Kujifungua na kunyonyesha kutokana na kushuka kwa kiwango cha ostrojeni
• Ukosefu wa maandalizi ya kutosha kabla ya tendo la ndoa
• Msongo wa mawazo, hofu, historia mbaya ya ngono na shida nyingine za kisaikolojia
• Matibabu ya vimbe kwenye uzazi, saratani, allergy
• Uvutaji wa sigara
• Upasuaji kuondoa mifuko ya mayai
• Sabuni, lotion, manukato yatumikayo ukeni
• Kukosa hamu ya kufanya mapenzi husababisha ukavu na ukavu husababisha kukosa hamu

*UKAVU UKENI HUAMBATANNA NA DALILI NYINGINE K**A:*
• Maumivu na kuungua hasa wakati wa tendo la ndoa
• Michubuko, miwasho, kuungua sehem ya ukeni
• Kutokwa matone ya dam baada ya tendo
• Kupungua kwa hamu ya tendo

*MATOKEO MABAYA AU MADHARA YA UKE KUWA MKAVU*
• Michubuko ukeni
• Hatari ya maambukizi ya bacteria au fungus
• UTI (maambukizi kwenye njia ya mkojo) zinazojirudia
• Kutokufika kileleni na kutokufurahia mapenzi
• Kutokujiamini

*TIBA ASILIA YA UKE MKAVU* *Pata dose asili zenye kurekebisha homoni za k**e yan oestrogen ili ziweze kurejesha Ute Ute wa kutosha Ukeni na kuondoa maambukizi mengine yanayosababisha uke kuwa mkavu. Tunatoa huduma hizi popote ulipo, kila aliyenitafuta na kupata dose hizi tatizo lake limeisha kabsa. K**a una changamoto hii nitafute pia nikuelekeze wapi pa kupata suluhisho lako.*

*MWANAMKE UNAESUMBULIWA NA MATATIZO MBALI MBALI K**A VILE*➡️ FANGASI SUGU, ➡️U.T.I SUGU, ➡️P.I.D,(PELVIC IMFLAMATORY DIS...
08/10/2022

*MWANAMKE UNAESUMBULIWA NA MATATIZO MBALI MBALI K**A VILE*
➡️ FANGASI SUGU,
➡️U.T.I SUGU,
➡️P.I.D,(PELVIC IMFLAMATORY DISEASE)
➡️ KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI,
➡️ KUTOKWA NA MAJI MACHAFU UKENI,
➡️UGUMBA WA MUDA MREFU,
➡️KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI,
➡️MVURUGIKO WA HORMONE(HORMONE IMBALANCE)
➡️MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI,
➡️UVIMBE KWENYE KIZAZI,
➡️MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
➡️USIKATE TAMAA SULUHISHO LA KUDUMU LIPO TUMIA TIBA ZETU SASA.
➡️KUKOSA HEDHI KWA MDA MREFU

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
USIKATE TAMAA YA KUPONA KWA KUWA UMETUMIA TIBA MBALI MBALI BILA MAFANIKIO TUMIA TIBA ZETU SASA UTAMALIZA KABISA TATIZO LAKO NA HALITOJIRUDIA TENA

K**A UNASUMBULIWA NA MATATIZO HAYA TAFADHALI WASILIANA Nami Kwa Namba Whatsapp 0757694373 PIGA SIMU PIA 0757694373 AU gusa link kujifunza zaidi https://youtu.be/_Fhf_6mkJkg

Ovulation ni kipindi ambacho yai la mwanamke linatoka kwenye o***y (sehem ambayo mayai hutengenezwa ) kuja kwenye Mrija ...
08/10/2022

Ovulation ni kipindi ambacho yai la mwanamke linatoka kwenye o***y (sehem ambayo mayai hutengenezwa ) kuja kwenye Mrija - follopian tube (sehem ambayo mimba hutungwa)
Kitendo hiki kinakuwa controlled na LT HORMONME - lutenizing hormone kwa kutoa yai kwenye o***y kuja kwenye folopian tube.
Hiki kitendo hutokea mid cycle - Katikati ya Menstral cycle yaan siku ya 14 kwa Wale wenye mzunguko Wa siku 28 .
Siku hii huambatana na dalili nyingi ikiwemo Utewauzazi, hamu ya kufanya tendo la ndoa
pressure kupanda kidogo

K**a hauoni huu ute wa Ovulation na hizi dalili zingine katika hiki kipindi kuna uwezekano mkubwa Wa tatizo la hormone imbalances na likihusishwa moja kwa moja na LUTENIZING HORMONE NA ESTROGEN HORMONE.
Kwa elimu zaidi ya uzazi na matibabu .
PIGA 0757694373

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255757694373

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health for people posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health for people:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram