AfyaCare International

AfyaCare International TUNATOA HUDUMA BORA ZA AFYA �
• Kisukari (Diabetes)
• Tezi Dume (Prostate)
• Mifupa na Maungio

MEN MEN MEN 🔥🔥💪MAKE SURE YOU DON'T MIS THIS EVENT.
25/11/2025

MEN MEN MEN 🔥🔥💪MAKE SURE YOU DON'T MIS THIS EVENT.

19/11/2025

Bawasili ni hali inayotesa watu wengi sana hivi Leo, K**a unachangamoto K**a hii tafadhali wasiliana nasi;

Ikiwa unaona baadhi ya changamoto K**a hizi nitafute haraka Sana
√kuwashwa sehemu ya haja kubwa mara kwa mara
√kushindwa kuzuia mkojo mara tu unahisi haja mdogo
√kupata choo kigumu
√kuharisha Sana
√kuota kinyama nje au ndani ya sehemu ya haja kubwa
√kutokwa na damu wakati wakujisaidia
√kupelekea upungufu wa nguvu za kiume
√inafanya mzunguko wa hormones kuvurugika.

Nimesaidia WATU wengi sana K**a unapata hii changamoto usisite kunipigia kupata suluhisho la tatizo.

0753423031
0753423031

14/10/2025

𝗠𝗣𝗔𝗞𝗔 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗘𝗪𝗔𝗦𝗔𝗜𝗗𝗜𝗔 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝟯𝟱𝟰𝟲 𝗞𝗨𝗣𝗢𝗡𝗔 𝗞𝗔𝗕𝗜𝗦𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦) 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜👇
Ndugu yangu, tunajua maumivu ya bawasiri si madogo, Kila siku kukaa ni shida, kwenda chooni ni hofu, na umekuwa ukijaribu dawa nyingi bila Mafanikio 😔Usiendelee kuumia Tuna suluhisho la Asili na uhakika kwaajili yako.
Tunatoa Matibabu salama, ushauri wa kitaalamu na huduma ya upendo hadi upone kabisa. ❤️

"𝘾𝙃𝙐𝙆𝙐𝘼 𝙏𝘼𝙃𝘼𝘿𝙃𝘼𝙍𝙄 𝙈𝘼𝙋𝙀𝙈𝘼 𝙆𝘼𝘽𝙇𝘼 𝙔𝘼 𝙏𝘼𝙏𝙄𝙕𝙊 𝙇𝘼𝙆𝙊 𝙃𝘼𝙇𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼 𝙆𝙐𝘽𝙒𝘼 𝙕𝘼𝙄𝘿𝙄" 🏥✅

Usisite kuwasiliana nasi kwa msaada wa haraka, maelezo zaidi
📞| +𝟮𝟱𝟱𝟳𝟱𝟯𝟰𝟮𝟯𝟬𝟯𝟭
📞| +𝟮𝟱𝟱𝟳𝟱𝟯𝟰𝟮𝟯𝟬𝟯𝟭

16/08/2025

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?

MSHAURI:

➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti

Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)

1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.

MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;

1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.

Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,

Whatsap 0753423031

16/08/2025

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?

MSHAURI:

➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti

Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)

1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.

MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;

1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.

Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,

Whatsap 073423031

16/08/2025

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?

MSHAURI:

➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti

Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)

1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.

MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;

1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.

Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,

Whatsap 0753423031

05/10/2024

𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗝𝗜𝗣𝗬𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗜𝗪𝗔 𝗨𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔𝗝𝗜 - 𝟮𝟬𝟮𝟰
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (𝗣𝗥𝗢𝗦𝗧𝗔𝗧𝗘 𝗚𝗟𝗔𝗡𝗗) Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa Kiume, Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo, Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele, Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa Mwanaume, Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4, lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 👇
🍀 Kukojoa Mara kwa mara.
🍀 Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
🍀 Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
🍀 Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
🍀 Kupungukiwa nguvu za kiume.
🍀 UTI ya Mara kwa mara.
🍀 Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
🍀 Figo kujaa maji.
🍀 Kupoteza fahamu.
🍀 Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
🍀 Uume kushindwa kusimama vizuri.
🍀 Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

𝗔𝗧𝗛𝗔𝗥𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗪𝗔𝗛𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 👇
✍️ Kushindwa kabisa kukojoa.
✍️ Kupatwa na maambukizi ya UTI.
✍️ Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
✍️ Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
✍️ Figo inaweza kuharibika.
✍️ Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer)
✍️ Kifo 😥

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️ 𝟬𝟲𝟴𝟯 𝟲𝟮𝟱 𝟵𝟲𝟵
☎️ 𝟬𝟲𝟴𝟯 𝟲𝟮𝟱 𝟵𝟲𝟵

03/08/2024

💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).
Call 📞 📲 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲
🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%

𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
▶️Uke kuwa mkavu
▶️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
▶️Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
▶️Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
▶️Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
▶️Uchovu wa mara kwa mara.
▶️Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
▶️Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
▶️Ongezeko la tumbo na nyama uzembe.
▶️Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k).
▶️Kupata hedhi wakati wa ujauzito
▶️Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
▶️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐈𝐍𝐈
➡️Kupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
➡️Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
➡️Mimba kuharibika mara kwa mara
➡️Kukosa mtoto au Ugumba.
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
➡️Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
➡️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
➡️Kuziba kwa mirija ya uzazi.
➡️kupatwa na saratani ya kizazi
➡️Uvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovariancysts).

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️ 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲
☎️ 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔  𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗢𝗦𝗨𝗠𝗕𝗨𝗟𝗜𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔° 𝗡𝗬𝗢𝗡𝗚𝗔° 𝗞𝗜𝗨𝗡𝗢° 𝗠𝗚𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗡𝗔 ° 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 (𝗝𝗢𝗜𝗡𝗧𝗦)𝐌𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈: 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭...
28/06/2024

𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗢𝗦𝗨𝗠𝗕𝗨𝗟𝗜𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔
° 𝗡𝗬𝗢𝗡𝗚𝗔
° 𝗞𝗜𝗨𝗡𝗢
° 𝗠𝗚𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗡𝗔
° 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 (𝗝𝗢𝗜𝗡𝗧𝗦)

𝐌𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈: 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗘𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗨𝗡𝗢 𝗡𝗔 𝗡𝗬𝗢𝗡𝗚𝗔 (𝗠𝗶𝗳𝘂𝗽𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗨𝗷𝘂𝗺𝗹𝗮) 👇
✍️ Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
✍️ Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
✍️ Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
✍️ Mawazo (stress).
✍️ Kulala kwa muda mrefu
✍️ Matumizi mabaya ya mto.

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗛𝗔𝗬𝗢 𝗡𝗜 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗬𝗔𝗙𝗨𝗔𝗧𝗔𝗬𝗢 👇
☘️ Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
☘️ Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
☘️ Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
☘️ Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
☘️ Inaweza kusababisha mtu kupata Kansa ya Mifupa na kusababisha kifo k**a Tatizo halijaondolewa mapema.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️ 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲
☎️ 𝟬𝟳𝟭𝟭 𝟵𝟭𝟵 𝟰𝟲𝟲

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaCare International posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram