03/08/2024
💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).
Call 📞 📲 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲
🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%
𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
▶️Uke kuwa mkavu
▶️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
▶️Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
▶️Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
▶️Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
▶️Uchovu wa mara kwa mara.
▶️Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
▶️Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
▶️Ongezeko la tumbo na nyama uzembe.
▶️Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k).
▶️Kupata hedhi wakati wa ujauzito
▶️Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
▶️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.
𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐈𝐍𝐈
➡️Kupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
➡️Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
➡️Mimba kuharibika mara kwa mara
➡️Kukosa mtoto au Ugumba.
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
➡️Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
➡️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
➡️Kuziba kwa mirija ya uzazi.
➡️kupatwa na saratani ya kizazi
➡️Uvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovariancysts).
𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia
☎️ 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲
☎️ 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲